Ahi kigufa
Ahi kigufa
  • 24
  • 25 718
HUITAJI UWEPO WA JOGOO ILI KUPATA MAYAI
Kwa wale wanaohitaji mayai kwa shughuli zingine kama kula n.k hawaitaji uwepo wa jogoo ili kupata mayai hayo.
Isipokuwa jogoo anahitajika kwa lengo kuu la kurutubisha mayai ili kupata vifaranga.
มุมมอง: 69

วีดีโอ

ATHARI YA MATUMIZI YA CALCIUM NA PHOSPHORUS YALIYOPITILIZA KWA WATOTOLESHAJI WA VIFARANGA
มุมมอง 8214 ชั่วโมงที่ผ่านมา
ATHARI YA MATUMIZI YA CALCIUM NA PHOSPHORUS YALIYOPITILIZA KWA WATOTOLESHAJI WA VIFARANGA
HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
มุมมอง 67119 ชั่วโมงที่ผ่านมา
HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
sehemu ya pili: MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
มุมมอง 662วันที่ผ่านมา
Kwa wale ambao hawajaangalia video ya kwanza. Boyeza link hii. th-cam.com/video/uQ8jCm5Aj7c/w-d-xo.htmlsi=JoO8LF-X_n946qmv
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
มุมมอง 16K14 วันที่ผ่านมา
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
มุมมอง 11721 วันที่ผ่านมา
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
มุมมอง 44521 วันที่ผ่านมา
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
มุมมอง 177หลายเดือนก่อน
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
มุมมอง 5Kหลายเดือนก่อน
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
มุมมอง 77หลายเดือนก่อน
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
มุมมอง 293หลายเดือนก่อน
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
UFUKIZAJI BANDANI KABLA YA KUWEKA VIFARANGA
มุมมอง 207หลายเดือนก่อน
Hii hufanyika ili kudhibiti vimelea sehem ambazo usafi haukufika au kufanyika vizur
TAZAMA MATUNDA YANAVYOFANYA KAZI KWA KUKU
มุมมอง 396หลายเดือนก่อน
Moja kati ya chanzo kikubwa cha vitamins ni matunda na mbogambog. Kwaiyo wapatie kuku wako kwa afya zaid
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
มุมมอง 1322 หลายเดือนก่อน
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
PUNGUZA GHARAMA KWA KUWAPA VITAMIN YA ASILI
มุมมอง 3622 หลายเดือนก่อน
mbogamboga ni shemeh ya vitamin, punguza gharama kwa kwapa majani
Experiencing african agriculture
มุมมอง 62 หลายเดือนก่อน
Experiencing african agriculture
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
มุมมอง 343 หลายเดือนก่อน
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
มุมมอง 7313 หลายเดือนก่อน
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
มุมมอง 269 หลายเดือนก่อน
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
มุมมอง 69ปีที่แล้ว
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
มุมมอง 73ปีที่แล้ว
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
มุมมอง 66ปีที่แล้ว
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA
มุมมอง 136ปีที่แล้ว
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA

ความคิดเห็น

  • @saumumunisi8013
    @saumumunisi8013 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Umeeleza vizuri sana kiongozi. Mimi nimejaribu sana ila kuna watu wansniangusha ila sijakata tamaa. Asante kwa somo zuri.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@saumumunisi8013 shukran. Usikate tamaa, kikubwa ni kufanyia kazi kila changamoto na vikwazo ili kesho yako iwe nzuri

  • @ShacksChagalu
    @ShacksChagalu วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe kiongozi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa วันที่ผ่านมา

      @@ShacksChagalu ahsante sana. Tubarikiwe sote

  • @JoelSese-qr1rv
    @JoelSese-qr1rv 3 วันที่ผ่านมา

    Asanteeee kwa somo naomba uniutumie nmba yako kama hautojali lkn

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 3 วันที่ผ่านมา

      @@JoelSese-qr1rv 0752682127

  • @karimmakweta3530
    @karimmakweta3530 3 วันที่ผ่านมา

    Naweza kupata no yako ya simu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 3 วันที่ผ่านมา

