Tanzania ya Mavi kunuka kila sehemu ni ushenzi tu kwa Nini wakusanye tickets na huu uozo ina maana hamna anayeona haya , ni kweli wanauza tena hizo tickets hawa watu ni wa kunyonga tu kama Tanzania ya Mavi kunuka mnataka kuendelea
Treni ya kizamani imechakaa sana msisifiane, jengeni reli za kisasa mnunue mabewa ya kisasa dar inahitaji kuwa na Metro au light train kama adiss ababa Na majiji mengine Afrika
nguvu moja kwa mama samia
1:05 nani mwingine kamuona jamaa akistruggle kushuka ngazi 😂😂😂
Viongozi yani mpaka raisi aseme vinginevyo hamfanyi kazi zenu yani , mmekaa tu ofcn mnasubiria shida iyonekane ndo mnaamka kuonekana
Wizi wizi wizi mpaka bungeni hodiiiii
Duh 😂😂😂😂😂😂
Kama mmeshindwa ruhusuni watu waingize usafiri binafsi.
Jamaa ameongea ukweli kabisa ticket wanauza za jana unapewa leo
Tanzania ya Mavi kunuka kila sehemu ni ushenzi tu kwa Nini wakusanye tickets na huu uozo ina maana hamna anayeona haya , ni kweli wanauza tena hizo tickets hawa watu ni wa kunyonga tu kama Tanzania ya Mavi kunuka mnataka kuendelea
1:05 nani mwingine kamuona jamaa akistruggle kushuka ngazi 😂😂😂
Treni ya kizamani imechakaa sana msisifiane, jengeni reli za kisasa mnunue mabewa ya kisasa dar inahitaji kuwa na Metro au light train kama adiss ababa Na majiji mengine Afrika
Ongezen mshahara kwa walimu
Wewe nawe wanazungumzia usafiri sio mishahara 😂😂😂😂😂😂😂
We mwalimu nini?
Ila hali ya jana nimeishudia kwa macho yangu hali ilitisha watu walijaa walining'inia milangoni hadi nikaogopa
7bu ya kujaa watu n kwmba kuna udanganyifu kweny TIKET
kila kitu samia wewe unamchango gani kwenye nafasi yako .
Sasa wewe waziri wacha ujanja unalitambua hilo kitambo.
Wakuchagulie behewa wewe nami?
Kwahiyo ruti za gongolamboto zimeongezwa au behewa zimeongezwa nijubuni