فلايبارك الله لكم وعليكم ويجمع الله بينكم على خير ويرزقكم الله الذرية البطنة الصالحة ويفتح الله أبواب الرزق والخير والبركات والرحمة اللهم آمين يارب العالمين ❤🎉☝🤲☝
Mungu akubariki wewe na wako, mungu akukusanye katika wema, mungu akujalie uzao na tumbo zuri. Mungu afungue milango ya riziki, fadhili, baraka na rehema, Amina, Mola wa walimwengu❤🎉☝🤲☝
Mbona wengine mnamuangaliya vibaya bibi halusi shida nini mkome na vijicho vya husuda mlitaka asiolewe nyooo wewe binti unaemuangaliya vibaya mwenziyo koma
....mama harusi naye kawatia wivu mahasid zake😅
Umependeza mwaya Mungu azidi kukutangulia ktk ndoa yako ukawe mke mwema akulinde na husda za walimwengu
Majina yafaiza mashallah ss niwarembo midomo itavimba xna nabado 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Harusi nzuri mashallah mungu akupe maelewano na maskizano na mume wako
فلايبارك الله لكم وعليكم ويجمع الله بينكم على خير ويرزقكم الله الذرية البطنة الصالحة
ويفتح الله أبواب الرزق والخير والبركات والرحمة اللهم آمين يارب العالمين ❤🎉☝🤲☝
Haki ya Mungu huu ukumbi umejaa watu wenye wivu Sana wanamuangaria vibaya
Nimeliona Ilo kipenz
Kwel kabc ata mm nawaona
Nkwel kabisa Wana wivu tu sana
Hata mim nimeshangaasana sijui kwa nin🥲🥲🥲
Walai wanawivu macho mbaya😂
The first table your so jealousy why do you come on her wedding 😂😂😂😂😂
C🤣🤣🤣
Mashaa Allah
Wivu hadi mlipo alikwa heee cuki hazifaii wivu zahiri
Nikweli kunakabinti hapo kanaangalia kihusda sana!!!
Jamani kunadada apo roho yake mbaya maana kapandisha nakushusha
Hee kumbe pia ww umemuona ana wivu wte umemjaa rohoni
Hao meza ya kwanza mbona makasiriko kwa jambo la kheri km hilo jamani🙄
Njoo wamuone ukthy Warda Mashallah Mungu awajalie Maisha marefu
Mungu Linda harusi hii wifu macho ya wengi
Mungu akubariki wewe na wako, mungu akukusanye katika wema, mungu akujalie uzao na tumbo zuri.
Mungu afungue milango ya riziki, fadhili, baraka na rehema, Amina, Mola wa walimwengu❤🎉☝🤲☝
AMIINA
We dada uliokunja sura vip umechukuliwa bwana!!!!??
Umependeza❤❤
Wamenuna ata kucheza kumpokea biarusi hawataki ndo kashaolewa ata mkikunja sura
🤣🤣🤣🤣Mwambie camera man wato walio kunja sura asiwachukuwe hee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂 jamani @Fatma Hamesa
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Hao meza ya kwanza mafisadi ,tena paka weusi sana,wivu wa nn wapumbavu sana nyie
Mashallaah acheni husda au mlitaka muolew nyie mimacho yakiwanga looooh
Mashallah mama harus nakupenda san maaa❤️❤️❤️❤️❤️
Mashaallah so cute nataka na Mimi ya kwangu nitafunga ndoa very soon inshaallah
Inafanyika wapi harusi weka oda yako mapema chukua namba ktk hio video hio hapo
Ndoa mema mkaishi salama na baba na mama❤❤❤❤❤❤
Dunia limepabwa vizuri , alakini nikifikiri kuwa furaha ya dunia afifu sana ,yakata raha na upendo wa maisha ya dunia ,😢😢😢
Loo jamani bi harusi kadamshi lkn wageni waalikwa ni wivu chuki au mlikuwa hamuani Kama ataolewa loo
Duh Kuna Dada mmoja Ana roho mbaya na jicho baya anamwangalia bi harusi vibaya
Watu wanaroho za kutu wanamwangalia na macho ya husda kweli
Mama harusi nimekipenda sana
Mashallah umepndeza
❤❤❤
MashaAllah mmependeza ❤
Manshaallah mola awaridhie sana heri
Nice one
Ila watu mnaona jmn kaah😂😂😂
😂😂😂😂wanawake wanawivu kinoma macho ya husband bin hasada
Mijicho yao ya husda lol
Mbona wengine mnamuangaliya vibaya bibi halusi shida nini mkome na vijicho vya husuda mlitaka asiolewe nyooo wewe binti unaemuangaliya vibaya mwenziyo koma
😂😂😂watu wanaumia mioyo kuwa na subra ambao hamjapa waume mtapata kwa uwezo wake Allah inshallah
Kweli kabsa achen wivu jaman
Kweli na mm nimeona hawana bashasha wametoa mijicho ya uchoyo tu
Masha allah ❤️❤️
Bismillah mashallah mama na bi kharous
Kana roho mbaya kama sura yake,,pumbavu sana
Mashallah ♥️
Nataka kuimbiwa qaswida nzuri za harusi kuzisifu family zote mbili unaimba na pesa ngapi
Tutafute kupitia namba hizi 0626966000 WhatsApp Tuwasiliane
Nitumie number zenu za what's up na naweza kupata kivipi hizo qaswida za harusi na ni pesa ngapi kuimba
@@comexmediatz mpo wap
Mashalla
Pambe❤❤❤❤❤
Mashallah
Santaaaaaa masha allah
Mama wa bii harusi ongera nimekupenda bure
Mashaallah
Masha allah
Masha Allah tabaraka Allah
Watu waliopo ndan ya ukumb wanawivu hatar
Wakwanza kbc Apo mla gn
Nime kupenda bure mama angu
Mmejitahiji saana kuitia sherehee hii iwe ya kidini,mmeharibu mafumbo,na kuwai giza wanaume,kumbe Wanawake wangeweza kazi zote humo
Mwenzangu sasahivi watuwanajifanyia tuu mambo ya kikiristo hawajali
Mpaka kanamnyari wivu huo
❤
Hichi kidada kina roho mbaya ivo vp
Mama harusi pambe
Pambe kweli si utani
Yani kuna wabaya hapo ukumbini
Ume pendeza mwaya
🎊
Umenoga❤❤❤
Sishiki.mafiki bibiharusi mbonavwalishndwa moakjaavwakulizakamm wajuwa najwambiyabdawa yaoo ninndogooo nisikizenii mkwaa mweziii mmojjaa tumalize shida pwanii
Hiii ndo lung gan
@@aminahamad1113 bora tuulize😀😀
Lugha gan mbona haijaeleweka
Kwn hazijaisha hz video
C ndo unaziona zinatiwa au na wwe una zako nuzitie 😆😆😆😆
@@comexmediatz njoo uchukue zng
@@comexmediatz nashangaa tuu maana hy bi harusi ameshasahau ww tn hy wajitumikisha
@@khadijahali4837 unazo kwani ,
@@khadijahali4837 chukua namb ktk hyo vdeo alaft ntafte ntakuj chkua na zako
Mashaa Allah