🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- 🔴#LIVE: WAZEE WA SIMBA WATEMA CHECHE MATOKEO MABAYA YA TIMU; "TUNARUDISHA CHUMBA NA 4 KUUA MABAYA"
Wazee wa Simba SC wanazungumza muda huu kuhusu mwenendo wa timu yao baada ya kupoteza michezo kadhaa ya Ligi Kuu Bara.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv... - กีฬา
Simba nguvu moja asanten Sana wazee wetu kwa umoja wenu na kwa kuliona hili kwa kuweka hamasa
Asante wazee wetu tuko pamoja simbaaa nguvu moja
Safi sana wazee wa Simba ,Simba nguvu moja
hongereni sana wazee wetu kwaumoja tukopamoja.simba nguvu moja.
Asante Sana wazee wetu Leo mmetoa baraka lazima tushinde
BIG UP ( WEKUNDU WA TANZANIA )
Hii ndiyo SIMBA SC NGUVU MOJA NINAYOIJUA💪💪💪💪
msiba mkubwa ukitazama bila maudhui utafikiri Mashekh na waumini wamekutani katika ibada kumbe.....................!!!!! kweli msiba mzito
Boko anatumika na manala manala anamtetea Kama nani mnafiki mkubwa nakumbuka walikua Wana pozana wakati manala anaondoka🦁💪🙏🙏🙏
Simba 💪💪
Mungu atatusaidia simba nguvumoja
Wewe mzeee mbaya huna uisilamu kazi yako Imani potofu
Mzee upo sawa Kuna husuda wazee wa Simba angalieni hayo kwa upana
Wazee mko vizr nguvu moja
Wazee ni hazina kwa vijana tunawaelewa vzr wezee wetu
Wazee mnataka kuleta fujo, mpira umebadilika na nyinyi mbadilike hayo mambo ya chumba namba 4 yamepitwa na wakati, timu haifanyi vizuri tatizo ni wachezaji hasa wafungaji na hili tatizo ni tangu mwaka wa jana likianza kujitokeza, makosa yaliyofanyika ni kusajili viungo wengi wakasahau kununua mshambuliaji wa uhakika chumba namba kitasaidia nini wakati hakuna mshambuliaji acheni fuji tutarudi nyuma.
Sasa muhindi akae vizur hao ndio wenye timu yao...magori si kawekwa na mo? Au...?
Tatizo hapa Sio Nini ni dharau Kwa wale walioifikisha Simba hapo ilipo jamani huwezi kumuondoa manala Kirahisi namna iyo manala yeye alikuwa jikoni Leo Yuko upande wa pili Kwa iyo Siri zote za Klub lazima zivuje TATHMINI
Yeah tatizo lipo kweli tena linalo idhuru simba hicho kiumbe kunà kitu ndani yake kinacho uzur simɓa ni hilò uliloliongea mchezaji hata akija awe mzur ataonekana mbovu walitatue kwaharakaka sana hilo nalo neno wapo waþo kubar nawatao kataa
Yaani mazeee yapo tayari yafanye shirki kwaajili ya mpira majinga kweli kweli
Yamenza ya yangahayo
Kuna mzeee mmoja katibya Hawa wazeee hapepesi macho
Naungana na wazee kushiriki mkutano. Smb sc nguvumoja
Wekundu wa Tanzania smb sc nguvumoja Kama Kuna watu wanaichezeza timu ya smb kinawarudia
walipitia kwa haji, bahati nzuri barbra akamgundua mapema
Safi
Ofisi ya Barbara ni chumba namba ngapi hapo Klabuni Msimbazi?
