Pius wilson vs Kiboko Ya Wachawi live performance ✨

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.พ. 2024
  • #gospel
    Listen Pius wilson on TH-cam👇
    / @piuswilson2502
    Boomplay👇
    www.boomplay.com/share/album/...
    Instagram👇
    tvCgE-cIXq...
    The official TH-cam channel of Pius Wilson. subscriber for the latest music videos, performance and more.
    For Bookings$more
    Email visionpius2578@gmail.com
    Call+255622231718.

ความคิดเห็น • 86

  • @evaristpaul582
    @evaristpaul582 9 วันที่ผ่านมา

    Daaah nimeumia sana Ukristo unazalilishwa Yesu ingilia kati bila ww hatuwez kitu watu wako tunapotea

  • @eliandejeulaya7498
    @eliandejeulaya7498 21 วันที่ผ่านมา +2

    Mkubali YESU na kuacha dhambi uokoke hii ni kwako msomaji
    Asomaye na afahamu

  • @EngelLameck-nz5nk
    @EngelLameck-nz5nk 28 วันที่ผ่านมา +7

    Shetani Yuko kwenye kampeni acheni kumtania Mungu wa Mbinguni ipo siku mtalia na kusaga meno nawaambia

    • @Yoelfabian
      @Yoelfabian 24 วันที่ผ่านมา

      Umeona.

  • @ukweliwanenokatikahili7526
    @ukweliwanenokatikahili7526 22 วันที่ผ่านมา +2

    Mwimbaji mwenyewe mchawi mchawi ,unavuaje kanisani

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 29 วันที่ผ่านมา +3

    Hapo anatukuzwa kiboko syo Mungu aisee duuh

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 29 วันที่ผ่านมา +5

    Mungu aturehemu

  • @NemayaAbedi-lk9lo
    @NemayaAbedi-lk9lo 23 วันที่ผ่านมา +3

    Dunia imeisha

  • @CadiaOnesmo
    @CadiaOnesmo 22 วันที่ผ่านมา +2

    Dunia imefika mbali sanaaa

  • @RashidiRehani-v1l
    @RashidiRehani-v1l 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mdo wanguu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @BahatiLukumay
    @BahatiLukumay หลายเดือนก่อน +2

    Baba ubarikiwe Baba naomba unikumbuke bahati

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 29 วันที่ผ่านมา +3

    Kuzumu kumenoga,shetani anafurahia mateka

  • @AnethSwila-tw9mv
    @AnethSwila-tw9mv 28 วันที่ผ่านมา +2

    Yani nikiona hivi nakumbuka neno linalisema kuzimu haishibi duh ...

  • @festotemu2845
    @festotemu2845 หลายเดือนก่อน +2

    Naomba uninulishe maisha yangu baba

  • @StanleyChibwete
    @StanleyChibwete หลายเดือนก่อน +1

    Njoo dodoma nduguyangu usikaee huko daresaalamu kalibu sana

  • @anna19805974
    @anna19805974 23 วันที่ผ่านมา +1

    watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

  • @prezidakasuga2595
    @prezidakasuga2595 22 วันที่ผ่านมา +1

    Hata ninywe pombe vp lkn yesu wa nazareti yuko hai ndo mtetez wetu

  • @user-yo7oo1fh2e
    @user-yo7oo1fh2e 29 วันที่ผ่านมา

    Nabii Bwana Yesu asifiwe niombee nipate nauli yakuja kuna vikwazo Antony Matwi wa arusha

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q 16 วันที่ผ่านมา

    Mashetani yammecharuka

  • @DoreenFadhili
    @DoreenFadhili หลายเดือนก่อน +1

    Nitabirie na mm baba

  • @costofamily4861
    @costofamily4861 29 วันที่ผ่านมา +3

    Kuna tofaut gani na Bar

  • @ephraemmwangonda4268
    @ephraemmwangonda4268 หลายเดือนก่อน +1

    Amina baba,nasubiri utabiri wako baba

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 27 วันที่ผ่านมา

    Tatizo nyinyi wakristo ibada yenu kubwa nikuimba tu wala hamjui kuabudu Mungu kazi yenu ni ushetani tu singeli umo umo dansi umoumo bongo muziki umo umo ogopeni Mungu hacheni ushirikina na uchawi abudu Mungu kama anavyotaka waulizeni waislamu Mungu anastaili watu wamuabudu vipi

    • @daltonpaul5838
      @daltonpaul5838 26 วันที่ผ่านมา +2

      Wewe ndio shetani tena huna adabu dini haimpeleki mtu popote hayo makanisa ya kishetani yapo na misikiti pia humo humo wako watu wanatumia makanisa vizuri na wako wanaotumia vibaya na waislam vile vile wapunga mapepo,washirikina wanatoka huko huko usichanganye ma file mwanadamu ni mwanadamu tu akiamua kua mwabudu shetani haimaanishi dini yake chunga kauli zako

