Ukiepuka usingizi umekuwa tajiri # Mtume Josephati Eliasi Mwingira

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 175

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 ปีที่แล้ว +57

    Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.

  • @zamberimturi5593
    @zamberimturi5593 ปีที่แล้ว +7

    Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu
    Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi
    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚

  • @KukuVillage
    @KukuVillage ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji ongeza na Uvivu.
    Yaani ukifanikiwa kucontrol usingizi na uvivu then umeushida umasikini

  • @faithdhadho9272
    @faithdhadho9272 ปีที่แล้ว +10

    Oversleeping leads to spiritual and physical poverty. Especially in our days of social media and internet. We need to rise from slumber.

    • @daudkipkare7550
      @daudkipkare7550 ปีที่แล้ว +1

      Oversleeping leads to spiritual and physi in our days of social media and internet.we need to rise from slumber .you very right sir

  • @rehemamasoud2352
    @rehemamasoud2352 ปีที่แล้ว +12

    Asante baba ,mwili wangu zingatia haya mambo mazuri,muda mchache..Asante Mungu kwa kunishtua ,Leo 01.06.2023 naanza kuzingatia

    • @SARAHHALIFA-wm2kg
      @SARAHHALIFA-wm2kg ปีที่แล้ว

      Wschache Sana wanaweza kukubali ukweli kama wewe,ubarikiwe

  • @thomasmusungu8399
    @thomasmusungu8399 ปีที่แล้ว +8

    Mtu wa Mungu, hayo ni mafundisho ya kimsingi, asante mno, Yesu akubariki.niko kenya.

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 ปีที่แล้ว +2

    Nadhan point kubwa tupambane kuushinda Uvivu

  • @jonasnyamiyonga4594
    @jonasnyamiyonga4594 ปีที่แล้ว +5

    Mtumishi umeniongezea ufahamu wa kupambana.

  • @jenfan8781
    @jenfan8781 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz

  • @rainardleonard8045
    @rainardleonard8045 ปีที่แล้ว +7

    Ukikua unaweza Elewa 🙏🙏Asante Mungu kwa Huyu Baba

  • @deogratiasmapinda8288
    @deogratiasmapinda8288 ปีที่แล้ว +7

    Huyu mchunngaji kwa somo hiki ameenda sawa na mawazo yangu mchunngaji ubarikiwe Sana maana utajiri uko mbele Amina

  • @lucaspeter-kw7cs
    @lucaspeter-kw7cs ปีที่แล้ว +12

    Vijana tuache upunbavu na kufanya mambo ya kipuuzi Ili tuwez kuwa na ubadae mwema. 🙏🙏

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 ปีที่แล้ว +7

    Wewe unaye tafsiri ebu siku nyingine usikae hapo Kwa mimbari
    Ebu tawala madhabahu

  • @nicholasbwalya3650
    @nicholasbwalya3650 9 หลายเดือนก่อน +1

    I connect from chingola zambia good news glory be to God Almighty powerful teaching 🙏 ❤❤❤

  • @josephatosoroomwebu4714
    @josephatosoroomwebu4714 ปีที่แล้ว +4

    Nakubaliana na mchungaji kwa asilimia mia moja..100%true...Mungu na anishindie usingizi

  • @barakabahati6600
    @barakabahati6600 ปีที่แล้ว +3

    Please kumbuka na wale waliokua wakitoa sadaka kanisani kwako

  • @YuvitaWiliam
    @YuvitaWiliam วันที่ผ่านมา

    Mungu waefata nishike mkono kila hatua mimi napambana mpaka tone lamwisho usiniache nipo chini yamiguu yako

  • @neemandoyela558
    @neemandoyela558 ปีที่แล้ว +4

    Ahsante nakataa usingizi kwa jina la yesu

  • @ShedymelayekiTeveli
    @ShedymelayekiTeveli 9 วันที่ผ่านมา

    nikweli mtumíshí usingizí ni umaskini wakweli kwa mtu anae lals

  • @patrickkuwayawaya4402
    @patrickkuwayawaya4402 ปีที่แล้ว +1

    ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @vinnocky_b1430
    @vinnocky_b1430 ปีที่แล้ว +2

    That's great brother keep it up

  • @RameckCastory
    @RameckCastory 2 หลายเดือนก่อน

    Thank you daddy

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je ปีที่แล้ว +2

    Mimi nalala kila siku sa tano usiku na naamka sa kumi na moja kamili bado ni maskini

    • @RamadhaniJitelani
      @RamadhaniJitelani ปีที่แล้ว +4

      Inategemea unacheleww kulala ukiwa unafanya kitu gani

    • @alexmasumbigana4910
      @alexmasumbigana4910 ปีที่แล้ว +3

      Huwa unachelewa kulala ukifanya nn na unawahi kuamka kufanya nn hapo ndipo utajiri ulipo

    • @landmanoti1942
      @landmanoti1942 7 หลายเดือนก่อน

      Kitendo cha kujiita masikini basi na akili yako inakaa kiumasikini

  • @WitnessHatibu-vj1hu
    @WitnessHatibu-vj1hu ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa somo nzuri baba linanibariki sana

  • @MichaelMkingami
    @MichaelMkingami 2 หลายเดือนก่อน

    Amina baba

  • @MkushiGodfried
    @MkushiGodfried ปีที่แล้ว +1

    Mtumishi wa Mungu nimekuelewa...Usingizi ni mbaya kama kifo.Baba asante usingizi ni umaskini wetu.Sitaki tena usingizi kwanza hua silali.

