Mashia sio waislamu ni makafiri kwa dalili ya kitabu ya ambayo ni usuul kaafiyy wanasema ya kwamba mtume ambaye khalifah wake ni abuu bakar si mtume wetu { upande wa mashia } na mungu ambaye mtume wake na khalifah baada yake ambaye ni abuu bakar sio mungu wetu na hii inaonyesha ya kwamba ni makafiri na tena mungu wao si allah na maneno kama haya ni mengi ndani ya kitabu chao cha usuulul kaafiy na zenginezo nyingi iliyotafsiriwa kwa kiswahili na kiarabu. na la pili ambayo inawatoa ndani ya uislamu wahaamini kuraan wanatwaan quran wakisema ya kwamba imepunguzwa na imeongezwa na imebedelishwa wakisema imepunguzwa aya ya ukhalifa wa aliyy ibna abii twalib wanaongojea quran yao iko pangoni anayekuja nayo ni imaam miongoni mwa imaam na hawa imaam wao na hawa imaam wote kumi na mbili ni wa ahluss nnati waljamaa wallahu a'alam
@@abuushaymaatz wehu kwa sababu wao kila kukicha kugawa waumini leo baada kuona wale wanaowaita maghurafi hawashughuliki nao sasa wameanzana wenyewe kwa wenyewe ili kuendelea kuudhoofisha uislamu Sasa si wehu huu au wanatumiwa?
@@almurajjabuaswabbu250 hio sio Dalili, unajua maana ya Dalili?, Pili unaweza ukataja ambao ni wenyewe kwa wenyewe, make Mimi siwajui, uhalisia ulivyo ni kuwa Salafi wako dhidi ya Kila kikundi ambacho kimepinda, na sio kuwa wanatimiza matamanio yao Bali, ni Dalili za asili ndo zaonesha huyu Yuko sawa na huyu hayuko sawa. Tatu Marafidhwa hawawezi shughulika nao sana Sababu Jambo lao liko wazi walillahi lihamdu kwa asilimia kubwa ya watu, nne lengo la kutahadharisha hatari ya makundi na wasimamizi wao kuwaweka sawa, sio kutaka washughulike lengo ni waislamu waelewe kuwa hiyo njia waliopo hakuipitia Rasuul alaih swalaatu wa salaam, Tano kutahadharisha makhurafi hakuwezi Isha Leo hata wasipo ongea, ilihali wanaendelea kuzusha ktk diyni Radd dhidi Yao ni mpaka infinity biidhinillah
@@abuushaymaatz wacha kuropoka kama sio waislam mnawaruhusu waende hijja mamilion kila mwaka kwa nini? Wakatazeni basi inamaana hata mayahudi na wakristo wakitaka kwenda hijja mtawaruhusu, tumieni akili waislamu msetekwe na propaganda
@@almurajjabuaswabbu250 mmeenda hija lini na wapi?, Mashia wanaendaga hijja hawawezi kutusi maswahaba, na ibada zao sio za vituko Kama akina jalala, Sasa kwa swala zenu mfano mnavyo Sali, mwaweza Sali na waislamu kweli? Pili Huwezi mkufurisha muayyani mpaka asimamishiwe hoja, ndio Ushia ni ukafiri lkn sheria hainiruhusu nikuite wewe awamu asiyejua lolote, anayetapatapa maskini kuwa ni Kafiri, ila Kama Ungekuwa wewe ni kiongozi wa itiqad ya kishia na umesimamishiwa hoja ukabaki na itiqad hiyo, sheria inaruhusu kukuita Kafiri.
Yarabby mpe kipenzi chetu maisha maref maaulan hemedi jalala
Maashaallah Allah akupe kheri nyingi
MashaAllah Asante sana Sheikh kwa mafundisho haya. Allah akuzidishie inshaAllah 🙏
Manshaallah m/mungu afanye wepesi
Mche ALLAH
Safi sana mashallah
Mashaallah
Masha allah
الرجال الذي يتربى على مثل هذا فلا خير فيه. ولا يستحق البقاء
Umetowa wapi hayo tunakujuwa weye ni shiya
Je hao waku ombewa katika hio rakaa ya mwisho kama hawafiki arubaini itakuaje?
Sheikh nn maana ya kunut nimejicuanganya
Duaah
@@cityhuntermkali2468asante umenisaidia na mm
Huyu sheikh si nimshia
km ni mshia shoda ninini kwanza mashia ndo waislamu sahihi masunni ni fekki
Njis ya kunuia ukiwa unasawli suna za usiku
Swala tahajjud
.Swala ya Tahajjud (Qiyaamul-layl).
- Huswaliwa rakaa 8 usiku wa manane kwa rakaa mbili mbili na kumalia 3 za witiri na kutimia rakaa 11
Wewe mshia huwezi tueleza lolote manake mnafki
eh! Wwwaat??? Are you serious?
nawewe kfr mkubwa
This shia is talking to himself. No audience.😊
huyu ni chizi kunut inasomwa kwenyewitri
Wewe uliyetimia ufahamu uctuc watu..
sasa wajua ushabiki tu
hawa ndio mashia sio?
