JINSI YA KUSALI SALA YA MAOMBI KUJIBIWA HARAKA (SALAT HAJA)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 827

  • @user-gm5ub7ip9w
    @user-gm5ub7ip9w ปีที่แล้ว +105

    Mwenyenzi mungu na akupe mwisho mwema nimejifunza sana maana nimeingia uislam hivi karibuni mungu akutunze na akupe maisha marefu uzidi kutufundisha amina

    • @user-zl5mt6lk4n
      @user-zl5mt6lk4n 11 หลายเดือนก่อน +2

      Mashaa Allah Alhamndulillah Allah akuongoze atuongoze sote uijue zaidi na ushikamane na dini tukufu ya kiislam....akupe ufaham na wepesi wa kusoma na kufanyia kazi na ibada kwa wakati .....Allah akujaalie mwisho mwema

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 10 หลายเดือนก่อน

      Masha allah

    • @FatumaMuya
      @FatumaMuya 9 หลายเดือนก่อน +1

      Amiin

    • @saumnyumbwe4259
      @saumnyumbwe4259 8 หลายเดือนก่อน +1

    • @rukaiyhmagasa2919
      @rukaiyhmagasa2919 6 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

  • @salehsultan-7554
    @salehsultan-7554 5 หลายเดือนก่อน +50

    Subhana yaa rabby nakumbuka nataka kuowa tanga ilibaki siku 4 niende tanga kuowa na nilishalipa maali na nilikua daresalaam nilipata mtian sina kitu yaan ilibaki siku 4 nisafili nikaowe nanilikua sina ata nauli yakusafili na wala yakulud na mke ntakae muowa uko lakin Allah aliniamsha usku nikaswali hii swala nikatoka nnje niliangalia mbingu uku nalia namuomba Allah walah wabilah asubui nalud nyumban tuu kunamtu ameniita nikachukue milion moja

    • @user-sh2yh5gn1d
      @user-sh2yh5gn1d 5 หลายเดือนก่อน +1

      Allah akibr rahawura waraquwata ilabi llah radhim hasibun llah wanemar wakir

    • @rukiamashaka7577
      @rukiamashaka7577 4 หลายเดือนก่อน +3

      MashaAllah Allah azidi kukufungulia njia zko upate rizq kwa wingi,,, ameen

    • @Tiffahmkundia-lz3tc
      @Tiffahmkundia-lz3tc 4 หลายเดือนก่อน

      Subhanallah

    • @user-xj1zv5un2o
      @user-xj1zv5un2o 4 หลายเดือนก่อน

      Allah Akbar mungu ni mwema naomba tumcheni kila uchao.

    • @FADHILILUMANI
      @FADHILILUMANI หลายเดือนก่อน

      Rehma na Amani ziwe juu yako Shekhe wangu

  • @f.w.z2446
    @f.w.z2446 8 หลายเดือนก่อน +57

    Wallah nakumbuka ramadhan ya 29 sikuwa na chochote naiwazia sikukuu sikuwa na pesa wala sina chanzo chakuipata niliamka usiku nikaswali rakaa 2 nikatoka uwani nikainua mikono na kumuomba mungu nikasema ya Allah ww ndo unajua shida zangu zote nakuachia wewe ndio mwenye kutatua matatizo ya waja wako na ww ndo unaejua matatizo ya waja wako Wallah thuma Wallah niliamka asubuhu nikafanya pirika zangu nilivo tulia nikachukua simu nikaingia WhatsApp nikakuta sms mtu ambae sikutegemea kanambia kuna pesa nataka nikutumie nirushie number yako nikajua ile swala mwenyezi mungu kajibu Alhamdulilah

    • @rukiamashaka7577
      @rukiamashaka7577 4 หลายเดือนก่อน

      MashaAllah Allah azidi kukufungulia alhmdulilah

    • @user-ih2rk1zm2l
      @user-ih2rk1zm2l 4 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤❤KWAAJILI YAMUNGU shekh wt

