ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
👏👏hongera broo ,,unazidi kimbizaa ,,,ushaur kwa wanaofkuzia nyayoo zako bola 🛌 tu
Kisima majabala unajua kaka kuimba kaka Mungu akuzidishe Huwa nashangaa watu kukulinganisha na waimbaji wengine ambao hawajui kuimba sijui watu wanatakiwa wapewe shule jaman wajue kuimba sio sauti tu
Mpaka kieleweke tu, maana ni ngoma baada ya ngoma #sion #sara #elimu #bhazunije #maduhu zote ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤝 kisima ningekuwa na uwezo hakika ww ndo unaeokoa jahaz kwenye tasinia ya mziki cjawahi kuona msaniinwa kukuzidi ww 'KISIMA'SHIKAMOOO👐
Daaaah kaka umeuwa nipo kenya napendasana nyimbozako
Mh hii sasa ni hatali ,mola akujalie Uwe msanii Safi kwa mda ôté wa maisha Yako kama mondi isiwe kama Wale tulowaona wakapotea ubalikiwe ❤❤❤
Uko vizuri sana kisima, napenda kazi zako.
Kisima toa na video yake itakwa bomba sana hiii ngoma nimependa sukuma oyeeeeeeeee🎉🎉🎉
Simiyu moja nakubar kaka
Dj kutoka manzese msambazaji wa nyimbo za asili tayar kashaziona kazi mpya anazo anapiga kazi🔥🔥
bila kusikiliza nyimboo za majabala kwa siku mamboo yangu hayaendi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wa tatu Leo mliolala mtakomaaa huku mtc ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Usija ndg tunakusapport kwa Hali ya juu ili mziki wetu utufikishe kimataifa🎉🎉
Hapa nimepaelewa huyo tindulano huyoo
Pambana wanaume mungu yupo ila endelea kubuni nyimbo kama hizo kali ahsanteee msukuma mwenzengu??
Mungu akulide uzidi kuelimisha wat ndug yang
du majabala nakuelewa saana mgd wangu bgp saana kaza tu
Ukimya wako umehakisi kuwa ulikua unaanda mambo mazuri Hongera sana Brother
Uko vzur sana kaka
Good job
Wapeleke msobe msobe wa majungu nawee
Wewe ni mwalimu kabisa tunatakiwa tuje na viti kabisa kupata mafunzo
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
safi sana
Tisha sana
Braza kipaji unacho unaweza ukawa hata raisi waTanzania
Ila tulikuwa tunaomba utoe ngoma Tena utuchanganyie Radha ya lugha Tena Kama kabunhu na chacha
nipo nairobi huyu jamaa kashindikana kabisa
hii imeenda
Sikiliza Hy nyimbo
Very nice man
Kaka wewe hatali sana
Ngoma ikovzuri
Tindulano my favorite song
Kumbe ukimya ulikuwa na vi2 ,,tumevipokea
good
hatari
Good
Heshima kwako tunakupenda wasukuma tupe na video hii nyimbo kaka
🎉
This is a video because it teaches
❤
Fundi
Hakuna msanii ninae mkubali kama. Wewe kisama
👏👏hongera broo ,,unazidi kimbizaa ,,,ushaur kwa wanaofkuzia nyayoo zako bola 🛌 tu
Kisima majabala unajua kaka kuimba kaka Mungu akuzidishe Huwa nashangaa watu kukulinganisha na waimbaji wengine ambao hawajui kuimba sijui watu wanatakiwa wapewe shule jaman wajue kuimba sio sauti tu
Mpaka kieleweke tu, maana ni ngoma baada ya ngoma #sion #sara #elimu #bhazunije #maduhu zote ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🤝 kisima ningekuwa na uwezo hakika ww ndo unaeokoa jahaz kwenye tasinia ya mziki cjawahi kuona msaniinwa kukuzidi ww 'KISIMA'SHIKAMOOO👐
Daaaah kaka umeuwa nipo kenya napendasana nyimbozako
Mh hii sasa ni hatali ,mola akujalie Uwe msanii Safi kwa mda ôté wa maisha Yako kama mondi isiwe kama Wale tulowaona wakapotea ubalikiwe ❤❤❤
Uko vizuri sana kisima, napenda kazi zako.
Kisima toa na video yake itakwa bomba sana hiii ngoma nimependa sukuma oyeeeeeeeee🎉🎉🎉
Simiyu moja nakubar kaka
Dj kutoka manzese msambazaji wa nyimbo za asili tayar kashaziona kazi mpya anazo anapiga kazi🔥🔥
bila kusikiliza nyimboo za majabala kwa siku mamboo yangu hayaendi 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wa tatu Leo mliolala mtakomaaa huku mtc ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Usija ndg tunakusapport kwa Hali ya juu ili mziki wetu utufikishe kimataifa🎉🎉
Hapa nimepaelewa huyo tindulano huyoo
Pambana wanaume mungu yupo ila endelea kubuni nyimbo kama hizo kali ahsanteee msukuma mwenzengu??
Mungu akulide uzidi kuelimisha wat ndug yang
du majabala nakuelewa saana mgd wangu bgp saana kaza tu
Ukimya wako umehakisi kuwa ulikua unaanda mambo mazuri
Hongera sana Brother
Uko vzur sana kaka
Good job
Wapeleke msobe msobe wa majungu nawee
Wewe ni mwalimu kabisa tunatakiwa tuje na viti kabisa kupata mafunzo
Moto fire mwaka huu Salamiti imefika tayari kwa DJ JUMA MANAMBA
safi sana
Tisha sana
Braza kipaji unacho unaweza ukawa hata raisi waTanzania
Ila tulikuwa tunaomba utoe ngoma Tena utuchanganyie Radha ya lugha Tena Kama kabunhu na chacha
nipo nairobi huyu jamaa kashindikana kabisa
hii imeenda
Sikiliza Hy nyimbo
Very nice man
Kaka wewe hatali sana
Ngoma ikovzuri
Tindulano my favorite song
Kumbe ukimya ulikuwa na vi2 ,,tumevipokea
good
hatari
Good
Heshima kwako tunakupenda wasukuma tupe na video hii nyimbo kaka
🎉
This is a video because it teaches
❤
Fundi
Hakuna msanii ninae mkubali kama. Wewe kisama