Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu
We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭
😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏
😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.
RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏
Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌
Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du
@@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli
Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.
Umetuachia mtihani baba 😭💔 Yaani wewe ni Mtumishi tusipo fuata ushauri wako tutajuta Mungu atusaidie sana
Upo sahh tusipoyafata n shida
Kweli kabisa tusipofuata ushauri wa huyu mzee tutaisha kwa kweli ! Ni huruma ya MUNGU tu
Hii clip sio Magufuli baali ni Roho wa Mungu alikuwa anasema na Taifa.
Uko sawa rafik
Ukianza kuongea natabasabu lakini akili yangu inarejea nakuniambia haupo tena nabaki kulia 😭😭😭Pumzika kwa amani Baba yangu hakika ulikuwa ni mfano wa kuigwa daah baba ulikuwa unaumwa bila kutuambia angalau tukafunga na kuomba kwaajiri yako aaaa kizuri hakidumu
We ndugu kumbe siko pekeangu yani mie mpka nilikonda mawazo yalikuwa yako utawala moyo wangu nilihisi kama nimepotelewa na ndugu wa karibu kabisa si wa mbali jamni kulia 😭😭😭
Baba wewe Ni muungwana Mungu akupumzishe kwa Amani.
Tunakupenda Sana sana
R.I.P raisi wetu tulikupenda mungu kakupenda zaidi pimzika kwa hamani
Mungu aiweke roho ya raisi wetu mahali pema peponi pumzika kwa aman Baba yetu mbele yako nyuma yetu
R I P Raisi wetu Doctor Jonh pombe magufuri tutakukumbuka sana baba mungu akusamehe madhambi yako na ulale kwa amani😭😭😭
We love you so much in Uganda ntoroko district RIP baba
Aise inauma kwakwel polen sana watanzania mungu awape nguvu kwakweli nilimpend uyu baba mpaka nikataman nibadili injii allah ampe kauli dhabiti 😭😭😭😭😭
Kifo kipo lakin hakizoeleki jaman staki kuamini mimi leoooo😭😭😭😭 tz yetu ss 🇹🇿😭 mzee wetu jaman 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Saffi Sana baba umekufa ukiwa na imani na mungu
😭😭😭 daaa jamani🙆 hakika kitu kizuri hakidumu hakika umetuacha yatima sidhani kama tutapata mwingine kama wewe.R.I.P baba yetu tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda zaidi🙏🙏
INNA LILLAH WA INNA ILAYHI RAJIUN
We kjn upo kweli
@@filbertmethusela1407 nìpo kakaaaa
@@filbertmethusela1407 uko salama wewe.......!?
Kwakweli mpaka sasa siamini 😢😢😢 naona km naota. Sijui nitalipokea lini hili . Mungu tutie nguvu,wewe ndiye ujuaye yote.
Oo Lord Let Your Love Not depart from us
😭😭😭😭mungu akupumzishe kwa salama n amn. Hakika mann yk 2tabk nayo daima mileleeee😭😭😭🙏. Nendaaa salamaaa kwaher y kuonanaaa tena legend we2 kipenzi😭😭😭🙏
😭😭😭😭😭😭😭tutakwenda wapi tukapate ushauri hatutasikia tena sauti yako live Baba tumebaki na majonzi tu 😭😭😭😭😭😭😭 tutayaenzi yote mema uliyotuhusia Mungu akupumzishe kwa amani shujaa wetu 🇹🇿😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mtumishi wa Mungu asiyetahayari.Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
Mungu akupokee kwa amani baba
Magufuli hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru Mungu,ok R.I.P
Kweri Raisi wetu a naiman abawajua saana wabaya wetu daaa Tunakupenda Raisi wetu daima😭😭😭😭😭😭hatutokusahau
Vita Umevipiga na Mwendo Umeumaliza Salama, Mwanga wa Milele Ukuangazie Kipenzi Cha Watanzania.
