IBADA YA MWISHO YA RAIS MAGUFULI KUHUDHURIA ST. PETER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Rais John Magufuli katuka ibada ya mwisho kuhudhuria kanisa St Peter Dar Februari 21, 2021,

ความคิดเห็น • 143

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 3 ปีที่แล้ว +31

    Umetuachia mtihani baba 😭💔 Yaani wewe ni Mtumishi tusipo fuata ushauri wako tutajuta Mungu atusaidie sana

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 ปีที่แล้ว +2

      Upo sahh tusipoyafata n shida

    • @damianmakala2913
      @damianmakala2913 3 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa tusipofuata ushauri wa huyu mzee tutaisha kwa kweli ! Ni huruma ya MUNGU tu

  • @paulkennedy5728
    @paulkennedy5728 3 ปีที่แล้ว +15

    Hii clip sio Magufuli baali ni Roho wa Mungu alikuwa anasema na Taifa.

  • @emmanueljoseph2576
    @emmanueljoseph2576 3 ปีที่แล้ว +29

    Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu

    • @hadijamagufuli2661
      @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว

      We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭

  • @mwadiabulymoshabani6336
    @mwadiabulymoshabani6336 3 ปีที่แล้ว +7

    Baba wewe Ni muungwana Mungu akupumzishe kwa Amani.
    Tunakupenda Sana sana

  • @hussenimfugule302
    @hussenimfugule302 3 ปีที่แล้ว +17

    R.I.P raisi wetu tulikupenda mungu kakupenda zaidi pimzika kwa hamani

  • @halimaally5333
    @halimaally5333 3 ปีที่แล้ว +3

    Mungu aiweke roho ya raisi wetu mahali pema peponi pumzika kwa aman Baba yetu mbele yako nyuma yetu

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 3 ปีที่แล้ว +5

    R I P Raisi wetu Doctor Jonh pombe magufuri tutakukumbuka sana baba mungu akusamehe madhambi yako na ulale kwa amani😭😭😭

  • @dosesmike6117
    @dosesmike6117 3 ปีที่แล้ว +8

    We love you so much in Uganda ntoroko district RIP baba

  • @nica6662
    @nica6662 3 ปีที่แล้ว +2

    Aise inauma kwakwel polen sana watanzania mungu awape nguvu kwakweli nilimpend uyu baba mpaka nikataman nibadili injii allah ampe kauli dhabiti 😭😭😭😭😭

  • @aeshamrange6540
    @aeshamrange6540 3 ปีที่แล้ว +8

    Kifo kipo lakin hakizoeleki jaman staki kuamini mimi leoooo😭😭😭😭 tz yetu ss 🇹🇿😭 mzee wetu jaman 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 3 ปีที่แล้ว +1

    Saffi Sana baba umekufa ukiwa na imani na mungu

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 ปีที่แล้ว +8

    😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏

  • @surealfredkabasa4518
    @surealfredkabasa4518 3 ปีที่แล้ว +7

    INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN

  • @jaggaludegula6826
    @jaggaludegula6826 3 ปีที่แล้ว +6

    Kwakweli mpaka sasa siamini 😢😢😢 naona km naota. Sijui nitalipokea lini hili . Mungu tutie nguvu,wewe ndiye ujuaye yote.

  • @justinemgani7798
    @justinemgani7798 3 ปีที่แล้ว +7

    Oo Lord Let Your Love Not depart from us

  • @azyzahyussuf6804
    @azyzahyussuf6804 3 ปีที่แล้ว +7

    😭😭😭😭mungu akupumzishe kwa salama n amn. Hakika mann yk 2tabk nayo daima mileleeee😭😭😭🙏. Nendaaa salamaaa kwaher y kuonanaaa tena legend we2 kipenzi😭😭😭🙏

  • @miriamkarata7495
    @miriamkarata7495 3 ปีที่แล้ว +3

    😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @shilingingubisi1073
    @shilingingubisi1073 3 ปีที่แล้ว

    Mtumishi wa Mungu asiyetahayari.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

  • @ChangchunRealstateDragon
    @ChangchunRealstateDragon 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupokee kwa amani baba

  • @esteromary2102
    @esteromary2102 3 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru Mungu,ok R.I.P

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 ปีที่แล้ว +4

    Kweri Raisi wetu a naiman abawajua saana wabaya wetu daaa Tunakupenda Raisi wetu daima😭😭😭😭😭😭hatutokusahau

