Njaa haina baunsa, jana tu ulikuwa ukimsema vibaya Rais wetu mpendwa Mama Samia leo unaanza kuwa upande wetu!! jamani, tuwe makini aside asijekuwa ametumwa na Lisu 😅😅😅😅
Kundulisu sio tishio kwa CCM hata kidogo,siyo mtu wa mikakati bali mropokaji na mlalamikaji mtukanaji ambaye sasa hivi watu wengi wenye akili wanampuuza.
😂😂😂 msigwa umeonyesha huna akil,tuache wenye akili tutetee nchi yetu, ww mnafiki, unawezaje jiunga na chama kinachotesa wananchi eti unaakili......stupid
Mnafiki mkubwa wewe amani gani hio watu mpk juzi wametekwa umejiunga ccm kwa sababu umekosa cheo lengo lako wewe ni cheo tu ulipokosa cheo chadema mbaya
Hata huko upinzani kumejaa dhuluma tu wala hakuna haki. Msigwa amefanya maamuzi sahihi kabisaa kwa muda sahihi, Mbowe anaendesha chama kama familia yake. Hakuna demokrasia huko, hata Tundu Lissu anajua
Njaa haina baunsa, jana tu ulikuwa ukimsema vibaya Rais wetu mpendwa Mama Samia leo unaanza kuwa upande wetu!! jamani, tuwe makini aside asijekuwa ametumwa na Lisu 😅😅😅😅
Kundulisu sio tishio kwa CCM hata kidogo,siyo mtu wa mikakati bali mropokaji na mlalamikaji mtukanaji ambaye sasa hivi watu wengi wenye akili wanampuuza.
Chadema chama baba mkwe wake mboye na ndio mwenyekiti maisha napenda kumpa mchungaji msigwa congratulations
Msigwa yupo sahihi, CHADEMA inabidi ijitazame upya!!
Nakupongeza sana mkuu tulia ufanye kazi sasa umechelewa lakini hakuna shida
Ungekuwa na akili hata kidogo, ungekaa kimya!
Huna jipya msigwa, sisi tutaendelea kuiamini chadema na sio msigwa.
Brother Makala, singida alienda kufany nn kua makin eheee atakuwa ametumwa na Lissu
Msigwa angekuwa mkweli kama angetoka kabla ya uchaguzi wa mkiti Kanda ya Nyasa,,lakini bila hivyo ni uongo mkubwa sana
Kwa mchungaji, mtu alieaminika kwenye Chadema, kweli njaa inasumbua!
Mnaomlaumu msigwa jalibuni kuangali hojazake Mbowe hana demokrasia Chama kinapotea hamtaki kusema ukweli mapungufu nimengi jibuni hoja mfumo wauchaguzi chadema ni mbovu
Wewe ni kichaa msigwa unayarudia matapishi hufaai kabisa hiyo ni njaa kali umeisha
Dah... inasikitisha..lakini tutatoboa tu...😢😢
Siasa bhana...... Watu wanatafuta kazi kama kazi ajira kama ajira.....Maslahi....amefika bei
Cheo...kinakuja sasa kwa uteuzi wa rais....
Asante mkuu uleule anyone vichwa
Msigwa.msigwa. msigwa..mungu.anakuona
Daaah siamin msigwa ametusaliti
Sijakuelewa kabisa braza mungu anakuona kaka
Huna akili Kaa kimya, Domo chafu wewe, utatoka mwenyewe na njaa zako
Hongera maamuzi sahihi
😂😂😂 msigwa umeonyesha huna akil,tuache wenye akili tutetee nchi yetu, ww mnafiki, unawezaje jiunga na chama kinachotesa wananchi eti unaakili......stupid
mumpe cheo haraka msipo mpa cheo atahamia chama kingine msigwa na upendo peneza hao ni wapenda madaraka
Watuwahizi ha wanatakiwa maobi iriwafe hawafai
Ccm juu
Wewe umeamua kwenda huko Kwa tamaa zako tu, huna lolote! Mbona Ndani ya uongozi wako Huku Fanya hayo unayoyaongea
Kwa nini asingejiondoa kabla ya kushindwa uchaguzi
Wee msigwa ACHA Tamaa kwer mko kimasirai kwaiyo urvyo watukana Reo unawambia nn Sasa mjinga wewe uereweki mchungaji gan we njaa tu
Kajifunze kiswahili,usipoteze muda kwenye mitandao wakati hata kusoma na kuandika bado ni changamoto kwako
Lisu alisema lkn
Juzi singida ulienda kufanya nini na makamu mwenyeki wa chadema
Ugali ugali , njoo nyumbani ccm chama kikubwa
Maokoto time bado Lisu mtata
Wewe shida madaraka na njaa tu.
Msingwa hujapotea karibu iringa tunakupenda
Njaa mbaya sana
Uroho wamadalaka una watesa viongozi wetu kwakwe munguatawalipa
Mnafiki mkubwa wewe amani gani hio watu mpk juzi wametekwa umejiunga ccm kwa sababu umekosa cheo lengo lako wewe ni cheo tu ulipokosa cheo chadema mbaya
Makala wewe sio msimamizi wa huo uchaguzi alio shindwa msigwa
CCM insonesha udhaifu wake
Sawa
Wanasiasa muda wote wanawaza vyeo🤣 kwa ccm vyeo utavipata, ndani ya ccm na ndani ya serikali.Huko mapesa watavuna tu😂
Naipokea Taaarifa😂
Vua na uchungaji
Wewe una njaa tuu
Duuu tumepoteza jembe tumepokea jembe
Mnafki msigwa..mwangalienj sana....nipo pale
Mnafiki nini mwache Baba wa watu apumzike
Cbuma mbinu zao halafu utuletee
Naomba mamba yako
Uuuu wewe kaaa kimya
Mema wewe Lini CCM?
😮😮😮😮
Tulia wewe mavi
Mchungaji mzima unaenda upande wa dhuruma badala ya haki. Afadhari ugeenda hata ACT.
Haahaa mpinzani akijiunga na ccm simwelewi,😂
Hata huko upinzani kumejaa dhuluma tu wala hakuna haki. Msigwa amefanya maamuzi sahihi kabisaa kwa muda sahihi, Mbowe anaendesha chama kama familia yake. Hakuna demokrasia huko, hata Tundu Lissu anajua
Huna lolote kaka njaaa