      @@karimmakweta3530 0752682127

  • @FaridaMbua
    @FaridaMbua 4 วันที่ผ่านมา

    Asante kwa somo zuri.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 3 วันที่ผ่านมา

      @@FaridaMbua ahsante Karibu

  • @silveramujuni5246
    @silveramujuni5246 5 วันที่ผ่านมา

    Hi elimu ni bora sana kibiashara

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 วันที่ผ่านมา

      @@silveramujuni5246 karibu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo 6 วันที่ผ่านมา

    Vipi nikiaza na majike 10 na dume 1 banda lake linatakiwa ukubwa gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 วันที่ผ่านมา

      @@ChartyMpepo Ukubwa wa banda unategemea na aina ya kuku, mfumo unaotumia kufuga (ndani nusu huria au huria), idadi yao n.k Kwa kuku mmoja wa kienyeji anaefugwa kwa mfumo wa huria (nje) anahitaji nafasi ya futi za mraba 2 hadi 4 Yaani 0.6 - 1.2 metre square kwa kuku mmoja. Au sentimita 60 - 120 za mraba kwa kuku mmoja. Ili kupata nafasi ya idadi ya kuku ulionao au unaohitaji kuwafuga yapasa kuchuku mita 0.6 kwa kuku 1 × idadi ya kuku Mfano 0.6 × 10 = 6 mita za mraba Kwaiyo banda lako laweza kuwa na Upana mita 2 na urefu mita 3 Ahsante na karibu.

    • @ChartyMpepo
      @ChartyMpepo 5 วันที่ผ่านมา

      @Ahikigufa nashukuru

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 5 วันที่ผ่านมา

      @ChartyMpepo shukran pia.

  • @Ahikigufa
    @Ahikigufa 6 วันที่ผ่านมา

    LINK YA VIDEO SEHEMU YA KWANZA th-cam.com/video/uQ8jCm5Aj7c/w-d-xo.htmlsi=gajmqE5Wuq0nM_22

  • @SurprisedCaptainHat-my4tw
    @SurprisedCaptainHat-my4tw 8 วันที่ผ่านมา

    Kaka nashkul xaan

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 วันที่ผ่านมา

      @@SurprisedCaptainHat-my4tw shukran sana. Karibu

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 9 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri na inahamasisha ila siyo rahisi hivyo. Hao vifaranga kuwalea tofauti tofauti ni changamoto sana kwa mtu mwenye mtaji mdogo na eneo dogo.inawezekana ila waweza kuchanganyikiwa akili!kila mwezi ule vifaranga wapya!bado wengine wanakusubiria!njia rahisi ni kununua hao vifaranga wote na kuwalea kwa pamoja.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@elimbotoraphael3940 Shukrani ni wazo zuri, la kujenga na kuboresha, Naamini pia katika uthubutu na nia thabiti ya kujitoa kikamilifu katika jambo lako.

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 9 วันที่ผ่านมา

    Good

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 วันที่ผ่านมา

      @@carenhilary8067 thanks

  • @evancem4366
    @evancem4366 9 วันที่ผ่านมา

    Me wezi ndo wananirudisha nyuma

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 วันที่ผ่านมา

      Aisee pole sana. Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa sana na kuna wakati inakatisha tamaa. Hasa unafikiria level uliyokuwa umefikia, jasho, damu na machozi uliyomwaga kufika hapo. Ni kutie moyo kwa mara nyingine kwa kutokata tamaa, kikubwa ni kujifunza kwa kila kosa na changamoto inayokukabili kisha kutafuta suluhisho la kudumu. Sijajua mazingira yako yakoje, ila naimani MBWA anaweza kuwa moja kati ya suluhisho.

    • @ThaddesusNyaenya
      @ThaddesusNyaenya 2 วันที่ผ่านมา

      Pole kwa Hilo lakini usife moyo

  • @ShukrathAbeid
    @ShukrathAbeid 9 วันที่ผ่านมา

    Ahii samahani naomba namba yako

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 วันที่ผ่านมา

      0752682127

  • @swaumuramadhani-g7e
    @swaumuramadhani-g7e 10 วันที่ผ่านมา

    Somo zuri Asante sana

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 วันที่ผ่านมา

      @@swaumuramadhani-g7e shukran sana.