  • @user-xk3ue8yi3s
    @user-xk3ue8yi3s หลายเดือนก่อน

    Aslm kiboko wawachawi naomba unisaidie mimi na watoto wangu tuko na matatizo tuko pamoja iin SHAALLAH

  • @JamesAlfredMAYUYA
    @JamesAlfredMAYUYA หลายเดือนก่อน +1

    Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako

    • @mgangaevarist9760
      @mgangaevarist9760 หลายเดือนก่อน

      Tafuta pesa fanya kazi kwa bidii

    • @JamesAlfredMAYUYA
      @JamesAlfredMAYUYA หลายเดือนก่อน

      @@mgangaevarist9760 naomba hiyo bidii

  • @festotemu2845
    @festotemu2845 หลายเดือนก่อน +1

    Maisha yangu siyaelewi

  • @moseshaule586
    @moseshaule586 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba unitabirie baba

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 28 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 hata macho mmeshindwa kuona jaman tunapotea vibaya xana

  • @rehemahamidu7398
    @rehemahamidu7398 5 หลายเดือนก่อน +1

    ubarikiwe sana kaka angu pius wilson kazi yako ni njema sana

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 25 วันที่ผ่านมา

    Yesu yu karibu malangoni.

  • @user-ic2rl7gz5z
    @user-ic2rl7gz5z หลายเดือนก่อน

    Amen baba

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 29 วันที่ผ่านมา

    Na wimbo mmemuimbia kabisa.... sio Yesu tena ni kiboko ya wachawi...... 😢

  • @REGNAJAKSONShikakaige
    @REGNAJAKSONShikakaige 19 วันที่ผ่านมา

    Baba piga kazi

  • @danielbrizzy
    @danielbrizzy 29 วันที่ผ่านมา

    mungu yu mwema

  • @user-wx3rl5qs5p
    @user-wx3rl5qs5p 29 วันที่ผ่านมา

    Nabii mungu aendelee kukutumia nasi tunapokea kwa njia ya cm

    • @ShomariiMkumbo
      @ShomariiMkumbo 29 วันที่ผ่านมา

      Wewe na yeye wotee nyiee ni lanaa tuu

  • @JosephSamwely
    @JosephSamwely หลายเดือนก่อน +2

    Niokoe nabii nateseka

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 24 วันที่ผ่านมา

    Nateseka nitabirie niokoe na machungu🙏

    • @anna19805974
      @anna19805974 23 วันที่ผ่านมา

      omba Mungu akuondolee machungu akupe amani katika Kristo Yesu.

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 25 วันที่ผ่านมา

    Hakuna uwepo wa mungu hapo

  • @HazinaAmestone
    @HazinaAmestone 23 วันที่ผ่านมา

    Shetan kamili uyo

  • @silvanusjeremiah8256
    @silvanusjeremiah8256 หลายเดือนก่อน

    Insane

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makubwa

  • @lydiabochela9363
    @lydiabochela9363 22 วันที่ผ่านมา

    Mmmmh, hatariiii

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 20 วันที่ผ่านมา

    Hakika imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 23 วันที่ผ่านมา

    Ushetan kamili

  • @paschalsasagu5610
    @paschalsasagu5610 5 หลายเดือนก่อน +2

    Umefunikaaa kamanda😅😅

  • @Inkubutembo7779
    @Inkubutembo7779 25 วันที่ผ่านมา

    Acha wapotee tu.

  • @sophiaadson1498
    @sophiaadson1498 หลายเดือนก่อน

    Nina changamoto naomba sema neno napokea kwa imani

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter หลายเดือนก่อน

    Shetani yupo kwenye kampeni

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya หลายเดือนก่อน +1

    Kama kongo wachungaji wako huyu basi wamekwisha karibia kuzimu

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa หลายเดือนก่อน +1

    Hiii ni kanisa ukumbi wastaleee haaaaa jamani ?maskini watu wanafwata tu

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 27 วันที่ผ่านมา

    Yadunia inaimbaje kwani

  • @braisersavage4644
    @braisersavage4644 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 29 วันที่ผ่านมา

    Martha Mwaipaja unadanga siku hizi hadi kwa huyu mwehu anayechungulia chupi za washirika

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle หลายเดือนก่อน +13

    JAMANI NYIMBO YOYOTE INAYOHUSISHA KAMA SINGELI YA KIDUNIA WAZI WATU WANAOWAONGOZA NI WASHIRIKA WA IMANI ZA KISHETANI NYIE WATU HUYO SIYO MTU MWEMA ANAWAPELEKA KUZIMU SOMENI MAANDIKO MTAMJUA ANAMWAKILISHA NANI ACHENI UVIVU