Hakika kwake tutarejea 💔💔 R.I.P JPM 😭😭😭
😭😭😭😭😭💔
tumtangulize Mungu
Ahsante MUNGU kwa mussa wetu ambaye ndie Rais magufuli,tunaomba utupe joshua wetu atuongoze vyema sawasawa na mapenzi yako.
Amen mtumishi. Joshua yupo
Amina
Pumzika kwa amani baba nabii wa kweli uliezima ghafla will ever miss you
Innallillahi wainna illahi rajiun shujaa pumzika kwa amani kazi ya Allah haina makosa @john pombe magufuli
Hakika iman uliyokuwa nayo n kubwa sana mungu akubarik
Daaaah 😭😭😭😭😭 kumbe huu ulikuwa USIA wako wa mwsho kwe2 Baba weeeeee ume2achia majonzi makubwa sana pumzka kwa aman
Best president ever,hofu yake ya Mwenyezi MUNGU ni sifa yake bora zaidi,Mwenyezi MUNGU ailaze roho yake katika amani ya milele kwenye mkono wake wa kuume.
R.i.p rais wetu tangulia xie tupo nyuma yk
Innalilah waina lilahi la juun Allah akupe kauli thabiti 😭😭Allah alifanye kabuli lako liwe kati ya bustani za peponi Inshaallah😭😭😭 Amiin🙏🙏
Huyu mzee kwakweli nilikuwa nampenda Sana. Maana kila kitu kila Hatuwa yeye anamtanguliza mungu.
Mungu akupumuzishe kwa Amani baba tumekumiss umetuachia ukiwa hatujui kinachoendea sasaivi 😭😭😭
kweli kabisa, You spoke the truth , Barakoa zina matatizo,
RIP Dr Magufuri and we will miss you, I can't believe that you have gone and we shall not hear from you again, but you have done your work and going for another work somewhere where you needed too 🙏🙏🙏🙏
Pumzika kwa amni shujaaa wetu jpm
Mungu akupe mpumziko la milele daima
Wakat huu ndo wakat wa kumuomba mungu kisawasawa
Innalilahi wainailahi rajiun
Sisi sote ni wa mungu na kwake tutarudi
R. I. P our president JPM we loved u so much
Jaman amka basi baba, amka Rais wetu weeeeee😭😭😭😭😭😭😭. Kweli jaman unatuacha jaman uwiiii. Amka baba, amka John, tukuone tena ukituhutubia wanao jaman amka😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Raisi wetu tunakuombea Mungu kakupenda zaidi tunalia baba tumeumia sanaa😭😭😭😭😭
R.I.P Our President 💔💔
Jaman wewe baba mie mbona nashindwa kukusahau 😭😭😭 pumzika kwa amani Rais wangu 🙏
Hapa duniani tunapita baba mungu akulaze mahali pema peponi tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi yatu
Que bom para vocês aí a pandemia já passou !!Nos aqui no Brasil estamos sofrendo com a pandemia!!😭😭😭😔😔😔
jamanii magu nenda baba uwende salama tulikupenda sana wa kenya
Rest easy hero💔
We have lost ahero,not only in Tanzania but in the African,rest in peace daddy.ilack words to say .
Mzee umejua kutuliza wew mwenyezi mung akupe fildahusii
Pumzika kwa aman
Upokelewe Mbinguni kwenye makao ya milele baba.pumzika kwa Amani
Mtetezi wa wanyonge, mtetezi wa kinamama wanaoonewa,mpangusa machozi ya wamama wasiyo na uwezo, mtetezi wa mtanzania nikweli ulijitoa kwenye nchi yako kwakila namna, buriani rais magufuli,milele tutakukumbuka😭😭😭😭😭😭🤲🙌
rest in peace JPM
MUNGU hashindwi kitu ! Tumtangulize MUNGU ! Dah sitakusahau mwamba my best president ! Yaani dah nalia tu
Tutakukumbuka sana JPM
Inalilah wainalilah rajiun
Innaa Lillahi wa innaa Ilayhi raajiuun
Dear father😭😭😭😭😭😭😭
Duuuu mwenyezimungu akulaze mahala pema pema pepon yaani mimi mpaka leo siamin😭😭😭
Jamanii nalia mimi dah yaniiiii tumeumbuka Tanzania tumeumbuka heeeeee,innalillahi wainnalillah rajiun.
