Salehe acha mahaba yako kwa Simba.Kama wewe ni mwandishi wa habari mzuri lazima ubalance story.Mbona upande wa Yanga kuonewa na Kayoko husemi?.Beki Hamza alitakiwa apexe kadi nyekundu baada ya kumfanyia faulo Dube akiwa mchezaji wa mwisho.Lingine Camara kumfanyia faulo Musonda ndani ya box😂
Sarehe muda mwingine huwa unachambua mpira ipasavyo ila muda mwingine huwa unajisahau kwasababu ya mahaba ila leo uko vizuri big up sana
Sabri ni mzuri sana, winga haswa
Zee la ubwabaa hiloo
Salehe acha mahaba yako kwa Simba.Kama wewe ni mwandishi wa habari mzuri lazima ubalance story.Mbona upande wa Yanga kuonewa na Kayoko husemi?.Beki Hamza alitakiwa apexe kadi nyekundu baada ya kumfanyia faulo Dube akiwa mchezaji wa mwisho.Lingine Camara kumfanyia faulo Musonda ndani ya box😂
Sikiliza zvr mbona ashasema kuwa Hamza alipaswa kupew red