I thought it was a lady who sings this song.woooow he's amazing.i have came across to his songs.i Don even understands the language he sings or speaks but I enjoy his music.am from South Africa.i love yu young man❤❤❤❤
Dada mtangazaji hongera sna napenda mahojiano yako...watangazaji wengi wa bongo wachonganishi sana ila hongera sna dadangu💪💪💪🥰.Dogo founder we support you brother 👊🇰🇪
Diamond anamuona vizuri sana huyu dogo na wapo pamoja sana....sema haya mambo hayataka harakaharaka:: Dogo kipaji kipo na kinaonekana...big up babu Tale..God bless you forever....na dogo zingatia masono yako utasaidika Zaidi...na tunakuomba usikae kinyonge Mungu yupo na ni wa kwetu sote .....Amen .
Kwanza huyu mtoto Yuko vizuri maswali anayajibu kwa hekima yaani ni mtu furani ivi majibu yake anafikili kabla ya kujibu nimempenda bure dogo mungu akuzidishie hekima na busara
Hamna swali lilokuwa gumu kama alilouzwa kwamba anapenda kusikiliza nyimbo za nani ilo swali lilikuwa lina uchonganishi wa hari ya juu sana lakini kalijibu vyema mno kwamba yeye anasikiliza nyimbo za wasanii wote hawezi kuchagua sababu wote niwaimbaji iyo akiri iliyotumika kujibu ni kubwa kuliko
I thought it was a lady who sings this song.woooow he's amazing.i have came across to his songs.i Don even understands the language he sings or speaks but I enjoy his music.am from South Africa.i love yu young man❤❤❤❤
Huyo Mtoto Anaonesha ana stress nyingi.
Inawezekana maisha ya nyumbani anapotoka..
Mungu amsaidiye ..
Dada mtangazaji hongera sna napenda mahojiano yako...watangazaji wengi wa bongo wachonganishi sana ila hongera sna dadangu💪💪💪🥰.Dogo founder we support you brother 👊🇰🇪
sana dogo
Much collaboration from Kenya guys like back❤❤
Huyu mtoto zaidi ya kipaji chake cha uimbaji. Yuko vizuri sana kichwani. ❤
Umeona ee kuna baadhi ya maswali nimeyasikia nimawa nayaogopa lakini dogo alivyo yapangua sijategemea kabisa
San😊
We umejuaje!! 😂😂
Yuko vizuri sana uyo dogo❤
Hana kiherehere mashaalah
Pambana mdogo wangu,Allah Yupamoja nawe...you are calm❤
Huyu dogo ana kipaji mashallah mungu azidi kumuangazia nyota yake Inshallah ❤❤🙏🙏
Please do another interview in English this kid is talented ❤❤❤
Jikaze sn mdogo wng, uko vizuri sn kwenye kipaji chako na Mungu ata kusaidia
Gonga like Kenya twamkubali jamani🇰🇪🇰🇪🇰🇪
254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mwenyez mungu akuzidishie mafanikio mema kijana wetu.
Founder ni dgo mwenye ufahamu mkubw sanaa,, mungu amkomaze akil Zaid,na kumlinda na mishangaz
Ona watanzania kuna watu wazuri wanawaongaza kimaisha mbongezi kwa watanzania wote kuwasika mikono wanyonge❤
Mbona mtoto amepoa jaama ni mungu akubariki mwanangu ❤🎉
Tunakupenda sana tunakuombea kwa MUNGU akufikishe mbali. Good bless you baby boy🎉❤
We need to surport founder tz ,we Kenyans we are behind him ,he is so talented 🎉🎉❤ and the coming years he will be taking tz music to top
Mtangazaji uko vizuri kuhoji:❤❤❤na Faoundar yuko vizuri sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Huu mtoto anaonekana ana stress hana furaha yeyote kuna vitu haviko sawa mungu akisaidie
My likes jameni all the way from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu akusaidie bro ❤ love you from Kenya
Mdogo Wangu,utaenda mbali.good in answering questions.upstairs ako 👍
Diamond anamuona vizuri sana huyu dogo na wapo pamoja sana....sema haya mambo hayataka harakaharaka:: Dogo kipaji kipo na kinaonekana...big up babu Tale..God bless you forever....na dogo zingatia masono yako utasaidika Zaidi...na tunakuomba usikae kinyonge Mungu yupo na ni wa kwetu sote .....Amen .
Aya masimu kwa kuchapia
Ongera sana mtoto Kwa majibu mazuri na yenye upole❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kwanza huyu mtoto Yuko vizuri maswali anayajibu kwa hekima yaani ni mtu furani ivi majibu yake anafikili kabla ya kujibu nimempenda bure dogo mungu akuzidishie hekima na busara
Kwakweli amejibu vyema mno
Hamna swali lilokuwa gumu kama alilouzwa kwamba anapenda kusikiliza nyimbo za nani ilo swali lilikuwa lina uchonganishi wa hari ya juu sana lakini kalijibu vyema mno kwamba yeye anasikiliza nyimbo za wasanii wote hawezi kuchagua sababu wote niwaimbaji iyo akiri iliyotumika kujibu ni kubwa kuliko
@@mpajibinaisa7238 yaani Yuko vizuri
Full confidence ✨️
Wanawake amumpi sapot sai ngoojeni afikishe Miaka ishirin awe star utaona mishangaz ikijipitisha pitisha imuangire mtoto wawatu😅😅
😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Umenena Dada
We dogo ni genius aise , your very smart.
