Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.
Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚
Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz
Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable
@@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note
Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..
Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?
Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage
Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.
Kweli mtumishi.Miaka 15 nyuma nilifanya kazi kwa bidii usiku na mchana.Sikuchezea muda pia nilijiunga na masomo ya chuo kikuu nikiwa na ndoa na watoto 2.Nililala masaa 4 kwa siku kwa miaka 10.Nilijikuta tajiri mkubwa kwa level za madirector wa makampuni makubwa kwa biashara ya kawaida.ASANTE YESU KWA KUNIWEZESHA NA KUNIPA MAONO.
Ubarikiwe sana
Siyo rahisi Mungu alitenda
🙏🙏
Thanks so much but how you manage it coz ni kitu najaribu Sana kwenye maisha yangu
😂😢🎉😊
Mtumishi nakubaliana na wewe kwa 100% kabisa kwani me kazi yangu ni dereva bajaji kila nikiamka alfajiri kuanza kazi huwa napata pesa nyingi sana na huwa siku hiyo nakuwa na morali ya kazi sana hta kufunga kazi cku hiyo huwa nachelewa na napiga pesa kweli tatizo linakuja pale ninapoendekezaga kulalia kitanda kwani nikichelewa kuamka huwa naamka mwili ukiwa unanung'unika na kuwa na hofu kwa sababu ya kuchelewa kuamka na kuhix kazi itakuwa ngumu kwa upande wangu
Hivyo.bac kuanzia leo najikabidhi mikononi mwa Mungu kwa kuukataa ucingiz utakaoendelea kunididimiza kiuchumi
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu 🤚🤚🤚
Mchungaji ongeza na Uvivu.
Yaani ukifanikiwa kucontrol usingizi na uvivu then umeushida umasikini
Oversleeping leads to spiritual and physical poverty. Especially in our days of social media and internet. We need to rise from slumber.
Oversleeping leads to spiritual and physi in our days of social media and internet.we need to rise from slumber .you very right sir
Asante baba ,mwili wangu zingatia haya mambo mazuri,muda mchache..Asante Mungu kwa kunishtua ,Leo 01.06.2023 naanza kuzingatia
Wschache Sana wanaweza kukubali ukweli kama wewe,ubarikiwe
Mtu wa Mungu, hayo ni mafundisho ya kimsingi, asante mno, Yesu akubariki.niko kenya.
Nadhan point kubwa tupambane kuushinda Uvivu
Mtumishi umeniongezea ufahamu wa kupambana.
Asante Mungu kwa neno la leo tar 02/01/2024. Nachukia usingizi ila nikianza kusoma nasinzia. Mungu nakemea usingiz kwa jina la Yesu mwana wa Mungu. Mwili usitamani kulala kwasababu muda umefika. Nataka kuwa mtu mkubwa na wa tofauti. Mungu uwe pamoja nami 2024 ili siku moja nije kusimulia matendo makuu ya Mungu. Usingizi ni umaskini hivyo siutak ucngz
Ukikua unaweza Elewa 🙏🙏Asante Mungu kwa Huyu Baba
Huyu mchunngaji kwa somo hiki ameenda sawa na mawazo yangu mchunngaji ubarikiwe Sana maana utajiri uko mbele Amina
Vijana tuache upunbavu na kufanya mambo ya kipuuzi Ili tuwez kuwa na ubadae mwema. 🙏🙏
Kabisaa
Nakubaliiiiiiiii
Ameeeeen, kuazia leo nakataa usingizi unaoleta umasikini
Wewe unaye tafsiri ebu siku nyingine usikae hapo Kwa mimbari
Ebu tawala madhabahu
Au asitafsiri kabisa
Atasimama baba yako au
I connect from chingola zambia good news glory be to God Almighty powerful teaching 🙏 ❤❤❤
Nakubaliana na mchungaji kwa asilimia mia moja..100%true...Mungu na anishindie usingizi
Please kumbuka na wale waliokua wakitoa sadaka kanisani kwako
Mungu waefata nishike mkono kila hatua mimi napambana mpaka tone lamwisho usiniache nipo chini yamiguu yako
Ahsante nakataa usingizi kwa jina la yesu
nikweli mtumíshí usingizí ni umaskini wakweli kwa mtu anae lals
ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
That's great brother keep it up
Thank you daddy
Mimi nalala kila siku sa tano usiku na naamka sa kumi na moja kamili bado ni maskini
Inategemea unacheleww kulala ukiwa unafanya kitu gani
Huwa unachelewa kulala ukifanya nn na unawahi kuamka kufanya nn hapo ndipo utajiri ulipo
Kitendo cha kujiita masikini basi na akili yako inakaa kiumasikini
Asante kwa somo nzuri baba linanibariki sana
Amina baba
Mtumishi wa Mungu nimekuelewa...Usingizi ni mbaya kama kifo.Baba asante usingizi ni umaskini wetu.Sitaki tena usingizi kwanza hua silali.
Amen
Thank you mtumishi for this sermon..praise the lord
Ameeeni
AMEEN . Eeee MUNGU naomba nisaidie
God bless you all
BWANA YESU akutunze Mtume ili uzidi kutubariki kwa mafundisho yako.
Ameen❤❤❤
Amen
Amina
Amina Baba..
