HUYU HAPA DADA WA KAZI ANAYEDAIWA KUMPINDUA MAMA MWENYE NYUMBA NA KU.. . . . . . . . . . #DADAWAKAZI #AGEUKAMKE #ANAYEDAIWAKUMPINDUAMAMAMWENYENYUMBA #tikitvkiakilizaidi
We Dada Mnafiki sana, Subiri Uwe kichaa, Unangangania NYUMBA ya MKE WA MTU, SI upangiwe ya kwako au Ujengewe yako!! Asee huyo Mwanamke mwezangu ni MJINGA sana, Mimi ningekumaliza ALBADILI Ingehusika.
Wewe ni malaya,umekaa vizuri na mtu alafu unatembea na mme wake,nenda kwenu siunawazszi, sio vizuri kuachanisha ndoa ya mtu,hiyo ndo heshima uliyoambiwa kwenu
mimba ilimpenda kijana wa gengeni. Nawashangaa sana wanawake mnaoachia wafanyakazi vyumba vyenu. mimi wafanyakazi wandani naajiri wakiume lkn bado hawajui chumba changu hawakijui kilivyo sembuse msichana? niko busy sana na kazi ila siwezi kuingiza mtu chumbani kwangu asiye mume wangu. mpaka mfanyakazi azoee chumba chako? huzuni sana
Hata kama angefunga chumba bado huyu ajuza angetembea tu na huyo ajuza mwenzie lakini malipo ni hapa hapa kesho akhera ni hesabu tu. Macho kama paka shume.
Yaan we dada mwenye nyumba unaacha nyumba yako fukuza huyo atajua mwenyewe huko na hawara yake wanaume washenz ata kama da zuu angefanyaje mwanaume hazuiliki jaman inatia hasira
Yaaani mpuuzi wewe huna hata chembe ya aibu,,,,,,,,,nyooooooo Malaya 1 weeeee😏😏😏😏😏😏😏. Ungeona hata aibu wende zako ety ukajfanya king 'ang'anizi kama rubber🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷
Nikweli ww dada unaonekana unaadabu ila Hilo janaume limekuadaa sasa ondoka hapo acha kuendelea kumsikiliza nenda kwwnu akikutaka atakutafutia sehemu yako
Wake wa vyenye vijisent ni wavivu hawana lolote ndio maana wanafundishwa kazi mfanya kazi wa nini mwanamke wewe acha uvivu kama Huwezi subiri wanoweza wakufanyie mtakoma na ubishoo wenu
We huna lolote umefanya kusudi we Malaya tu kwa Nini unga'nga'nie kukaa humo ndani?Kama ungekataa angekulazimisha?toka humo ndani umeharibu ndoa ya Watu mjinga mmoja wewe
Namuoneaga huruma sana da Zuu maskin alikuwa anakupenda ilikuwaje uskatae au ukamwambia da zuu jamen nimeumia sana wanaume sio watu wazur jamen pole da zuu.
Wanaume niviumbe wasio eleweka Yani ukiwa bize ndo kama hivi wanatoka na madada wa kazi ukiwa nyumbani hujishugulishi goli kipa hivi nyie wanaume mnataka tufanye nn mbona mnakua gamna huruma na sisi jamani tufanyeje Sasa eti😞😞
Tatizo kubwa wanawake munapenda kiwadharau wanawake wenzenu sio tatizo kuwa goli kipa wala kuwa unafanya kazi ujuwe majukumu yako km mke sio majukumu yote unamuachia msichana wa kazi hata km ww mumeo hakutimizii majukumu yake halafu kakuekea house boy anakufulia mpaka chupi munapiga story anakufurahisha mumeo hana muda na ww skitoka asubuhi mpaka usiku muda wote uko na house boy je akikutongoza utakataa
@@abduomar8438 why ata penye kosa unalikata ? Kiufupi sisi ndo chanzo na sio wanawake kama tunavowatupia makosa mda wote uyu jamaa kamkuta kazini than kamuongezea mtaj sasa yy kosa lake lipi ? Kama angelikua atak afanye kazi angemwmbia tu
Mwanaume mzima Hatosheki na Mwanamke mmoja Wanawake Kumbukeni Ukishindwa Kutimiza Majukumu yako bas mwengine atakusaidia.... Huyu mdada ni mzur kuliko mama mwenye Mume huo ndio ukwel
Wajina huyu dada anamoyo wake Yani ndan kwako jaman muombe yasiwakute na hawa wadada wakaz wangu yupo singida ataman kurud dar timbwili lenyewe mpaka polis
Mshenzi mkubwa ww bado hujatoka ktk nyumbaa mbwa ww halafu unajidai sababu ni da zuu hakufanya majukumu yk hiyo ndio sababu uchukuwe mume wake inaonekana ulipofika tu tayari umeanza kumpiga ujicho mune wa watu na muongo ww ndio ulijitakisha ulaaniwe
Shemeg alitoa bikra weeee noma xna watu wacomenti msimlaumu xna uyu dada nadhani mumesmikia alivyojieleza shemeg ndie mwenye makosa makubwa xna kumtoa mtu usichana wake simchezo amuowe tu maskiniiii 😭😭😭😭😭pole da amina
Izi mbuzi zina we kwanza nyumbani kama ma ibilisi , waza Tu nanavio ongea Na confidence eti dada upendo uka isha ,dada si mtu mkubwa ana instinct (feelings)
Yaani kupika ,kusafisha vyombo, kufagia, umeona umuumize mwenzako, pamoja na kukupenda kote, huna aibu unasema hakufanya majukumu yake. Ndio maana tunakufa kilaini Sana. Huna hata aibu. Eti shemeji, shemeji. Subiri nawewe uone. Mwenyewe tabia yake haachi.
