SNAKE BOY | ep 19 | SEASON TWO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 พ.ค. 2024
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    people/CLAM-...
    #Clamvevo #Vevowood
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 2.1K

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 14 วันที่ผ่านมา +185

    Watanzania mnaroho mbaya sana like zenu mnapeana wenyewe from CONGO LUBUMBASHI

    • @user-hw6xs2mf6y
      @user-hw6xs2mf6y 13 วันที่ผ่านมา +5

      Sasa like zinakusaidia nini😅

    • @rachelrodgers5080
      @rachelrodgers5080 13 วันที่ผ่านมา +3

      Et tunaroho mbaya nawakat unalike 86😅😅

    • @saleheluvanga9929
      @saleheluvanga9929 13 วันที่ผ่านมา +2

      Sisi hatuna roho mbaya watanzania sifa yetu ni wakarimu tena tuna upendo sana ko usiwaze mkongomani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @RahimShaban-lz7cb
      @RahimShaban-lz7cb 12 วันที่ผ่านมา +2

      Unapenda kusumbulia ya mingi

    • @papaamasauti1973
      @papaamasauti1973 12 วันที่ผ่านมา +4

      Nimependa sana watanzania kumbe muko na roho mzuri sana

  • @charlespatrick8632
    @charlespatrick8632 14 วันที่ผ่านมา +565

    Jaman namimi nnionjeshe hizo like zenu nivimbiane huku nimekuwa wa pili tunasindikizwa na snake boy season two na baadaye clip safi za magoli ya yanga akimdabangula ihefu

    • @eliassalimo6984
      @eliassalimo6984 14 วันที่ผ่านมา +8

    • @charlespatrick8632
      @charlespatrick8632 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@eliassalimo6984jumapili safi sana hii

    • @Burudani_Tv
      @Burudani_Tv 14 วันที่ผ่านมา +3

      Hahaha

    • @Sempai_Adui
      @Sempai_Adui 14 วันที่ผ่านมา +3

      Hahh umetisha

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c 14 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 14 วันที่ผ่านมา +134

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲, leo nimechelewa kidogo ila samahani naomba like ata 100

  • @Carlos_furaha
    @Carlos_furaha 11 วันที่ผ่านมา +8

    Mweny series aombi like ...nyie wengine vp amtoi maon 🤔🤔mnataka like ..sahv sheria amna kuomb like🙃🥴

  • @DJKHALIN254
    @DJKHALIN254 14 วันที่ผ่านมา +297

    Tuliofuatilia toka season 1 tujuane gonga like❤❤🇰🇪💯

  • @ahmadbelier3160
    @ahmadbelier3160 14 วันที่ผ่านมา +144

    Mimi ni wa mwisho kutoka bujumbura 🇧🇮 rakini hata like moja inatosha jameni💫

  • @user-wl8cq2rn8z
    @user-wl8cq2rn8z 14 วันที่ผ่านมา +60

    I'm proud to be Tanzanian, Nchi ya Amani, Nchi ya furaha, Nchi ya vipaji, Gonga like kwa Snake Boy twende ❤

  • @MwidadySayyid
    @MwidadySayyid 13 วันที่ผ่านมา +29

    Kwa niaba ya mashabiki wote ningependa kutoa shukrani kwa kuyasikiliza malalamiko yetu,niliona ep 18 iko na dakika 25:44 na episode 19 ikiwa na dakika 31:43 tofauti na episodes zilizopita zilikua fupi mno.Tunawashukuru sana kwa kuongeza muda kwenye episodes,kazi nzuri #we_are_enjoying_it 🇰🇪💙🔥

  • @user-dm1ck4oy7n
    @user-dm1ck4oy7n 14 วันที่ผ่านมา +166

    TUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUTUAMSHA SALAMA SIKU YA LEO AMEEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 14 วันที่ผ่านมา +3

      Ameen wew ndo umeongea kitu Cha maana sio kutomba like kama wajinga

    • @rizikladyherson8451
      @rizikladyherson8451 14 วันที่ผ่านมา +2

      Aamin❤❤❤

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 14 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-sv6zy3hc8o kufanyaje?

