Hahaaaaaa nawecheka msomjuwa utendaji wake wa kazi ndio alivyo hivyo tumchulueni tuthamin mbio zake hayo mapesa sio ya Mwinyi wala sio ya CCM ni jitahada zake na wenzake ndio zikapatijana hebu tuwacheni utashi wa kisiasa tutizame nini anafanya kwa maslaha ya Wazanzibar
Zanzibar watendaji wamezidi uvivu hongera mh wazir
Hongra sana Mazrui.
Duuu kwelii
Sawa muheshmiwa lkn busara inahitajika
Maana majukumu tuliobeba katika sekta hii ni mazito mno so busara inahitajika hapo.
Zanzibar wamezidi uvivu watendaji
Hamna kitu hapo debe tupu
Wambile wambile hao
Anamkaanga tu huyo ana maana na wizara ikiwa hazifanyi kazi zake basi na Raisi na wenzie wote wajiuzulu.
Huyu hawezi kuwa CCM kwa matendo waliomfanyia kwa kumdhalisha na kutesa kumteka na kumpiga kipigp cha mbwa mwitu
Kauli gani hiyo ya kusema kama wanaona mshahara mdogo waondoke..?
Au ndo umeshakuwa ccm?
Mnaanza kwani mbona Wazanzibar tunakuwa wanoko mshaziweya kuzezeta tu
Huyo Nassor Hamumjui anatowa challenge hapo kwa Dr Mwinyi
Hahaaaaaa nawecheka msomjuwa utendaji wake wa kazi ndio alivyo hivyo tumchulueni tuthamin mbio zake hayo mapesa sio ya Mwinyi wala sio ya CCM ni jitahada zake na wenzake ndio zikapatijana hebu tuwacheni utashi wa kisiasa tutizame nini anafanya kwa maslaha ya Wazanzibar
Nasaha zangu hizo mkuzitaka sawa msizatake mna khiyari yenu
Walojaa hospitali ni mibunju haiwwzi kazi eti. Mazurui ni ACT na wala habadiliki.
Anatetea wananchi na sio kubebana hizo ni sera za ccm.