    • @user-xi4pd1yw7o
      @user-xi4pd1yw7o 3 หลายเดือนก่อน

      ​@rukiamashaka757 ammina ya rabball allamin

  • @user-gg4vb4dv3r
    @user-gg4vb4dv3r 25 วันที่ผ่านมา +1

    Alhamdulirah shekh mwenyezi mungu akubariki,,,,napenda sana kuswali ila nilikuwa sijui hata dua za kuswalia ila hapa umenipa muongozo ninaimani nitaweza

  • @Kassimhaji-pv3ys
    @Kassimhaji-pv3ys หลายเดือนก่อน +3

    shekhe othaman bin maiko mashaallah mungu akuongoze zaidi ktk mambo ya kheirati ili uzidi kutufunza kwa ajili ya allah

  • @zahramahammad916
    @zahramahammad916 ปีที่แล้ว +39

    Am a Ugandan but I love your teaching sheikh may Allah grant you jannatul firdaus.

  • @atubae5004
    @atubae5004 10 หลายเดือนก่อน +7

    Alhamdulilah jazakaAllah khairan...umenielekeza vizr nimepata Elimu zaid nilikuwa nikiswali lakn kuna mengin sikuwa nayafaham lla kwa Utukufu wa Allah nimepata kuelewa zaid Allah azidi kukupa rehm nying zaid kwa kutufahamisha swala hizi

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 ปีที่แล้ว +17

    Shekhe wetu Allah azidi kukuongoza wewe na Familia yako nasie tunaikufatilia ktk Mitandao,, kwa kweli tunafaidika na mengi Sana,,, na Allah akulipe UJIRA usio kwisha na peponi uingie kwa barka za mtume muhammad SWALALLAHU ALAYHI WASSALAM.

    • @uwesomasawanga241
      @uwesomasawanga241 ปีที่แล้ว +1

      Kwanza nianze kwa kutoa shukrani nyingi kwako mwenyezi mungu haendelee kukupa afya njema ili huendelee kutufunza Yale tusiyoyajua lakini pia kutukumbusha kwa Yale ambayo tumejisahau Kama binadamu, samahani naomba muongozo hapo ikitokea mtu anajua baadhi ya Surat ikiwemo Surat Al fatihah lakin akawa ajui zile Surat zingine ulizozisoma je Kuna uwezekano wa kuweza kuswali hiyo Ibada?

    • @othmanmichaelonline2866
      @othmanmichaelonline2866  9 หลายเดือนก่อน +2

      Ndio

    • @ZaharaOmar-zp7jb
      @ZaharaOmar-zp7jb 5 หลายเดือนก่อน

      @@othmanmichaelonline2866 Masha Allah

    • @fadyakhalfan8767
      @fadyakhalfan8767 5 หลายเดือนก่อน

      Assalam alykum ostadh…vp km una udhuru n ramadhan hii n untmn kuomb sala ya tahajud…je kun mbadala wake kufny ibd hy ht km huna udhu

    • @fadyakhalfan8767
      @fadyakhalfan8767 5 หลายเดือนก่อน

      @@othmanmichaelonline2866 assalam alaykum…hv kuna mbadala wa kusali swla ya tahajud ht km hun udhu n untmn kufny maombi ucku huu wa ramadhani

  • @ashiakibwanaashia4934
    @ashiakibwanaashia4934 ปีที่แล้ว +29

    Allah akulinde na akupe moyo huohuo kweli unatupenda kwa ajili ya Allah n sisi twakupenda kwa ajili ya Allah

  • @sadisaidi6961
    @sadisaidi6961 ปีที่แล้ว +5

    Asalam alaykm ,shukran shehe wetu darsa ni nzuri sana Allah akupe kila lenye her na baraka afya siha na uzma uzidi kutuelimisha tunaelimika kupitia vipindi vyako naomba utupe na darsa ya sala nyengine km sala ya dhuha na nyengine pamoja na kuooga majosho yetu Allah akupe umri twawili kwenye her

  • @sheikhismaelramadhankenya8928
    @sheikhismaelramadhankenya8928 ปีที่แล้ว +19