Ndugu yangu Hawa ndio mashi'ah
Mashia sio waislamu ni makafiri kwa dalili ya kitabu ya ambayo ni usuul kaafiyy wanasema ya kwamba mtume ambaye khalifah wake ni abuu bakar si mtume wetu { upande wa mashia } na mungu ambaye mtume wake na khalifah baada yake ambaye ni abuu bakar sio mungu wetu na hii inaonyesha ya kwamba ni makafiri na tena mungu wao si allah na maneno kama haya ni mengi ndani ya kitabu chao cha usuulul kaafiy na zenginezo nyingi iliyotafsiriwa kwa kiswahili na kiarabu. na la pili ambayo inawatoa ndani ya uislamu wahaamini kuraan wanatwaan quran wakisema ya kwamba imepunguzwa na imeongezwa na imebedelishwa wakisema imepunguzwa aya ya ukhalifa wa aliyy ibna abii twalib wanaongojea quran yao iko pangoni anayekuja nayo ni imaam miongoni mwa imaam na hawa imaam wao na hawa imaam wote kumi na mbili ni wa ahluss nnati waljamaa wallahu a'alam
Ndo mashia hawa mtihani kwelikwel
Ndio mashia hawa kundi linalofuata Quran na kizazi cha mtume kitwaharifu km maelekezo ya mtume alivyotuachia,ni haq isiyofahamika
@@almurajjabuaswabbu250 Ndo mashiah makufar na dalili ziko wazi
Huyu niwazimu2
Aende akasome Kwa masalafi kwanza
Ndio awe shekh.
Masafi gani sheeehe hawa wehu au?
@@almurajjabuaswabbu250 Wehu wao ni upi, Lete dalili kwaajili ya Allah, Bismillah.....
@@abuushaymaatz wehu kwa sababu wao kila kukicha kugawa waumini leo baada kuona wale wanaowaita maghurafi hawashughuliki nao sasa wameanzana wenyewe kwa wenyewe ili kuendelea kuudhoofisha uislamu Sasa si wehu huu au wanatumiwa?
@@almurajjabuaswabbu250 hio sio Dalili, unajua maana ya Dalili?, Pili unaweza ukataja ambao ni wenyewe kwa wenyewe, make Mimi siwajui, uhalisia ulivyo ni kuwa Salafi wako dhidi ya Kila kikundi ambacho kimepinda, na sio kuwa wanatimiza matamanio yao Bali, ni Dalili za asili ndo zaonesha huyu Yuko sawa na huyu hayuko sawa.
Tatu Marafidhwa hawawezi shughulika nao sana Sababu Jambo lao liko wazi walillahi lihamdu kwa asilimia kubwa ya watu, nne lengo la kutahadharisha hatari ya makundi na wasimamizi wao kuwaweka sawa, sio kutaka washughulike lengo ni waislamu waelewe kuwa hiyo njia waliopo hakuipitia Rasuul alaih swalaatu wa salaam, Tano kutahadharisha makhurafi hakuwezi Isha Leo hata wasipo ongea, ilihali wanaendelea kuzusha ktk diyni Radd dhidi Yao ni mpaka infinity biidhinillah
kazi kweli
Kunnuti sheigh hujaibainisha
Mashia haoo
Kunut fupi hata kusema,Rabanaa aatina fiduniyaa hasana wafilaakhirat hasana waqina adhaaba nnaar
Hawa ni mashia, ni diyni ya ushia hii sio uislam, hawajawahi kuwa na dalili yoyote ya sawa, hawa ni maadui wa Allah, Mtume wake na waumini
@@abuushaymaatz wacha kuropoka kama sio waislam mnawaruhusu waende hijja mamilion kila mwaka kwa nini? Wakatazeni basi inamaana hata mayahudi na wakristo wakitaka kwenda hijja mtawaruhusu, tumieni akili waislamu msetekwe na propaganda
@@almurajjabuaswabbu250 mmeenda hija lini na wapi?, Mashia wanaendaga hijja hawawezi kutusi maswahaba, na ibada zao sio za vituko Kama akina jalala, Sasa kwa swala zenu mfano mnavyo Sali, mwaweza Sali na waislamu kweli?
Pili Huwezi mkufurisha muayyani mpaka asimamishiwe hoja, ndio Ushia ni ukafiri lkn sheria hainiruhusu nikuite wewe awamu asiyejua lolote, anayetapatapa maskini kuwa ni Kafiri, ila Kama Ungekuwa wewe ni kiongozi wa itiqad ya kishia na umesimamishiwa hoja ukabaki na itiqad hiyo, sheria inaruhusu kukuita Kafiri.