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 29 วันที่ผ่านมา

      Anatukuzwa mtu badala ya Yesu

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x 26 วันที่ผ่านมา

      Kanisaa zima jehanam at vitu znaimbwa azieleweki. Uyu na jo devi hawana tofaut wanataka sifaaa nyimbo anatungiwa yye badala ya YESU 😢😢😢😢😢token hpo nyie mliyefungwa macho ya rohon

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 22 วันที่ผ่านมา

    Hivi viongozi wa kikristo hawapo? Kuzifungia hizi Laana

  • @mako331
    @mako331 25 วันที่ผ่านมา

    Serikali jamani ingilieni kati haya makanisa ni uhuni na wizi mtupu

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 23 วันที่ผ่านมา

    Hivi huyu mkongo amepate uraia kirahisi kuja kuwapoteza watz?😢 Mama Samia wasaidie watu wako tafadhali

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa หลายเดือนก่อน +1

    Shetani kachafua kazi yamungu isionekane c kitu .imeandikwa mtawaona kwa matetendo na niwakati wa kuonekana mungu wa kweli ama c mungu wakweli maana hata waganga wamisri walizibadili fimbo zao kuwa nka kama fimbo ya musa lakini nyoka wa musa alivmeza vyote ndivyo itakavyokuwa.ndivyo itakavyokuwa ivi imaingizo vyote vya manabiii hawa wauongo vitamezwa vyote

  • @kassebo
    @kassebo 29 วันที่ผ่านมา

    m.th-cam.com/video/EeD0i-aMtBM/w-d-xo.html
    🎥 Kassiano kassebo ~UPENDO WA KWELI. - TH-cam

  • @rosekishinhi8246
    @rosekishinhi8246 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi hiyo ni Martha Mwaipaja wa kweli au?? 😢😢😢 Inaumiza saàna tunakoelekea sasa

    • @julianamwamgogwa
      @julianamwamgogwa หลายเดือนก่อน

      Nikweli nimeamini wanawake atuwezi kuhimili mafanikio lazima miguu ipoteenjia

  • @DevidMfipa
    @DevidMfipa 19 วันที่ผ่านมา

    Muwe na akiri nyinyi macho yenu yakaone,mbona mnakuwa wapumbavu.mnapelekwa shimoni ukumnaona.akuna kibo ko wala nn shetani mkubwa w

  • @mamaziada134
    @mamaziada134 หลายเดือนก่อน

    Naitwa esta razaro baba nina changamoto mbaka sitamani kuishi nimeibiwa pikpiki mtu nimempa afanye kazi kaiba kila nilo fanya 0 nimekuja sana buza lakini wap naomba msaada baba

    • @geselaoscaremanuel6481
      @geselaoscaremanuel6481 10 วันที่ผ่านมา

      Kila jambo lina kusudi lake na Kila tatizo linalokuja kwako ni mzani wako mungu anakuona changamoto KULINGANA na imani Yako so okoka mkili yesu kuwa wakwanza kwenye maisha Yako na endelea kumsubili yeye atafanya ila sio mwanadamu mungu anasema alaaniwee amuaminiye mwanadamu kuliko yeye so Mpe mungu maisha yako Naye atafanya

  • @hellenjonson5210
    @hellenjonson5210 27 วันที่ผ่านมา

    Hakika amewaloga wala gamjitambui kabisa wengine na elimu zao lkn wamo wanazoom

  • @user-po8hz7xw9j
    @user-po8hz7xw9j หลายเดือนก่อน +1

    Nahitaji kuja hapo kanisani nikija buz anishuke kanis kituo gani

  • @DoreenFadhili
    @DoreenFadhili หลายเดือนก่อน +1

    Nitabirie na mm baba

  • @JamesAlfredMAYUYA
    @JamesAlfredMAYUYA หลายเดือนก่อน +1

    Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako

    • @rabilubinza7661
      @rabilubinza7661 26 วันที่ผ่านมา

      Mwambie Yesu.Sumbuko lako

  • @DoreenFadhili
    @DoreenFadhili หลายเดือนก่อน +1

    Nitabirie na mm baba

  • @JamesAlfredMAYUYA
    @JamesAlfredMAYUYA หลายเดือนก่อน +1

    Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako

  • @DoreenFadhili
    @DoreenFadhili หลายเดือนก่อน +1

    Nitabirie na mm baba

    • @LesewaShao
      @LesewaShao หลายเดือนก่อน +1

      Naitwa jovitha. Baba nitbilie Mme wangu alikua naduka lafriji amefunga. Naanafanyaga. Kaz naaanayo Fanya pesa aionekn namtoto Wang anakaaga anaumw bba. Mtoto naasaiv anaumw mummbee. Baba

    • @LesewaShao
      @LesewaShao หลายเดือนก่อน +1

      Bab natena. Tanngu Mme wangu anioe hjawai kunipeleka. Kwao

    • @LesewaShao
      @LesewaShao หลายเดือนก่อน +1

      Bba. Nitabilie .bba mm jovth