    Salatul haja na tahajudi ndio imefanikisha maisha yngu yote. Now iam self employed and my workers . Prüfer walking alone but friendly to every one to improve your time

    • @JasmineYasimen-sv3zr
      @JasmineYasimen-sv3zr ปีที่แล้ว +2

      Nashukur na nakushukur mm huwa naiswali japo ilikua si uswali jinsi ulivyo funza ila nishaiyona matunda yke na nimezid kujifunza kitu ishallwa mungu akuzidishie

    • @sikukuuchuo3093
      @sikukuuchuo3093 ปีที่แล้ว

      Maasha Allah

    • @khairunhkhalidy8463
      @khairunhkhalidy8463 8 หลายเดือนก่อน

      Mashaalla ❤❤

  • @FatnaAlly-hm1xc
    @FatnaAlly-hm1xc ปีที่แล้ว +23

    Allah atujaalue tuwe ni miongoni mwa wenye kufanya ibada yarabi hakika ibada zq usiku ni 💖 😘 maqubuli

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 ปีที่แล้ว +8

    Ma sha Allah Allah akuzidishie darja kakangu na imani ya juu cz elmu aliokupa nafaidika wengi allahumma ameen 🤲🤲🤲yarabby elmu nilio ipata kwa shekh Othman Michael iwe ufunguo wa shida zangu☝💪🙏

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 ปีที่แล้ว +21

    MashaAllah Jazakhallahu kheiri Sheikh,umenifunza kitu bora maishani mwangu Allah akulipe kila la kheiri InshaAllah😢😢😢

    • @salimsalim2535
      @salimsalim2535 7 หลายเดือนก่อน

      Shukran jaaziilan

  • @user-zz6fg7mx6f
    @user-zz6fg7mx6f 5 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah jazakhallahu mwenyezi mungu akuzidishie uelewa wa qar-an ili upate kutufundisha inshallah 🤲

  • @shemmaster7swaleyuun228
    @shemmaster7swaleyuun228 ปีที่แล้ว +9

    ALLAH SW AKULIPE NEEMA WEWE NA WAZAZI WAKO. AKUEPUSHE NA ADHABU ZA MOTO WAKE MKALI. AAMIN

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 ปีที่แล้ว +11

    Alhamdullillah, mashaallah jazakallah kheri, Allah akusimamie shekh wetu kwa kla hatua.

  • @ummyratymalkher2715
    @ummyratymalkher2715 ปีที่แล้ว +237

    Mm sikuwa napesa wala kazi nilifanya hii ibada nikamwambia allah sinakaziwalachanzo cha kupatia pesa ila yeye nimwenyekutoa anipe pesa, nikamwambia mama namuomba mung yeye atanipa pesa, keshoyake saa saba nikapikea ujumbe kutoka bank nimepikea pesa ktk shirika ambalo tulimalizanalo mkatab sikunying sana 😭😭😭😭😭😭nilijua wote tumetumiwa ila iliku nipekeyngu niliiyona miyjiza ya allah mama pia alishangaa sana allah akbaru, sikutumia atanguvu kuomba

  • @halimamohamed4842
    @halimamohamed4842 ปีที่แล้ว +8

    Maa Shaa Allah Shukrn sana Shekh wetu Allah akulip kheri tumejifunza mengi sana nakupenda sana kwa ajili ya Allah🇰🇪🇰🇪❣️

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah allah 🙏 shekhe wetu allah akuzidishie kipaji taufiq akuondolee husda mitihan

  • @RayaSalim-ts6pz
    @RayaSalim-ts6pz 10 หลายเดือนก่อน +7

    Masha Allah jazaakallah lkhayr. Allah akulipe kher nyingi. Na akuzidishie elimu n pia iwe ni yenye manufaa makubwa. Allah atujaalie kuwa ni wenye kuyazingatia hayo na kuyafanyia kazi.

