kwanini mnajifananisha na dala dala ?serikali inatakiwa kupunguza dala dala ili kupunguza uharibifu wa mazingira , kwa sera bora ya serikali daiadaia zingeishia kimara tu , huyu jiwe lenu kajiingiza , SGR is a white elephant , nothing wrong with central rail na TAZARA ambayo waTZ enzi ya nyerere tumelipia kwa jasho letu kununua bidhaa za kichina (TAZARA)
Thx Beni. Namshukuru Eloi wangu aliyetupatia rais mahiri Mh. MAGUFULI. Tazama leo mabehewa yetu yamebeba matangazo ya mashirika yetu ambayo rais wangu ameyafanya kupiga chafya wakati yakiingizwa kaburini.
EPUKA FOLENI PANDA TREEEEEENI HAAHAAA...GONGA LIKEEEEE
TRC RELI TV Kweli Kabsa Hongera saaana TRC👍🙏
TRC RELI TV wakubwa tunaombeni renders za SGR main terminal na vituo vyengine vya njiani....tuna shauku nazo sana
Tanzania inamaendeleo sana kwa kipindi kifupi tangu Dkt Rais Magufuli achukuwe Madaraka hongera Mungu akuongoze Katika Kazi unazofanya kila siku
Susana Nyasani tunakwenda vizuri
@susan nyasani treni ilianza awamu ya nne chini ya mwakyembe unatambua , au we msaka tonge ?
Sasa mnetuonesha hata Hiko Kituo cha Kisasa Kitakuaje
Brother Ben tuletee mchoro na video ya Stesheni mpya
Awesome
ongeza bei ili abiria wapate huduma nzuri zaidi, wanafunzi wapande bure tu , daladala zipigwe marufuku mjini . ziishie kimara , mbagala, tegeta nk
EPUKA FOLENI PANDA TRENI oyooooooooo..... Bonge LA kauli mbiu trc ichukuen hiyo Biashara matangazo bana
Hivi hii bado ipo siku hizi 2023??
fantastic maendeleleo
Asante san watangazaj wetu kwa kazi nzuri wa RELI TV tunaona maendereo ya wakandarasi wetu asanten san mwenyez MUNGU yupo pamoja nanyi
kwanini mnajifananisha na dala dala ?serikali inatakiwa kupunguza dala dala ili kupunguza uharibifu wa mazingira , kwa sera bora ya serikali daiadaia zingeishia kimara tu , huyu jiwe lenu kajiingiza , SGR is a white elephant , nothing wrong with central rail na TAZARA ambayo waTZ enzi ya nyerere tumelipia kwa jasho letu kununua bidhaa za kichina (TAZARA)
Unajiona una akili mwnyew
Tanzania inasonga,maendeleo yanatia moyo
"EPUKA FOLENI PANDA TRENI" ni kweli kauli mbiu muhimu sana,hongera sana watanzania ,hongera sana TRL na hongera sana Mhe. Mwakyembe(mwanzilishi)
Thx Beni. Namshukuru Eloi wangu aliyetupatia rais mahiri Mh. MAGUFULI. Tazama leo mabehewa yetu yamebeba matangazo ya mashirika yetu ambayo rais wangu ameyafanya kupiga chafya wakati yakiingizwa kaburini.