BAADA YA KAULI YA RAIS SAMIA TUNDU LISU AMJIBU KWA UKALI AMTAJA MWANAE AMENILETEA RUSHWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 10 มิ.ย. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
TH-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Heche,Mbowe,Mnyika na makamanda wengine mko wapi?
Salum Mwalimu pia alipotelea wapi
@@Nyalafuatakuwa alipotelea kwenye noti ya mia
Muungano unaumiza Tanganyika! Zanzibar kukoshwari lakini Tanganyika hakuna peace tunavurugwa sana.
Kigaboni nako tumefukuzwa.
Tanganyika tulipigwa changa machoni! Zanzibar wako vizuri.
Mbona hii ni hotuba ya Tundu Lissu ya tarehe nane June na siyo majibu ya Tundu Lissu wa kauli ya Samia? Huu ni uhuni tu kwa upande wa Mtangazaji?
Kweli kabisa huu ni uhuni kupitiliza.ujinga tu.
Ni kutokuheshimu watazamaji wenu na wasikilizaji wenu!
Huyu bwana hajitambui Kama kashapitwa na wakati maskini huyo mama Abdul ndio kashakua raisi wako wewe sema Tukana kejeli ukweli uko palepale ni raisiwako
Tuambie utawafanyia nini watanzania? Ni kusema huyu mama si mama yetu! Wewe utaleta manadiliko gani?
Kweli Watanzania tunakuwa walegevu kiasi cha kukatisha tamaa! Yaani hongo ya wazi ya hizo pikipiki 700 kila mkoa, tena zikiwa tayari na jina la anayetarajiwa kuwa mgombea u Rais 2025, bado watu hawataki TL aikemee kama rushwa ktk uchaguzi? Kama hilo halikemewi kwa vile ni la Rais SSH, hiyo rushwa nyingine kwingineko kwa nini inakemewa na kuchukuliwa hatua?? Inastaajabisha sana jinsi mambo yalivyo hovyo hovyo hapa nchini; someone once said: CERTAIN THINGS ONLY HAPPEN IN TZ!
Kwakweli ndugu watanzania hatujielewi baadhi lakini maana hii ni hongo na pesa za umma ndo zinanunua izo pikipiki
Zungumza tu sera ili tukubali au tukatae. Usimguse mtu! Anaweza kuitwa mama kulingana na athari zake kwetu wote.Hilo tuachie sisi.
MH LISU WATANZANIA TUPO PAMOJA NA WEWE UNACHO ZU NGUMZA UNAELEWEKA KWA ASILIMIA 100...CHAPA KAZI BABA AMSHA NA ENDELEA KUWAELIMISHA WATANZANIA ...TUNAKUPE DA TUNAKUAMINI TUPO PAMOJA MH
Katika hao watanzania mimi nitoe
😂😂😂😂😂😂saf sanaaaaaa lisu nakukubar sanaaaaaa
Mm kichwa kiko sawa kweli
Wew shonga asha kiongosi wetu
Huwezi kuzuia mafuriko kwa Mikono😂😂😂😂
Tundulisu huwa hun 25:40 ahoja zaidi ya kumsema Rais hakuna Rais ambaye hujawahi msema .pikipiki hizo zinakuhusu nini nawewe nunuwa uwape wanachama wako
Me lisu bamkubali ila sipendi akiongelea mambo ya dini tuu nd namchukia
HIVI MBONA HAMTOI TATHIMIN YA MAANDAMANO AU ILIKUWA N JOGINGI😂😂 NAOMBA KUWASILISHA
UMEJUAJE?
Nyie watanganyuka mnacheka kusema mtu atafanya mkurano au atakuwa mahabusu hayo ndo yakucheka lisu akiwa serious au mbowe nyie mnacheka
Upuuzi tu
Mungekuwa Congo
Swala la kuitwa MAMA tuachie. Uchungu wa mwana anaujua mama. Uchungu wa mama anaujua mwana! Ana UCHUNGU wa kweli na sisi watoto wake wa Kitanzania.
Mavi ya kuku wewe
Isitoshe hotuba kuwatukana polisi kila siku matusi tupe utatufanyia Nini wewe ukipewa nchi
Hana jipya kibaraka wa wazungu huyu
We ni mwehu police gani katukanwa
Ona ulivyo na tatizo la afya ya akili hiloooo jibu kwa hoja matusii yanakushusha utu wako na kama unahasira usijibu hoja nayo huwa ni hekima
Mama Abdul izo ni mvua za Rasha rasha Bdo mda
Lisu mungu hawezi kukupa nchi wewe kwa kuwa unadaiwa fedha nyingi na wafadhiribwako wakoloni weupe cha zaidi mungu atakunyang'anya pumzi kwa uchochezi
Wewe nani umsemee Mungu kwa ishu za Lisu?