  • @user-fj7hz8pm6m
    @user-fj7hz8pm6m 8 หลายเดือนก่อน +6

    Mashllah hakika mwezimungu hakujaalie her na baraka tele na hakupe maisha maref Kwa Dua Yako inshallah

  • @hassanalihassan5073
    @hassanalihassan5073 ปีที่แล้ว +15

    Masha Allah sheikh Othman tumepata Elimu kubwa leo shukran sheikh.

    • @ceeceena8385
      @ceeceena8385 6 หลายเดือนก่อน

      sukuran sheh mm ilikua sijui asant sana

  • @FatooomaFatoma
    @FatooomaFatoma 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaa Allah Allah akuepushe shaar za shetwani akupe mwisho mwema nimejifuza Allahmdullih

  • @rajabujuma9030
    @rajabujuma9030 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah,Allahu (SW) akubariki we kwayo,nasi tunufaike nayo maishani mwetu Inshaallah. by mwl,jhr.Mkoba wa Tununguo Ngerengere Morogogro.

  • @zafaranmrisho8788
    @zafaranmrisho8788 ปีที่แล้ว +12

    Jazakallah kheir shekh wangu, nakupenda kwa ajili ya ALLAH , na ALLAH azidi kukuinua duniani na akuinue Zaid akhera

  • @abdulhafidhali5614
    @abdulhafidhali5614 2 วันที่ผ่านมา

    Mwenyezi mungu akuhifadh sheikh wetu uzid kutupa elmu

  • @zuenawhite4777
    @zuenawhite4777 ปีที่แล้ว +5

    MashaAllah shukran jazillah sheikh wetu Allah akupe umri uzidi kufaidisha umma...

    • @ZaituniLoya-sk8ic
      @ZaituniLoya-sk8ic ปีที่แล้ว

      Waleykumsalaam warahmmatullah taala wabarakatuh,maanshaallah jazakallah khaira

  • @alijuma8724
    @alijuma8724 ปีที่แล้ว +14

    MashaAllah, Allah akuzidishie umri na akuzidishie barka na azidi kukuongoza

  • @salimsebo7939
    @salimsebo7939 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah nduguzangu katika Imani mungu hakutuumba tuwe mafukara lahasha tutakua mafukara kwakupenda wenyewe mungu amlipe kheri fiddunia Wal akhera napepo ikawe maisha yako ya milele amin

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l ปีที่แล้ว +15

    Jamani mpaka raha Mungu akupe kheri inshallah 🤲 mimi hili fundisho linaniusu kweli

  • @user-rb4df4mp1l
    @user-rb4df4mp1l 6 หลายเดือนก่อน +5

    Allah akuzidishie kheri japo Bado cjaswali lakini hakika Imani yangu ni thabit juu ya mola unayemwamini wewe na mimi Aamin 🙏🙏🙏

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 8 หลายเดือนก่อน +3

    Alhamndulillah Alhamndulillah Alhamndulillah, Umefundisha Habari Njema.Tukitekeleza ina kheri Sana.Namuomba ALLAH Akujalie kutueezesha zaidi.

  • @hidayahamiduhidaya2529
    @hidayahamiduhidaya2529 ปีที่แล้ว +10

    Allah akujaalie heri na malipo makubwa kwa mafundisho ya swala ya haja sheikh

  • @BathulBathul-ep1iu
    @BathulBathul-ep1iu ปีที่แล้ว +7

    MashaAllah tabarakallah Allah akupe kheri pamoja na family Yako,,,,,, Allah akupe mema InshaAllah Biithnillah 🤲

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallaah mashaallaah shekhe wetu Allah akuzidishie kila la heri wewe pamoja na familia yako
    Shukran sana shekhe wetu kwa darsa lako wengine hatujajua vizuri lakini wewe watuelimisha

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ameen Ameen 😭 maisha yetu ya binaadam ni muda mfupi xanaaaa duniani...... Allah atuwekee wepesi
    ...daima Atupe rizki ya Alali , na sio. Pesa ya ushilikina 😭🤲🙏tumtegemee ALLAH , Kila. Kitu....yeye ..ndio...alituumba na yeye ndio. Akituitaji kwake tutalejea.

