MFANYABIASHARA ARUSHA AWAVUNJA MBAVU WATU HAJUI kwa NINI WANAGOMA - VIONGOZI WAMEFUNGUA MADUKA YAO..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 108

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +2

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @marceljohnkimaty4986
    @marceljohnkimaty4986 3 หลายเดือนก่อน +22

    Huyu sio mfanya biashara. Mkitaka kujua muulizeni ofisi yake iko wapi. Yeye angeendelea na shughuli zake awaache wenye jambo lao waendelee.

    • @JUU-lw2je
      @JUU-lw2je 3 หลายเดือนก่อน +5

      Huyu jamaa watu wa usa mnamjua huwa anapandaga costa zinaenda kikatiti anahubiri injili akifika tengeru anakusanya sadaka anapanda gari lingine

    • @marylaizer
      @marylaizer 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu kaka ni mganya biashara sawa niulize mm namfaham vizuri sana ni mhubiri lkn pia ni mfanyabiashara biashara Arusha ana saloon barabarani ya stend Arusha anachora wanja pia anasuka pia kuna muda anahubiri

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 3 หลายเดือนก่อน

      Chawa wao TRA wafungue Duka lao tuone,wanatishia raia na mi police

  • @ernestamos8949
    @ernestamos8949 3 หลายเดือนก่อน +3

    uyu mwalimu angu wa.kanisan kigoma kasulu lini amekua mfanyabiashara

    • @Leahmjohn
      @Leahmjohn 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 3 หลายเดือนก่อน +1

    TRA wafungue maduka yao tuone hayatoboi,kutesa raia,tu kufilisi rai bila katiba haki hakuna vat Tozo petroleum sukar matbab juu maisha magumu

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 3 หลายเดือนก่อน +12

    Ntilema hauna hata ofice utajuaje umegomea nini??

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 3 หลายเดือนก่อน +2

      hahaha kumbe unamjua

    • @drtheresiakaruhanga3543
      @drtheresiakaruhanga3543 3 หลายเดือนก่อน

      ndo utajua watanzania tuna ubongo wa aina tofauti

    • @marylaizer
      @marylaizer 3 หลายเดือนก่อน

      Huyu kaka ana saloon anasuka na anachora wanja

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anaakili sana

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 หลายเดือนก่อน

      Akili ipo aliyo nayo, mgomo unawahusu wafanyabiashara wanaolipa kodi

  • @sokoinetvonline
    @sokoinetvonline 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Lini kawa mfanyabiashara Muimbaji wa gospel music kwann kaingia mkumbo wa uongo kwann lakin ?

  • @thomasmichaellukumai-ny7se
    @thomasmichaellukumai-ny7se 3 หลายเดือนก่อน +6

    We'we mvuta bangi ya arusha

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo anaonekana anatokea Ngorongoro 😅

  • @joycesanga4378
    @joycesanga4378 3 หลายเดือนก่อน

    Tena siyo Mtanzania huyo akamatwe ni wa Nch jiran

  • @omeganthale3220
    @omeganthale3220 3 หลายเดือนก่อน

    Hana akili

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 3 หลายเดือนก่อน

    Arusha niwakweli sana😅😅😅I love you

  • @prettygirl8325
    @prettygirl8325 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo anapakaga wanja anabiashara gn...hana ata ofisi anazunguka anapaka wanja

  • @WardaFashion-n3y
    @WardaFashion-n3y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mbn km mchora wanja pale kati hana ht frem 😢

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 3 หลายเดือนก่อน +1

    Enheee hii ndo Tanzania sasa kweli tutafika tumechoka sana

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 3 หลายเดือนก่อน

    Kwanza umetokea nchi Gani? Unakibali?

  • @LovelyCello-xm9gn
    @LovelyCello-xm9gn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu alipi Kodi za TRA ndo maana ajui kituu

  • @lilylema5292
    @lilylema5292 3 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu wameshafungua kitambo sana Arusha njaa Kali sana

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona ameongea vizuri sana...

  • @silivestatesha9262
    @silivestatesha9262 3 หลายเดือนก่อน +1

    Bangi oyeeee

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 3 หลายเดือนก่อน

    Kaongea ukweli

  • @edisonmaliva1719
    @edisonmaliva1719 3 หลายเดือนก่อน +2

    Itoshe kusema HANA AKILI

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 3 หลายเดือนก่อน

    Mnmuhoji kinyozi real tafuteni mfanyabiashar

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd 3 หลายเดือนก่อน

    Kwa nini sasa hukufungua kama humjui nani kahamasisha.
    Huyu mwehu.