  • @gitiganiibrahimdanhi7692
    @gitiganiibrahimdanhi7692 3 ปีที่แล้ว +9

    Vita Umevipiga na Mwendo Umeumaliza Salama, Mwanga wa Milele Ukuangazie Kipenzi Cha Watanzania.
    Hakika kwake tutarejea 💔💔 R.I.P JPM 😭😭😭

  • @maggykavata9439
    @maggykavata9439 3 ปีที่แล้ว +1

    tumtangulize Mungu

  • @andrewkibwata974
    @andrewkibwata974 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante MUNGU kwa mussa wetu ambaye ndie Rais magufuli,tunaomba utupe joshua wetu atuongoze vyema sawasawa na mapenzi yako.

  • @everestkibaya4527
    @everestkibaya4527 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa amani baba nabii wa kweli uliezima ghafla will ever miss you

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 3 ปีที่แล้ว +4

    Innallillahi wainna illahi rajiun shujaa pumzika kwa amani kazi ya Allah haina makosa @john pombe magufuli

  • @mosesnicodem2834
    @mosesnicodem2834 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakika iman uliyokuwa nayo n kubwa sana mungu akubarik

  • @elizerbethmichael9992
    @elizerbethmichael9992 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaaah 😭😭😭😭😭 kumbe huu ulikuwa USIA wako wa mwsho kwe2 Baba weeeeee ume2achia majonzi makubwa sana pumzka kwa aman

  • @kaicy165
    @kaicy165 3 ปีที่แล้ว

    Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.

  • @imorirajabu5743
    @imorirajabu5743 3 ปีที่แล้ว +4

    R.i.p rais wetu tangulia xie tupo nyuma yk

  • @chumatuma4967
    @chumatuma4967 3 ปีที่แล้ว +2

    Innalilah waina lilahi la juun Allah akupe kauli thabiti 😭😭Allah alifanye kabuli lako liwe kati ya bustani za peponi Inshaallah😭😭😭 Amiin🙏🙏

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 3 ปีที่แล้ว

    Huyu mzee kwakweli nilikuwa nampenda Sana. Maana kila kitu kila Hatuwa yeye anamtanguliza mungu.

  • @ellymclaughlin4046
    @ellymclaughlin4046 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akupumuzishe kwa Amani baba tumekumiss umetuachia ukiwa hatujui kinachoendea sasaivi 😭😭😭

  • @suzy6877
    @suzy6877 3 ปีที่แล้ว

    kweli kabisa, You spoke the truth , Barakoa zina matatizo,

  • @capitalism2128
    @capitalism2128 3 ปีที่แล้ว +1

    RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏

  • @modrickgobe2420
    @modrickgobe2420 3 ปีที่แล้ว +10

    Pumzika kwa amni shujaaa wetu jpm

  • @nyanjirakhamis2338
    @nyanjirakhamis2338 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akupe mpumziko la milele daima

  • @khamishamza6550
    @khamishamza6550 3 ปีที่แล้ว +3

    Wakat huu ndo wakat wa kumuomba mungu kisawasawa

  • @maisaalawy4512
    @maisaalawy4512 3 ปีที่แล้ว +4

    Innalilahi wainailahi rajiun

    • @ramsokingo5607
      @ramsokingo5607 3 ปีที่แล้ว

      Sisi sote ni wa mungu na kwake tutarudi

  • @agricolammasy8019
    @agricolammasy8019 3 ปีที่แล้ว +3

    R. I. P our president JPM we loved u so much

  • @stellafrancis2793
    @stellafrancis2793 3 ปีที่แล้ว

    Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @sarahmgaya9853
    @sarahmgaya9853 3 ปีที่แล้ว +1

    Raisi wetu tunakuombea Mungu kakupenda zaidi tunalia baba tumeumia sanaa😭😭😭😭😭

  • @vanessajames2192
    @vanessajames2192 ปีที่แล้ว

    Jaman wewe baba mie mbona nashindwa kukusahau 😭😭😭 pumzika kwa amani Rais wangu 🙏

  • @kondeinnoss2224
    @kondeinnoss2224 3 ปีที่แล้ว +1

    Hapa duniani tunapita baba mungu akulaze mahali pema peponi tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi yatu

  • @elianamariasantos9665
    @elianamariasantos9665 3 ปีที่แล้ว +2

    Que bom para vocês aí a pandemia já passou !!Nos aqui no Brasil estamos sofrendo com a pandemia!!😭😭😭😔😔😔

  • @mamuomar3490
    @mamuomar3490 3 ปีที่แล้ว +5

    jamanii magu nenda baba uwende salama tulikupenda sana wa kenya

  • @blandinahillary9093
    @blandinahillary9093 3 ปีที่แล้ว +5

    Rest easy hero💔

  • @annitahmalaba1254
    @annitahmalaba1254 3 ปีที่แล้ว +1

    We have lost ahero,not only in Tanzania but in the African,rest in peace daddy.ilack words to say .