  • @sifajacky7779
    @sifajacky7779 ปีที่แล้ว +7

    Shukran sana kipenzi cha Allah. Mwenyezi Mungu Mtukufu Subhanah Wataala akulinde na akulipe heir hapa duniani na kesho aheirah Inshaalllah 🤲🏻

  • @ashalaurent2465
    @ashalaurent2465 ปีที่แล้ว +53

    Shkh letu we kweli unania njema na watu walahi nakupendea kwaajili ya Allah mwenyezi Mungu atuhifadhi pamoja nawe tupate mwisho mwema inshaallah

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 ปีที่แล้ว +7

    Mashall-Allah Allah akuzidishie elim yenye manufaa uzidi kutuelimisha akujalie umri mrefu wa afya amin

    • @srj36119
      @srj36119 ปีที่แล้ว +1

      Walahi nimelia ustadhi mwenyez mungu akujalie kwahii elimu ulio tupatia tunazalilika kwenye kzi za watu yani mpaka najiulizaga wegine wanapata ss tunakosa kwa nn kumbe tunakosea wenyewe kuongea na mungu wetu

    • @akimanaa6759
      @akimanaa6759 10 วันที่ผ่านมา

      Allahima amin

  • @seinabelimi2296
    @seinabelimi2296 ปีที่แล้ว +7

    mashaa Allah shukran sana sheikh wangu Allah akulipe ujira mkubwa ndani yke Ammyn🤲🤲

  • @muhinanjowa7229
    @muhinanjowa7229 ปีที่แล้ว +11

    Man Sha Allah, Jazakka Allahu kher 🙏alhamdhulillahi

  • @fatmazahor357
    @fatmazahor357 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah Tabarraka Allah Allah akuzidishie kila la khery sheikh na atujalie mwisho mwema waislam wote

    • @hamzarashid6461
      @hamzarashid6461 ปีที่แล้ว

      Mashaallah

    • @tutuuab5655
      @tutuuab5655 ปีที่แล้ว

      Alhamdulilah.Shukran sana Sheikh wng kwa kunufunza swala hii

  • @kheneyrajababdalla3334
    @kheneyrajababdalla3334 ปีที่แล้ว +5

    Mashaallah mungu akulipe ujira ulio mwema shekh wetu biidhn laaah taalah

    • @mohdjuma8863
      @mohdjuma8863 ปีที่แล้ว

      Mashaaallah shehe napenda Sana mawaidha yako na nasaha zako mungu akulipe ujira mwema inshaallah

  • @mwajumaally4040
    @mwajumaally4040 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akutunze kwa ajili yetu uzidi kutupa elimu, akujaalie afya na umri sheikh🤲amiin thumma amiin yaarabi

    • @roseoman7543
      @roseoman7543 ปีที่แล้ว

      hakika leo nimepata fuzo kumbwa sana Asante sanaa Shehe 😢😢 Allah akulipe kila lenye heeri na wewe 🙏🙏😢😢😢

  • @aishahaji9970
    @aishahaji9970 ปีที่แล้ว +2

    MashaAllah Asante shekhe Othman Kwa elimu kubwa kwang Allah akulipe for every things

  • @chakumabdallah9939
    @chakumabdallah9939 5 หลายเดือนก่อน +10

    Kupitia wewe sheikh napenda kufanya ibada sasaivi ijumaa hainipiti na kila alhamis namuomba mungu nasali raka 2 usiku inshaaallah taratibu ntasari sala 5 inshaaallah

  • @sharifamohammed4503
    @sharifamohammed4503 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah mashaallah,,Allah akuweke shekh Othman,,hakika nimekuelewa vyema mashaallah shukran jazila Allah akuzidishie zaid

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 ปีที่แล้ว +9

    MashaAllah, shukran sheikh 🙏🙏

  • @NamiHamis-pj8tf
    @NamiHamis-pj8tf ปีที่แล้ว +2

    Salaam Aleikum sheikh, Mashallah mawaidha yako ya kumswalia Mtume Wetu Muhammad. Nitawanza kujifunza. Allah barki