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony 3 หลายเดือนก่อน

    uyu kenge kweli

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 3 หลายเดือนก่อน

    Akili zako mbaya kama mdomo wako huna hakili

  • @sadamissa5687
    @sadamissa5687 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu fundi huyu jamaa ana mdomo mkubwa balaaa

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona kama sio mtanzania

    • @denisyohana8104
      @denisyohana8104 3 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 หลายเดือนก่อน

    hlf huyu immigration wamfatilie sio mtanzania

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo aliyefungua hajipendi ama siku hizi wadudu hakuna😂😂

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 3 หลายเดือนก่อน

    kwendaa arusha saivi mshatufelisha mshakuwa kama wazaramo makonda ashawateka akili ckia watz ee kueni kama wachaga cyo lazima kuishi tz kama mm hapa nko zambia natafuta pesaa tukutane moshi desc wachaga wenzangu og og sna

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu anachezeaha mikono kwenye vichwa vya wanaume wenzie

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu hajui anachoongea

  • @Killindap
    @Killindap 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani. Uyu. Anafanya. Biashara gan. Muuulizeniii😅

  • @StevenSanga-n3n
    @StevenSanga-n3n 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uo siyo mgomo wa wanyoa vuzi

  • @FredrickPeter-n3i
    @FredrickPeter-n3i 3 หลายเดือนก่อน

    Ana duka la nini

  • @davidsillo916
    @davidsillo916 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nimegundua Arusha wameambiwa wagome Afu hawajui wanagomea nn

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 หลายเดือนก่อน

      Wanagoma wafanyabbishara wanaolipa kodi,

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh kavurugwa jamaa mwongo sana utakuta kwao wameshamfukuza kwa tabia za kigeugeu na uongo

  • @allymahmudu464
    @allymahmudu464 3 หลายเดือนก่อน

    Uyo siomtazania uyo nimkenya

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamani hana office anachoraga watu wanja tena kibarazani haelewi kinachoendelea.

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 3 หลายเดือนก่อน

    Ukiona hivyo halipi kodi ndiyo maana hajui mgomo ni wa nini?

  • @francisgodian6216
    @francisgodian6216 3 หลายเดือนก่อน

    Huu ni mtambo wakisukuma kabisa😅😅

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe nimlopokaji unaejifanya mjuaji mpumbavu mkubwa

  • @lucasgwido129
    @lucasgwido129 3 หลายเดือนก่อน

    huyu ni saa Mbovu

  • @ayubunelson130
    @ayubunelson130 3 หลายเดือนก่อน

    Acha wagome Kuna mtu yupo nyuma yao hao wagomaji alafu huu mgomo unarushwa ndani yake

  • @kajentanmjeuri104
    @kajentanmjeuri104 3 หลายเดือนก่อน

    watu wanatafuta pesa yy anawaza chakula

  • @tucasashycom1072
    @tucasashycom1072 3 หลายเดือนก่อน

    Mtu wa system utu

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂Uwiiii jaman mbn huyo ni bangi kabisa 😂😂

  • @lilyshayo761
    @lilyshayo761 3 หลายเดือนก่อน +3

    Akachore Wanja uko Pumbavu mtumishi acha ujinga FREM hauna ,huu mgomo utaujua vip unapanyuka,embu Chukua frem Kama rahisi ulipe utoboe heshimu mgomo wawafanyabiashara

    • @ROZITHOMAS-y4q
      @ROZITHOMAS-y4q 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa mbona huyo boss hapo kafungua duka na ni kati ya viongozi?
      Hili jambo lina namna

    • @marylaizer
      @marylaizer 3 หลายเดือนก่อน

      Ww hufahamu ofisi yake mbona ana ofisi kitambo tuu mtumishi apo apo barabara ya stend kama unaelekea chini ya mti

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 3 หลายเดือนก่อน

    Mlevi huyu hajui alichogomea😮

  • @Kingstonbagamoyo
    @Kingstonbagamoyo 3 หลายเดือนก่อน +8

    Wee kinyozi kanyolee kwako,unajua maana ya mgomo tunahitaji kodi za kijinga zitolewe,,,

    • @dullayomwinyi3359
      @dullayomwinyi3359 3 หลายเดือนก่อน

      Kabisa kaka

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 3 หลายเดือนก่อน

      T RA wafungue ma Duka yao ili tununue kwao, watoe hizo f d c walishindwa kuendesha RTC,wanatesa rai kisa mi police na wabunge hawana jipya wote CCM, mpina,kawaimbua wametoa bungeni,ili waendelee kupiga mwingi,ubabe una mwisho bila KATIBA itazuia ubabe,, ndiomaana wana kataa katiba,