  • @samwelkilale1181
    @samwelkilale1181 3 ปีที่แล้ว +2

    Mzee umejua kutuliza wew mwenyezi mung akupe fildahusii

  • @jonhyjomba9745
    @jonhyjomba9745 3 ปีที่แล้ว +5

    Pumzika kwa aman

    • @restitutamkenda3963
      @restitutamkenda3963 3 ปีที่แล้ว

      Upokelewe Mbinguni kwenye makao ya milele baba.pumzika kwa Amani

  • @jescamuijsers4206
    @jescamuijsers4206 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌

  • @goodlucklutabila7527
    @goodlucklutabila7527 3 ปีที่แล้ว +3

    rest in peace JPM

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU hashindwi kitu ! Tumtangulize MUNGU ! Dah sitakusahau mwamba my best president ! Yaani dah nalia tu

  • @magembemakoye5037
    @magembemakoye5037 2 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka sana JPM

  • @abedysalumu7214
    @abedysalumu7214 3 ปีที่แล้ว

    Inalilah wainalilah rajiun

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 3 ปีที่แล้ว

    Innaa Lillahi wa innaa Ilayhi raajiuun

  • @yonahdmpgm4108
    @yonahdmpgm4108 3 ปีที่แล้ว +1

    Dear father😭😭😭😭😭😭😭

  • @said0121
    @said0121 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuuu mwenyezimungu akulaze mahala pema pema pepon yaani mimi mpaka leo siamin😭😭😭

  • @yunusali7617
    @yunusali7617 3 ปีที่แล้ว

    Jamanii nalia mimi dah yaniiiii tumeumbuka Tanzania tumeumbuka heeeeee,innalillahi wainnalillah rajiun.

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 ปีที่แล้ว

    Mm kama naota 😭😭😭😭😭😭😭 tutafuata ushauri Mungu yupo baba pumzika 😭😭😭💔

  • @kwangulugata7615
    @kwangulugata7615 3 ปีที่แล้ว +2

    R I P rais wetu tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi tutakukumbuka milele 😭😭😭

  • @alenizack8064
    @alenizack8064 3 ปีที่แล้ว +7

    Pumzika kwamani shujaa wetu

  • @sadasadick6796
    @sadasadick6796 3 ปีที่แล้ว

    Tutakukumbuka sana baba yetu

  • @youngmbeyaboy4692
    @youngmbeyaboy4692 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwaaa Aman baba wataifaa😭😭😭😭😭😭😭

  • @lovenessibrahimu6730
    @lovenessibrahimu6730 3 ปีที่แล้ว +3

    R. I.P Mr President R.I.P Jembe Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Ukagone Malafyale

  • @rehemafeysali7968
    @rehemafeysali7968 3 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli eeeee 😭😭😭umeondoka baba Lakin nashindwa kukuita malehemu maneno yako yananiliza mno yaan kama ulijua utaondoka shujaaa 😭😭🙏

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 ปีที่แล้ว +1

    Yaaan President kaongea ukweli chonde chonde tufuate ushauri wake watanzania balakoa barakoa vaen za kutengeneza tafadhalu 😭😭😭😭

  • @marthajohn6020
    @marthajohn6020 3 ปีที่แล้ว +2

    Baba ulkuwa unatupa maneno manzur ya kutujenga sasa baba Kama umeondoka nan atatpa maneno manzur pumzk kwa amani maguful

  • @expert5898
    @expert5898 3 ปีที่แล้ว +1

    Daaaaa!!! As if he still alive.

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 3 ปีที่แล้ว +1

    Hata kama wakikupa sumu utakwenda kwani uwongo baba 😭😭😭

  • @frankkashner
    @frankkashner 3 ปีที่แล้ว

    Shujaa Wangu

  • @silasnyangwono6270
    @silasnyangwono6270 3 ปีที่แล้ว

    Shujaa kweli. Mwangi wa milele umwangazie ee bwana.

