SHETANI |Ep 9|
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- #Bhailam#Naomy#comedyplus
⭐⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use Sound or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Subscribe hapa : / @comedyplustz
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Kazi nzuri hii move imenifundisha kumtegemea zaidi Mungu kuliko kitu chochote Maana hiyo sauti ya shetani ndy sauti ambayo shetani anatumia kutushawishi kutenda maovu katika maisha yetu ya kawaida na nisauti ambayo kama haupo imara kiroho lazima ikuzidi uwezo.
Hali halisi ya maisha yetu, tujifunze kitu kwa hii movie, watch from gulf🙌
Wa mwisho mimi hapa kutoka Burundi 🇧🇮 🇸🇦 nawapenda sana movie nzuri sana ongeleni ❤❤❤
Oyaaaa wale wa kilifi mpoooo❤❤❤😂😂
Tsuko diha😂😂
☝️
Niko hapa was 003
kilifi mnarani 😂😂😂😂
Wa mbogolo
Team naomi tujuane 😅😅
Bhailam weeee 🎉🎉🎉🎉🎉 unatumaliza. Shetani ❤❤❤❤
Mungu tusadia utulide utuapusha na mambo mbaya ❤❤❤❤❤❤
Mashallah kazi nzuri ninashojifunza ni kuamamin kwa mungu kuliko kwa shetani shukran team bhailam ❤
wa 40 from Tanzania gonga like nyingi kama unamkubali bhailamu.ila Naomi anajua sanaaa
Ninachojifunza hapa ni kusikiliza sauti mbili masikioni mwako kuwa shetani naye anakuja na Mungu anakuja kazi kubwa ya shetani ni kushawishi utende dhambi lkn Mungu kazi kubwa ni kukupitisha kwenye njia yenye kusudi basi leo nimekuwa wa mwanzo nipeni like zenu
Bravo 🎉 wenzako wanataka like tu
🙏🙏
Kweri kabisa
@@aishaomar2287 Nikweli huwa naona mtu anaomba like pekee lkn kutushirikisha kipi anajifunza hakuna hii nayo ni upungufu wa fikra bibiee 😭
@@ComedyPlustz Natamani niwe mmoja wa familia hii ya @ComedyPlustz plz nishikeni mkono ninaweza pia ni mwandishi wa movie/tamthilia nzuri zakiafrika
Wakwanza kutoka Burundi naomba like zangu watu munaona janete anatumikishwa nahuyo shetani naomba museme kitu hapa
Alafu ajuwi kama shetani anamutumia lakini moja atajuwa tu
Team strong uyeeeeeeeeeeeee 🇸🇦🇰🇪 nimeigia kuchelewa but tuko pamoja 🙏
Tuko pamoja sana move nzuri endereeni kutuburudisha
Kazi nzuri harafu zaid nakupenda jojo napenda kazi yako haupoi ❤🔥
Oooyeeee tuko hapa team strong....single mothers tupo wengi huku gulf
Number 1 from BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇱🇷🇱🇷🇱🇷💪 gong likes 5 Guys Km unaipenda hiyi team
Sawa iyo like 🥰 chukua
Wa mwisho jamani wenzangu naomba hata tatu🎉🎉
Woyoooooo wa 19 leo nimekuwa
Iyi movie naikubali Sana ina mafunzo mengi sana tena sana
waaa iko sawa sana aki mbarikiwe tuendeeni apo apo 😊
Team strong hoyeeeeeeeeee 😢 nmechelewa mtu wenu walai Leo lkn Niko apa kuwakilisha team kubwa all single mother 😢majinun team hamam nawapenda saaana love from 🇰🇪🇸🇦 Riyadh 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 show me Love kwa like n comment
Tupo tupo sambamba my❤❤❤
Hoeee❤❤❤❤ semsem
@@MkasyswallehsaidSwalleh nawapenda bure watu wangu ♥️
@@user-fv8nd5pw8w penda saaana nyinyi watu wa mine
Ndio kufika 🇰🇪🇸🇦❤
Wakwanza mimi❤❤❤❤
Team furus team WiFi team kupambana tuliochelewa naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲
mambo
Dahhhhhh kunamafunzo makubwa saaaana
Wapenz munip lake pz mimi waburundi🇧🇮
Leo nimewahiiii
Hahaha hahaha hahaha hahaha bailamu mungu ana kuona 😂😂😂😂
Leo nimewai kabisa ❤❤❤
Jamani jamani mimi niwa 90 naomba lik 😂😂😂😂
Much love from 🇰🇪 watching from 🇸🇦 hongereni kwa kazi nzuri 🔥💜❤️🔥
Good job guys
Jaman leo namm nimewah like zenu wapendw
Acha niwe wa kwanza jamani nipeni like zangu basi hata tano tuh ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Congratulations nice work ❤❤from Kenya 🇰🇪
Hongela sana kwa kazi zenu ❤❤
Nawapenda sana
Wa kwanza kutoka Congo goma nipe like zangu asheni ushoyo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Uliweka wapi
leo nimekua wakwaza nombeni like ata 10.❤❤
Mzee simba amekua yesu 😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂
nimekuwa wakwanza jamni
naombani likes zenu ata kumi tu😃😃😃
Yaani shetani wew nikikushika😂😂😂😢utalia sana
Nimechelewa lkn nimefika ❤❤❤
Shetan kaingia kazini jojo Mungu anakuona
Wee shetani hana mbinu nyungi 😢yakutu convince tupotee,hii movie inafunza
Watching from Nairobi iko wapi likes zangu watanzania?
