Pius wilson vs Kiboko Ya Wachawi live performance ✨
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.พ. 2024
- #gospel
Listen Pius wilson on TH-cam👇
/ @piuswilson2502
Boomplay👇
www.boomplay.com/share/album/...
Instagram👇
tvCgE-cIXq...
The official TH-cam channel of Pius Wilson. subscriber for the latest music videos, performance and more.
For Bookings$more
Email visionpius2578@gmail.com
Call+255622231718.
Daaah nimeumia sana Ukristo unazalilishwa Yesu ingilia kati bila ww hatuwez kitu watu wako tunapotea
Mkubali YESU na kuacha dhambi uokoke hii ni kwako msomaji
Asomaye na afahamu
Shetani Yuko kwenye kampeni acheni kumtania Mungu wa Mbinguni ipo siku mtalia na kusaga meno nawaambia
Umeona.
Mwimbaji mwenyewe mchawi mchawi ,unavuaje kanisani
Hapo anatukuzwa kiboko syo Mungu aisee duuh
Mungu aturehemu
Dunia imeisha
Dunia imefika mbali sanaaa
Wewe mdo wanguu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Baba ubarikiwe Baba naomba unikumbuke bahati
Kuzumu kumenoga,shetani anafurahia mateka
Yani nikiona hivi nakumbuka neno linalisema kuzimu haishibi duh ...
Naomba uninulishe maisha yangu baba
Njoo dodoma nduguyangu usikaee huko daresaalamu kalibu sana
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Hata ninywe pombe vp lkn yesu wa nazareti yuko hai ndo mtetez wetu
Nabii Bwana Yesu asifiwe niombee nipate nauli yakuja kuna vikwazo Antony Matwi wa arusha
Mashetani yammecharuka
Nitabirie na mm baba
Kuna tofaut gani na Bar
Amina baba,nasubiri utabiri wako baba
Tatizo nyinyi wakristo ibada yenu kubwa nikuimba tu wala hamjui kuabudu Mungu kazi yenu ni ushetani tu singeli umo umo dansi umoumo bongo muziki umo umo ogopeni Mungu hacheni ushirikina na uchawi abudu Mungu kama anavyotaka waulizeni waislamu Mungu anastaili watu wamuabudu vipi
Wewe ndio shetani tena huna adabu dini haimpeleki mtu popote hayo makanisa ya kishetani yapo na misikiti pia humo humo wako watu wanatumia makanisa vizuri na wako wanaotumia vibaya na waislam vile vile wapunga mapepo,washirikina wanatoka huko huko usichanganye ma file mwanadamu ni mwanadamu tu akiamua kua mwabudu shetani haimaanishi dini yake chunga kauli zako
Aslm kiboko wawachawi naomba unisaidie mimi na watoto wangu tuko na matatizo tuko pamoja iin SHAALLAH
Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako
Tafuta pesa fanya kazi kwa bidii
@@mgangaevarist9760 naomba hiyo bidii
Maisha yangu siyaelewi
Naomba unitabirie baba
😂😂😂😂 hata macho mmeshindwa kuona jaman tunapotea vibaya xana
ubarikiwe sana kaka angu pius wilson kazi yako ni njema sana
Yesu yu karibu malangoni.
Amen baba
Na wimbo mmemuimbia kabisa.... sio Yesu tena ni kiboko ya wachawi...... 😢
Baba piga kazi
mungu yu mwema
Nabii mungu aendelee kukutumia nasi tunapokea kwa njia ya cm
Wewe na yeye wotee nyiee ni lanaa tuu
Niokoe nabii nateseka
Sema Yesu niokoe nateseka
Nateseka nitabirie niokoe na machungu🙏
omba Mungu akuondolee machungu akupe amani katika Kristo Yesu.
Hakuna uwepo wa mungu hapo
Shetan kamili uyo
Insane
Makubwa
Mmmmh, hatariiii
Hakika imeandikwa watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
Ushetan kamili
Umefunikaaa kamanda😅😅
Acha wapotee tu.