  • @sabahaabebe3085
    @sabahaabebe3085 3 ปีที่แล้ว +6

    😭😭😭😭bado kidonda hakijapona

    • @cecygeorge4443
      @cecygeorge4443 3 ปีที่แล้ว

      Raisi wetu jamani pumzika kwa Amani tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi Baba😭😭😭😭😭🙏

  • @raymondpeter8555
    @raymondpeter8555 3 ปีที่แล้ว

    Umelala yooooo 😭

  • @gloryfrancis5039
    @gloryfrancis5039 3 ปีที่แล้ว

    Mungu jamani tuhurumie tuu

  • @ramadhankhabhaheza9860
    @ramadhankhabhaheza9860 3 ปีที่แล้ว

    Rest in peace our dear president John Pombe Magufuli

  • @faithhumble3780
    @faithhumble3780 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtihani mkubwa sana

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 2 ปีที่แล้ว

    "Mimi ni kiongozi wenu ninajua mengi" MWALIMU.

  • @fatumagilo9712
    @fatumagilo9712 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumzika kwa Armani baba wataifa 😭😭😭😭

  • @chamimdesa148
    @chamimdesa148 3 ปีที่แล้ว

    Huyu ndiye NABII na MTUME wa kweli

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 3 ปีที่แล้ว +2

    Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 3 ปีที่แล้ว

      😃😄 Kumbe hebu nifumbue macho na mimi nijue

    • @hassanussein1817
      @hassanussein1817 3 ปีที่แล้ว

      @@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli

    • @hassanussein1817
      @hassanussein1817 3 ปีที่แล้ว

      Maendeleo Ya Tanzania watu wa Est, Ouest na North ya Africa awakupendezwa kwao ilifika kwa uwakati wa korona waka tafuta ki kwazo

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 3 ปีที่แล้ว

      @@hassanussein1817 doooh yaan ni sianzi tupu kuondokewa na rais akiwa madarakan 😥😥😥😢

  • @haruniwilium9884
    @haruniwilium9884 3 ปีที่แล้ว +1

    Umetuacha yatima baba, pumzika kwa amani

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 3 ปีที่แล้ว +2

    Mpk sas bad siamin

  • @happinessmwissemwissw1719
    @happinessmwissemwissw1719 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba yangu umejua kuniliza jamanii
    Kwanini mapema hivi daaaah

  • @hidayausanga382
    @hidayausanga382 3 ปีที่แล้ว

    R.I.P baba JPM

  • @scolabahame2214
    @scolabahame2214 3 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭😭😭😭

  • @winnieangelo1936
    @winnieangelo1936 3 ปีที่แล้ว

    Bado siaminii

  • @deborasigalla8190
    @deborasigalla8190 3 ปีที่แล้ว

    Ulitupa ujasiri mno katikati ya hili tatizo ujue baba.

  • @yunusali7617
    @yunusali7617 3 ปีที่แล้ว

    Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.

  • @ramadimbegu7996
    @ramadimbegu7996 3 ปีที่แล้ว

    Hama hakika ulitutaka tujitegemee tuwe wabunifu.nk .

  • @siasilaa7833
    @siasilaa7833 3 ปีที่แล้ว

    RIP Mr President.

  • @samwelrupoja4795
    @samwelrupoja4795 3 ปีที่แล้ว

    Rest in peace anko

  • @maryaloyce3828
    @maryaloyce3828 3 ปีที่แล้ว

    Nenda baba tutakukumbuka.

  • @athumanishaban4077
    @athumanishaban4077 3 ปีที่แล้ว

    Rip Magu

  • @atupokilengallah4882
    @atupokilengallah4882 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 3 ปีที่แล้ว

    Umeondoka mapema hivi hicho kiti unamwachia Nani sasaaa???

  • @Gevidotvonline
    @Gevidotvonline 3 ปีที่แล้ว

    Rip Dady

  • @glorymassawe9858
    @glorymassawe9858 3 ปีที่แล้ว

    Dah 😣

  • @midelphamis5161
    @midelphamis5161 3 ปีที่แล้ว

    Rest in peace

  • @denisjohanes4733
    @denisjohanes4733 3 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭💔💔💔💔