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 ปีที่แล้ว +9

    Mashaallah Allah akubarikie ww na sisi jazakallahu khayr

  • @mariamjulius2042
    @mariamjulius2042 ปีที่แล้ว +5

    Ahsante shkh kwamafundisho manzuri allaah akuzidishie

  • @zaitunikipingu8952
    @zaitunikipingu8952 ปีที่แล้ว +5

    Mashaa allah shekh wetu. Mwenyezi mungu akujalie uzidi kutuelimisha

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah shukran sana allah akuzidishie elm shekh wetu

  • @user-uz3bd9xv9b
    @user-uz3bd9xv9b 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah tabaarakallah jazakallahu khair..Allah akujaalie kila la kheri shekhe letu..kwa hakika tunapata faida nyingi mno❤❤

  • @user-dg9sp5je1v
    @user-dg9sp5je1v ปีที่แล้ว +1

    Wajaa-al haqqu, ujumbe umetufika waislamu shime kuw karib na Allah jalla waàla. Allah akup taufiq na hikma katika mafundisho yko, na akulip yakheri katka Dunia na akherah

  • @salmatuleteesehem71jmnmahm59
    @salmatuleteesehem71jmnmahm59 ปีที่แล้ว +4

    JazzakhaAllahu Shkhe Allah akuzidishie akupe umri mrefu uzidi kutufunza In Sha Allah

    • @azamalujina4526
      @azamalujina4526 ปีที่แล้ว

      Maasha Allah! Hakika tunafaidika sheikh Othman, Allah akujaze kheir

    • @ZainabuNshimirimana
      @ZainabuNshimirimana ปีที่แล้ว

      Asante sana shehe mungu akubariki kwa kutufunza Yale ambayo atuyajuwi mungu akupe kila laheri allahuma amiin

  • @hawachrispine6776
    @hawachrispine6776 4 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akupe maisha marefu yenye manufaa ili tuendelee kunufainisha na elimu yako mwalimu wetu

  • @milonmilestz4312
    @milonmilestz4312 ปีที่แล้ว +4

    Huna choyo shekh.mungu atakulipa inshallah. endelea kufundika wengi hatukujua.mngekuwa 50 mashekhe kama wewe tungekuwa mbali..

    • @MariamuIrunde
      @MariamuIrunde 3 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa tungekua mbali sana maan wengine wanaojua jaman kazi ipo utadhan walizaliwa wanafaham

  • @user-hw1vd8qk1q
    @user-hw1vd8qk1q 7 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah sheikh othman Allah atuongoze waja wake tuweze kuzitimiza ibada zetu ipasavyo na tusimame usiku tumuombe Allah shida zetu tusizalilike kuomba majiani Allah atupe mwisho mwema.

  • @ummiissaabdulissaabdul8117
    @ummiissaabdulissaabdul8117 ปีที่แล้ว +7

    manshàallah manshaallah mungu atujalie kher yarab

  • @bikhasalum374
    @bikhasalum374 ปีที่แล้ว +11

    Inshallah mungu atufanyie wepes amiiin

  • @jenniferomar786
    @jenniferomar786 ปีที่แล้ว +7

    Shekhe Ma'Shaa'Allah lakuwatailla billah alhamdulillah 🤲 jazakahlaulkhairaan .... 🤝 Ameen yaraab 😊

  • @Jabirkamugisha
    @Jabirkamugisha หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah nilikua sijui allah akujalie sheikh

  • @mariamomary1343
    @mariamomary1343 หลายเดือนก่อน

    Mashallah nmejifunza mengi sana Sheikh Mungu akuzidishie umri huzidi kutuelimisha

  • @shamilahashim9544
    @shamilahashim9544 ปีที่แล้ว +7

    Alhamdulillah sheikh wetu

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah tabarakalah!jazzak Allahu kheri ya shekhe,mafunzo mema walahi.