    • @emilywilly2306
      @emilywilly2306 14 วันที่ผ่านมา +1

      Ameeeen

    • @ArafaHassan-qv2xm
      @ArafaHassan-qv2xm 13 วันที่ผ่านมา +1

      Ammin ammin

  • @Kaysam806
    @Kaysam806 14 วันที่ผ่านมา +135

    Wa kwanza jaman from zambia🇿🇲🇿🇲❤ please naomba more like like zanu kwa kuwahia

    • @gloriamutula9492
      @gloriamutula9492 14 วันที่ผ่านมา +1

      Umeniwahi 😢

    • @Kaysam806
      @Kaysam806 14 วันที่ผ่านมา +1

      @@gloriamutula9492 Sana tena sana kabisa 😂😂😂

    • @mwanakuninga381
      @mwanakuninga381 13 วันที่ผ่านมา +1

      2:54

  • @user-jg1no4uw1t
    @user-jg1no4uw1t 14 วันที่ผ่านมา +71

    Jamani film zuri tatinzo munachelewesha alafu Leo mumefanya vizuri sana kurefusha

  • @yasrisimba6387
    @yasrisimba6387 14 วันที่ผ่านมา +18

    Big game big movie big reaction Mnajua kinoma Embu nipen hvyo vi like hata5❤❤❤😢

  • @user-rr4sq6mu8g
    @user-rr4sq6mu8g 14 วันที่ผ่านมา +287

    Wakwanza jmn naombeni like zangu 😂😂❤❤

    • @user-zm8ge4bm4b
      @user-zm8ge4bm4b 14 วันที่ผ่านมา +5

      Kuma nyoko wewe eti wakwanza leo nipeni likes kambe unalipwa ukipata likes

    • @HansiHassankipajiHansiHassanki
      @HansiHassankipajiHansiHassanki 14 วันที่ผ่านมา +2

      ❤❤❤

    • @user-lg2di1zm5e
      @user-lg2di1zm5e 14 วันที่ผ่านมา +7

      ​Pendaneni jamani haifai kutukanana kwnye mitandao,Tumshkru Allah kw kutupa uhai mpka sai tunapumua ❤️🙏

    • @OmanMuscut-ju3xp
      @OmanMuscut-ju3xp 14 วันที่ผ่านมา +2

      Wechukuatu izo like zako usijali

    • @user-qt1xk2ey1g
      @user-qt1xk2ey1g 14 วันที่ผ่านมา +1

      Nomaa sana nikiwa pande za South Africa nakubal sana home line kazi nzuri

  • @MoiseJosue
    @MoiseJosue 14 วันที่ผ่านมา +114

    Nimefanikiwa kuwa wa kwnza nipe like hapa toka Congo/Bukavu ville

    • @Harmontwo255
      @Harmontwo255 14 วันที่ผ่านมา +3

      NA MIMI NIKO BUKAVU

    • @MoiseJosue
      @MoiseJosue 14 วันที่ผ่านมา +2

      Hongera sana

    • @Harmontwo255
      @Harmontwo255 14 วันที่ผ่านมา +1

      @@MoiseJosue powa sana

    • @basilmbunda-ei7sx
      @basilmbunda-ei7sx 14 วันที่ผ่านมา

      Ambao tupo New York Tusemaje sasa

    • @diamondplutnumz4862
      @diamondplutnumz4862 14 วันที่ผ่านมา +2

      Like zinawasaidia nin

  • @SalumSheha-sb9qj
    @SalumSheha-sb9qj 14 วันที่ผ่านมา +19

    Leo nimekuwa wa kwaza Kutoka Zanzibar nipeni like zenu

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 13 วันที่ผ่านมา +11

    Shabiki wazinga Niko hapa😂😂😂❤❤❤ Dom ktkt ya Tanzania 🔥🔥🔥🔥

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu 14 วันที่ผ่านมา +49

    Wenye tumefurahia kuona Tete hajauawa gonga like 👍👍👍hii naifuatilia ata ikifika episode 50😂😂😂

