zafa lakufamtu tazama ufundi huo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 182

  • @AishaMateru
    @AishaMateru 9 หลายเดือนก่อน +9

    Subhannaallah tutaona mengi kweli na watu kusoma diyn hawataki tumesimamia bida'a tuu allah awaongoze

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 9 หลายเดือนก่อน +11

    Subhanallah Allah awaongoze katika njia iliyonyooka hayo manayo ya fanya sio katika dini yetu Allah atuhifadhi mana hakuna mkamilifu isipo kua yy pekee

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 6 หลายเดือนก่อน +1

      njia ilio nyooka ni Yesu kristo peke yake,yohana 14:6

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 9 หลายเดือนก่อน +4

    Innalillah ,Subhanallah ,Astaghafirullah ,Yaa Allah tusameh nautuoneshe njia sahihi ,hawabila hizingoma wasingekua Waislam au ,kati yamitihani yakidunia 😢

  • @Maryammadafa
    @Maryammadafa 9 หลายเดือนก่อน +5

    Naona mpaka style za kutetema😭😭jamani jamani

  • @hamenyimanasalum7289
    @hamenyimanasalum7289 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kweli bangi sio dili

  • @AbdulMbega
    @AbdulMbega 9 หลายเดือนก่อน +8

    Nyie ndio maana watu wa ansali suni hawa watak, kwa ajir ya upumbavu wenu

    • @rahmasaleh1984
      @rahmasaleh1984 9 หลายเดือนก่อน

      Unaona eeeh hawana elmu hawa

  • @user-jt1gz2pl5f
    @user-jt1gz2pl5f 9 หลายเดือนก่อน +1

    🎉subahna llah nyie kweli mwaweza kuinusuru dini ya Allah kwa staili iyo

    • @NilahIsmail
      @NilahIsmail 9 หลายเดือนก่อน

      Mtihani mkubwa huu

  • @hassanowgennogenno5740
    @hassanowgennogenno5740 4 วันที่ผ่านมา

    Jamani maulidi kwa utaratibu.hii ya densi hapana

  • @Gamba177
    @Gamba177 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mnachanganya ngoma za kienyeji na dini au mmefundishwa na Bakwata kukata viuno ????

  • @abubakarijuma1283
    @abubakarijuma1283 9 หลายเดือนก่อน +2

    Jaman tujifunze kitu.hivi kina Umar,abubakari .....walikuwa ivi wanakatika njiani

  • @abdulkarimukusaga3617
    @abdulkarimukusaga3617 9 หลายเดือนก่อน +2

    Haya mamba yanazaliliasha dini Allah atawazalilisha nanyie

  • @user-bv9cx7xe5o
    @user-bv9cx7xe5o 9 หลายเดือนก่อน +3

    Wametoroka singelini

  • @dauddaud-xm2wc
    @dauddaud-xm2wc 10 หลายเดือนก่อน +3

    Innaa lilillah wa innaa ilayh raajiun kweli zefe la kufa mtu

  • @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly
    @HiteshkumarDhirajlal-nh3ly 19 วันที่ผ่านมา

    Anhaaa!!sasa mmeamka mnacheza kama kwaya eenh!
    Hiyo ndiyo sifa,siyo habari ya kutikisa kichwa tu.😂

  • @abuumunyrelbatwaawy7490
    @abuumunyrelbatwaawy7490 9 หลายเดือนก่อน +1

    Subhaanallaah, kumbe watu wapo mbali sana na dini yao, allaah awaongoze

  • @shazyahya4121
    @shazyahya4121 9 หลายเดือนก่อน +3

    Ndio maana mashoga wanaongeza kila siku kutokana na mambo ya bi'dah na ukichunguza utakuta ni watoto wa familia za bi'dah sasa upumbavu huu mzungu akose imani ya kuoa mmoja hapo

    • @fauzeia976
      @fauzeia976 9 หลายเดือนก่อน

      Unajielwa unacholiongea?