  • @abdulhafidhali5614
    @abdulhafidhali5614 2 วันที่ผ่านมา

    Twafaidika sana kutokana na masheikh wetu

  • @sharifaabdala1565
    @sharifaabdala1565 ปีที่แล้ว +12

    Asalam alaykum warahamatullah wabarakatu alhamdulilah shekhe wetu mungu akupe nuru akupe uwezo' ziada uzidi kutufundisha dini yetu Ya kiislam'

    • @salhiaramadhan
      @salhiaramadhan ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @user-er8mt8nw6r
      @user-er8mt8nw6r 9 หลายเดือนก่อน

      Sheghe mungu akupe umri mreefuu Kwang mafundsho yako

  • @nellydoor4930
    @nellydoor4930 ปีที่แล้ว +2

    Jazakallahu kheri allah akuzidishie imann sheikh othman

  • @hidayaalute610
    @hidayaalute610 ปีที่แล้ว +6

    Mashallah shekhe,m.mungu azidi kukujalia uzidi kutupa elimi zaidi,nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @rehemamkakile5028
    @rehemamkakile5028 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu tujaalie tuwe watu wa kufanya ibada na kukumbuka wewe ndiye kila kitu hapa duniani na akhela

  • @mrsahmadhajraah1550
    @mrsahmadhajraah1550 9 หลายเดือนก่อน +1

    HAKIKA ALLAH ANAKUMIMINIA KHERI KILA WAKAT KW KUTUFUNDISHA HI SWALA YA HAJA AMBAYO MTUME ALIISWALI SANA HAKIKA IMENIFAA ALHAMDULILLAH MUNGU AKUZIDISHIE ELIMU SHEKH NIMEKUPENDA KWA AJILI YA ALLAH KWA MAAN KUNA HADITHI INASEMA QAIRIKUM MANTAGHAL WL QUR'AN WAGHALAMAHU (NI MBORA ALIYEISOMA QUR'AN NA AKAIFUNDISHA)KAMA NIMEKOSEA HERUF KATK HI HADITHI MTANIREKEBISHA , SHUKRAN ALLAH KUMPA ELIMU HUYU SHEKHE🤲

  • @husnamwalugha-qq7by
    @husnamwalugha-qq7by ปีที่แล้ว +1

    Shukran sheikh Allah AKUPE UMRI MREFU Inshaallah nmejifunza mengi Alhamdulillah

  • @carlitacelestino5548
    @carlitacelestino5548 ปีที่แล้ว +9

    Nimejifunza kwako sala ya mtume muhammad, inshaa nitajibiwa hivi karibuni inshaa

  • @NasraIbrahim-dw1hr
    @NasraIbrahim-dw1hr ปีที่แล้ว +1

    Sheikh nashukul kwa maelekezo ya swala ALLAH akupe afya njema na akuzidishie her

  • @lovedloveboy
    @lovedloveboy ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah Allah akulinde na mahaasid na Allah akupe kheri juu hii kheri unayotujuza amiin

  • @eshawairimu381
    @eshawairimu381 ปีที่แล้ว +3

    Shukran sana malimu kwa funzo zuri maa sha llah 🙏

  • @user-yr3mn6nn7l
    @user-yr3mn6nn7l 5 หลายเดือนก่อน

    Asante saana shekhe wngu kwa elimu hii nilikua natafuta ufumbuzi in sha Allah nitalifanyia kazi Allah akupe umri marefu

  • @user-em6df9vl6k
    @user-em6df9vl6k 10 หลายเดือนก่อน +2

    Shukran, Allah akupe mwisho mwema.