  • @johnkitwima6963
    @johnkitwima6963 14 วันที่ผ่านมา +37

    wanaomkubali Mganga wa waacha, kurukutanta mantete😂😂

  • @Nextboy001
    @Nextboy001 14 วันที่ผ่านมา +25

    Leo tumefurahi imekua na dakika nyingi mwenye amefurahi kama mm gonga likes alafu clm wajua kupanga movie yako ndio bora tena bora Tanzania kw Africa yote

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 14 วันที่ผ่านมา +20

    NAMI naomba like Tano Kam itafaa😮😮

  • @Isihakafogo
    @Isihakafogo 14 วันที่ผ่านมา +44

    Me wa mwisho ila naombeni like zangu kingine hiii move nn inafundisha au wwe nni umejifunza napokea mahoni

  • @atupelenyondo6379
    @atupelenyondo6379 14 วันที่ผ่านมา +126

    Nipeni hizo like zang aseee nimekumban nayo leo paaap ni mm sasa fanyen yenu chap aseee

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje 14 วันที่ผ่านมา +58

    Huyu jamaa BUTUA anajua sana namuona mbali sana Ana kipaji sana

  • @bernardmlenda9800
    @bernardmlenda9800 14 วันที่ผ่านมา +24

    Naona Kila mtu anasema wa kwanza, aya mim wa mwisho naombeni like zangu sas

  • @AndrewMunisi
    @AndrewMunisi 14 วันที่ผ่านมา +102

    hi guys na mm nimewahi naonba like wangap wanampend calm

  • @jumafox-mu1dd
    @jumafox-mu1dd 14 วันที่ผ่านมา +21

    Sema ndembo anaweza akawa nyoka hadi kwenye maisha yake ya uwalisilia maana anatisha kweli

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 13 วันที่ผ่านมา

      Yaani nyoka haswaaa na hiyo sura yake

    • @dorcasresiato8929
      @dorcasresiato8929 13 วันที่ผ่านมา

      😂 😂 😂 😂 😂

    • @Chocolatee25
      @Chocolatee25 11 วันที่ผ่านมา

      😁😁😁😁

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 14 วันที่ผ่านมา +14

    Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 14 วันที่ผ่านมา +12

    Kwasasa katika Tanzania hii sidhani kama kuna mtu anaweza akaigiza nafasi ya mganga wa kienyeji kama Chil.

  • @winifridanshunju-hx9gz
    @winifridanshunju-hx9gz 14 วันที่ผ่านมา +216

    Jamani watu mnawai sangapi duuuh na mm nimewai naomba like zangu

  • @modex_0376
    @modex_0376 14 วันที่ผ่านมา +94

    Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu

  • @AgnesZubedah-zs2xd
    @AgnesZubedah-zs2xd 14 วันที่ผ่านมา +32

    Kwa hii snake boy season 2 Iko na familia nyingi sana

  • @zanzibarfin5789
    @zanzibarfin5789 14 วันที่ผ่านมา +22

    Saaafi sanaaa picha inazidi kuleta mvuto wa kipekee barani Afrika. Hongera sana wahusika wote.

  • @user-ki8yk9hd2z
    @user-ki8yk9hd2z 14 วันที่ผ่านมา +93

    Team strong mko wapi jmn yaani tumechelewa kwa pirika ila kujeni apa tugonge like 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲♥️

  • @annamauwa9799
    @annamauwa9799 14 วันที่ผ่านมา +50

    Asanteni kwa kutuletea mwendelezo wetu mtamu wa snake boy asante kwa mara nyingine clam na director kakoso nawapenda bure🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-fh1fi1wl2x
    @user-fh1fi1wl2x 13 วันที่ผ่านมา +7

    Leo mmejitahidi imekuwa ndefu zaidi...Alafu nzuri sana...

