AICT Mwanza Town Choir - Amani Uko Wapi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
  • Asante kwa kutazama, tafadhali subscribe kwenye TH-cam channel yetu, waweza kuacha comment, like na kushare na wengine. Mungu akubariki sana
    #AICMwanzaTownChoir #NgommaGospel
    ©2020 Administered by Ngomma VAS Limited.

ความคิดเห็น • 19

  • @esthermashauri441
    @esthermashauri441 2 ปีที่แล้ว +1

    BARIKIWENI TU

  • @williammwengea5715
    @williammwengea5715 2 ปีที่แล้ว

    Mwanza wanamsifu Mungu kwa ustadi

  • @mlelemafrancis876
    @mlelemafrancis876 ปีที่แล้ว

    Mnabariki sana maisha yangu

  • @danielkntimba4565
    @danielkntimba4565 3 ปีที่แล้ว

    Naomba ule wimbo wa AIC MWANZA TOWN CHOIR: ALIKUWA NA MOYO WA HURUMA

  • @geoffreymunyae8379
    @geoffreymunyae8379 ปีที่แล้ว

    Excellent, from Nairobi.

  • @esthermashauri441
    @esthermashauri441 2 ปีที่แล้ว +1

    AMANI YAPATIKANA KWA MUNGU TU

  • @mlelemafrancis876
    @mlelemafrancis876 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika nyie ni wataalamu wa uimbaji hapa Tanzania na kwingine kote. Nyimbo zenu zinajipambanua na hazifanani na kwaya zingine.

  • @geoffreymunyae8379
    @geoffreymunyae8379 ปีที่แล้ว

    Wimbo huko na upako was Roho Mtakatifu.

  • @bethshashi6204
    @bethshashi6204 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @joneskavoi3966
    @joneskavoi3966 3 ปีที่แล้ว +2

    Pokeeni salamu zangu na jamii yangu huku kenya natamani kuwaona majaliwa ya mungu

    • @emmanuelngoso4205
      @emmanuelngoso4205 3 ปีที่แล้ว

      Karibu Sana Mr Kavoi na familia twawapenfa sana

    • @philipomihayo5138
      @philipomihayo5138 5 หลายเดือนก่อน

      Asante sana tumepokea na tunakukaribisha tarehe 18/8/2024 mwanza makongoro kutakuwa na maadhimisho ya miaka 65 ya Mwanza town choir

  • @marrykahungwa1628
    @marrykahungwa1628 3 ปีที่แล้ว

    Mko vyema watumishi Mungu aendelee kuwatumia

  • @DaudiNungwana
    @DaudiNungwana 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice!!!!

  • @shagihilukaliyaya5283
    @shagihilukaliyaya5283 3 ปีที่แล้ว

    Saaafi saaana,
    Wimbo umetulia,
    Sauti zimetulia,
    Waimbaji wametulia,
    Muziki live wa GITARI umebalansi vizuri,
    Niseme nini zaidi sasa hapa....! Ninachoweza kusema ni pongezi tu kwa kazi nzuri mliyofanya MTC

  • @logicmedia7932
    @logicmedia7932 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana

  • @moseskagirimuuo1814
    @moseskagirimuuo1814 3 ปีที่แล้ว

    God bless you for the good work....

  • @paulngussa8100
    @paulngussa8100 3 ปีที่แล้ว

    Nice song

    • @shagihilukaliyaya5283
      @shagihilukaliyaya5283 3 ปีที่แล้ว

      Safi saaana, wimbo umetulia, waimbaji wametulia, vyombo vimetulia, sauti zimetulia, muziki umebalansi. Niseme nini zaidi sasa, HONGERENI SAAANA MTC