God bless you more.... than you think mdogo we2 , uko vizur sn
Mtoto anajua kujieleza hadi ananizidi Mimi hongera sana kijana Mungu akuonekanie
Mungu msiidiyeyu kijna manawanasma kwamba kama aujaumba unakuwa unatujuwa vizuri sana baba msidiye uyu motor aeendereezee mziki wake
Yani leyna mtangazaji mzuri sana jamani Big up sana
Huyu mtoto anaujuzi sana anaweza tumpe maua yake❤❤❤❤❤❤❤❤
🎙️🎙️🎙️🎙️🎙️nampenda kuimba sana like this talent
Allah akusimamie dogo
Kwa nin usiseme mwenzetu mu-africa unajua unapo tumia iyo kauli inamana unaleta ubaguz Yan unatak sis Tanzania tumbague si ndivyo✍️
Kipaji kwekweli❤❤❤❤❤❤
God time is the best❤❤❤ all the best bro
Dogo kweli smart kwa kuongeya. Akili ipo kwa kweli
Kama baba ni mtanzania huyo ni mtanzania Automatically, Akifikisha miaka 18 Anaapa tu mahakaman kuwa anafuata uraia wa baba bac, 🎉🎉🎉🎉🎉
Big up sana dogo kaza Buti uko sawa sanaaaa
Mtangazaji wa kike ana JIPAJI KIKUBWA SANA. HUSUSANI SAUTI
Mdogo wangu yani unakipaji kikumbwa sana balikiwa sana tunasubili nyimbo mpya
Kijana keep it up am just appreciate your work
Mtoto ana hakili sana ndomana wameona pamoja namziki lakini akisoms atafika mbari mungu amuonekanie katulia
hongera dogo, endelea kupambana
Dogo una ekima sana Mungu akujalie uje uwe muimbaji wa injili kwa sababu bongo freva ina uchafu mwingi
Anaujuzi kabisa ya kuimba mtoto ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
N̈̈ïp̈̈ën̈̈ l̈̈ïk̈̈ë z̈än̈g̈ü jamani❤❤
Utafika mbali sana kijana wetu inshallah 🙏🙏🙏🙏
Upo vizuri pambana dogo sisi tuko kukusuport
yani angekubali me yanni ni kaludia nyimbo yake saport
Congratulations 👏 kijana
Huyo mtoto anakipaji sana sanaa yaani yuko vizuri anajua kuimba vizuri
Hongera🎉 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 tunakusikiliza
Ni kweli user w3 muda wanamuona mtoto. Huyu kwanza ni mpole sana na maisha vile vile.
Nimependa majibu Yako hongera sana mdogo wetu
Mtoto Yuko vizuri akili imetulia haswa japo anaonekana anastres mungu yupo atamunua t
Congratulations 🎉🎉👏
MashaAllah mtoto lkn akili yake MashaAllah ❤️💕💕❤️❤️❤️
Hongera sana mtoto mzur kwa majibu yako mazur
The futur big star🎉
Daah nimependa sana
Thi guy is way too mature.......Founder TZ and Jay Melody are mature
Smart boy wallahy
Ubarikiwe sana mtoto wetu
Usikate tama dogo mungu yu pamoja nawe🙏
Dogo mungu aktangulie ufanikiwe ndoto zako
Powa
Keep going my young bro am happy to hear you can speak in French sijui nije unifinze kuongea😂😂 sending hugs from Singapore but a Kenyan 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😅😅😅😅 arooooo alafu utaniuwa wew .mwaya
Go to school and follow your music Dreams. Sky is the limit Young man and God is the soul provider
p
Du kweri mungu akuongozee ufik mbali
MUNGU akutie nguvu 💪💪
Pambana dogo mungu u nawe dogo❤❤❤
Mwenzetu mcongo
Shule mnamuonea tu huyo aludi kuimba anaweza sana
Uyu janja akipata sponsor mwenyekujielew namuona mbali Sana amini
mungu akusimamiy sana sawa 🙏🙏🙏
Tuige mfano 🙌🔥🔥🔥safi sana broo
Very wise kid!!
Upo vizuri ❤
Mwandishi wa habari yupo gud sana coz hayo maswal mh
Maswali magumu sana lakini dogo ni kichwa kayapangu yote kama mwana siasi 🤣
Anajua kujibu maswali
❤❤❤powa kabisa
He's genius 💯
Mungu akusaidie ufikie ndoto yako
Dahh dogo Ana jibu Street kinoma😅😅
Kweli uyu moto nyimbo zake zina noga kweli,ya ani anaimba vizuri kweli
huyu baba alieamua kufanya hivi mungu ambariki
Congratulations
Mutoto huy alikua wap❤❤
Dogo yuko vizuri sana
Hongera dogo❤
Uko vizur dogo manshaallah 💓
Big yes
So good dogo hongera sana
Daaah! Kwan hyo dogo ni Mulund au mtanzania
Babu Tale big up
❤buja Burundi simba❤
mwanetu ❤wa kibembe unaweza sana
Kali sana
Why keep moving the mics 255 mnaharibu