  • @IreneSambala-xj8oq
    @IreneSambala-xj8oq 14 วันที่ผ่านมา +13

    Alooooh kwa hii snake boy season 2 stress za mapenz zinatoka wap 😂😂 snake boy season 2 ni 🔥🔥

  • @adiliamoni3681
    @adiliamoni3681 14 วันที่ผ่านมา +45

    Yan watanzania hatutoi maoni ya movie na hisia zetu tanang'a ng'ana wakwanza wakwanza

    • @mariamnjama3963
      @mariamnjama3963 14 วันที่ผ่านมา

      Aky wanaboesha kamwe 😂

    • @user-kn8mg2su7i
      @user-kn8mg2su7i 13 วันที่ผ่านมา

      Umeona eghh

    • @venanceJohnbosko
      @venanceJohnbosko 13 วันที่ผ่านมา +1

      Nahisi awaelewi maana ya comment

    • @Danielkashatila2024
      @Danielkashatila2024 13 วันที่ผ่านมา

      Ajabu

    • @samymahuchani4562
      @samymahuchani4562 4 วันที่ผ่านมา

      Ushamba tu inatakiwa tukosoe walipokosea Ili walekebishe
      Pia tupongeze walipofanya vizur
      Sasa utakuta mijitu mingine et wa kwanza mm shenz kabisa
      Kama huna D mbili huwez kunielewa

  • @stylishtz9693
    @stylishtz9693 14 วันที่ผ่านมา +224

    Mi ndo wakwanza Leo please like zangu

  • @lillyemmanuel9529
    @lillyemmanuel9529 14 วันที่ผ่านมา +14

    Dahh jmn roho imeniuma wakinazinga kumshind uyoo mchawi

  • @MussaMatewa
    @MussaMatewa 14 วันที่ผ่านมา +20

    Leo mmejitahi imekuwa ndefu kuliko zingn

  • @samwelfute2215
    @samwelfute2215 14 วันที่ผ่านมา +43

    Leo wamejitaidi kutuletea mapema kama naww umefulah gonga gumba apo chini🤭🤭

  • @user-dz4vl7wm5n
    @user-dz4vl7wm5n 14 วันที่ผ่านมา +54

    Leo wa mwisho kutoka Mozambique🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿nipe mauwa yangu

  • @JanuaryThadeo
    @JanuaryThadeo 13 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani mtoe haraa harak wa tz mnaroho mbaya naombeni me like zenyu from UGANDA🇺🇬

  • @babrahmaryam5942
    @babrahmaryam5942 14 วันที่ผ่านมา +14

    Ya clam top la ma top wa bongo movie jamani umetishaaaaaaaaa na leo umeongeza muda basi mambo ni bull bull🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 14 วันที่ผ่านมา +55

    Wa kwanza like zangu please 🙏🙏 team strong hoyeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪♥️♥️♥️♥️ nawapenda saaana Niko Riyadh

  • @user-dm1ck4oy7n
    @user-dm1ck4oy7n 14 วันที่ผ่านมา +60

    MUNGU AWE NASI JUMAPILI YA LEO AMEEEEN🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌

  • @Mymaa-0017
    @Mymaa-0017 14 วันที่ผ่านมา +14

    Hapa kila mtu asema yeye ndo wa kwanza apewe likes zake😂😂😂😂😂😂haya nipeni na Mimi like zangu ni wa 46,483😂😂😂😂😂

  • @LudeofficialXworldwide
    @LudeofficialXworldwide 14 วันที่ผ่านมา +7

    Nakukubali sana kaka clam I appreciate your works 👍

  • @Touss_b
    @Touss_b 14 วันที่ผ่านมา +61

    Wakwanza kutoka Congo Drc liké zangu

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 14 วันที่ผ่านมา +24

    Kazi kubwa kwa director kakoso hakika unastahiloi sifa zote na tuzo zote za mwaka huu zije kwako