    • @shazyahya4121
      @shazyahya4121 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fauzeia976 bi'dah itakupeleka pabaya acha bi'dah umbwa wewe mtawaletea wezenu shida tubia kabla hujafa kenge mmoja rudi Madrasa na ukasome kweli uko vitabu utokane na ushirikina

  • @mwanahussein5935
    @mwanahussein5935 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mdundiko😢😢Allah atunusuru na vizazi vyetu

  • @HusnaAbdallah-jm6tq
    @HusnaAbdallah-jm6tq 9 หลายเดือนก่อน +3

    Astaghfirullah mcheni Allah musichezee dini

  • @bashiruamri2167
    @bashiruamri2167 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa sio mashekh nina mashaka pia juu ya uislamu wao nimawakala wa shetani

  • @hamisimkulupalile9461
    @hamisimkulupalile9461 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huku ni kuudhalilisha uislam

  • @hassanabdullah2191
    @hassanabdullah2191 9 หลายเดือนก่อน +1

    Subhanaalah hii ni ujahiliya

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 9 หลายเดือนก่อน

    Akheru zaman

  • @kwekwetsuma3524
    @kwekwetsuma3524 8 หลายเดือนก่อน

    Wow mashallah

    • @salehwaziri5062
      @salehwaziri5062 หลายเดือนก่อน

      Hawatakuwaradhi Mayahudi naManaswala mpakamfatemirazao

  • @AbuuYasri
    @AbuuYasri 8 หลายเดือนก่อน +1

    Ni zaidi ya upuuzi,jifunzen dini acheni mambo ya kishenzi,hivi ni kweli mtume aliletwa kutufunza haya😢

  • @HamadHamad-oy7mp
    @HamadHamad-oy7mp 9 หลายเดือนก่อน

    Mh! Haya bwana labda mm ndo sijasoma na kuelewa dini vizuri ngoja inyeshe tuone panapovuja

  • @ShakiraAdam-bh6fm
    @ShakiraAdam-bh6fm 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ndomana waislam tuko nyuma kimaendeleo kwasababu ya tofauti zetu

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mpaka staili yamayelee kweli nishidaa

  • @AbdulMbega
    @AbdulMbega 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wa Allah Mtume angekuwa anawashudia zama hz yaani angeweza hta kulia

  • @fundimsema4037
    @fundimsema4037 9 หลายเดือนก่อน

    Ufundi Gani huo?,Au ufundi wakucheza Mdundiko pumbavu mnapotosha jamii Pumbavu zenuu

  • @seydouside4081
    @seydouside4081 9 หลายเดือนก่อน +1

    Wasaniiii waleeee...watatoboa tu

  • @muhsinsalim6257
    @muhsinsalim6257 9 หลายเดือนก่อน

    Mambo gani hayo Astaghfirullaah, ALLAH awasamehe hawatu wamepotea na njia mustaqiim,hawa eako wafuasi wa shetani

  • @ramadhanmjela9868
    @ramadhanmjela9868 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzdishie kher kwamaneno yako kwakutukana wakubwa

  • @AbuuSaad7
    @AbuuSaad7 9 หลายเดือนก่อน +17

    90% ya hao madrasa zao ziko nyuma kwenye masomo ya dini. Quran hawajui vizuri wala hifdh hawana, fiqh hawajui, sira, hadith na sunnah. Muda wa kusoma hivyo hawapati maana muda mwingi wanatumia kupiga dufu na kujifunza kucheza. Muda wa kusoma dini wanapata mchache au wanakosa kabisa.
    Angalizo:
    Usimpeleke mwanao kwenye aina hii ya madrasa kama kweli unataka mwanao aijue elimu na maadili ya kiislam. Kama umempeleka basi mtoe haraka asije pata hasara kuɓwa. Hapo unaweza kuta ustadhi kwa mwaka anafundisha mara mbili siku zote ni dufu

    • @rahmasaleh1984
      @rahmasaleh1984 9 หลายเดือนก่อน +3

      Kweli kabisa

    • @user-qm9js5rq2r
      @user-qm9js5rq2r 9 หลายเดือนก่อน

      Bado hamja sema povu lina wayoka

    • @alisaid7742
      @alisaid7742 9 หลายเดือนก่อน

      Kwanza wahabi Hana dhehebu haya matwari ni ya msimu sikweli yakwamba eti wanao soma maulid hawana kazi au hawasomeshi illa zefe na dufu huo ni uongo hayo masomo mlio yataja hapo hayakueko zama. Za mitume wote ikiwa. Mtapinga maulid basi hata mswahafu uondoeni qur an irudishwe kwenye duks mwisho hata hata nyinyi wengi wenu mlipitia kwa hawahawa mnao waita wajinga mkapiga magoti kwa elimu au wazazi wenu lakini Leo mnawatusi ole wenu siku. ya malipo

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh 6 หลายเดือนก่อน

      ata na ww ujui quran maana ni kitabu cha waarabu na si kitabu cha Mungu!

