Miaka 33 Nimemaliza Makanisa | Baba Mtoto Alinipokonya | Pendo na Mama Yake Wamekutana Leo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • clouds digital ipo mubashara kwenye kipindi cha LeoTena

ความคิดเห็น • 52

  • @UpendoLukas-s1u
    @UpendoLukas-s1u หลายเดือนก่อน

    Nami namtafuta baba yangu mnisaidie.

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah wa mam mnaharibu san rangi zen had naon haya mwijaku anamuangalia duuh

  • @aminaalabri4170
    @aminaalabri4170 ปีที่แล้ว +5

    Hongeren sana clouds mnafanya ktu cha peke tunawapenda sana

  • @ProtasBalibabaza-ip1oy
    @ProtasBalibabaza-ip1oy ปีที่แล้ว +4

    Mnafanya vitu vikubwana sana clouds #leo tena hongereni Mwenyezi Mungu awabairiki

  • @beatricedavie1827
    @beatricedavie1827 ปีที่แล้ว +2

    Jamani mtukutanishe na baba zetu pia,Mimi nahitaji kukutana na baba yangu,pia Mungu awabariki kwa kazi nzuri

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 19 วันที่ผ่านมา

      Uwatafute binafsi uwape taarifa zako na za baba yake ili wawe na pa kuanzia.

  • @rosemaryjoseph768
    @rosemaryjoseph768 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Leo Tena haya mambo yapo na ustawi hawana msaada kwa wamanisha kesi nyingi nimekutana nazo

  • @user-xc4or2vp6l
    @user-xc4or2vp6l 2 หลายเดือนก่อน

    Mko vizuri kwenye listening skills hongereni.

  • @angellambonika3002
    @angellambonika3002 2 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wengi wanajua kupata starehe tuuuu lakini uchungu juu ya watoto hawana !!!! Mungu anawaona.

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 2 หลายเดือนก่อน

    Mwenxangu hata Mimi yamenikuta ustawi wa jamii ni balaa

  • @nyassorajabu628
    @nyassorajabu628 ปีที่แล้ว +2

    Hongera ma mdogo Kwa kumpata binti yako

  • @ahlamkilema1787
    @ahlamkilema1787 ปีที่แล้ว +3

    Yani hichi mnachofanya... clouds....mungu hatawalipa Yani mm Bibi yangu..watoto wake watatu..paka Leo na nimzee natamani hawajue wanawe

  • @happymwashimaha5134
    @happymwashimaha5134 ปีที่แล้ว +3

    Hongera sana Pendo rafiki yangu.
    Wakati wa
    Mungu Ni wakati sahihi

  • @user-qw2kg3dh4k
    @user-qw2kg3dh4k 2 หลายเดือนก่อน

    Hongern sana ila tunaomba kipindi cha kutafuta kina baba

  • @RachelJoseph-du5gs
    @RachelJoseph-du5gs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn Kwan huyo baba alipatwa na jini gan kha!

  • @christaoman8890
    @christaoman8890 ปีที่แล้ว +1

    Ni furaha na huzuni pia miaka mingi bila mama ni Mungu tu

  • @ElizaMwambudzi-fe8dp
    @ElizaMwambudzi-fe8dp ปีที่แล้ว +1

    Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki sana

  • @aishaddddhh6272
    @aishaddddhh6272 ปีที่แล้ว +4

    Jmn ikifikia kipindi cha kukutanishwa watoto nawazazi wao wakiume mnistue jmn

  • @foodbasiccourt2028
    @foodbasiccourt2028 ปีที่แล้ว

    Kwa hapa clouds hongereni sana

  • @salmangwila8062
    @salmangwila8062 ปีที่แล้ว +2

    Nyie leo tena hongeren

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mkubwa ❤

  • @PaschalPaulMandegeshi
    @PaschalPaulMandegeshi ปีที่แล้ว +1

    mnachokifanya ni jambo jema pongezi kwenu #clouds

  • @jamilamwangoka1055
    @jamilamwangoka1055 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mngekuwa mnatuandalia na kwenye TV nduguzangu tuwetanaangalia Yani pongezi Sana kwenu

    • @JanethMgoly
      @JanethMgoly 2 หลายเดือนก่อน

      Clouz tv

  • @hamzafishten9560
    @hamzafishten9560 2 หลายเดือนก่อน

    Pole sna mama

  • @lizybabymgaywa8035
    @lizybabymgaywa8035 ปีที่แล้ว +1

    Pole sana Mama

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana Clouds

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 2 หลายเดือนก่อน

    Pole san mam

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว

    Dah! Inauma sana kwakweli

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 ปีที่แล้ว +9

    Kuna muda mtu unatamani tu kungèkuwa na mbegu zinauzwa sehemu tununuwe ili mtoto asiwe na baba wa aina hii

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 ปีที่แล้ว +1

      Mbona zipo? Pesa yako tu

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 ปีที่แล้ว +1

      Mbegu zinauzwa twna unachagua mwenyewe na una uamuzi wa kuto kujua aliyetoa mbegu hela yako tu mama

    • @theafricaiknow6615
      @theafricaiknow6615 ปีที่แล้ว

      Zinauzwa mbona,ni pesa yako tu

    • @aggreynsemwa1380
      @aggreynsemwa1380 ปีที่แล้ว

      @@theafricaiknow6615 à

    • @michaelthobias9967
      @michaelthobias9967 2 หลายเดือนก่อน

      Hujasikua upande wa pili huna ruhusa ya kuhukumu Mimi naona Dunia inawatukana wababa sana inawasemea unyanyasaji ukija kufatilia kesi unakuta udangaji upuzi mwingi wa wanawake enzi za ujana wababa wanamua kubeba watt wake

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj ปีที่แล้ว +1

    Mtihani Pole sana Mama dah😭😭

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 ปีที่แล้ว

    Dahuu umependeza Sana

  • @aishaddddhh6272
    @aishaddddhh6272 ปีที่แล้ว +1

    Kaka zangu wanatamani kuonana na baba yao

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 ปีที่แล้ว

    Wanaume mlaaniwe sana

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 ปีที่แล้ว +1

    😢huzun sana

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky ปีที่แล้ว

    🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺💃Wababaaaa jmaaaaani

  • @user-pf1tb5ic2h
    @user-pf1tb5ic2h 2 หลายเดือนก่อน

    Walipewa rushwa hao washenzi wa tabia wananyima watu haki zao

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu ปีที่แล้ว

    Wanaume wanaume mngekuwa nyie mnasikiaga uchungu wa kuzaa sijui mngefanyaje kuhusu watoto

  • @user-ve1dv1ry2v
    @user-ve1dv1ry2v ปีที่แล้ว

    Du mateso haya nahisi wanangu ndo wanayopitia

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 ปีที่แล้ว

      Pole sana Dada yangu kipenz Mungu Awalinde nakuwatunza

    • @user-on6fr5cp1f
      @user-on6fr5cp1f ปีที่แล้ว

      Amin inshallah ❤

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    😢💔