Hapo sasa imebaki muingie kanisani tu 😢😭😭 mnapotosha watu nyie kumbukeni kwamba kazienu ni kufuata sio kuzusha na Mtume Swallahu Aleyhi wasallam hajatuamrisha tufanye istihzaa katika ndini 😢وقال تعالى واستقم كما أمرت na pia Allah amesema وما آتاكم الرسول فخذوه وما نهاكم عنه فانتهو
Hapo sasa imebaki muingie kanisani tu 😢😭😭 mnapotosha watu nyie kumbukeni kwamba kazienu ni kufuata sio kuzusha na Mtume Swallahu Aleyhi wasallam hajatuamrisha tufanye istihzaa katika ndini 😢وقال تعالى واستقم كما أمرت na pia Allah amesema وما آتاكم الرسول فخذوه وما نهاكم عنه فانتهو
Nyinyi msifanye masihara na ibada hiyo sio ibada
Anllah awajaze kher nyote.
Ameen INSHAALLAH
MAWAHABI wanaumia hapo kweli 😂😂😂,waambieni na bado
Kafiri wewe
Cheza ngoma kama unavopenda tena ngoma zote lkn usiseme NI dini ...huu sio uislamu