Ulinogewa na mapenzi ya shemejiako kisa gari ngoja yakukute mwendandawaaazimu mkubwa ww malaya usie na aibu unauwezo wakutoka mpaka na baba yako ngombe ww
Kwa mtazamo wangu huyu dada hana makosa makubwa ila makosa makubwa yapo kwa mama mwenyenyumba kua bize kuliko kujali mume wake na majukumu yake yote akawa anafanya huyu dada wa kazi hapo ndo shida ilipoanzia pengine angekua anafanya majukumu yake kama mke haya yote yadingemtokea
Hicho ulichosema merry ni ukweli kabisa,Sisi wa mama wa nyumbani tukisha ajiri tena Majukumu yote unamwachia dada, kutafuta gani huko huna muda hata jumamosi na jpili uko busy, huyu dada anaonekana mzuri ni mpole
Mmhh sio kweli mie nipo nafanya kazi za ndani na kila kitu nafanya mie mpaka chupi nafua mbona sitoki na baba mwenye nyumba na pesa ananipa akinipa akija mke wake namwambia tena mbele yake hii tabia tu mtu na vibiti vya kisasa ni shida mtupu
Huyu dada ni sugu kwani kufua au kufanya kazi zote ndo ruksa ya kumchukua mme wa mtu? Sema umekutana na mpole mi nishakujaribu sura kabsa alafu ngoja yakukute ndu utajua hujuwi kenge ww
Shemeji kwakuambia utulie kwenye nyumba ya mwenzio. Malaya mkubwa wewe. Mnakujaga mjini mkiwa na nyege za mbwa. Madada wa kazi wengi ni majini ya kuteka ndoa za watu shenzi.
Eti maneno yameniumiza sana ulitaka asikufokee akuchekeee😏 awe na upendo na wewe wakati umejibebesha mimba na mume wake yani wee binti unabahati mnoooooooooo yani ungejua wala usingekubali kuhojiwa maana unaongea upupu upupu tu hapo mshenzi wewe eti shemeji😂😂😂mxiuuuu
Huyu dada muongo kufanya usafi chumbani ndio sababu ya kulala na SHEM wake? Ni tamaa na umasikini tu na ndio sababu bwana akaanza kumpatia laki laki ili kumshawishi kirahisi na yeye hakumwambia dada yake ili aendelee kuzifaidi ndio maana alipoingia chumbani kwake hakuogopa, hakupiga kelele na mchezo ukamnogea wakaendelea. Na kwa nini aendelee kukaa na mume wa mtu na kwenda naye clinic kila4 aendapo? Kama clinic mara ya kwanza kufuatana na mwenye mimba ni sawa sasa yeye ameamua kumfanya mume wake, hapana wewe dada hebu toka ukirogwa uchizi utalalamika?
Ushauri Wangu Wewe Dada Mama Mwenye Nyumba Uyu Ulimleta Kwenye Nyumba Yako Kama Mfanyakazi Nyumba Niyako Cha Kufanya Awe Na Mimba Asiwe Na Mimba Fukuza Uyo Mtu Wake Ajue Pa Kumueka Nasio Kuendelea Kukaa Nae Anaweza Kuja Kukuzulu Uyu Mimacho Yake Inatisha Ongea Yake Waziwazi Uyu Mwanga Fukuza Akajuane Yeye Na Aliyempa Mimba Kwao Wenzio Wanapigwa Lakini Wanatumia Kinga Au Vidonge Wewe Unaenda Kavu Kavu Kisa Nyumba Na Duka Ukila Na Kipofu Kula Bila Kumgusa Upate Kujenga Maisha Yako Bila Mke Kujua Wewe Kichawi
Wakati mwingine huyu dada hana kosa kwa sababu mwanaume akitaka kitu chake lazima akitimize, lakin pia wamama tumezidi kushindana na wanaume kutafuta pesa, ndio kinachotukost, huwwz kumwambia msichana akafanye usafi chumban kwako uzembe wa dada zuu pia japo inauma yeye alipaswa amuachie dada dukani abezi ya mume wake kwa sabab ata kama aliogopa kuibiwa ni heli angeibiwa tu pesa kuliko mume sasa ona umeacha genge duka na mume. Kuna wakat tynawapa nafasi sana wadada kuwaachia kila.majukumu tunasahau Nafasi zetu kwa waume zetu, utakuta mume kila akirudi badala ya kukutana na sura ya mkewe anakutana na sura ya dada, badala ya kukutana na tabasam ya mukewe anakutana na la mdada , moyo nao jaman mke unamuona usiku tu napo pengine kwa masaa tunavojaji tugeuze Na upande wa pili na kamwambia abaki kwa sababu anaona anamfaa
Wasichana punguzeni tamaa ya pesa mnaona tu watu wako kwenye nyumba zao na wanaume zao mnazani rahisi tunatoka mbali eti Yani mm unichukulie mume halafu nikuachie nyumba tuliojenga na mwanaume wangu nyinyi wote ndo mtatoka ww na huyo mwanaume me nabaki na watoto wangu ndani ya mjengo namkinisumbua nawaroga sinamchezo na haya maisha tunateseka sana kutengeneza maisha halafu mtu anakuja kuvunja kirahisi sita kubali hata iweje aisee😏😏
We dada wakazi malaya mkubwa umesahau fadhila ya dada zuu.hebu toka kwenye nyumba ya zuu using'ang'anie mji sio wako umeukuta.huyo bwana yako akupeleke anakojua yeye.ingekuwa mimi ningekukomoa ukaijua dunia ninini.umekuta zuu ni mpole.umekuja kufanya kazi hukuja kubeba mme wa mtu.hata kama alikuwa hamhudumii mume wake hiyo haikuhusu we ungejali kazi zako tu.sio unahudumia mpaka kuvua chupi mshenzi mmoja. Dada zuu rudi kwako toa hiyo takataka ndani iwezekanavyo.
