Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala mwanza mwankuba kaz zuri san pamoja kaka nimeerewa sana jaman kwer unakuja kuimba sana kàka mm madaha salala nakupigiaga san sim niko daaa lsalam❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Mwamba kabisa.💪💪 Tulihitaji vitu vipyaaa sasa umetuletea Ahsante sana Kisima tunakuhimiza piga kazi wewe ni bora sana kwenye hizi kazi Mungu aendelee kukutunza utupe burudani.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wape dalasa kaka maana umeshabaki wewe2 na Budagala ndo mnaofundisha wengine wametuchosha namakelele yao,,WAP shikome😂😂😂,,Afu cc tupo apa simiyu kwenukwenu uk pia tunakuombea Sana,,,
Goma Kali sana bro me nakukubali Sana hukawaji nikosea kwenye nafsi yangu🎉🎉🎉🎉 Seema bro me mwenyewe nafanya hiki ila ni bongo fleva naomba unisaidie namba za mbasha studio namuitaji Sana🙏🙏.
Yani nikisikiaga tu nyimbo ya kisima naachaga kazi nasikiliza kwanza kama unakbali gonga like
Nakubali kaka nimeerewa sana nyimbo iyo mm madaha salala mwanza mwankuba kaz zuri san pamoja kaka nimeerewa sana jaman kwer unakuja kuimba sana kàka mm madaha salala nakupigiaga san sim niko daaa lsalam❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ndo muda wa kuachia Ngoma Kali Kali kama hizi Kila iliyo Heri na IKAWE HERI KWA upande wako Nyanda majabala, Hongera sana
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
Kazi nzur Sana nyanda majabala endelea hivyo hivyo
Tumeipenda kazi ya maduhu kaza sana
Wasukuma wajipange sana kwa kisima hyo jamaa anajuwa na anaerewa watamaliza waganga kipaji anacho siyo majaribio kira ngoma akitowa ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kazi nzr sana kaka kisima,mung akuxaidie usonge mbele,🫡🫡🫡
Kisima wewe Ni Msanii Namba Moja Duniani kwenye Asili Mimi Ndio Nasema Sasa❤❤🔥🔥🔥
Safi
Wew kisma fikiliya na nyimbo ya kuimba hujui sikupendi nawew unajua tu
Wacha wew Kam nakuon ulivokuj katome af kesh nikasafiri
Salute kwako kijana wa nyumbn nko mbeya ngoma zina sikika hadi huku as nashndwa kuelewa wanyakyusa nao waijua lugha ya kisukuma hahahaha unatisha sana
Razim wajue mwamba huyu
Ukimya wako umekuja kukata kiu yote yaan ww ni zaidi ya msaniii❤❤❤
Dj kutoka manzese msambazaji wa nyimbo za asili tayar kashaziona kazi mpya anazo anapiga kazi🔥🔥
Mbona mwezi wa 4 unqchelewa tunakusubilia nyarugusu Mzee baba Huna mpinzani
Goma la nyumban liko bomba san kisima wew
Kama ulimis song za kisima like hapa
Nakubar sana kaka
NI hatariii ogopaaa hizi ni za wachache 🤗 lyembo lisoga lene
Nazunyaga kimba mabhiti ima
nice job
Nazunyagha nkingwa igiki uleshinu ugwimba Ngika mwichane
Yes yes
Bro kisima tunakupata vizur sana pande za ilinga
#MTC PRESENT 🎙️🎙️
Leta vitu🔥🔥🔥
Fire❤❤
Katika wasanii wote wa nyimbo za kisukuma naye msikilza zaid ni kisima tu! Niko daresalam lakn nyimbo zake zote ninazo, tukate kiu mashabiki zako.
Huna mpinzani kaka piga kazini ❤❤❤❤
Maduhu
Huyu jamaa hapoi nko zimbabwe nafurahi kusikiliza nyimbo zake tuko pamoja ulikuja kasoli nkiwa spo nasubiri video zako
Bhagosha okoto uwaaa,, yeee unajua adi unakela bana.
Ujumbe mzuri
Awapy
Kisma hakika we nunakipaji siobure
It IS a better artist i never heard
Mwamba kabisa.💪💪
Tulihitaji vitu vipyaaa sasa umetuletea Ahsante sana Kisima tunakuhimiza piga kazi wewe ni bora sana kwenye hizi kazi Mungu aendelee kukutunza utupe burudani.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Abhajidigwa bhinge bhange na jera bhatungwa, yaani hapo umeimba kama Ile ya ulu udaka mwiyanje nemejege nke oko wilolele🤣🤣🤣
Wape dalasa kaka maana umeshabaki wewe2 na Budagala ndo mnaofundisha wengine wametuchosha namakelele yao,,WAP shikome😂😂😂,,Afu cc tupo apa simiyu kwenukwenu uk pia tunakuombea Sana,,,
🎉🎉🎉🎉
majabala wewe ni jini
Maduhu kaka yangu jamani😂😂
Wabeja wa nkokaya
Nakukubali cna kwa kazi zako nzuri
Sijui nikomenti wapi mm
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏👍
Pa1 nipo kamena geita
👊
💔👍
Goma Kali sana bro me nakukubali Sana hukawaji nikosea kwenye nafsi yangu🎉🎉🎉🎉 Seema bro me mwenyewe nafanya hiki ila ni bongo fleva naomba unisaidie namba za mbasha studio namuitaji Sana🙏🙏.
❤❤❤
Nakuaminia kaka