@@aaronswai3092 mkono wa mungu mfalme wa aman
Toa Sera utatuletea Nini tupe ukitawara utaiendeshaje nchi elimu ndogo wewe huwezi ungekua umesomea uchumi kerere tuu
Kwanza mimi na hasara kumsema vibaya Rais mala nyingi muache afanye kazi kama wewe huoni kazi anazofanya kasafishwe macho
Watu niwajinga kweli mumtu anasaidia wakaaji atinimubaya kuanzia wakatiwa maguli ilikuwahivyo tu watanzania hamunashukrani
Duh hicho kiswahili😅😅
🙏🙏🙏
Lissu akachukue ubunge tu!
Rais wa mioyo ya watu
Mimi Lissu mwangu ni chaguo mpenda haki na mkweli kura yangu na familia yangu ni kwako 25
LAKINI MBONA WALINZI NI KAMA NI MAPACHA?
Kamaunamradi wakufuga unapashwa kununua maeneo kwaajili yamifugo yakwako
Muandishi akili huna hutuba ni ya tarehe nane na mama kaongea jana wasemaje kuwa kamjibu mama?
Jibuni hoja safari hii habebwi mtu na mama
❤
Bila Kodi hakunamaendeleo
Kodi inakanuni yake sio Kodi ya hovyohovyo.
kijiti kimekukaza jiulize wale waliowahi kutawala Zanzibar walikuwa kutokea wapi?
MAKAFIRI WA UINGEREZA
NDIO
WALIOTAWALA ZANZIBAR
Waliotawala Zanzibar ni Makafiri kutoka Uingereza na ndio walotoa Uhuru Kamili kwa Sheikh Muhammed Shamte al-Shirazi kwa niaba ya Wazanzibari.🎉❤🎉
Makafiri wa Tanganyika na Wabara walojiita Wafrika walikereka na waliubatiza kuwa ni Uhuru wa Bandia.
Waliwapindua Wazanzibari kwa sababu ya Dini yao ya KIISLAM na kuunganishwa na Tanganyika kwa faida ya Kanisa na Usekula✝️
KWAKHERI UKOLONI KHEKHERI UHURU
ZANZIBAR ARIJOJO 😂😂
Hao wanaosikiliza kwako mkutanoni wachekapo wanakucheka wewe LISU. Hutambui hili? Sera zako Baba ndizo zinazotakiwa. Unatushangaza ati!
Huyo Lisu ana tatizo la Afya ya Akiri Akatibiwe baada ya kuongea mambo ya msingi anamsema RAis kwanza anatuzazalisha sisi wanawake
Hata mama wa mwenzio ni mama Yako
Umechoka achia uongozi kwa vijana .kapumzike
Kama unaweza kumsema vibaya mtu ambayo alikuja kukuona Nairobi hospital ulivyopigwa risasi jee sisi wengine wa mama utatujali?
😄😄😄
gg
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
Yan baba unavyohangaikia mambo ya dunia achana nayo baba angu siasa co nzuri..nawa mikono kwenye mambo ya siasa saiv tafuta uso wa MUNGU na NGUVU ZAKE ingali bado unanguvu baba yangu..tangu umeingia kwenye siasa umepata nini. Sasa nakuombea na MUNGU akusaidie
Tatizo lako kubwa hujui lolote kuhusu siasa inahusisnaje na Mungu!!!