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 ปีที่แล้ว +3

    Shukran Shekhe kw Somo zur ALLAH akujaalie mwisho mwema

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l ปีที่แล้ว +5

    Nakupenda kwaaji ya Allah be blessed

  • @user-rf2cg9tv3u
    @user-rf2cg9tv3u 7 หลายเดือนก่อน

    Shukran shehe wetu kwakutuilimisha zaidi nakutukumbusha mema Alla akulipe kila latheri

  • @halimarajabu2997
    @halimarajabu2997 ปีที่แล้ว +3

    Asnt kwa kutuelimisha shekh wetu Allah akulipe na atuhfadh na atujaalie mwisho mwema ishaallah

  • @user-mc4mx9gi4v
    @user-mc4mx9gi4v 11 หลายเดือนก่อน

    Inshallah tunamuomba mwenyez mungu atufanyie wepes na wew pia shukran sana Kwa kutuelekeza Allah akujaalie Kila lenye kher na aftya njeema

  • @hajiyusuf3837
    @hajiyusuf3837 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri sheikh..kwa hivyo rakàa zote mbili unasoma Surat ilkaafiruun

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 ปีที่แล้ว +4

    Masha'Allah Ahsant sheikh. Ila sheikh ukisujudu usi tanuwe sana mikona kama msaraba

  • @waleedbinali3211
    @waleedbinali3211 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukubariki na akuzidishie elimu sheikh uzidi kutufundisha in shaa Allah

  • @abdulhida8291
    @abdulhida8291 ปีที่แล้ว +4

    Masha Allah shekhe, Jazzaka Allah kheri.

  • @KhamisHussein-s4q
    @KhamisHussein-s4q 19 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah , najivunia sana kuwa muislamu.

  • @user-eq3oo1md2l
    @user-eq3oo1md2l 8 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran shekhe Allah akujalie umri mrefu na uwe na moyo uwouwo

  • @user-ox3rk1cm5r
    @user-ox3rk1cm5r 5 หลายเดือนก่อน

    Shukrani shekhe Othman Kwa elimu, inshallah mwenyezimungu apokee Dua zetu

  • @HadijaSalim-qx8fw
    @HadijaSalim-qx8fw ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah .Allah Akujalie khery ya Dunia na akhera .akuzidishie elm.nakupenda kwa Ajili ya Allah

  • @ShuwekhaOmaryMussa
    @ShuwekhaOmaryMussa หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh wangu allah akupe umri mrefu uzidi kutuelimisha nmejifunza sana kupitia ww na umenfamya niwe najikurubisha sana kwa mwnenzimungu na kufanya ibada zangu nimezidi sana nashkuru sana na mambo yangu mengi yameanza kufunguka moja badala moja

  • @ramazanijanati3381
    @ramazanijanati3381 ปีที่แล้ว +3

    Shukran shekh Allah atulipe kila la kheri.

  • @NeemaAkbar-is2tb
    @NeemaAkbar-is2tb ปีที่แล้ว +1

    Shukurani shh wetu , Allah akufanyie wepesi ,hakika nimekuelewa kwamakini

  • @user-mc3je3tc8l
    @user-mc3je3tc8l ปีที่แล้ว +1

    SHUKRN SHEIKH OTHMAN MICHAEL ALLAHUMMA AMEEEN

  • @abuuslater9242
    @abuuslater9242 ปีที่แล้ว

    Shukran Jazillah Sheikh Othman Michell,Allah akupe wepesi kwa kila hali.Naomba kufaham kwenye sura ya raka ya kwanza ni gani sababu umetaja suratul Kafiruun mara mbili AFUAN

    • @blackbeautymaulid3190
      @blackbeautymaulid3190 ปีที่แล้ว

      Raqaa ya Kwanza unasoma alhamdu na Surat lqaafiruun na rakaa ya pili pia unafanya hivyo hivyo dear zote Surat Ni moja alhamdu na Surat qafiruun

    • @maigemayasa3382
      @maigemayasa3382 ปีที่แล้ว

      Afadhali umeuliza hata mimi hapo nilichanganyikiwa.
      Asante sana nami nimejua
      Inshallah tufanyie kazi Allah hatatuacha.

  • @ziadamashallahissa8549
    @ziadamashallahissa8549 ปีที่แล้ว +4

    Mashallaah shukurani Sana mwalim wetu

  • @RamlatAdam-vr7qe
    @RamlatAdam-vr7qe 28 วันที่ผ่านมา

    Maaashaallah shekhe osuman kwakutuelekeza swal hiii