  • @fistonandrey
    @fistonandrey หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @damarismutala7769
    @damarismutala7769 ปีที่แล้ว +3

    Thank you mtumishi for this sermon..praise the lord

  • @GloryKinkako
    @GloryKinkako 2 หลายเดือนก่อน

    Ameeeni

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 ปีที่แล้ว +1

    AMEEN . Eeee MUNGU naomba nisaidie

  • @RoheelRafail
    @RoheelRafail ปีที่แล้ว +1

    God bless you all

  • @eliasmhagama4978
    @eliasmhagama4978 ปีที่แล้ว +2

    BWANA YESU akutunze Mtume ili uzidi kutubariki kwa mafundisho yako.

  • @leahjames1481
    @leahjames1481 25 วันที่ผ่านมา

    Ameen❤❤❤

  • @Omarybogwe
    @Omarybogwe วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @JaphetSalum
    @JaphetSalum 16 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @EmmanuelSamwel-wz9qg
    @EmmanuelSamwel-wz9qg ปีที่แล้ว +2

    Amina Baba..

  • @Ev.yohanamkesela
    @Ev.yohanamkesela ปีที่แล้ว +2

    Barikiwa sana mtume

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for this teaching. That's True message

  • @EstherTesha-k7d
    @EstherTesha-k7d ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @ChachaPastory-n4m
    @ChachaPastory-n4m ปีที่แล้ว +1

    Translater wa hovyo

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @RoseMalley-dt9ub
    @RoseMalley-dt9ub 27 วันที่ผ่านมา

    Nataka niingie efatha

  • @GloryKinkako
    @GloryKinkako 2 หลายเดือนก่อน

    Amina baba Kwa mafundisho mazuri,

  • @ChirlesMaganja
    @ChirlesMaganja ปีที่แล้ว

    Asante baba mchungaji kwa mafundisho mema kwa vijana wetu

  • @SaraLely
    @SaraLely ปีที่แล้ว

    Nikweli mtumishi ucingizi ni umaskin mkubwa Sana....

  • @Daudpaulo294
    @Daudpaulo294 8 หลายเดือนก่อน

    Amina baba nimepokea kitu yangu leo

  • @nicholasbwalya3650
    @nicholasbwalya3650 9 หลายเดือนก่อน

    Amen Amen Amen I connect 🙏

  • @halimambaga61
    @halimambaga61 ปีที่แล้ว +1

    Amen and ameen

  • @MichaelMkingami
    @MichaelMkingami 2 หลายเดือนก่อน

    Tangu nimeingia efatha mambo yangu yapo vizur hakika nimemuona mungu

  • @EvaBonny
    @EvaBonny 4 หลายเดือนก่อน

    Kuanzia Leo nakata usingizi

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 ปีที่แล้ว +2

    Twende mbele turudi nyuma unachokisema nisawa but sii sawa100% coz ki-afya pia kutopata usingizi wakutosha nihatari kwa afya yako.

    • @barakangellah5354
      @barakangellah5354 ปีที่แล้ว

      Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable

    • @alexmasumbigana4910
      @alexmasumbigana4910 ปีที่แล้ว

      @@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note

  • @adammdiu
    @adammdiu ปีที่แล้ว +1

    Amen..❤

  • @deomdolo5049
    @deomdolo5049 ปีที่แล้ว +1

    Sasa mnatupia mahubr mtandaoni ili iweje

  • @onesmusmunga2458
    @onesmusmunga2458 ปีที่แล้ว +1

    That's true

  • @EvaristRugambwa
    @EvaristRugambwa 6 หลายเดือนก่อน

    Amen..asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 ปีที่แล้ว +1

    Amen amen😢😢

  • @laizerrecho447
    @laizerrecho447 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @bonifacebochela4717
    @bonifacebochela4717 ปีที่แล้ว

    True

  • @jamessila3219
    @jamessila3219 ปีที่แล้ว +4

    Tufanye kazi dungu zangu

  • @MohamedSaid-em4of
    @MohamedSaid-em4of ปีที่แล้ว

    Usingizi ni starehe ya hakki tuliopewa ni allah swt kila kitu kina muda wake.

