Mungu unayemtumikia baba yangu azidishe siku zako za kuishi ili ulifikishe kusudi lake na lile taji lako likamilike huko mbinguzi, nakupenda sana baba yangu na Mungu akupe haja yako ya kukamilisha hekalu lake takatfu unalomjengea na wote wanaokusaidia Mungu akawaone
Baba baba ❤❤❤🙏🙏🙏😭😭😭tumeiona kaziyako AMINA
Tunakupenda sana baba yetu wa kiroho Mungu akubariki sana sana
Mungu azidi kukutunza baba yetu 🙏
Tunaomba mawasiliano yako mtume
Mungu unayemtumikia baba yangu azidishe siku zako za kuishi ili ulifikishe kusudi lake na lile taji lako likamilike huko mbinguzi, nakupenda sana baba yangu na Mungu akupe haja yako ya kukamilisha hekalu lake takatfu unalomjengea na wote wanaokusaidia Mungu akawaone
Nakupenda sana mtumishi Mungu akutunze uishimiakamingi
Mungu yu mwema umetuletea efatha