    • @marygorethtemu4959
      @marygorethtemu4959 14 วันที่ผ่านมา +1

      Hizi ndo comments zinazotakiwa sasa.. siyo mijitu kuomba omba likes kama mataira

    • @AminaSadallah-yi1dv
      @AminaSadallah-yi1dv 14 วันที่ผ่านมา

      Haswaa sio mm wa kwanza kila siku

    • @MartinKhizzer-bi4gw
      @MartinKhizzer-bi4gw 13 วันที่ผ่านมา

      Hilo la kweli kbs

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 14 วันที่ผ่านมา +9

    Bonge la episode jmn hongereni sn team Clam Kazi nzuri sn

  • @nassallybakar4346
    @nassallybakar4346 14 วันที่ผ่านมา +10

    Walokua hatujua man tetere (vila)ni chili gonga hapa tujuane

  • @patrickkapisha628
    @patrickkapisha628 14 วันที่ผ่านมา +51

    Wakwa nza leo
    Nawapenda sana

  • @atupelenyondo6379
    @atupelenyondo6379 14 วันที่ผ่านมา +50

    wakwanza hapa leo ni mm ebwana eeee

  • @Mukansconstruction
    @Mukansconstruction 14 วันที่ผ่านมา +8

    I can't get bored when I'm watching this movie, I wish it was full saison two yhoo I really like it . From south Africa 🇿🇦 🇿🇦

    • @Mukansconstruction
      @Mukansconstruction 14 วันที่ผ่านมา +1

      From south Africa 🇿🇦 🇿🇦

  • @ZahraAlly-wq4ku
    @ZahraAlly-wq4ku 14 วันที่ผ่านมา +41

    Wakuomba Like Ndo wanatyping... now 😂😂😂

  • @muzihilipiusdaudi6792
    @muzihilipiusdaudi6792 14 วันที่ผ่านมา +26

    Tunaofurahia dakika zimeongezwa hapa❤❤

  • @naizymsangi7713
    @naizymsangi7713 14 วันที่ผ่านมา +11

    Mimi cjui wangapi ila pambe tu😂😂😂

  • @user-yh4zt6jj8q
    @user-yh4zt6jj8q 14 วันที่ผ่านมา +10

    Mimi wa mwixho naombeni za kunifaliji 2

  • @MohaJunior254
    @MohaJunior254 14 วันที่ผ่านมา +69

    Wakwanza kutoka 254 Kenya naombeni likes zangu

  • @swahabahusein23
    @swahabahusein23 14 วันที่ผ่านมา +40

    Haki mbona munachelewa Nairobi uwa tuna wagojea sana nipeni like pia

  • @user-kn8mg2su7i
    @user-kn8mg2su7i 13 วันที่ผ่านมา +4

    Jamani mwasi ananimaliza kwa huo usirias wake

  • @shadyarif653
    @shadyarif653 14 วันที่ผ่านมา +7

    Kila mtu wa kwanza..me sijui wa gapi ila nipeeni likes ata tatu basi😊

  • @tabumohammed6514
    @tabumohammed6514 14 วันที่ผ่านมา +30

    Oyaaaae Clam VEVO mimi ndo wa Kwanza kutoka Kenya
    Musiniachee ivi ivi likes zangu

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 14 วันที่ผ่านมา +11

    Pia napongeza sana sana team mzima kwa kusikiliza kilio chetu cha mdluda

  • @isayamwanjoka3958
    @isayamwanjoka3958 13 วันที่ผ่านมา +5

    Wa mwisho hapa gonga like kwa sisi wachelewevu

  • @Kevinhabiba
    @Kevinhabiba 14 วันที่ผ่านมา +5

    Duuuuh clam clam nakuita mala. 2 unajuwa kaka unajuwa kaka we jin nakupa mauwa yako❤❤❤🐍🐍🐍🐍