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen mtumish wa mungu

  • @KisadoSadoki
    @KisadoSadoki ปีที่แล้ว

    Atari

  • @JanethMtati-he1dp
    @JanethMtati-he1dp ปีที่แล้ว +1

    🤲🤲

  • @danielmwakalinga6049
    @danielmwakalinga6049 ปีที่แล้ว +1

    ❤️❤️❤️❤️ My Dady

  • @MarryJonas-x6j
    @MarryJonas-x6j ปีที่แล้ว

    Asante

  • @mosesmwangi1769
    @mosesmwangi1769 ปีที่แล้ว

    Amina baba barikiwaa

  • @GeradiusiIgiro
    @GeradiusiIgiro ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki❤

  • @atanacyzacharia3092
    @atanacyzacharia3092 ปีที่แล้ว +1

    Huyu kijana anaetoa tafsri 😢anapotosha sana ila maamubili ni mazuri

    • @rehemaharuna
      @rehemaharuna ปีที่แล้ว +2

      Anapotosha vip wew unajua kiingereza vizr kweli

    • @jacksontumaini489
      @jacksontumaini489 ปีที่แล้ว

      Ndo nashangaa @rehemaharuna

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 ปีที่แล้ว +1

      Acha uongo wewe kiingereza gani kitakacho ongelewa zaidi ya hapo? Nadhani hujui

    • @SARAHHALIFA-wm2kg
      @SARAHHALIFA-wm2kg ปีที่แล้ว

      @@rehemaharuna rehema muache mtoto acheze

    • @cyubahiroclement191
      @cyubahiroclement191 ปีที่แล้ว

      Ujumbe unafika mbari Zacharia nivizuli sana akitafsri ☝️🤓

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 ปีที่แล้ว +3

    Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..

    • @SARAHHALIFA-wm2kg
      @SARAHHALIFA-wm2kg ปีที่แล้ว

      Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea

    • @bonifacebochela4717
      @bonifacebochela4717 ปีที่แล้ว

      Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?

    • @alexmasumbigana4910
      @alexmasumbigana4910 ปีที่แล้ว

      Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage

    • @RoselydaKiwia
      @RoselydaKiwia 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@alexmasumbigana49108

    • @florarog548
      @florarog548 4 หลายเดือนก่อน

      Kalaga baho

  • @RoselydaKiwia
    @RoselydaKiwia 10 หลายเดือนก่อน

    Kwel.baba

  • @JanethMtati-he1dp
    @JanethMtati-he1dp ปีที่แล้ว +1

    Ameniiiiii, mtumishi

  • @LeonardKanyoloku
    @LeonardKanyoloku ปีที่แล้ว

    Nimeku elewa mutumishi wa mugu

  • @johnmurimi9831
    @johnmurimi9831 ปีที่แล้ว

    Amen amen mtumishi

  • @chantalingabire7001
    @chantalingabire7001 ปีที่แล้ว

    🙏 amen

  • @hawamasomora-os9np
    @hawamasomora-os9np ปีที่แล้ว

    Amen

  • @edmundmato669
    @edmundmato669 ปีที่แล้ว +1

    Ameni.....❤

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 ปีที่แล้ว

    Watakalo wafundisha shikeni mfano wa matendo yao msiige

    • @annahcallixte1321
      @annahcallixte1321 ปีที่แล้ว

      Mungu anisaidie mimi kuushinda usingizi kwa jina la YESU nimepokea neno la kuushinda usingizi kwa Jina la YESU barikiwa sana Baba

  • @Lukasj783b
    @Lukasj783b ปีที่แล้ว +1

    Sio kweli kwamba ukilala Dana ndio unakula maskini fact zipo

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zur mtumish

  • @ValerianaGrm-bi5hd
    @ValerianaGrm-bi5hd ปีที่แล้ว

    Aminaaa sna

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @EliadaToi
    @EliadaToi ปีที่แล้ว

    Amen

  • @rosemarry1274
    @rosemarry1274 ปีที่แล้ว

    Amen Amen

  • @SARAHHALIFA-wm2kg
    @SARAHHALIFA-wm2kg ปีที่แล้ว +1

    Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.

  • @sharonmukoshi9744
    @sharonmukoshi9744 ปีที่แล้ว +1

    Amen and Amen 🙏🙏🙏

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @mungajoas3343
    @mungajoas3343 ปีที่แล้ว +1

    Mind blowing

    • @SaraLely
      @SaraLely ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki mchungaj yaan ucingizi ucio was lazima nakukataa kabisa kwa jina la yesu...

  • @abuaiuba1517
    @abuaiuba1517 ปีที่แล้ว

    Amemmmmmmmm

  • @nehemiahhusein4504
    @nehemiahhusein4504 ปีที่แล้ว

    Ahsante baba

  • @SeraChizi
    @SeraChizi ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤ ameni

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365 ปีที่แล้ว +1

    AMEN 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @zepinashatibu5149
    @zepinashatibu5149 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @AnnaSulle-l2g
    @AnnaSulle-l2g ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙏

  • @beatricechabai2163
    @beatricechabai2163 ปีที่แล้ว

    🙏

  • @JoshuaMasunga
    @JoshuaMasunga ปีที่แล้ว

    Amina! Amina! Amina!

  • @HusseniAndrea
    @HusseniAndrea ปีที่แล้ว

    Ndio kabisa

  • @HantanahYun3093
    @HantanahYun3093 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa❤

  • @VitaliceJames
    @VitaliceJames ปีที่แล้ว

    Amen papa