    • @AbuuSaad7
      @AbuuSaad7 6 หลายเดือนก่อน

      @@JeanMuzaliwa-bs6qh kama sio kitabu cha mungu wambie watu wote duniani watengeneze sura moja katika quran kama wataweza. Usisikilize maneno ya watu tafuta quran kwa kiswahili usome ndio utajua hichi ni kitabu cha Allah au binadamu

  • @hassanussi1747
    @hassanussi1747 7 หลายเดือนก่อน

    التقوى الله يا أيها الناس، ذاك تضييع الأوقات

  • @abdihassanomar5648
    @abdihassanomar5648 9 หลายเดือนก่อน +2

    Haya ndio yanayosababisha watu wanaona ansar sunna wabaya hivi wapi katika dini tumeruhusiwa huu uchafu wa sheitwani watu badilikeni.

  • @user-md6mj6ce8q
    @user-md6mj6ce8q 9 หลายเดือนก่อน

    Namtaka mmoja aje kucheza ndani kwangu

  • @ramamganga6440
    @ramamganga6440 9 หลายเดือนก่อน

    Sijawahi kuona upuuzi kama huu, acheni kuiga ukafiri, uislamu sio huo mnaunda dini yenu mpya, majahil

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 3 หลายเดือนก่อน

    Singeli

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa ni kama lejomaria ..hamuachii c juu hamuelewi hili c ni densi.

  • @user-sr8sz9vl2f
    @user-sr8sz9vl2f 7 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah 😢😢

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 9 หลายเดือนก่อน

    Huhitaji elimu kubwa kujua kuwa huu ni upuudhi na Shetani ndio anatianguvu juu ya haya mambo.
    Mfano.
    Mnamjua Khalid bin walid,RA.
    Ivi km yeye alicheza viuno hii dini ingekuwaje ,cjataja wengine Omar Alii Abuu Bakar Allah awaridhie.
    Nduguzanguni tumche Allah.

  • @user-dj1os5ib8x
    @user-dj1os5ib8x 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ni wapumbavu kama wapumbavu wengine

  • @salimsibabu9027
    @salimsibabu9027 9 หลายเดือนก่อน +1

    Km ni hivi maulidi hayafai

  • @user-xn9ye4jr4q
    @user-xn9ye4jr4q 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah shabibun jiddah

  • @hassannduwimana8025
    @hassannduwimana8025 9 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh hao wajenge kanisa tu maana sijaona tofauti wao na wa galatiya

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah9449 9 หลายเดือนก่อน

    Ovyo kabsa

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 9 หลายเดือนก่อน

    Subhanallah allah tuongize ktk haki

  • @ibrahimabdallah6237
    @ibrahimabdallah6237 9 หลายเดือนก่อน

    Waislam mnaenda wapi??? Allah awaongoze

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 9 หลายเดือนก่อน

    Halafu hapa handeni unajulikana kama shehe mkubwa sana unayeheshimika lakin upuuz huu unaofanya daa

  • @ZAMZUNZAMIRU
    @ZAMZUNZAMIRU หลายเดือนก่อน

    Kama mtaiona pepo basi na Diamondi Platnumz nae yumo

  • @user-lq7kv7sx3t
    @user-lq7kv7sx3t 9 หลายเดือนก่อน

    Mhm allah awaongoze kwenye kher hii sio dini

  • @user-nb5iv5xi9z
    @user-nb5iv5xi9z 9 หลายเดือนก่อน

    Jamn yamekua hyo tena

  • @allysaidshaban7734
    @allysaidshaban7734 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mashekh hiyo Sasa sio din bali ni muziki na muziki niharam

    • @user-em4zo5nb3n
      @user-em4zo5nb3n 10 หลายเดือนก่อน

      Sasa seye dini waijua😅😅😅

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 9 หลายเดือนก่อน

      @@user-em4zo5nb3n kwaiyo ww unasapoti huo uhuni hadi leo, iv mtume gani afundishe huu ujinga. mnatuharibia uislamu

  • @geitagewoma7112
    @geitagewoma7112 9 หลายเดือนก่อน

    Bwana yesu asifiweee uhuru wayesu hamna mlichobakiza innalilah

    • @kondempya
      @kondempya 9 หลายเดือนก่อน

      Mungu haendi chooni na kutawaza na kulala

  • @umsaidmohamed102
    @umsaidmohamed102 9 หลายเดือนก่อน

    Dini gani hii tena

  • @mustaphamatelefone-lc9pr
    @mustaphamatelefone-lc9pr 9 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wanafunzi wa mashia hao

  • @ABUUJAAFAR92
    @ABUUJAAFAR92 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ama kweli utwariqa ni uvundo ,,ukimbie ndugu yangu utakuangamizia njia ya mtume swallallahu alaihi wasallam

