MCHUNGAJI HANANJA asema hakuna HELA ya bure, atakuvunja mbavu kwa maneno yake
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 มี.ค. 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Mimi ni Muslim ila nampenda huyu baba🤣🤣🤣🤣🤣 Christian nipeni like basi
Karibu bby😂😂😂
Mhmm ndo kampeni ya kuombea au
Like za kazi gani???
Amina na tunashukuru kuwa pamoja.
😊
Yaaaani hapo Pastor Masanja anamuelewa HANANJA vizuri zaidi kuliko wooooote hapo
Kwa kweli huyu mchungaji ni level zingine kiukweli.
Hananja ❤
😅😅😅 hanaja angejiunga pia na stand up comedy yyte Kama kina pastor kulia wa Kenya anaweza sanaa
Kwel kabisa yule pasta kuriya na hananja hawana tofaut
Sahihi kabisa!
Huyu mchungaji nimzr sn ila wahusika mtaweza kumshahauri awe anaongea na mic kwa sauti ya kutosha ktk maeneo yote ya mahubiri yk maana kuna wkt sauti inakuwa ndg kiasi huwezi sikia vzr.asanteni sana na samahani kama nitakuwa nimekosea.
Tatzo c o yeya tatzo wanao record mfano hii vdeo saut yake imerecodiwa nje ya mfumo wa saut yaan saut imerekodiwa moja kwa moja kutoka kwnye kamera
Asante kwa kuwa na wewe umeona.wahusika tunaomba walifanyie kazi ili tusipunjwe Neno.🙏🙏🙏
Bongo Tanzania shilingi ni hela haina nguvuu Dunia hiyiiii sema wapiga kazi tunao
Hananja kama Hananja💕💕💕
Huku Kenya tunampenda ajab😂😂😂
Hii Mistari ya Biblia hiki kichwa kimeshika na vitu vingine kweli
Yuko vizuri sana kwenye mistari ya Biblia. Amekuwa pastor wa KKKT muda mrefu
Nampenda sana huyu baba
Hapo mwisho mwisho kidogo nipae 😭🙌🏾🥰🔥
@@nicolenabintu2509 jamani 😅😅
Handsome babu😂😂
Jamani nampenda huyu Pastor mno hanichoshiiii
Mh!!
@@sampatrick308 👀
U n a roho nzuri❤
Unafanyaa KAZI mzuri sanaa Allah tabalaka akulindee miongoni waja boraa asantee
Amin
Nampnda sana mie uyu baba
Nacho mpendea huyu mchungajiii Hana story za uwongoooo anakupa Hadi fungu kwenye biblia Hadi rahaaaaa
Huyu Baba...😄😄😄
Wasafi chukuen huyu baba Hananja atawafaa sana
Ameishachukuliwa na efm
Noma Kweli.Upo Vzr😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Daaah maisha yanaenda kasi jn or juzi baba levol alimwambia kwenye kipindi cha mgahawa Diamond alitaka kumpa kipindi Doooh chelewa chelewa 😢
Yaani nilikua natafuta hii comment, Ukweli ni kwamba EFM hua wanaiba idea za watu na wanaiba mpaka wafanyakazi lakini wasafi watabaki juu
@@Boaz22 nadhani nao wapo slow saana hapo usafini
@@Boaz22 hakuna binadamu anaibiwa wewe, pesa inaongea, mambo maelewano tu. Hao Wasafi wako slow sana pia wanamix mno kazi na maisha binafsi. Halafu vijana wa kihuni wengi mnoo mle..Wapo wanaoyaweza mazingira yale ya kazi wengine hawawezi.
@@homeandaway2811
Your post is full of hate, I can't tell whether it's a hatred or jealousy. WCB ina variations kwani kwa wale wa vipindi vya wapiga kelele na umbea wameweka exactly commentators wa caliber hiyo na kwenye michezo kuna watangazaji wa caliber hiyo then ukienda kwenye uchambuzi pia utakuta watu wa caliber hiyo so it's a complete package. Tatizo vijana/watoto concentration wameiweka zaidi kwenye udaku na companies zinazowapa endorsements ndiyo zinafanya wao kuonekana zaidi.
@@Boaz22 Efm ndiyo radio iliyo fanya mapinduzi makubwa ktk kuboresha vipindi kulikuwa Hakuna kipindi Cha michezo asbh na tarafiza michezo kwenye vipindi vya burudani lkn leo kila radio Ina kipindi Cha michezo asbh na kwenye burudani achana na Efm kabisa
I 🌹u Mchungaji Hananja
Koy mzungu siku ya cheka tu mwalike mchungaji
Mim ananikoshaa anavosimama....yan hananjaa....😃😃😃🙌🙌🙌🙌🙌
Rich bilionea Mwasese mtu kaz
Angekuwa comedian tu huyu pastor😄😄😄😄
Ni comedian, amestaafu utumishi (upastor)
Hapo kwenye mwizi sasa😂
Hananji ninakupenda sa n a
Mwizi siyo shemeji yako😂
Mzee biblia ipo kichwani
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Aaaaameeni
😂😂😂
Kanisa la hakina nani
Na Hananja kaja kuchekesha watu
Hahahah ndomana waislamu na wapenda ukifa wanakukamua umekula chips zao
Huyu mchungaji apewe maua yake
Hananja ubarikiwe sa n a
😂😂😂😂
Huyu NI comedian tu hamna mchungaji hapo
Comedian yupi wakishika Bible vile