Ah kumbe nihivyo tu nasie wanaume wengine wapumbavu sana tena sana yani mke wake aondoke nikae nakijakazi nilimpa mimba kweli si angemuondoa hapo akamkodishia hata chumba kimoja tu maisha yakaendelea kuliko mama watoto wangu aondoke huku niishi na mwamke hata simke wangu noo huu niupuuzi tena wakilimbukeni
Yani dada wa watu kakuchukua kaishi na ww vizuri malipo yake nikumchukulia mwenzio mume huna hata haya nawaza ningekua mm sijui ningekufanyaje ungejuta maisha yako yote ningekuvunja hata mguu ukiuangalia lazima unikumbuke 😬😬😬
Malipo duniani hata yy yatamfika kuna watu wana roho mbaya hata km unamimba na mwenye nyumba kajua si uondoke apo urud nyumbani au upangiwe nyumba bado hataki kuondoka kwenye nyumba ya mwenzie ili azidi kumuumiza
Anajikuta yy ndo anajua kumjali mke bado wewe ni mfanyakazi na yule ni mke tu kusafisha chumba sio sababu ya kutembea na boss wako hujielewi wewe subiri dunia itakunyoosha
We Mary Mazengo una mume? Kama unaye na ni mwaminifu shukuru, unasemaje hakuwa bize na mume wake? Mimi sijaona sehemu waliyoandika kuwa alikuwa amuhudumii mume wake, msichana amesema nguo za shemejio wakati mwingine alikuwa anafua inamaana sio mara zote. Hata hivyo hiyo sio sababu ya kulala naye.
Muachie dada wa watu mumewake,,kwa maelezo yake wametoka mbali mpka hapo ulipowakutia,.. na wewe mume kumbuka mazuri ya mkeo pale ulivuta soksi ya kulia yeye akavuta ya kushoto. Kila mwanadamu ukosea na kuomba msamaha muombe mkeo akusamehe.........
Mie binafsi nimekuelewa sana mdogo wangu na pia nimekusameh japo nilichukia nilipo msikiliza Zuu. Ila ushauli wangu toka kwenye nyumba ya Boss wako na uwende kwenu maana uyo ni Mume wa mtu tena uliishi vizur tu Mwambie akakupangie utoke apo KWA UUNGWANA TU.
Hmh na unavyo zungusha macho 🙄 Mungu akusamehe utoke hapo tu halali na Haram havilingani Toka urudi kwenu kiroho safi uachanane na mume wa mwenyewe 🥺Nimeumia 😪
Tamaaa ndio zimekupelekea kufanya hv mbwa ww zuu kutokufanya kazi hiyo sio Sababu ya wewe kuwa na mume wake mbwa wewe wewe ulienda kufanya kazi za ndani ili ikifika mwisho wa mwezi ulipwe Shenzi kabisa
No comments kwakweli ungekuwa karibu yangu ningekuzabua nifungwe vizuri mana ningekufanyia service hadi kwenu wangekushangaa ondoka mwachie mwenzio nyumba yake kama mnatakana uko ila mwachie mjie wa mwenzio
Mtalogwa mfe afu wazazi wanaowategemea,wakose hata mtu wa kuwasaidia.Hebu fanya uondoke mwambie huyo bwana akakupangie sehemu nyingine huko usitafute shari binti ,,hili litakurudia tu hata ufanyeje ni laana unaitafuta
Ila hawa wadada mhmh mi hata mdogo wangu simtaki kwangu labda aje asalimie kisha aondoke,,, kwanza nimejifunza mengi japo si hili tu mana haya matukio ni mengi sana kikubwa kupambana mwenyewe ama nichukuwe mwanamume nasio hawa wake
Asa uone unafokewa kisa kuambiwa mbele ya shemej ako ,,,hivyo ulivyotomban nae hukuon km umekosea malaya tu wew dada wa watu inaonekana alikuwa anakupenda t
Natamani na mm ningekua mwisram nioe wake wa nne mke mmoja ni vile tu basi tunavumilia lakini hatoshi. Kabisa kiukweli Najiona kabisa Niko karibu kubadili dini uzalendo unaanza kunishinda mwenzenu tunateseka nasema na kwa niaba ya wenzangu najua wanafeek the same
We Dada Mnafiki sana, Subiri Uwe kichaa, Unangangania NYUMBA ya MKE WA MTU, SI upangiwe ya kwako au Ujengewe yako!!
Asee huyo Mwanamke mwezangu ni MJINGA sana, Mimi ningekumaliza ALBADILI Ingehusika.
Kabisa nikweri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Laanakum wewe malaya
Zuu alikupenda ukamwona mjinga. Sasa endelea kukaa hapo uone kitakchokupata muxdxuyyy
Muosha uoshwa, malipo ni dunia
Unajua kufa kabla ya wakati😢😢😢 maskini toka kwenye nyumba ya watu usidhan alivyo kimya bas katulia tu😢😢😢
Wewe ni malaya,umekaa vizuri na mtu alafu unatembea na mme wake,nenda kwenu siunawazszi, sio vizuri kuachanisha ndoa ya mtu,hiyo ndo heshima uliyoambiwa kwenu
Mnamtetea huyu dada wakazi siwaelewi kabisa huyu alifanya kusudi alimtaka tu huyo shemeji yake alitaka ayo maisha yao
Na mm nimewaza hivyohivyo nitamaa tu ya maisha ya huyo dada na ndo mana mwanaume alipomtaka akaona ndo hapahapa
Haswaaa
Kabisaaa
Mim sikuachi heee jaman
Dada unatamaa. Mama Zuu sio mjinga... kukuleta kufanyakazi sio kulala na Mme wake... unasemaje shemeji wakati una mimba yake? Huyu Dada ni nyoka.
mimba ilimpenda kijana wa gengeni.