Mm kama naota 😭😭😭😭😭😭😭 tutafuata ushauri Mungu yupo baba pumzika 😭😭😭💔
R I P rais wetu tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi tutakukumbuka milele 😭😭😭
Pumzika kwamani shujaa wetu
Tutakukumbuka sana baba yetu
Pumzika kwaaa Aman baba wataifaa😭😭😭😭😭😭😭
R. I.P Mr President R.I.P Jembe Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Nenda JPM Ukagone Malafyale
Dada acha tu , Tuombe Mungu sana
Magufuli eeeee 😭😭😭umeondoka baba Lakin nashindwa kukuita malehemu maneno yako yananiliza mno yaan kama ulijua utaondoka shujaaa 😭😭🙏
Yaaan President kaongea ukweli chonde chonde tufuate ushauri wake watanzania balakoa barakoa vaen za kutengeneza tafadhalu 😭😭😭😭
Baba ulkuwa unatupa maneno manzur ya kutujenga sasa baba Kama umeondoka nan atatpa maneno manzur pumzk kwa amani maguful
Daaaaa!!! As if he still alive.
Hata kama wakikupa sumu utakwenda kwani uwongo baba 😭😭😭
Shujaa Wangu
Shujaa kweli. Mwangi wa milele umwangazie ee bwana.
😭😭😭😭bado kidonda hakijapona
Raisi wetu jamani pumzika kwa Amani tulikupenda sana ila Mungu kakupenda zaidi Baba😭😭😭😭😭🙏
Umelala yooooo 😭
Mungu jamani tuhurumie tuu
Rest in peace our dear president John Pombe Magufuli
Mtihani mkubwa sana
Kabisa
Sasa tutampata wapi jamani Raising WA hivi jamani
"Mimi ni kiongozi wenu ninajua mengi" MWALIMU.
Pumzika kwa Armani baba wataifa 😭😭😭😭
Huyu ndiye NABII na MTUME wa kweli
Adui wa Africa ni mu afrika mwenyew. mlishindwa kumlinda na inchi ya Tanzania unashindwa kuzugumza ukweli kwamba ki fu cha Raisi Magufuli kimetokana na ambao waitwa wazungu du
😃😄 Kumbe hebu nifumbue macho na mimi nijue
@@sifatiiman alikua akiimba nyimbo moja isiji ikatokea ikawa Libya na Khaddafi, nadicho kilicho kwa sasa Government ya Tanzania inaficha na uku inajuwa ukweli
Maendeleo Ya Tanzania watu wa Est, Ouest na North ya Africa awakupendezwa kwao ilifika kwa uwakati wa korona waka tafuta ki kwazo
@@hassanussein1817 doooh yaan ni sianzi tupu kuondokewa na rais akiwa madarakan 😥😥😥😢
Umetuacha yatima baba, pumzika kwa amani
Mpk sas bad siamin
Baba yangu umejua kuniliza jamanii
Kwanini mapema hivi daaaah
R.I.P baba JPM
😭😭😭😭😭😭
Bado siaminii
Ulitupa ujasiri mno katikati ya hili tatizo ujue baba.
Baba wamekusaliti wamekusaliti MUNGU akuweke panapo stahiki jembe letu inauma yani dah MAGUFULI nalia nalia,baba washahalalisha sindano kujifukuzia hawakuamini tena jamanii,ila mimi nimuumini wa magufuli nation.
Hama hakika ulitutaka tujitegemee tuwe wabunifu.nk .
RIP Mr President.
Rest in peace anko
Nenda baba tutakukumbuka.
Rip Magu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Umeondoka mapema hivi hicho kiti unamwachia Nani sasaaa???
Rip Dady
Dah 😣
Rest in peace
😭😭😭😭😭💔💔💔💔