  • @odiboy254
    @odiboy254 14 วันที่ผ่านมา +37

    Waaa wapi likes kama unamkubali clam vevo kwa best comedian TZ

  • @KarimNdayisenga
    @KarimNdayisenga 14 วันที่ผ่านมา +45

    Leo wa kwanz from burundi

  • @greysonmatembo2802
    @greysonmatembo2802 14 วันที่ผ่านมา +8

    Umekuta ndefu sana ipo good

  • @sage_ke2622
    @sage_ke2622 14 วันที่ผ่านมา +11

    mzee wangu wa kenya wapi likes za vevo😊

  • @Riva57902
    @Riva57902 14 วันที่ผ่านมา +28

    Wakwanza tena kutoka Kenya Clam VEVO never disappoint more love From Kenya .... Like za Kenya hapa plz

  • @samsonongolla8053
    @samsonongolla8053 14 วันที่ผ่านมา +20

    Haki wana himaya wanateseka sana bila clam

  • @lugangotz4470
    @lugangotz4470 13 วันที่ผ่านมา +3

    Kipara ni baba lao😂😂😂 Kila muda ashaacha tabia za mmbea! Real definition of me😂

  • @monbebe1592
    @monbebe1592 14 วันที่ผ่านมา +9

    Nko na swali jamani Huwa natamani kuuliza, huyo mwasi ni dadake kakoso

    • @diamondplatnumz5598
      @diamondplatnumz5598 13 วันที่ผ่านมา

      ndo kakoso mwenyewe huyo alibadilishwa na mizimu ety😂😂😂

    • @MaulidMrisho-hk2vi
      @MaulidMrisho-hk2vi 11 วันที่ผ่านมา

      hata mim ilo swali hilo hilo maana wame fanana sana mwasi v kakoso

    • @MaulidMrisho-hk2vi
      @MaulidMrisho-hk2vi 11 วันที่ผ่านมา

      kiuwalisia itakua ndugu maana ukiangali kwamakini unaona kunamfanano kidogo kat ya kakoso na mwasi

  • @allyjafari8456
    @allyjafari8456 14 วันที่ผ่านมา +30

    Mmeboresha kwenye dakk hongereni sana

    • @Wakishua-wp
      @Wakishua-wp 13 วันที่ผ่านมา

      Kwelii kabxa saiv wana tahidi tu wape maua yao

  • @sergesntunzwenimana
    @sergesntunzwenimana 14 วันที่ผ่านมา +65

    Mimi wakwanza nip like zangu snake boy❤❤❤❤❤

    • @HamadMwagoani
      @HamadMwagoani 14 วันที่ผ่านมา

      Ayo majani yanaitwaje ndugu wacheni kuuliza mambo ya like za ujinga na kuna mafunzo apo ndani

  • @husseinmohamed1380
    @husseinmohamed1380 13 วันที่ผ่านมา +3

    tuko pamoja hadi season 3...much love from 🇰🇪 usijaribu kumaliza hii movie mapema clam.

  • @user-gz9oq7ey4h
    @user-gz9oq7ey4h 14 วันที่ผ่านมา +5

    Wow,hongera sana VEVO na team yako nzima,Leo mmefanya kazi safi kuleta episode refu ,nimependa

  • @lucabedi7674
    @lucabedi7674 14 วันที่ผ่านมา +49

    Wa kwanza Léo nipeni like zangu jamani

  • @BelvineLumbu
    @BelvineLumbu 14 วันที่ผ่านมา +23

    Tupo nyuma yenu n'a wafwata toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim7995 14 วันที่ผ่านมา +4

    Kazi nzuri sana aisee Na leo umetufurahisha sana Mashabiki zako kaka Mana umetuwekea Dakk 30 nzima Asanten sana Team Snake Boy 🎉🎉 tunawapenda sana