Nawashangaa sana wanawake mnaoachia wafanyakazi vyumba vyenu. mimi wafanyakazi wandani naajiri wakiume lkn bado hawajui chumba changu hawakijui kilivyo sembuse msichana? niko busy sana na kazi ila siwezi kuingiza mtu chumbani kwangu asiye mume wangu. mpaka mfanyakazi azoee chumba chako? huzuni sana
Na kuuga mkono hoja yako na umesema kweli ndio wanasababisha haya waume zao kuwaowa WA dada WA KAZI...
Kwakwel huyo mdada mrembo Wallah 😆🤣 duh 🙄🥺 siwezi 🙌 mpa nafasi kwangu 🤗😂
Hata kama angefunga chumba bado huyu ajuza angetembea tu na huyo ajuza mwenzie lakini malipo ni hapa hapa kesho akhera ni hesabu tu. Macho kama paka shume.
@@ashaali7154 mtihani 🤔🤣 Sasa huyo ni ajuza?, Ao ni bint bikra 🤣🤣🤣🤣 Hiyi dunia Ina mengi mno
@@khadidjasuleiman8006 😁😁
Tayari we bint umelaniwa.
Mmmmmh!!!Mbona ni nichangamoto Sana hawa wanaume jaman
Yaan we dada mwenye nyumba unaacha nyumba yako fukuza huyo atajua mwenyewe huko na hawara yake wanaume washenz ata kama da zuu angefanyaje mwanaume hazuiliki jaman inatia hasira
Binti alimzoea sana shemej pumbafu mpka anakuwa huru
Dada Kama unajipenda ondoka kwenye hio nyumba. Kabla mengi hayajakukuta.
Nae yata mkuta😀
Yaaani mpuuzi wewe huna hata chembe ya aibu,,,,,,,,,nyooooooo Malaya 1 weeeee😏😏😏😏😏😏😏. Ungeona hata aibu wende zako ety ukajfanya king 'ang'anizi kama rubber🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷🤷
Wewe bint umefanya kosa kubwa nawe yatakukuta
Wewe ni zaidi ya shetani, mbwà wewe, ulichopanda utakivuna
Wa kwanza naombeni like zangu twende sawa
👏👏👏👏
Nikweli ww dada unaonekana unaadabu ila Hilo janaume limekuadaa sasa ondoka hapo acha kuendelea kumsikiliza nenda kwwnu akikutaka atakutafutia sehemu yako
@@zulfasalim2527 kweli kabisa anaweza kupata mutatazo kalalanamumewantu ndounajiweka hapo hapo
Wake wa vyenye vijisent ni wavivu hawana lolote ndio maana wanafundishwa kazi mfanya kazi wa nini mwanamke wewe acha uvivu kama Huwezi subiri wanoweza wakufanyie mtakoma na ubishoo wenu
Chamuhimu amu ombe da zuu samahani snaatoke nawachiye mutoto wawo basi kwajili nayeye alibakwa aka ogopa kusema kwajili yavile vipesa vidogo vidogo
Ninge mtia kichaa uyu akaokote makopo yeye na uyo mwaname ukae nyumba ya mwenzio wamejinga kwa nguvu zao ww uje utumie manina nyooo
Msenge ww unaezatembea na babaako mbwa ww
Sasa Wakazania kumwita shemeji na mshafanya mapenzi nae kudadeki 😏😏huna adabu kweli mdada angalau ungekua na heshima japo kidogo 🚮 ungekua Kenya tungekua tushakunyonga ww 🚮
Kwa mke wangu ninavyomjua nitoke na dada wa kazi ntakua tayari nimechoka kuishi ntajikuta Niko kaburini na nisinue nimefikaje 😀😀
Aaaaaah
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Hatar san
Mecheka kifala david
We huna lolote umefanya kusudi we Malaya tu kwa Nini unga'nga'nie kukaa humo ndani?Kama ungekataa angekulazimisha?toka humo ndani umeharibu ndoa ya Watu mjinga mmoja wewe
Namuoneaga huruma sana da Zuu maskin alikuwa anakupenda ilikuwaje uskatae au ukamwambia da zuu jamen nimeumia sana wanaume sio watu wazur jamen pole da zuu.