❤❤❤❤❤❤❤ movie nzuli San mumetuleteya nawapenda San Jamani
Movie nzuri sana watching from Kenya 🎉🎉❤
❤ nakukubali brother bhailam
Watu wa burundi ngonga like hapa❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sanaa na yenye mafunzo hongereni mumejua kucheza sijawahi jua kama hua kuna mashetani wazur mimi huchukulia shetani ni shetani waaaaah nimependa pia binafsi nimejifunza, ni heri nioshe vyombo vya waarabu na kusugua vyooo kuliko tamaa ya pesa za haraka niuwe familia yangu Aaaaaah Apana, Ewe Mungu ulie ju tusaidiane tusipotoke kwa maana nikweli hizi ni, siku za mwisho🙏, basi nikajua chama ni familia kumbe hata mkeo au mumeo namaanisha mpenz Waaaaaaah Noooooo siezi 😢, much love from kenya riadhy ❤❤❤❤
🙏🙏
Wakwamza Leo naombeni like zangu
Nakukubali brother bhailam
Bonga la movie mambo yangu ya majini safi sana bailam 21:41 ❤❤
Saut yashetan inapenya zaid kweny masikio nainanguvu ysushawishi allah atujaalie atuweke mbali nauyu shetani
Leo wakwanza wapi team strong much love from kenya❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Waaaaaau video nzuri Sana EP 10 please na ikuwe refu ata kiazi kama kuna mtu nampenda kwa hizi videos yenu ni Naumi love you Naomi
Wakwanza kutoka 🇺🇸 nipe like zangu
waoooh mzee simba unajua kuigiza ungejaribu kujitupa uone moto
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Wamwisho kutoka kenya to tabuk ❤❤❤ jojo like zako na watu wako atanikifikisha 10 tu
Nakubal Kaz Nzuri
Kazi nzuri bt mwachelewesha
Big up Naomi ❤❤❤nakupeda tu aki saaana,,,,nachaganyikiwa tu
Jamani mpoo wakilifi 🎉
WAKENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jmn. Saw. Naoamb mmoja atwambiye ii muvi. Imetufundisha nn. Apa Tanzania ❤🎉
Nakupenda Bure mzee simba pamoja na naomy 🎉🎉🎉🎉mauwa yenu kutoka Kenya 🇰🇪
Weje waif za bure za warabu yujuwane from oman 🇴🇲🇴🇲
Sasa jojo umeulizwa ama wajitogozesha kwa ramso ww mwenyewe hujioni hali yako wala huendani naye huyo jamaa 😂😂
Ramso lizuri sana😂😂
😂😂😂
Mungu zidi kukulinda 🙏🙏🙏🙏
Mganga shikamoo kipipa kazi unayo pole san mzee simba
Bado sijachelewa nipeni like zangu Pia
ninachofurahi mchungaji umesikia maoni ya watazamaji na ukatoa ile kofia kazi nzuri sana
Bhailam vip kuhusu shetani episode 10..MBNA mumepotea sana
❤❤❤❤nawapenda sana
Muna tu shelewesha sana sukuma sehemu 10 basi
Bhailam na timu yako mnajw mpk mnajw tn❤❤❤🎉🎉🎉
Nawashukulu san Tim Bhailam Kwa mwanga mliowasha juu ya maisha halisi tunayopitia Hakika mmetimiz Neno la kuwa wasanii nikioo cha jamii maan naamin watu wengi wameon hii movie bac naomb Mungu Atufungue macho ya rohon tuone kwa ukubwa ili tuweze kumshinda shetan Hakika mmeweza san kwa hii movi haifananishw na chochote maan hii ina mpango mzur juu ya maisha yetu na kutukumbusha sara wakat wote ❤❤❤
❤ from kenya tupeni muendelezo
Kazinxuri mungu awabariki mkawe watumishi wa kimataifa
Hi guys please ebu mtu anielezee tangu lini jini ikampenda mungu
Sio Kwa ubay ila ni ivi hawa waigizaji wa hum wengin niwaislam na wao wanasem kuna Majin mazur na mabaya ndo maana wanaenda ivy so tuwaelewe tu jamn kikubwa wanajitaid kutufikishiya ujumb Kwa jamii
Siku ile Jojo alisema hamjui jina Ramso. Leo anamwita wakati hata hajauliza jina. Makosa madogo madogo kama haya muwe makini.
Kabisa aise
@@DamOfficial-kn6bc wanakwama bhana
Good job
Safiii
❤❤😊😊
Nilimms kumuona naomi❤❤
Jamani mbona ep ya 10 sijapata nawapenda sana
❤❤
Ila mchungaji karibu aingie box ale kondoo wake 😂😂nawapenda sana big hugs
😂😂😂
😂😂😂
Ww shetani nini unaambia mchungaji 😂😂😂😂😂
Good work team comedy plus hongereni munafika mbali sana 💞
Mm niwamweshoo
Naomi anajua Sana aisee
KaZ nzuri
Kazi tamu
Good job...watching from kenya
Jojo napenda kaz yko we mtt unajua❤❤
Kweli imetupasa tuwe imara sana katika wokovu maana shetani yuko na kasi sana ila imani isiyotingisika ndio nguzo ya ushindi wetu ss
Sijuwi hata niseme nini ira nduguzangu tuzidishe ibada kwel maan apa tunaamushwa 😢
🎉🎉❤❤
Mungu ndio Kila kitu ktk maisha ya mwanadam