JE WAKRISTO KUINGIA NA VIATU NYUMBA ZA IBADA HATUFANYI MAKOSA?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 14

  • @AlexBoniphaceKamomole
    @AlexBoniphaceKamomole 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera leo umenikosha.

  • @MoshiFura
    @MoshiFura 2 วันที่ผ่านมา

    Imekuelewa sana mwalimu

  • @sabinamuflish651
    @sabinamuflish651 11 วันที่ผ่านมา +1

    Dhuu! Mtupe majibu

  • @dominickmbogo5972
    @dominickmbogo5972 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugu yangu Benson niombee Mungu abariki shughuli zangu nataka niwe na support Injili yako ili udumu kuelimisha

  • @petermutuku1289
    @petermutuku1289 11 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo mwalimu umefunza kitu.

  • @Ahmadali-fs7gk
    @Ahmadali-fs7gk 10 วันที่ผ่านมา +2

    23:36 ?
    Maelezo zaidi

  • @flomensiakinyaga1032
    @flomensiakinyaga1032 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ni fundisho gani lililowataka kufanya ibada mkiwa mmevaa viatu?

    • @Brunoh90Tv
      @Brunoh90Tv 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kwan kuna fundisho linalosema usivae viatu ukiwa unafanya ibada!!?

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki 11 วันที่ผ่านมา +1

    Lakini mzee isaya benson ujuwe huwa unanikosha pindi unakuwa na unaelezea jambo hasa yoote kuhusu mataifa kwa mataifa na pia kuelezea mambo na dini japo yale unavyo ezea kwa yoote unayajua hata kama hatuyajui lakini vile ambavyo unayoyajua uko vizuri kuisemea

    • @flomensiakinyaga1032
      @flomensiakinyaga1032 10 วันที่ผ่านมา

      Yesu aliwafundisha kutawadha kabla ya kuabudu. Je utatawadha ukiwa umevaa viatu?

    • @flomensiakinyaga1032
      @flomensiakinyaga1032 10 วันที่ผ่านมา

      Ukristo sio dini ya mitume, ni secular religion inayofuata western values na kuingizwa kwenye mafundisho ya kanisa.

    • @flomensiakinyaga1032
      @flomensiakinyaga1032 10 วันที่ผ่านมา

      Mtume Muhamad(swa) aliwahi kusali na viatu wakati akiwa vitani na sio kwamba ilikuwa ni desturi. Acha kupotosha.

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 11 วันที่ผ่านมา +1

    Inabidi waalim licha ya kusoma inabidi waangalie madheheb ya kikristo vizuri ili watu ifikie wakae na wapate muafaka. Nimeishi na wakristo wa othodox ethiopia wao wana vua viatunna wana sujudu kama waislam. Kitu ambacho kina fikirisha hasa

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 7 วันที่ผ่านมา

      Unajuwa asili ya wa Ethiopia niwapi au hujuwi?😂