Mwalimu Nyerere aliyazungumza haya ya kuwa mtapata tabu Sana mkiwaingiza wafanyia biashara kwenye mfumo wa kiutawala, Bashe kiasili Ni mfanyabiashara hawezi hata kidogo kutetea kilimo Cha Tanzania hasirani
Kweli MZEE uko sàwa ATA Mimi nimeona ni mchongo wao kupiga madili Bashe ana msaada wowote huo ni uhuni TU atutaki hizo billion 3 watupe TU mashamba TU tujitafutie mtaji tuingie MASHAMBANI Tukalime maisha ni magumu sana
Tatizo hili lipo africa nzima pale viongonzi wetu wapo madarakani huwa wanashindwa ku practice yale wanayonena inapaswa tujiulize kwanini wanashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya taifa? Na Akitokea kiongonzi ambaye mwenye uthubutu kutekeleza miradi ya kitaifa basi atauliwa au atatolewa kwenye madarakani. Lazima kuna program ya kuhakisha waafrica wasipate urahisi kwenye maisha yao
Inashangaza kidogo kila mtu akishatoka nje ya mfumo ndio anakua na plan B za kutosha! Ardhi ipo ya kutosha, maji ya mito naaziwa tunayo, vijana tunao, lkn tuko tayari kutenga bil 3 za kuwapa vijana laki mojamoja wakatembeze karanga,ngano tuagize nje kweli!
Ccm haijawah kuwa na watu wa maana hata mmoja huyu alpokuwa na uongozi alkuwa hajui hayo leo hana ktu anajifanya ana akiri kulko maccm wenzake cwez kuipenda ccm milele ina watu wa ajabu xn
Bashe is good and very smart, highly manipulative, and spinner. The problem is that he talks too much in theories. However ; when it comes into practicality, it does not concise with those theories.The lesson is to talk less and do more
Akili zinarudi akishatolewa nje ya system, Pamoja na kuonekana km amepiga kinywaji anatoa point.
Wakiwa nje wanakuwa na mawazo mazuri sana
Kweli Mh Raisi anatuwazia mema sana wananchi hasa sisi wa chini lakin maelekezo yake yanaeza kua yasifanyike accordingly
Mzee wa kuumwagilia moyoo
Kitwanga Yuko sahihi
Mwalimu Nyerere aliyazungumza haya ya kuwa mtapata tabu Sana mkiwaingiza wafanyia biashara kwenye mfumo wa kiutawala, Bashe kiasili Ni mfanyabiashara hawezi hata kidogo kutetea kilimo Cha Tanzania hasirani
Mawazo mazuri
Kitwanga yuko sahihi very smart, Billion 3 iajiri vijana 16,000?
Mnamuona HAMNAZO lakini anayosema ni kweli tupu
"Maligati" kitungi kinahsika
Kwani amelewa mbona mdomo mzito!?
Ndo yuko ivo
Huyu alipewa Uwaziri akafukuzwa ndani ya miezi miwili kwa uzembe leo na yeye anaona wenzake hawana akili.
Cheo ni dhamana…
Kuna ukweli kabisa hivi 187500 unaweza fanya kilimo gani Cha kulikwamua taifa?
Kiufupi naanza kuwaelewa kina Wenje na Heche kwamba serikali inatumia vibaya kodi inayokusanywa kwasababu rais anashauriwa vibaya na wapiga dili
Ndg yetu ana mawazo mazuri sn lkn alikuwa na fursa kipindi chake alipokuwa baraza la mawaziri!! Mbona bodi ilikuwepo?
Kweli MZEE uko sàwa ATA Mimi nimeona ni mchongo wao kupiga madili Bashe ana msaada wowote huo ni uhuni TU atutaki hizo billion 3 watupe TU mashamba TU tujitafutie mtaji tuingie MASHAMBANI Tukalime maisha ni magumu sana
Jisajili mashamba utapata shamba
@@georgemedeye3469 unajisajiri vipi?
huyo mlevi wa hovyo
187,500 dah
Kwnn unamhoji mzee mlevi hyo unatupotezea muda hawez kujifananisha na BASHE akalale mlevi hyo mzee
Bilion 3 ukizigawa kwa vijana 16,000 kila mmoja anapata 187,500 huu uwekezaji utakuwa wa tija kweli???😆😆😆😆😆 Mbavu zangu mimi
kalewa huyu
Amelewa mama yako
Mwandishi unamuhoji mtu aliyelewa kweli achan na bashe mafisadi nyie
Ameshalamba laga huyu 😂😂
Tatizo hili lipo africa nzima pale viongonzi wetu wapo madarakani huwa wanashindwa ku practice yale wanayonena inapaswa tujiulize kwanini wanashindwa kutekeleza miradi ya maendeleo ya taifa? Na Akitokea kiongonzi ambaye mwenye uthubutu kutekeleza miradi ya kitaifa basi atauliwa au atatolewa kwenye madarakani. Lazima kuna program ya kuhakisha waafrica wasipate urahisi kwenye maisha yao
Kitwanga ni mlevi tu ndiyo maana alipewa uwaziri ukamshinda kwa sababu ya gambe
Mzee hujawah kusaidia Taifa kwenye uwazir wako achana na BASHE hajawah kutokea mtu Kama Bashe wizara ya kilimo bashe ndo tegemeo letu kwenye kilimo
Amwache kabisaaa bashe. Bashe nikichwa
Na hizo b 3 nizakuanzia inamaana hawajaelewa kweli ? Au
Akili urudi ukiwa nje ya mfumo!!
Tungi haijawahi kumuacha mtu salama labda mtu aiache tungi salama
Yuko vizur ila na pombe nayo apunguze
Inashangaza kidogo kila mtu akishatoka nje ya mfumo ndio anakua na plan B za kutosha! Ardhi ipo ya kutosha, maji ya mito naaziwa tunayo, vijana tunao, lkn tuko tayari kutenga bil 3 za kuwapa vijana laki mojamoja wakatembeze karanga,ngano tuagize nje kweli!
Tu akili kweli sisi????????????
Ag
Ccm haijawah kuwa na watu wa maana hata mmoja huyu alpokuwa na uongozi alkuwa hajui hayo leo hana ktu anajifanya ana akiri kulko maccm wenzake cwez kuipenda ccm milele ina watu wa ajabu xn
alikuwa kwenye mfumo na malekezo kulinda tumbo
He seems unhealthy or drunken and slow thinking though he appears to talk practical sense.
The guy went through a lot.He had a stroke but aliwahi aka recover.
@@mamachacha6478 Too bad. Ndio sababu. Mungu amponye.
Kitwanga hujamuelewa Bashe au achakupotosha watu vijana waliosajiriwavijana 16000 waliopata 900 ndio wahusika wa hio bil3 au ushamwagia moyo
Khadija sarkaly uelewa wako mdogo acha waongee wenyehakili kubwa
Bashe is good and very smart, highly manipulative, and spinner. The problem is that he talks too much in theories. However ; when it comes into practicality, it does not concise with those theories.The lesson is to talk less and do more
Mtamwelewa taratibu ngoja twende
Hata nyerere kunawatu hawakumwelewa🤔🤔