Barikiwa sana mtume
Thanks for this teaching. That's True message
Amen
Translater wa hovyo
❤❤❤❤❤❤
Nataka niingie efatha
Karibu God bless you
Amina baba Kwa mafundisho mazuri,
Asante baba mchungaji kwa mafundisho mema kwa vijana wetu
Nikweli mtumishi ucingizi ni umaskin mkubwa Sana....
Amina baba nimepokea kitu yangu leo
Amen Amen Amen I connect 🙏
Amen and ameen
Tangu nimeingia efatha mambo yangu yapo vizur hakika nimemuona mungu
Amina
Kuanzia Leo nakata usingizi
Twende mbele turudi nyuma unachokisema nisawa but sii sawa100% coz ki-afya pia kutopata usingizi wakutosha nihatari kwa afya yako.
Exactly upo sahihi, Unajua kuna kitu nilijifunza siku za nyuma kidogo, nlishawahipata bahati ya kwenda abroad, Wale jamaa nadhani walipotuzidi ni kwenye mpangilio wa ratiba. Kuanzia asubuhi hadi kufikia jioni kila mtu yuko busy na busy kweli kweli, kama we hauna cha ku keep busy basi utabaki unashangaa pekeako, lakini jioni wanazitumia sana kwa refreshment na ndomaana hata michezo mingi huwa ucku kuanzia saa 1, na ucku wanalala Effectively kwa Afya ya Ubongo kwaajili ya kesho, uhalisia ni kwamba uki over work usiku asubuhi automatic utaamka umechoka mwili na akili kwaio hauta fanya vi2 perfect. Point yang ni kwa Commitment kubwa Alfajiri hadi jioni ukiitumia vizuri sana inatosha sana kufanya makubwa lakini ucku renew kwaajili ya kesho. Ukifanya ucku kama mchana bac ni mbaya pia hata kwa Afya yako uta achieve sawa ila kwa faida ya nani akat afya yako haiko stable
@@barakangellah5354 kumbuka pia mtu akilala sana over 8 hours pia mwili unachoka na mtu anaamka akiwa na hali ya homa kabisa kila kitu kwa kiasi ndo point kuu niliyo note
Amen..❤
Sasa mnatupia mahubr mtandaoni ili iweje
Yafike Mbali
Ili yakufikie
That's true
Amen..asante mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri
Amina
Amen amen😢😢
Amen
True
Tufanye kazi dungu zangu
Usingizi ni starehe ya hakki tuliopewa ni allah swt kila kitu kina muda wake.
Acha ubishi usijeukaumia
Ameen mtumish wa mungu
Atari
🤲🤲
❤️❤️❤️❤️ My Dady
He is helping me in kenya
Asante
Amina baba barikiwaa
Mungu akubariki❤
Huyu kijana anaetoa tafsri 😢anapotosha sana ila maamubili ni mazuri
Anapotosha vip wew unajua kiingereza vizr kweli
Ndo nashangaa @rehemaharuna
Acha uongo wewe kiingereza gani kitakacho ongelewa zaidi ya hapo? Nadhani hujui
@@rehemaharuna rehema muache mtoto acheze
Ujumbe unafika mbari Zacharia nivizuli sana akitafsri ☝️🤓
Unaweza ukakusanya fedha kama zote then inaingia vita mali yote inapotea maybe unapata na ulemavu au unapata makajanga mbali mbali ukakusanya mali yote inabebwa na kimbunga mafuriko nk hujawa masikini na omba omba usijione kupata ni akili zako mpaka Mungu akufanyie wepesi .hakuna anae nunua umaskini..
Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea
Akili zisizo na MUNGU utaziona tu, mwenzio anaongelea Mambo ya Mungu anaetupa afya njema na Uzima, alafu wee unaongea mambo ya ajali ulemavu na majanga, Sasa hayo ni mawazo ya Mungu?
Kumbuka haya yote ya usingizi Mungu kaagiza pia kasema apendae usingizi atapata umasikini wa kutosha Mungu kukusaidia haina maana ulale tuu na Mungu atakupa kitu unachoweza ku manage
@@alexmasumbigana49108
Kalaga baho
Kwel.baba
Ameniiiiii, mtumishi
🕤🤲🤲🤲🤲
Nimeku elewa mutumishi wa mugu
Amen amen mtumishi
🙏 amen
Amen
Ameni.....❤
Watakalo wafundisha shikeni mfano wa matendo yao msiige
Mungu anisaidie mimi kuushinda usingizi kwa jina la YESU nimepokea neno la kuushinda usingizi kwa Jina la YESU barikiwa sana Baba
Sio kweli kwamba ukilala Dana ndio unakula maskini fact zipo
Asante kwa somo zur mtumish
Aminaaa sna
Amina
Amen
Amen Amen
Hii ni kweli kabisa,usingizi ni mbaya Sana nakumbuka shuleni wengine wanasoma wengine wanalala,halafu nkumbuka ilikuwa ukanda baridi.kuna waafunzi wanapenda kulala buana yaani usingizi.
Hahahah.. mpka darasani
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Amina
Mind blowing
Mungu akubariki mchungaj yaan ucingizi ucio was lazima nakukataa kabisa kwa jina la yesu...
Amemmmmmmmm
Ahsante baba
❤❤❤❤ ameni
AMEN 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Amina
Amen
Ameni
🙏🙏🙏
🙏
Amina! Amina! Amina!
Ndio kabisa
Kweli kabisa❤
Amen papa