NAFASI YA VAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 ส.ค. 2024
  • UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our TH-cam: www.youtube.co....
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando TH-cam
    / @pastorsunbellakyando

ความคิดเห็น • 51

  • @billjeremiahmaiwe
    @billjeremiahmaiwe หลายเดือนก่อน +1

    Pastor...
    Nakuelewa sana.
    Kazi yako ni njema sana.

  • @rulemihayo2333
    @rulemihayo2333 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana nime barikiwa na somo hili,ubarikiwe sana

  • @TrifainaMbwamboOfficial
    @TrifainaMbwamboOfficial 2 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akubariki Sana nafunguliwa Sana natamani siku nikanyage hapo naamini nitakua huru zaidi Mungu akuinue

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 2 ปีที่แล้ว +6

    I connect my life with this prayer in Jesus name. Kila vazi lililokinyume na Mapenzi ya Mungu nayavua kwa nguvu ya Roho mtakatifu

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante Mtumishi leo nimeelewa baba na mama yangu walinikataza sana kuvaliana nguo. Asante Mungu Baba kwa neema hii ya kujifunza. Mbarikiwe watu wa Mungu Baba aliye hai.

  • @janettheis3749
    @janettheis3749 2 ปีที่แล้ว +4

    Ameen, Baba wakiroho mungu azidi kukubariki na Familia yako.Asante kwa chakula Cha kiroho 🙏🏿🙏🏿

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 2 ปีที่แล้ว +2

    Watumishi wa Mungu waliosalia na wewe Mch Ni miongoni mwao, tunashukuru Mungu kwa neema hii kubwa. Mungu akulinde na kukutumia daima .

  • @marynjeri370
    @marynjeri370 2 ปีที่แล้ว +4

    Mateso ya familia on Sunday.
    Miguu iliyohamishwa, Dodoma.
    Nafasi ya vazi....
    Following all of them, from Kenya.
    This is great revelation, especially this series of nafasi ya vazi.
    Nangoja sana maombi ya kumalizia hii series ya vazi.

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 ปีที่แล้ว

    Kwetu kenya..
    Mafazi ya madeni imefunuliwa kwangu leo..asanti mtumishi wa baba wa mbinguni kwa mafunzo ya ufunuo..
    Hallelujah.
    Hallelujah.
    Hallelujah..
    Damu ya jesu imenifungua leo.
    AMEN

  • @latifaonesmo7629
    @latifaonesmo7629 2 ปีที่แล้ว +1

    Asantee mtumishi mm ndiomana rohoo yang inakataa mambo yakuazima mtu nguo bora nimpe moja kwa moja

  • @josephinevicent1010
    @josephinevicent1010 2 ปีที่แล้ว

    Yesu naomba kibari kama cha Ester kupitia ibada hii kazi yako inside bure juu yangu.naomba unibariki

  • @danielkasongo2364
    @danielkasongo2364 2 ปีที่แล้ว +2

    Nashukuru kwa mafunuo haya Ila mtumishi samaahani saaana huyu unaye mpatia kwendesha maombi rugha anayo isema na haliyo ao viwango vyoko haifai samani aache hivyo aombeshe tu aachane na rugha zake

  • @hoseashibanda711
    @hoseashibanda711 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa na MAFUNDISHO makubwa ya Ufunuo wa Roho mtakatifu

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @gloryhumphrey6256
    @gloryhumphrey6256 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Bwana

  • @chaseborgia
    @chaseborgia 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen amen Mtumishi Sunbella na watenda kazi wote Mungu azidi kuwabariki

  • @scholafelix7167
    @scholafelix7167 หลายเดือนก่อน

    Baba ubarikiwe .naomba uniombee mm huwa naumwa kila mwezi nakunywa dawa..ikitoka malaria,,inakuja typhoid,, Mara UTI,,baba haipoi kabisaaa Ni kuumwa tuu baba niombeee ... Nmechoka kunywa dawa...

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 ปีที่แล้ว +2

    Amen Asante Sana Bishop Sanbella 🙏🙏 barikiwa Sana Bishop

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 ปีที่แล้ว

    Natamani Serikali ingeusikia ujimbe huu.

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 2 ปีที่แล้ว +1

    following from nairobi

  • @shedrackkiluswa5902
    @shedrackkiluswa5902 2 ปีที่แล้ว

    Asante baba nashukuru umenisaidia sana MUNGU akubariki niyatendea kazi

  • @vedastogwido5311
    @vedastogwido5311 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekuelewa saaanaa👏👏🙏

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen Amen

  • @teresiamwandanji603
    @teresiamwandanji603 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa somo nzr pastor

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 2 ปีที่แล้ว

    Amen asante kwa ufunuo huu mtumishi wa Mungu nimefahamu sasa

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820 2 ปีที่แล้ว

    Deus te abençoe pastor, gostou muito das suas pregações, Nipo Mozambique.

  • @ruthnzioka7634
    @ruthnzioka7634 2 ปีที่แล้ว

    AMEN amen amen

  • @anniemoshi6527
    @anniemoshi6527 2 ปีที่แล้ว

    Amen baba! Mungu akubariki sana.

  • @estherlyatuu8445
    @estherlyatuu8445 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho Mungu anayokufunulia

    • @elizapeter782
      @elizapeter782 2 ปีที่แล้ว

      Eee mungu naomba unisaidie

  • @bettybusumba1478
    @bettybusumba1478 2 ปีที่แล้ว

    We love you pastor

    • @hemedikulungu92
      @hemedikulungu92 ปีที่แล้ว

      Amen Pastor be blessed masomo yako yanabariki sn.

  • @venanceamosi8104
    @venanceamosi8104 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu niepushe na vazi la Haram ya mauti naomba baba niwe huru kanisa Damu ya Yesu Kristo kanitakase

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 ปีที่แล้ว

    Amen baba mungu akubariki

  • @hildaringmmary9297
    @hildaringmmary9297 2 ปีที่แล้ว

    Hatari hii mazabau ni Moto

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 ปีที่แล้ว +1

    Watu huwa wanachukulia poa hivi vitu,lkn ndo hali halisi!

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 2 ปีที่แล้ว

    nakufatilia sna kutuka American 🇺🇸 natamani kwawiki 4 niyakute hayo mafuvu ahija malizika

  • @jordanasadjah8451
    @jordanasadjah8451 2 ปีที่แล้ว

    Powerful word 🙏🙏

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 ปีที่แล้ว

    Ogopa sana kupewa zawadi mtu aliye uchi ukapokea ni hatari sana

  • @victoriakazungu9744
    @victoriakazungu9744 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante mtumishi, Ila nipo simiyu, nahitaji msaada wa kuongea na wewe

  • @anniemoshi6527
    @anniemoshi6527 2 ปีที่แล้ว

    Tunaomba mafundisho ya Tuesday Arusha pls 😭

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 ปีที่แล้ว +3

      Ibada ya Arusha yenye somo MIGUU ILIYOHAMISHWA linapatikana kupitia ukurasa wa TH-cam wa Pastor Sunbella Kyando wenye jina PASTOR SUNBELLA KYANDO

  • @estermatee4834
    @estermatee4834 2 ปีที่แล้ว

    Amen pastor !! Naomba kujua ARUSHA sehem gani huwa unafanyia ibada?

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 ปีที่แล้ว

    Hakika nimebarikiwa

  • @zyeletimothofical9901
    @zyeletimothofical9901 2 ปีที่แล้ว

    zyele Timoth polela

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi6681 2 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 ปีที่แล้ว

    Amen