Nina changamoto naomba sema neno napokea kwa imani
Shetani yupo kwenye kampeni
Kama kongo wachungaji wako huyu basi wamekwisha karibia kuzimu
Hiii ni kanisa ukumbi wastaleee haaaaa jamani ?maskini watu wanafwata tu
Yadunia inaimbaje kwani
Mtumishi
Martha Mwaipaja unadanga siku hizi hadi kwa huyu mwehu anayechungulia chupi za washirika
JAMANI NYIMBO YOYOTE INAYOHUSISHA KAMA SINGELI YA KIDUNIA WAZI WATU WANAOWAONGOZA NI WASHIRIKA WA IMANI ZA KISHETANI NYIE WATU HUYO SIYO MTU MWEMA ANAWAPELEKA KUZIMU SOMENI MAANDIKO MTAMJUA ANAMWAKILISHA NANI ACHENI UVIVU
Anatukuzwa mtu badala ya Yesu
Kanisaa zima jehanam at vitu znaimbwa azieleweki. Uyu na jo devi hawana tofaut wanataka sifaaa nyimbo anatungiwa yye badala ya YESU 😢😢😢😢😢token hpo nyie mliyefungwa macho ya rohon
Hivi viongozi wa kikristo hawapo? Kuzifungia hizi Laana
Serikali jamani ingilieni kati haya makanisa ni uhuni na wizi mtupu
Hivi huyu mkongo amepate uraia kirahisi kuja kuwapoteza watz?😢 Mama Samia wasaidie watu wako tafadhali
Shetani kachafua kazi yamungu isionekane c kitu .imeandikwa mtawaona kwa matetendo na niwakati wa kuonekana mungu wa kweli ama c mungu wakweli maana hata waganga wamisri walizibadili fimbo zao kuwa nka kama fimbo ya musa lakini nyoka wa musa alivmeza vyote ndivyo itakavyokuwa.ndivyo itakavyokuwa ivi imaingizo vyote vya manabiii hawa wauongo vitamezwa vyote
Turejee magotini sio sawa
m.th-cam.com/video/EeD0i-aMtBM/w-d-xo.html
🎥 Kassiano kassebo ~UPENDO WA KWELI. - TH-cam
Hivi hiyo ni Martha Mwaipaja wa kweli au?? 😢😢😢 Inaumiza saàna tunakoelekea sasa
Nikweli nimeamini wanawake atuwezi kuhimili mafanikio lazima miguu ipoteenjia
Muwe na akiri nyinyi macho yenu yakaone,mbona mnakuwa wapumbavu.mnapelekwa shimoni ukumnaona.akuna kibo ko wala nn shetani mkubwa w
Naitwa esta razaro baba nina changamoto mbaka sitamani kuishi nimeibiwa pikpiki mtu nimempa afanye kazi kaiba kila nilo fanya 0 nimekuja sana buza lakini wap naomba msaada baba
Kila jambo lina kusudi lake na Kila tatizo linalokuja kwako ni mzani wako mungu anakuona changamoto KULINGANA na imani Yako so okoka mkili yesu kuwa wakwanza kwenye maisha Yako na endelea kumsubili yeye atafanya ila sio mwanadamu mungu anasema alaaniwee amuaminiye mwanadamu kuliko yeye so Mpe mungu maisha yako Naye atafanya
Hakika amewaloga wala gamjitambui kabisa wengine na elimu zao lkn wamo wanazoom
Nahitaji kuja hapo kanisani nikija buz anishuke kanis kituo gani
Nitabirie na mm baba
Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako
Mwambie Yesu.Sumbuko lako
Nitabirie na mm baba
Amina mtumishi nina changamoto kubwa nahitaji msaada wako
Nitabirie na mm baba
Naitwa jovitha. Baba nitbilie Mme wangu alikua naduka lafriji amefunga. Naanafanyaga. Kaz naaanayo Fanya pesa aionekn namtoto Wang anakaaga anaumw bba. Mtoto naasaiv anaumw mummbee. Baba
Bab natena. Tanngu Mme wangu anioe hjawai kunipeleka. Kwao
Bba. Nitabilie .bba mm jovth