BARAZA LA WAZEEE LIRUDI KWENYE KATIBA MMMMH HAKUNA UWEKEZAJI TENA
Kwani simba imechukua ubingwa mara 4 mfululizo na kimataifa imefanya vizuri na hao wazee hawakuwepo nikionacho hapo watavurugana na Mdhamini wao ambae anaamini ktk usajili mzuri
Wekundu wa TANZANIA 🙄👍👏👏🦁💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Napenda mzee hasani dalali ikowa mwenyekit wa Simba Simba Simba ilikuwa haifungwi na yanga
Na kweli tushaanza kwa kishindo mara tu baada ya kikao hiki kukamilika
Magori umewaengua wazee wetu,leo wazee wamekaa pembeni chama letu la simba linavunjiawa heshima..
Kwn yanga haina wazee?
Shikamoo ndio sawa
Hahahahahaha hakuna kitu mpira hauna mambo hayo kama wachezaji wamechoka wamechoka tu
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖
Wazee wasikuizii wa ovyoo sana mnakosa ata uchawi wakuu wakifanya simba iwe inashinda kila mechi
Simbaa nguvu moja 💪
Nyie waandishi maongezi ya undani haiwahusu
Naomba namba ya Dalali.
Wakati makolo mnarudi chumba na 4 yanga wanasajili electronically ili ku advance kiuchumi
Aaaa kumbe wazee wanataka kwenda Ikulu kwa mama Samia Suluh Hassan ili ishinde mda wote kwa sababu Simba ni timu ya Mzee Kawawa duuuuu
Wanawaza wamerogwa na yanga kumbe upepo tu umewabadilikia ndio maana ya Mungu wa kwetu wote hiyo
Mm nashangaa wazee kama wote lakini bado tunafugwa kweli jamani😭mnashidwa kuangalia upande wapili jamani fanyeni kitu
Mmekwisha wazee
Mmekutana tena mechi.ya ligi inayokuja mnachezea tena
Ivyo nyie watangazaji hamjielewi manina zenu eti heshima yetu ndo nini acheni ujinga wazazi wenu mnawasalimia ivyo au fyuuuuuu
Chumba namba nne Cha uchawi,😃😄😅,kwani Simba isifungwe wao nkina Nani,waache ushamba,je wanaocheza nao ni wanyama wale siwatu Kama wait wasitake kutuletea upuuzi Simba imepotea muache ushamba ,inafungwa Manchester sembuse nyie 😎,acheni ujinga
Unakaa ili ubadiri matokeo au timu wachezaji wamechoka wamechezeshwa mda mrefu usajilri unahitajika
Jamani naomba niulize eti timu za ulaya nazo zinabaraza la wazee??
Ndio
Ee ndio sinyie utopolo ndo mlianza kwa Moto na sisi tunamaliza kwa moto
Wazee wetu mmevurugwa kweli aisee
Si tunawasikiliza wazee wetu buana
Mo kaa na Hawa wazee
Timu bado inategemea nguvu ya wazee ili wawavushe hatua ya nusu fainal, hii inamaanisha viongozi wao wa sasa hawana maono hapo ndio walipo achwa mbali na yanga.
Room no 4?
Bongo bwana sasa wazee ndo wachezaji???
Mbona simuoni onyango na kagere kwenye icho kikao cha wazee wa simba
Chumba namba 4
Kwani na ulaya wazee wapo au wazee njaa hawa
Mbona simuoni Onyango, Boko, Nyoni, Kapombe na akina Shabalala?
Wazee wetu wa msimbazi fanyeni yenu kuinusuru simba yetu tangu tufungwe 5 na utoporo hatuna amani mitaani matusi na kejeli ndoo salamu zetu jamaa walituzidi sayansi na teknorojia ya giza hatakama simba yetu ingekua mbovu kiasi gani sio yakufungwa wingi wa goli 5 tumezalilishwa sana wezee wetu kaeni nakuchunguza kwa makini sana kuhusu jambo hili
Hatuhitaji wazee Mpira wakubwa na wazee wanaotegemea chumba namba 4 Kwa be Zama hizi hawana nafasi,tunahitaji matokeo yanayoonekana na wala sikutuabisha eti utamaduni
Wazee Wa simba ni magumashi. Timu mbovu majungu kibaoo.