MUNGU AKUBARIKI
LIsu hahahahahaha amegawa nini?kaka ndo maana wanakupiga hahaha ume mtait sana samia japo kuuza ardhi yetu sio sawa kabisa
Mkutano una watu kumi na migomba kibao
,,,😂😂😂😂😂😂 em kunywa soda af ulipe ehenzi kabisa😅😅
Hujielewi wewe eti watu 10 lissu hasombi watu na malori
Binafsi sipendi approach unayoutumia mhe Lissu! Instead of critics mi nadhani ungejikita kwenye Sera zaidi. Sishabikii chama chochote ila nadhani watanzania wanapenda zaidi kusikia mikakati ya maendeleo rather than kusikia ukimtuhumu mtu kwa hili au lile. Angalia point zitakazomkomboa mwananchi ndio unaweza kuwavutia watu zaidi kuliko ku diss
Umesema binafsi, so ungekaa kimya au husiangalie video crip zake. Hujalazimishwa
Sera chadema wameshasema kwa Sasa wanatufindisha tuwe na ufahamu wa kutambua Hali ya nchi na nini kinaendelea.anatufjndisha ni kwanini ccm wameshindwa kutupatia maendeleo
Kweli kuamsha mifugo ni kazi kubwa sana! Yaani wewe hutaki azungumzie rushwa ya wazi hiyo ya hizo pikipiki 700 ushee kila mkoa kwa wapiga kura, unataka badala yake azungumzie tu yeye atakavyoleta maendeleo kwa watu, hivi unaelewa usemacho wewe? Maendeleo gani yataletwa na Rais anayetaka achaguliwe 2025 kwa hongo ya pikipiki? Kama hilo kwako si hoja bali 'maendeleo' basi wewe kioja, mfugo😢
Kama hauna akili nzuri utashindwa kumuelewa mh
Lisu.Mungu azidi kubariki na kulinda kwani anawazindua akili Watanzania hasa Watanganyika
Watanzania serkali imewadekesha kabisa huyu mupinzani alikosavyakushitaki serkali kabisa aje Congo mashariki. Aone wanaoteswa
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
Sera tusubiri kampeni kwa Sasa ni elimu ya kujitambua.
Jitahidini kukubali mabadiliko
Maandamano yenu faida yake iko wapi
Vipi na wewe. Una ungainly nyumbani au umelala njaa
Amna kitu apa Kwisha kazi
Tundu sera hana hajui akipata uongozi atatufanyia nini,kazi yake kulalamika
Unapoendelea kumsema Vibaya Samia, ndio unaifanya nafasi yako ya kushinda hata nafasi ya Udiwani, hao unaowahutubia nusu na robo ni wapenzi wa Samia "keep my words"
ww lissu yupo sawa na wala haja msema samia vibaya anaisemea ccm bas namna wanavo tunynyasa
Wacha wamsemao vibaya waseme;Naa,
amsemae vizuri aseme!
Anoweza kushinda uchaguzi huwa anaiba kura?
Lisu anaongea sahihi
Sie watanganyika kama hatutajitambua
Tumekwisha
Wajinga ni wewe mchawa wa samia nani anayetaka utumwa wa wa Zanzibar ila ninyi wachawa wakubw. Hongera mtangazaji na Hongera jembe la wa Tanganyika Tundu Lissu
kelele za chura tu hizooooo
Demokrasiaaaaa
Mimi nampenda sana rais wa nchi yangu.simtaji kwa jina kwa kuwa ni kumkosea adabu.yeye ni mh.mtukufu rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
Pia nampenda saana mh.tundulisu kwa kuwa ni mwana harakati wa mageuzi kupitia chama chake ndani ya vyama vya upinzani.lkn pia namwona kama ni nabii au mtume wa kisiasa.e.bu tuone vissiom yake
Eti jembe la Tanganyika! 2025 atakua mundu! Nimekaa palee!😅😅😅😅😅
Wewe tukana Tu hupati Kitu nenda Kwa zungu wakufire
hutba mavisana,haieleweki maanayake
Huna hoja utawapanda wadini wezako tu nawachaga
Jinga sana wewe
Kuwa na hakili kidogo
jinga ni ww unae pata lushwa kutoka ccm wana nchi tuna teseka huku mtaan
Mpuuzi huyu kwann hakufa
Kweli umepofuka wala huoni maovu hata kusikia hakuna. Si Shangai hata darasani mwl akifundisha wapo wapatao A na wapo wa pato F. Sasa wewe upo kwa hao wa F.
Nafikiri atapata 0 plus na ni kibaka ameache Lidu wetu ni mkombozi wa Taifa hili
Hivyo unajeuri ya kumwambia MUNGU aliyemuumba kwa nini kumpa uzima Kiumbe wake,naogopa sana, au una kiburi cha uzima au huamini kuwa yuko MUNGU anayesema USIUE roho zote ni Mali yake,ingia kwenye magoti utubu,maana hapo unamkosoa MUNGU anayetoa Amri. 'USIUE'!!!!!!!!!
@@pennymahombo9528 mtu anaesapoti ushoga anahaja gni kuishi dunian
@@sarahjames2287 mkombozi au mtetezi wa mashoga
Muongo mkubwa Wewe
Kuliko wewe Afadhali Samia Suluhu Hassan
Hunachamaana tena lissu
Chama chachaga hii hichooo huna mpya
Toa sera zako kaka acha kumzungumzia rais sawa
Mfano sera zipi??
Hawa vbaraka wa ccm wasio jielewa ipo cku wataelewa tu ni wajinga ila wataelimika tu ...LISU NO:¹