Wee manganyu ni tamuu sanaa
Mtihani kabisa
Kukataa inakuwa ngumu kwani wadada wa kazi wanakaa muda bila kufanya mapenzi kwa hiyo akiguswa tu anatoa mzigo
Akuna cha uruma mwnamke mwenyewe ndo kasababisha mana anafanya kz ndo ana sahau majukumu ya mumewe anamuacha mfanya kz acha akomeshwe
@@nishaabdula5015 Hmh sema madogo
Uyu Dada ni wakishetani kweli..ata hana haya...macho makavu kweli
😆😆
Wewe ni kahaba,unataka kufo kaa sasa, nyoooo mbwa wewe hujuwi mume anauma,ondoka nyoko wewe,hata hupendezi kukatisha ndoa ya mwenzio
Wanaume niviumbe wasio eleweka Yani ukiwa bize ndo kama hivi wanatoka na madada wa kazi ukiwa nyumbani hujishugulishi goli kipa hivi nyie wanaume mnataka tufanye nn mbona mnakua gamna huruma na sisi jamani tufanyeje Sasa eti😞😞
Tatizo kubwa wanawake munapenda kiwadharau wanawake wenzenu sio tatizo kuwa goli kipa wala kuwa unafanya kazi ujuwe majukumu yako km mke sio majukumu yote unamuachia msichana wa kazi hata km ww mumeo hakutimizii majukumu yake halafu kakuekea house boy anakufulia mpaka chupi munapiga story anakufurahisha mumeo hana muda na ww skitoka asubuhi mpaka usiku muda wote uko na house boy je akikutongoza utakataa
@@abduomar8438 why ata penye kosa unalikata ? Kiufupi sisi ndo chanzo na sio wanawake kama tunavowatupia makosa mda wote uyu jamaa kamkuta kazini than kamuongezea mtaj sasa yy kosa lake lipi ? Kama angelikua atak afanye kazi angemwmbia tu
Mwanaume mzima Hatosheki na Mwanamke mmoja Wanawake Kumbukeni Ukishindwa Kutimiza Majukumu yako bas mwengine atakusaidia.... Huyu mdada ni mzur kuliko mama mwenye Mume huo ndio ukwel
@@zanzibarspice8686 ok kweli kabisa labda aamuwe mwanamme akinai
Wajina huyu dada anamoyo wake Yani ndan kwako jaman muombe yasiwakute na hawa wadada wakaz wangu yupo singida ataman kurud dar timbwili lenyewe mpaka polis
Bado unajifanya unaongea kwa kurembua huna hata haya
Hata iweje, huyo mwanaume pia ndiyo chanzo kikubwa. Tamaa za wanaume ni mbaya sana.
Kabisa yan 🤝🤝
Bora amuoee kabisa,kesha mharibiwa mtoto wa watu.
Kwl
@@hopealoyce3678 kaharibiwa au kataka mwenyewe
@@hopealoyce3678 kajiharibia mwenyewe yy ndio kamuharibia mwenzie bado mnamhurumia huyu malaya
Mshenzi mkubwa ww bado hujatoka ktk nyumbaa mbwa ww halafu unajidai sababu ni da zuu hakufanya majukumu yk hiyo ndio sababu uchukuwe mume wake inaonekana ulipofika tu tayari umeanza kumpiga ujicho mune wa watu na muongo ww ndio ulijitakisha ulaaniwe
Shemeg alitoa bikra weeee noma xna watu wacomenti msimlaumu xna uyu dada nadhani mumesmikia alivyojieleza shemeg ndie mwenye makosa makubwa xna kumtoa mtu usichana wake simchezo amuowe tu maskiniiii 😭😭😭😭😭pole da amina
Wewe dada kwa usalama wa maisha yako fanya utoke kwenye nyumba ya mwenzio.
Yani tena atoke mapema eti naenda clinic na shemegi nyoko
@@dinesschamanga hatari kabisa yaani hakuna aibu amefurahi. Ajuwi kwamba kila tunachopanda tutavuna hapa hapa duniyani
Huyu binti na mama yake walikuwa wana muonen wivu sana Zuu. Hafiki poppet.
Ukimuona tu unajuwa km kimalaya hivyo anaongea anarembua rembua macho ndio nn
Wewe ndo uloanza kupoteza upendo kwa dadaako. Tamaa pia
We we dada nakuhurumia
Bila hata aibu unasema da Zu ... Da Zuuuu hapa shetani mkubwa wewe
Mhhhh sasa kujianika TH-cam utatimuliwa kwa aibu
Kama anakupenda kweli akupangishe nyumba nyingne mwacheni mama mwenyewe nyumba kwenye nyumba yake ,
Umemaliza
Huyu ni wa kumroga tu
Yaan hili dada lichawi. Eti shemeji😢 Pumbavu kabisa
Nasoma 2 Comments IL Apa Akuna Wakulaumiwa Ila Ni Mume 2 Ndie Wakulaumiwa Kwani Ssi Wadada Wakazi Watu Wanatuchukuliaje Kwa Mfano
Yaani huyu cyo unaona kabisa anajustify kosa lake kwa kusema dada yake alikuwa anamwachia majukumu ya mke,hajaijua Dunia vzuri huyu!
Tena inawezekana na hilo janadume limesema hivo kama anafanya yeye najukumu ya mke ndio na huyu mpuuzi anasema hivo
Mpuuzi
Izi mbuzi zina we kwanza nyumbani kama ma ibilisi , waza Tu nanavio ongea Na confidence eti dada upendo uka isha ,dada si mtu mkubwa ana instinct (feelings)
Dawa yako atakusema mbele ya shemeji ili kumitia aibu wewe na shemeji yako
Yaani kupika ,kusafisha vyombo, kufagia, umeona umuumize mwenzako, pamoja na kukupenda kote, huna aibu unasema hakufanya majukumu yake. Ndio maana tunakufa kilaini Sana. Huna hata aibu. Eti shemeji, shemeji. Subiri nawewe uone. Mwenyewe tabia yake haachi.
Q
Dada mbaya sana huyu angalia macho yake ulaaniwe
Ulinogewa na mapenzi ya shemejiako kisa gari ngoja yakukute mwendandawaaazimu mkubwa ww malaya usie na aibu unauwezo wakutoka mpaka na baba yako ngombe ww
Sasa na wewe utaweka msichana wa kazi au utaendelea na kazi zako pamoja na kuchukua mume wa mwenyewe ?