Tutayajua mengi sana mwaka huu mbona..Chumba namba NNE!
Wazee hakuna shida walitaka wajue je Kati ya viongozi walio pewa dhamana ya kusimamia team au walio karibu na team wana migogoro sio shida hiyo ni heshima tu kwa wazee
Mshindwe kwa jina la Yesu kama ni paka hamtaweza tunavunja nguvu zote za giza hazitafanikiwa sisi tunamtegemea Mungu wazee wanaamini ushirikina mshindwe yaani mmesema wazi kabisa wazee mna chumba no 4 poleni sana mhhhh mzeee kaweka wazi mambo hadharani lakini hamwexi nguvu za Mungu zitatenda kaxi
Chumba namba 4 ICU
Kinachoniudhi kwenye hii klabu wametanguliza mbele uchawi kuliko kitu chochote,nachukia Sana.
wazee wana nongwaa sanaa mechi 3 tu kufnya hvyo washaanza vikao shwain
Mpila siyo wazee wafungaji allikuwa baleke
wazeee achanane na mpiraaaa
Uchawi fc
🎉🎉
UZURI KWA YANGA MWAKA HUU SIMBA WANAWEKA MAMBO YAO HADHARANI
Etii wazee warudishwe kwenye katibaaa
Ndiyo matokeo ya mpira wanasimba tuwe na subira Simba nguvu moja
Kikao kikubwa lakini mashujaa kakuonyesheni mpira
Pesa ya Azam imesaidia timu kusajili nyie mmebaki na kina kagereeeeeee
wakacheze wao kama wanajua mpira ni kununua nyanya sokoni
Ligi imebadilika
Namuona hapo mzee wawa mzee onyango na mzee boko. Mbona wengine siwaoni
DALALI ALIFUNGWA SANA NA YANGA
Ulikuwa Bado mdogo hukumbuki kaulize tena wakubwa
Mzee usijimalize hao waandishi ninafiki
Pengine mganga anawadai
Mlipen yule mganga anaedai magol yatsonekana insha ala
Tulianza na wekundu wa msimbazi tunkuja wekundu wa watanzania hadi wekundu wa African
😂😂😂😂 akuna uchawi ni uwezo tu! Izo ata ulaya sinatokea sana watu wanagonga tu miamba ata mitano alafu wanafungwa goli moja 😂
Mzee bwege huyu...magoli utajilinganisha nawwe mlamba ugolo...nendazako kacheze bao kule we mzee njaa kali
Hamna kazi za kufanya tu na ujinga wenu wenzenu kipindi wanasajili nyie mlikalia tetesi na wandishi wenu mandazi na mwaka huu mtaomba po na mtatamani mpande mbinguni kwa Mungu mkatubu
Boko Ni kaputeni Ana kosa gan
Hatakama wazee mkutane vipi mloge vp hakuna kitu
Mpira wa kisasa hautegemei nguvu ya ziada. Kubalini tu wachezaji wamechoka. Ongezeni damu mpya tu
Hawa wazee kwasuratu wanaonyesha niwachawi
UKIINGIZWA CHUMBA NO. 4 UMEKWISHA KUDADADEKIIIII
Mpira unachezwa uwanjani tubadilike mechi tatu tu shida!!! It's a shame
Mtaloga sana mwaka huu wehu njie na dawa yenu nikuchomwa moto tu
Dalali aludi kwenye nafasi yakee
Hawa wandishi wananikera
Utumboooo tu huo
Timu ina wazee kina onyango
Nyinyi utopolo mnaumwa nanini wazee wa simba nyie mnawashwa wapi.tuacheni na simba yetu.utopolo haiwahusu.shobo tu
Baraza la Wazee kwenye katiba ya simba!! Kule kule zamani za kale... gabachori hawezi kukubali...bln 20 ulezeni
Someni albadruuiii
🤣
😂😂😂😂😂😂
Naona vibarakashe kama vyote