AGANO LA CHUMVI - PASTOR JOHN SEMBATWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Kuna mji maji na Nchi Mji ni mzuri lakini maji yanayopatikana kwenye huo mji yanaifanya Nchi kuwa na mapooza (Kutoa vitu visivyo kuna na uakamilifu) Baada ya wakazi wa huo mji kuona hivyo na kuichoka iyo hali ilibidi watafute msaada wa kiroho kwa Nabii wa Mungu Elisha, Walipofika kwa Nabi Elisha walimwelezea changamoto Elisha akaenda kwenye chanzo cha maji akaichukua chumvi akaiweka kwenye chombo kipya kisha akaiweka kwenye chemchemi ya maji mahali ambapo ni chanzo cha Maji kwa mji wole (Chanzo cha tatizo la kuzaa mapooza). Kutatua tatizo lolote lazima ujue kwanza chanzo cha Tatizo lako, Ungana nasi kwa kusikiliza somo hili Mwanzo mpaka mwisho na Mungu atakubariki na kukuwezesha kujua chanzo cha tatizo ulilo nalo.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
#Sunbellakyando #Johnsembatwa #Chumvi
Ameeen Asante kwa maombi haya.
Kanisa liko wap
Kila baraka atakayo tamka mtumishi na Mimi naipokea kwa jina la yesu Kila mapooza kwenye maisha yangu na familia yangu leo ni mwisho ninaamini kutakasika
Najiungamanisha na hibada hii kwa jina la Yesu kristo naiwe ivyo
2 kings 2-19...
Somo zuri.....🙌🙌🙌
Amen. Mema yanifate pahalipopote natangu sasa
Ameen kubwa...chumvi huondoa kila aina ya Mapooza...
Ameeen nakili mema
Najiunganisha ba ibada hii kwa jina la Yesu
Amen 🙌🙌🙌