Wakati shida zake ndo zilompeleka kufanya kazi
Nilikuwa nmeagiza dada wa kaz nimeghair😢😢
Na Wewe Mtangazaji utaingia majaribuni,maana huyo Dada anavyo kurembulia macho 😳😳😀😀😀😀😀😀
Hahahaah jamani hatari
Tapel huyo mwizi nyambafu😆😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂😂
Majukumu meng ulikua unafanya ww kwan siulikia unalipwa ulikua unafanya bure 😏
Kwa mtazamo wangu huyu dada hana makosa makubwa ila makosa makubwa yapo kwa mama mwenyenyumba kua bize kuliko kujali mume wake na majukumu yake yote akawa anafanya huyu dada wa kazi hapo ndo shida ilipoanzia pengine angekua anafanya majukumu yake kama mke haya yote yadingemtokea
Hicho ulichosema merry ni ukweli kabisa,Sisi wa mama wa nyumbani tukisha ajiri tena Majukumu yote unamwachia dada, kutafuta gani huko huna muda hata jumamosi na jpili uko busy, huyu dada anaonekana mzuri ni mpole
@@hannanommy302 hadi kuhudumia mme wanataka waschana wafanye sasa kwanini wasiwadinye
Mmhh sio kweli mie nipo nafanya kazi za ndani na kila kitu nafanya mie mpaka chupi nafua mbona sitoki na baba mwenye nyumba na pesa ananipa akinipa akija mke wake namwambia tena mbele yake hii tabia tu mtu na vibiti vya kisasa ni shida mtupu
@@joyce55727 awajakutana na maboss wa kiarabu hawa km unamoyo unarudia kwenu kz bado unaitaka akili kichwani kwako wanaume watu wa kujaribu
@@africandarling6925 hongera
Huyu dada ni sugu kwani kufua au kufanya kazi zote ndo ruksa ya kumchukua mme wa mtu? Sema umekutana na mpole mi nishakujaribu sura kabsa alafu ngoja yakukute ndu utajua hujuwi kenge ww
Shemeji kwakuambia utulie kwenye nyumba ya mwenzio. Malaya mkubwa wewe. Mnakujaga mjini mkiwa na nyege za mbwa. Madada wa kazi wengi ni majini ya kuteka ndoa za watu shenzi.
Asubiri na yeye atakuja kufanyiwa kama alivyo mfanyia mwenzake malipo ni dunian mbwa huyu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mabeki 3 huwa wanawaza kuvunja ndoa za Watu 😭Yaani hili pepo linaongea na mimacho mikubwaa
Ndio mwenye nyumba kamwambia na shemej hn mapenz na mkewe 🤣🤣km zuu Ana akili kasha jua
Huyu bint sio malaya malaya ni shemeji na hakumuheshimu mkewe 🤗
Eti maneno yameniumiza sana ulitaka asikufokee akuchekeee😏 awe na upendo na wewe wakati umejibebesha mimba na mume wake yani wee binti unabahati mnoooooooooo yani ungejua wala usingekubali kuhojiwa maana unaongea upupu upupu tu hapo mshenzi wewe eti shemeji😂😂😂mxiuuuu
Story noma dada wa kazi Watanzania nifikisheni 1k subscribers nitashukuru
Bora niwakazi Mimi mi mdogo wangu kabisa kapewa namimba namume wangu
YATAKUJA KUKUKUTA MAKUBWA SASA HIVI UPO NA FURAHA KUFURAHIA KUMTOA MWENZIO KWENYE NDOA, NA DA ZUU ALIKUWA AMEKUWEKA KAMA MDOGO WAKE TAMAA ITAKUPONZA,
Unabahati kumpata dazuu kwangu ungenyooka ninavyompenda mme wangu sijui ningekufanyaje hapo tu unaniuzi
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 me mwenyewe ningempiga kijin mahangaiko ahangaike nacho
Huyu dada muongo kufanya usafi chumbani ndio sababu ya kulala na SHEM wake? Ni tamaa na umasikini tu na ndio sababu bwana akaanza kumpatia laki laki ili kumshawishi kirahisi na yeye hakumwambia dada yake ili aendelee kuzifaidi ndio maana alipoingia chumbani kwake hakuogopa, hakupiga kelele na mchezo ukamnogea wakaendelea. Na kwa nini aendelee kukaa na mume wa mtu na kwenda naye clinic kila4 aendapo? Kama clinic mara ya kwanza kufuatana na mwenye mimba ni sawa sasa yeye ameamua kumfanya mume wake, hapana wewe dada hebu toka ukirogwa uchizi utalalamika?
Ushauri Wangu Wewe Dada Mama Mwenye Nyumba Uyu Ulimleta Kwenye Nyumba Yako Kama Mfanyakazi Nyumba Niyako Cha Kufanya Awe Na Mimba Asiwe Na Mimba Fukuza Uyo Mtu Wake Ajue Pa Kumueka Nasio Kuendelea Kukaa Nae Anaweza Kuja Kukuzulu Uyu Mimacho Yake Inatisha Ongea Yake Waziwazi Uyu Mwanga Fukuza Akajuane Yeye Na Aliyempa Mimba Kwao Wenzio Wanapigwa Lakini Wanatumia Kinga Au Vidonge Wewe Unaenda Kavu Kavu Kisa Nyumba Na Duka Ukila Na Kipofu Kula Bila Kumgusa Upate Kujenga Maisha Yako Bila Mke Kujua Wewe Kichawi
Na shindwa kukomenti jmn but ondoka kwa mwenzio tafuta kwako 😒😒😒😒
Wakati mwingine huyu dada hana kosa kwa sababu mwanaume akitaka kitu chake lazima akitimize, lakin pia wamama tumezidi kushindana na wanaume kutafuta pesa, ndio kinachotukost, huwwz kumwambia msichana akafanye usafi chumban kwako uzembe wa dada zuu pia japo inauma yeye alipaswa amuachie dada dukani abezi ya mume wake kwa sabab ata kama aliogopa kuibiwa ni heli angeibiwa tu pesa kuliko mume sasa ona umeacha genge duka na mume. Kuna wakat tynawapa nafasi sana wadada kuwaachia kila.majukumu tunasahau Nafasi zetu kwa waume zetu, utakuta mume kila akirudi badala ya kukutana na sura ya mkewe anakutana na sura ya dada, badala ya kukutana na tabasam ya mukewe anakutana na la mdada , moyo nao jaman mke unamuona usiku tu napo pengine kwa masaa tunavojaji tugeuze Na upande wa pili na kamwambia abaki kwa sababu anaona anamfaa
Macho yenyewe ya uizi
@@faithsimon6066😂😂😂💔💔💔daaah!