    • @alajamiyonlinetv3526
      @alajamiyonlinetv3526 9 หลายเดือนก่อน

      Sio kweli ni tabia tu za watu bali twariqa ipo sawa kabisa

    • @sajumahege4903
      @sajumahege4903 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@alajamiyonlinetv3526masufi mcheni Allah

    • @user-qm9js5rq2r
      @user-qm9js5rq2r 9 หลายเดือนก่อน

      Uvundo ni babaako fala wewe

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl 9 หลายเดือนก่อน +1

    Unajua Kuna mambo ambayo yameingizwa kwenye uislamu na wakati asili hayaapo kabisaa 😢haya wanayo yafanya Hawa wamevuka mipakaa Wala si katika dini

  • @saidmsham-uy7py
    @saidmsham-uy7py 9 หลายเดือนก่อน

    allah awaepushe na upotofu huo

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 9 หลายเดือนก่อน

    Nilikuwa nauliza hii ni ibada au upuuzi? Na kama ni ibada ni ya dini ipi? Kwasababu ktk uislamu hii sio ibada, wala hakuna aya wala hadithi pahala popote ktk vitabu vyote vya dini ya kiislamu kuwa kupiga ngoma na kucheza kama wanamuziki kuwa hio ni ibada, mnapoteza muda, bora mngekaa mkaamua kumswali Mtume kwa idadi yoyote au mkasoma subhanallah na alhadulillah na Allah Akbar mtapata faida kubwa sana sana sana, kuliko huo upuuzi tuliuona hapo, hii hata sijui uite ibada gani labda ibada maandazi na pilau

  • @muttribumkwanga7593
    @muttribumkwanga7593 9 หลายเดือนก่อน

    Nimadras singeri iyo

  • @user-md6mj6ce8q
    @user-md6mj6ce8q 9 หลายเดือนก่อน

    Kateni mauno midume mizima bado muolewe tu

  • @muttribumkwanga7593
    @muttribumkwanga7593 8 หลายเดือนก่อน

    Misso misondo

  • @yoliswabontsa8469
    @yoliswabontsa8469 9 หลายเดือนก่อน

    Innalilahi wa innalilahi raj,uun

  • @mpoka_Tv2023
    @mpoka_Tv2023 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huu upuuzi unao nasibishwa na dini sijui utaisha lini?

  • @AbuuIshaqaMusa
    @AbuuIshaqaMusa 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa si mziki tu huo jamani

  • @user-ds8pb8wi6k
    @user-ds8pb8wi6k 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kanzu kama madela huo upuuzi tu

  • @user-lu3oh4gf8e
    @user-lu3oh4gf8e 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂Wajinga njoo😂😂😂

  • @glorymungure7753
    @glorymungure7753 9 หลายเดือนก่อน +1

    Alafu et tunasema mashoga amna kwa namna hii kweli

  • @user-md6mj6ce8q
    @user-md6mj6ce8q 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa ndio wanosababisha uislamu huonekane dini ya mashoga wakata viuno barabarani

  • @abuukauthar525
    @abuukauthar525 9 หลายเดือนก่อน

    Jinga sana

  • @mjanaomari5025
    @mjanaomari5025 9 หลายเดือนก่อน +1

    Vikao vya sira na hadithi zake zinatosha

  • @khadijabuberwa3362
    @khadijabuberwa3362 9 หลายเดือนก่อน

    Masikini msiwaraani muwaombe watoke uko waliko zama nimeisha wanatafuta kula Yani mnadhani awa wanafuraiya nawayo yafanya basitu

  • @amirasman8044
    @amirasman8044 9 หลายเดือนก่อน

    Uache ubuzi mko nao nyinyi

  • @user-wl5mg1ip3p
    @user-wl5mg1ip3p 5 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @bihusiMshuza-ri7cz
    @bihusiMshuza-ri7cz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Fateni sunna acheni madufu hayanaishu kabisa

  • @yusuphibrahim-yq9mv
    @yusuphibrahim-yq9mv 9 หลายเดือนก่อน +24

    Ufundi au upuuzi mtupu wajinga wakubwa nyie mwajiata masheikh au mashekhena watuwazima akili hamna

    • @rahmasaleh1984
      @rahmasaleh1984 9 หลายเดือนก่อน +2

      Yaan hawa ni masheheana tena wapotofu wakubwa,Allah awaongoze wafuate yaliyo ya haki

    • @Gamba177
      @Gamba177 9 หลายเดือนก่อน +2

      Wanakata viuno wajinga hawa

    • @user-qm9js5rq2r
      @user-qm9js5rq2r 9 หลายเดือนก่อน

      Wapuuzi ni nyinyi yani vado hamja sema

    • @user-vb6vm6hc6g
      @user-vb6vm6hc6g 9 หลายเดือนก่อน

      Watu wasunna kwa matusi! Sasa hao wanakosea na hayo matusi ni sawa!