  • @HilaryMassawe-y7s
    @HilaryMassawe-y7s 10 วันที่ผ่านมา

    Nice 👍 idea

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 วันที่ผ่านมา

      @@HilaryMassawe-y7s thank you

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 10 วันที่ผ่านมา

    Kaka namba yako kwa maelezo zaidi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 10 วันที่ผ่านมา

      @@amanichaula1 0752682127 WhatsApp/normal call/Messages

    • @AdrianoMalima
      @AdrianoMalima 2 วันที่ผ่านมา

      Unapatikana mkoa gani mkuu

    • @amanichaula1
      @amanichaula1 2 วันที่ผ่านมา

      @ arusha

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 10 วันที่ผ่านมา

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 10 วันที่ผ่านมา

      @@emmiemmi3861 karibu

  • @PaulSangayon
    @PaulSangayon 10 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana. Asante kwa elimu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 10 วันที่ผ่านมา

      @@PaulSangayon shukran sana

  • @SalahMulekezi
    @SalahMulekezi 10 วันที่ผ่านมา

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 วันที่ผ่านมา

      Shukran pia

  • @HappynessFuss-f8q
    @HappynessFuss-f8q 11 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri sana natamani kufuga

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 วันที่ผ่านมา

      @@HappynessFuss-f8q hongera na karibu sana. Kupitia channel hii, itakuwa ni sababu ya kuanza ufugaji na kukua zaid

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 11 วันที่ผ่านมา

    Asante kuniunga mkono kwa mawazo yangu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 วันที่ผ่านมา

      @@abidandastanmaliyatabu1373 karibu

  • @CHARLYASSEY
    @CHARLYASSEY 12 วันที่ผ่านมา

    Nahtaj sana elm iyoooo

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 วันที่ผ่านมา

      @@CHARLYASSEY tuko pamoja, endelea kufuatilia mtitiriko wa maudhui yangu, naimani elimu unayoihitaji utaipata

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 12 วันที่ผ่านมา

    Mayai yanatakiwa yatotolewe baada ya mda gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 วันที่ผ่านมา

      @@DanielMbena Iwe ni kuku kaatamia au umeweka kwenye mashine mayai huanza kuanguliwa au kutotolewa baada ya siku 19 - 23 ambayo wastani ni siku 21.

    • @DanielMbena
      @DanielMbena 11 วันที่ผ่านมา

      @Ahikigufa Yani maana yangu ili mayai yatotoleke toka yatagwe yanatakiwa yakae siku ngapi ili yawe yanafaa kutotoleka?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 วันที่ผ่านมา

      @DanielMbena ni siku 14 kwa maan wiki mbili. Ila yakikaa siku 12 yanaleta matokeo bora zaidi. Zaidi ya hapo kaa tayari kwa video inayofuata nimeeleza yote hayo.

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 12 วันที่ผ่านมา

    Elimu nzuri ubarikiwe

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 12 วันที่ผ่านมา

      @@jestinasimon4130 shukran sana, tubarikiwe sote

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 วันที่ผ่านมา

      @@jestinasimon4130 Amina, tubarikiwe sote

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 12 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥👍

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 12 วันที่ผ่านมา

      @@geralddeus1434 🔥🔥🔥

  • @allytayari3938
    @allytayari3938 13 วันที่ผ่านมา

    Kazi safi kaka Asante

  • @stephenmuli-j4q
    @stephenmuli-j4q หลายเดือนก่อน

    Ujumbe muhimu,ongera

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 29 วันที่ผ่านมา

      @@stephenmuli-j4q shukran sana

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 26 วันที่ผ่านมา

      BARIKIWA SANA ELIMU NZURI

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 25 วันที่ผ่านมา

      @@filipinadaud885 shukran sana. Tubarikiwe sote.

  • @kahekesaid6909
    @kahekesaid6909 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera somo limeeleweka