Huyu dada anaonekana hajatulia.. hayo macho ni kiashiria tosha. Hafai .aache nyumba ya watu arudi kwao..akatafute maisha yake..asidandie ya watu..
Wee noshetani
Wasichana punguzeni tamaa ya pesa mnaona tu watu wako kwenye nyumba zao na wanaume zao mnazani rahisi tunatoka mbali eti Yani mm unichukulie mume halafu nikuachie nyumba tuliojenga na mwanaume wangu nyinyi wote ndo mtatoka ww na huyo mwanaume me nabaki na watoto wangu ndani ya mjengo namkinisumbua nawaroga sinamchezo na haya maisha tunateseka sana kutengeneza maisha halafu mtu anakuja kuvunja kirahisi sita kubali hata iweje aisee😏😏
Mwisho wa siku sote tutakufa tuviache
Hahahaaaa
We dada wakazi malaya mkubwa umesahau fadhila ya dada zuu.hebu toka kwenye nyumba ya zuu using'ang'anie mji sio wako umeukuta.huyo bwana yako akupeleke anakojua yeye.ingekuwa mimi ningekukomoa ukaijua dunia ninini.umekuta zuu ni mpole.umekuja kufanya kazi hukuja kubeba mme wa mtu.hata kama alikuwa hamhudumii mume wake hiyo haikuhusu we ungejali kazi zako tu.sio unahudumia mpaka kuvua chupi mshenzi mmoja. Dada zuu rudi kwako toa hiyo takataka ndani iwezekanavyo.
Ah kumbe nihivyo tu nasie wanaume wengine wapumbavu sana tena sana yani mke wake aondoke nikae nakijakazi nilimpa mimba kweli si angemuondoa hapo akamkodishia hata chumba kimoja tu maisha yakaendelea kuliko mama watoto wangu aondoke huku niishi na mwamke hata simke wangu noo huu niupuuzi tena wakilimbukeni
Sasa kama mtoto Yuko vizuri kuliko mkeo we unazani unafanyaje😂😂
Sasa si nakodi chumba kisha namhalalisha anakua wangu kesi imeisha
Saana. Achana na wawaza ngono hao
Dazuu mrudishe huyu malaya kwao kijijini. Maneno mabayaa? Na ulivyo fanya ww ni mazuri? Tamaaa huna hayaa ww wala hujuwi vibayaa
Yani dada wa watu kakuchukua kaishi na ww vizuri malipo yake nikumchukulia mwenzio mume huna hata haya nawaza ningekua mm sijui ningekufanyaje ungejuta maisha yako yote ningekuvunja hata mguu ukiuangalia lazima unikumbuke 😬😬😬
Malipo duniani hata yy yatamfika kuna watu wana roho mbaya hata km unamimba na mwenye nyumba kajua si uondoke apo urud nyumbani au upangiwe nyumba bado hataki kuondoka kwenye nyumba ya mwenzie ili azidi kumuumiza
Kipo kinacho muwasha kitamkuta ck so nying
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe si mtu mzuri hauna adabu na heshima hauna. Mbona kafanya hivyo?Si utafute bwana wako nkt
Koma kumuita dada
Akome voo eti DA zu ,na shemegi 🤣🤣 shemegi kwiy.....
mfyuuuuu
Wanaume wanatamaa mbona mke wake mzuri kuliko huyu dada wa kazi duu
Hatuangalii uzuri sisi msiwe mnajidanganya na uzuri,unaweza kua mzuri wa sura ila huko ndani hakueleweki,kunauzuri wa aina mbili dada
@@davidwaziri8176 ndani wapi tena?? 🤔
@@davidwaziri8176 🤣🤣
@@davidwaziri8176 🤣🤣🤣
Hawaangalii sura bwana
Wala hujutii mbwa wewe malaya tuu
Wallah mchichana unamauzi yaani ujiandae kwalolote unajua uchungu wandoa wewe Tamas Maya zitakipeleka pabaya amazoko ama zake ujipange waliakhera walidunia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo zuu angekua ni ndugu yangu tuu huyu bint asingekua hapo saizi
😁😁
😂😂😂💔bila shaka
Ungefua na kusafisha chumba cha Baba ako ungefanya nae huo ufuska?
Mariposa niapa duniani ipo siku nawewe atakutenda tena wewe utaumia kuliko Da zuu
Anajikuta yy ndo anajua kumjali mke bado wewe ni mfanyakazi na yule ni mke tu kusafisha chumba sio sababu ya kutembea na boss wako hujielewi wewe subiri dunia itakunyoosha
hividadahujawaza kwamba kuna siku mtamwagiwa petroli siuondoke ukajifiche,kama sio petroli utalogwa hutoamini kalale msikitini kwakweli
Wagogo went wao wanafiki wanapenda iyo tabia ya kubeba vya wenzio.maisha yangu mgogo kazi ya ndani si mpatii kabisaaaa
Shenzi eti kilichotokea mtangazaji siwezi kuhadisia alafu unajichekesha kama chizi Kaona jalala jipya😏
Mnakuaje na madada wakazi wazuri jmn si mnayatafuta wenyewe
Mmh anauzuri gani huyo kawaida sana
Kwangu mm mashallah mzuri km mmbaya kwako nasikulaumu kilamtu namacho yake ndo ilivyo
Nikweli wanaume acheni tamaa bahna
Ngoja laana ya dunia ikukute
😀😃😃😃😃😃😀
We Mary Mazengo una mume? Kama unaye na ni mwaminifu shukuru, unasemaje hakuwa bize na mume wake? Mimi sijaona sehemu waliyoandika kuwa alikuwa amuhudumii mume wake, msichana amesema nguo za shemejio wakati mwingine alikuwa anafua inamaana sio mara zote. Hata hivyo hiyo sio sababu ya kulala naye.