    • @Abdul-azizAthuman
      @Abdul-azizAthuman 9 หลายเดือนก่อน +1

      usiwa tukaan waombee dua waongozeke

  • @mohammedlipindula5415
    @mohammedlipindula5415 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna dini kama izo nishirk

  • @MohammadJumah-qk2xc
    @MohammadJumah-qk2xc 9 หลายเดือนก่อน

    Man haji mbovu kabisa tena waufananisha na dini ??????? Ewe allaah taala zibadishe nyoyo zetu ktk ubovu ziweke sehemu salam kwenye man haji ya wale wabora walio tutangulia

  • @fatuma5208
    @fatuma5208 9 หลายเดือนก่อน

    Makubwa

  • @nassleydady5783
    @nassleydady5783 9 หลายเดือนก่อน

    Majab ya watu wa dufu ukiwauliza watakwambia ibada ukiwambia hii ibada tukaifanye msikitin sehem patakatif unambiw zambi kupigaduf msikitin😂😂😂😂

  • @user-md6mj6ce8q
    @user-md6mj6ce8q 9 หลายเดือนก่อน

    Kama hujavuta bang huwezi kufanya upuuzi huu

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara8845 9 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume unakataviuno mbele yawanawake ?niuchoko naushoga unatiksamaziwa hiisiyodini huniukafiri naushenzi

  • @kijingitilengwale2279
    @kijingitilengwale2279 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uchafu kwa dini ya Allah imekuthiri

  • @rashidysekione1868
    @rashidysekione1868 9 หลายเดือนก่อน

    Ina maana huu ndio uislam aliotua chia mtume achani ujinga huu ukafari rudini ktk uislam

  • @nixonmwanguni3094
    @nixonmwanguni3094 9 หลายเดือนก่อน

    Upuuzi mtupu eti mashehk

  • @Assalafiyyat
    @Assalafiyyat 8 หลายเดือนก่อน

    Ufundi wa upumbavu

  • @khalfansaid4756
    @khalfansaid4756 9 หลายเดือนก่อน

    Mashehe ubwabwa utawajua tu pumbavu zenu

  • @user-fq6iw1pb7q
    @user-fq6iw1pb7q 9 หลายเดือนก่อน

    Tia kwenye akili omar al faruk acheza cheza kama ivo

  • @seifserenge3340
    @seifserenge3340 9 หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga up ndio nini,

  • @tanzaniaonmzamiloon8627
    @tanzaniaonmzamiloon8627 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimefutilia comenti za watu zote 98 wamecomenti watu hata 20 tu sijui mmelipwa sh ngapi ili kututukana

  • @yasinkishama6455
    @yasinkishama6455 10 หลายเดือนก่อน +1

    Eti ufundi!!ujaahili huo ndo ufundi!?
    Hata wenzenu wa twariqa wamewazarau kwa miziki yenu hii

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 9 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢😢😢😢 duuh!!!!!!!!! Kweli haya maaansay sunnat ndio mana wansemaga Hawa jamaaa wanamambo yakijinga sana

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 9 หลายเดือนก่อน

    Hii ni nini

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.official 9 หลายเดือนก่อน +2

    BIDAA KWA HERUFI KUBWA 🔞❌❌❌❌❌❌❌🚭🔞❌🚭🔞❌🚭🔞❌🚭🔞

  • @DirectorRich2024
    @DirectorRich2024 9 หลายเดือนก่อน

    Ikfk night hao ndo akna misso misondo wazee wa makot

  • @JumaJambia
    @JumaJambia 9 หลายเดือนก่อน

    Wacheni uzushi

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl 9 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 hayaa ndio mambo yanayotakiwaa yakatazwee wamezidii tenaa😂

  • @HansTalent
    @HansTalent 9 หลายเดือนก่อน

    Wanafiqi nyie sio waislam

  • @user-lu3oh4gf8e
    @user-lu3oh4gf8e 9 หลายเดือนก่อน

    Masheikh musikufuru dini ya nabi wetu muhannad salala huwaley wa salam siyo ivo quran ilisema 😂😂

  • @abuuaidh6500
    @abuuaidh6500 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ngoja kidogo itatetewa hio kwa Hadith