  • @abakibibi9917
    @abakibibi9917 3 หลายเดือนก่อน

    HUYO ITAKUWA HALIPI KODI ITABIDI AFUATILIWE

  • @onehouronlinetv1893
    @onehouronlinetv1893 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu mpumbavu kabisa hyo Hali ya kwenda kutafuta Hela ya kula Kwa siku hiyo ndo inasababishwa na mlundikano wa gharama za uendeshaji ikiwa ni pamoja na Kodi nyingi tunazorundikiwa

  • @Paulo-e4c
    @Paulo-e4c 3 หลายเดือนก่อน +2

    We mbanga huna akili pimbi

  • @cdeegwau551
    @cdeegwau551 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 uyu aelewi ata alichokigomeaa 🚮

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂😂😂😂😂alafu hawa ndouwambiee wandamaneeeee

    • @shabanimadobe972
      @shabanimadobe972 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 ajui

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 3 หลายเดือนก่อน

      Jamn huy kaka anaoffic wap mbona namuonaga anazinguka tu

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga6038 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mmachinga uelewi kitu,nyamaza

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda tupo jayati atawanyosha otee apoo

  • @ernestamos8949
    @ernestamos8949 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu wakupigwa

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl 3 หลายเดือนก่อน +1

    wengi mnamuona kama mwehu iya aliyoongea maneno mazima sana kama ila ameshindwa kufafanua kwa uzuri tu

  • @mirzah117
    @mirzah117 3 หลายเดือนก่อน

    Domo kama beseni unakalia ujinga ujinga tu

  • @kazumbelive1987
    @kazumbelive1987 3 หลายเดือนก่อน +1

    mfanya biashara bumunda

  • @joycesanga4378
    @joycesanga4378 3 หลายเดือนก่อน

    Halafu siyo msawahili

  • @godfredkimaro3292
    @godfredkimaro3292 3 หลายเดือนก่อน

    Uyu katumwa

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 3 หลายเดือนก่อน +1

    Msafara wa mamba na kenge wamo huyu nae ni kenge

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 3 หลายเดือนก่อน

      @@saidimkwinzu9106 😅😅 yaani ni shidaaa

    • @saidimkwinzu9106
      @saidimkwinzu9106 3 หลายเดือนก่อน

      @@shijandobehe4953 kweli bana sisi hapa handeni Kuna siku tulifunga maduka tukafanya mgomo lakin Kuna kenge zinauza biashara za kutembeza Bado zinasema wafanya biashara wanazingua kumbe yee ni kenge hajui tunayopitia

  • @MartinLaban
    @MartinLaban 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe si fara tu kwasababu unajua kwanini harafu kwenye midia unasema hujui 😏😏😏kama sisi tuko Kenya na tunajua kwanini maduka yamefungwa, huoni wewe ni fara tu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 3 หลายเดือนก่อน

    mdomo kama madenge

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje 3 หลายเดือนก่อน

    FOLEKIZAMPO😂😂😂😅😅

  • @HappyMoleli
    @HappyMoleli 3 หลายเดือนก่อน

    Mwamba katisha kinyama minimemwelewa ni ukweli mtupu.

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi3359 3 หลายเดือนก่อน

    Tuwe na umoja kama kenya makodi yamekua nyingi halafu huyu ng,ombe anaongea ujinga nyambavu huyu

  • @Joycejerad
    @Joycejerad 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wako serious alafu Kuna pimbi Moja anakuja kuleta masihara bana .....so stupid

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu amesubiri nini Kuvaaar chupi kichwani???

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mpumbavu kwl

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 3 หลายเดือนก่อน

    PsyOp

  • @dianachami6768
    @dianachami6768 3 หลายเดือนก่อน

    Bange mokoooo😂

  • @nurumwashinga3662
    @nurumwashinga3662 3 หลายเดือนก่อน

    Wandishi wa TZ wajinga unamuliza mtu ambaye hajui chochote ni kinyozi ambaye na fala tu

  • @chriskimuto1425
    @chriskimuto1425 3 หลายเดือนก่อน

    Hajielewi mpumbavu huyu

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 3 หลายเดือนก่อน

    Wahuni wamewaingiza kingi😂

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso 3 หลายเดือนก่อน

    0-0=brain ,tzania kila kona comedy

  • @SelinaChares
    @SelinaChares 3 หลายเดือนก่อน

    Hahaha hahah hahaha

  • @nasrachaya
    @nasrachaya 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 3 หลายเดือนก่อน

    Mkenya wewe rudi kwenu

  • @mramosmmsihi
    @mramosmmsihi 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 3 หลายเดือนก่อน

    Brain wash

  • @neemamacha7481
    @neemamacha7481 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