Me ndo mana kwangu sitaki dada wa kazi kazi zote nafanya mm mwenyewe
Me naweka vizuri siwezi kujitesa eti kisa kumlinda mwanaume kama akiamua kufanya anafanya tu hata ufanyaje
Helllo
Tunaitaji update yahawa watu
Ndo mana mnamwagiwagwa tindikali 😢
Sanamu yako unataka ijengwe roundabout Gani ?
Weeeeee 🤣🤣🤣🤣
@@carolinemariki4029 kiruuuuu 😝😝😝
Muachie dada wa watu mumewake,,kwa maelezo yake wametoka mbali mpka hapo ulipowakutia,.. na wewe mume kumbuka mazuri ya mkeo pale ulivuta soksi ya kulia yeye akavuta ya kushoto. Kila mwanadamu ukosea na kuomba msamaha muombe mkeo akusamehe.........
Mie binafsi nimekuelewa sana mdogo wangu na pia nimekusameh japo nilichukia nilipo msikiliza Zuu.
Ila ushauli wangu toka kwenye nyumba ya Boss wako na uwende kwenu maana uyo ni Mume wa mtu tena uliishi vizur tu
Mwambie akakupangie utoke apo
KWA UUNGWANA TU.
Akampangie waendeleze mawasiliano au muhimu arudi kwao
Toka kwenye nyumba ya mwenzio mbwa wewe
Hmh na unavyo zungusha macho 🙄 Mungu akusamehe utoke hapo tu halali na Haram havilingani Toka urudi kwenu kiroho safi uachanane na mume wa mwenyewe 🥺Nimeumia 😪
Huyo mwanamme mpumbavu, ata mwenye kamera anarumbushiwa. Kaacha mke katafuta janga lenye tamaa. Subiri na huyo mume uskie litakalomkuta
Kwakweli aende akatafute mume mwenyewe kama anadhani ni rahisi macho yake kama kanywa maji ya mtungi kwa kutumia Kata 😏😏😣😣🙄🙄
Unaonekana kabisa jini mahaba malaya usofunzwa kuharibu furaha zawatu wee mzoefu hivi huogopi unavyo lala humo ndani daa me nakumaliza sikuachi
Uyo shemeji mwanaume wako una aya kweli natamani nikuzambe vibao
Tamaaa ndio zimekupelekea kufanya hv mbwa ww zuu kutokufanya kazi hiyo sio Sababu ya wewe kuwa na mume wake mbwa wewe wewe ulienda kufanya kazi za ndani ili ikifika mwisho wa mwezi ulipwe Shenzi kabisa
Utalipwa kwaulichomtendea mwanamke mwenzako wanaume nikama kuku hudonoa Kila Mahalia bado sana'
No comments kwakweli ungekuwa karibu yangu ningekuzabua nifungwe vizuri mana ningekufanyia service hadi kwenu wangekushangaa ondoka mwachie mwenzio nyumba yake kama mnatakana uko ila mwachie mjie wa mwenzio
Inatisha jamani
Mtalogwa mfe afu wazazi wanaowategemea,wakose hata mtu wa kuwasaidia.Hebu fanya uondoke mwambie huyo bwana akakupangie sehemu nyingine huko usitafute shari binti ,,hili litakurudia tu hata ufanyeje ni laana unaitafuta
We dada kahaba
😅😅😅noma kweli
Nakuapia ningekuchomoa roho jua la Alasili walahi.
Nimesikia uchungu basi tu.
Ungefurahi HUKO kaburini.
Au Asidi ungeikoma. Mume anaumwa Mbwa wewe
Msichana umekosea mwenzako sana sana kumfanya awache nyumba yake utajuta sana ww ujui uyo mama atakufanya nn utaona ww mjinga
Kwanini wamweta shemeji basi kwa sasa huna adabu
Pole dada Zuu kubali mke mwenza waume siwachoyo .jua umaskini ulichangia
Da zu vuta subra mungu atakufanyiya wepes subra huvuta heri
Ila hawa wadada mhmh mi hata mdogo wangu simtaki kwangu labda aje asalimie kisha aondoke,,, kwanza nimejifunza mengi japo si hili tu mana haya matukio ni mengi sana kikubwa kupambana mwenyewe ama nichukuwe mwanamume nasio hawa wake
Mage
Tushayazoea maisha ya watu msokua na dini wahuni wote watatu
Asa uone unafokewa kisa kuambiwa mbele ya shemej ako ,,,hivyo ulivyotomban nae hukuon km umekosea malaya tu wew dada wa watu inaonekana alikuwa anakupenda t
Natamani na mm ningekua mwisram nioe wake wa nne mke mmoja ni vile tu basi tunavumilia lakini hatoshi. Kabisa kiukweli Najiona kabisa Niko karibu kubadili dini uzalendo unaanza kunishinda mwenzenu tunateseka nasema na kwa niaba ya wenzangu najua wanafeek the same
Karibu ktk uislam hakika mke mmoja atoshi
Karibu uniowe mm sina bwana
🤣🤣🤣🤣Karibu uniowe mimi
🤣🤣😂🤣😂😂🤣🤣
Tujuane niwe Mimi tuyajenge
Paka shume jini mkata kamba 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