  • @charmingcomedian
    @charmingcomedian 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wa kwanza leo wapi like zangu ata moja please 😅

  • @ButoyiThierry
    @ButoyiThierry 14 วันที่ผ่านมา +26

    Wakwaza mimi kutoka Bd🇧🇮 naombeni lik hapo nawapenda sana ❤❤❤

  • @byamnobebayoma7049
    @byamnobebayoma7049 14 วันที่ผ่านมา +32

    Wa kwanza kutoka kenya❤, likes zangu tafadhali

  • @Jaydannychawaboy.
    @Jaydannychawaboy. 14 วันที่ผ่านมา +2

    Leo sitoomba like yoyote ila naamini nitapewa kwa sababu ya hiki nitakacho kisema. Kusema ukweli leo wengi tumeburudika katika series yetu mpendwa kabisa kisa tuh tumeogezelewa dakika kwenye snake boy EP 19❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢😢😢😢😢😢😂😂😂😂😢😢😢❤❤❤

  • @Blaise-ft4kt
    @Blaise-ft4kt 14 วันที่ผ่านมา +5

    Natazama kutoka Australia jamani clam vevo you are doing a nice job

  • @MayaOuthman-bd8bg
    @MayaOuthman-bd8bg 14 วันที่ผ่านมา +13

    Mzee baba Asnt kwakuongeza Dakika❤❤❤

  • @IbrahimYassin-hw8fu
    @IbrahimYassin-hw8fu 14 วันที่ผ่านมา +23

    Nakubali kwa hizo dakika mwamba umetisha

  • @AbednegoMselela
    @AbednegoMselela 13 วันที่ผ่านมา +3

    Blessings to you bro Ahsante kwa kutuongezea urefu wa kipande❤❤❤

  • @MercyAtieno-iz2rd
    @MercyAtieno-iz2rd 14 วันที่ผ่านมา +1

    I wish na 20 inakua karibu jameni hizo like nipate na mm

  • @davihkk2011
    @davihkk2011 14 วันที่ผ่านมา +18

    Nawapenda kikosi cha Snake boy chini ya Clam vevo.
    Likes 🎉🎉

  • @EliasiSirocha
    @EliasiSirocha 14 วันที่ผ่านมา +19

    Naleo kaongeza dakika kweriii bigapuuu sana

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa 14 วันที่ผ่านมา +19

    Kazi nzuri timu clam

  • @Proproproprofit
    @Proproproprofit 14 วันที่ผ่านมา +3

    😂😂😂😂Aisee tunaomba mwendelezo wake please.
    Mtoto wa gwiji anaanza kuwatembezea vichapo wanaotaka kumuua mama yake kabla ajazaliwa😂😮akizaliwa itakuje😂😂😂
    Yeye atakua anawageuza watu kuwa Bata kwenye imaya😊😢

  • @johnrogeo2161
    @johnrogeo2161 14 วันที่ผ่านมา +31

    leo nimeipatilia 👏

  • @LeonardChimanda-fn5fr
    @LeonardChimanda-fn5fr 14 วันที่ผ่านมา +9

    Safi sana..Leo mzigo umeshiba 30 minutes..dadeki..huyu ndio Clam Vevo

  • @ontailorstz7243
    @ontailorstz7243 14 วันที่ผ่านมา +3

    Nani anabisha kua hii ni bonge Moja la story hapa nyumbani TZ.
    Nb: wekeni subtitle hata ya kiswahili Ili wagen waambulie japo kiduchu yaan Swahili to the world..

  • @nickluca1512
    @nickluca1512 14 วันที่ผ่านมา +4

    Filamu ndefu na nimeinjoy ❤❤🎉🎉

  • @ROBERTMangwangi
    @ROBERTMangwangi 14 วันที่ผ่านมา +30

    Wakwanza Leo unyama sanaa