BABA'AKE KIBONDE AFARIKI DUNIA GHAFLA MKEWE AKIWA ICU - MWANAYE AELEZA - "STRESS za MKEWE KUUMWA"...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 170

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +4

    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV NA UTUTUMIE HABARI ZA MTAANI KWAKO chat.whatsapp.com/FeLe2DcIFAg...

  • @yusuphmsangi7191
    @yusuphmsangi7191 หลายเดือนก่อน +14

    Sio House boy Sema Kaka Wa Kaz Ndyo Heshima

    • @eugenejr.8844
      @eugenejr.8844 หลายเดือนก่อน

      Na utashangaa anamkany'aga!

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n หลายเดือนก่อน +20

    😢😢😢😭😭😭😭😭😭dah kila msiba natoneshwa kidonda Cha mama angu,pumzika Kwa aman mama yngu tutaonana baadae mwanaisha wang

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน

      Pole sana Linda Mbilinyi, mwanasimba mwenzangu😭

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n หลายเดือนก่อน

      @laninjeje8290 Amina Amina ndugu yngu

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน

      @LindaMbilinyi-n3n nmeona comments zako sehemu mbalimbali you upo vizuri sana, Simba nguvu moja

    • @LindaMbilinyi-n3n
      @LindaMbilinyi-n3n หลายเดือนก่อน

      @@laninjeje8290 Wana Simba wote sisi ni ndugu na tutasimama na Simba yetu nyakati zote inshallah 🤲🤲🤲🤲🤲🤲🤲❣️❣️

    • @laninjeje8290
      @laninjeje8290 หลายเดือนก่อน

      @LindaMbilinyi-n3n 🙏🙏

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek หลายเดือนก่อน +5

    Mmmh kweli kuna tofauti ya MSIBA na KILIO !

  • @kabulamalima5179
    @kabulamalima5179 หลายเดือนก่อน

    Very strong boy, asante kibonde umetuachoa dume la mbegu kabisaa hili! Altitude on point. Like father like son😊

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 หลายเดือนก่อน +2

    Wote mtu na shangazi yake wana uelewa mzuri wa kujibu maswali wametulia hawana papara kweli wamelelewa vyema poleni sana Mungu awatie nguvu kwa yote mnayopitia mgonjwa apone haraka amen 🙏

  • @MuhsiniKikoti
    @MuhsiniKikoti 28 วันที่ผ่านมา

    The best couple in town

  • @neemanjavike6947
    @neemanjavike6947 หลายเดือนก่อน +2

    Mtoto ana akili kubwa sana. Mungu awalinde🙏🏽

  • @stellaprotazibashaijaban-gq4mb
    @stellaprotazibashaijaban-gq4mb หลายเดือนก่อน +4

    Poleni sana kwa msiba mkubwa mwenyezi Mungu awape faraja

  • @NeemaEnzi-ei1yw
    @NeemaEnzi-ei1yw หลายเดือนก่อน +5

    Pole kijana umeongea kwa hisia sana na unchungu sana pole sana

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586 หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana ndugu wote wa marehemu Mungu awe faraja kwenu nimemkumbuka marehemu baba yangu alivyokuwa anapenda kuongea na watoto wake na kufurahi mkubwa naye na utani mwingi ni kama Mzee kibonde tu, Mungu awape pumziko wote waliotangulia tutaonna nao baadae

  • @ShemsaKiobya-x8h
    @ShemsaKiobya-x8h หลายเดือนก่อน +4

    Kweli usemi uongo kifo kisikie kwa jirani kisikukute

  • @AnithaDanford-gr7mt
    @AnithaDanford-gr7mt หลายเดือนก่อน

    😭😭Duu Mungu akutie nguvu wewe na wadogo zako jamn inaumiza sana

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa ndio wakina Martha mwaipaja😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @SaidaEgwaga
    @SaidaEgwaga หลายเดือนก่อน +3

    Yehova Mungu awape faraja na amani ndugu na dada wapendwa wa kibonde family

  • @RehemaKomba-pv2le
    @RehemaKomba-pv2le หลายเดือนก่อน +6

    Yaani watangazaji unamuulizaje mtu swali kama Hilo experience ya kufiwa yaani mnakera hebu jifunzeni kuuliza maswali ya msingi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 หลายเดือนก่อน +5

    Nampenda Mtangazaji, Dada Tabuyanjaa wa global TV kwa kazi zake . Mungu ambariki.❤

  • @LilianMsuya-e1o
    @LilianMsuya-e1o หลายเดือนก่อน +3

    Poleni sana kijana huyu anaongea kwa hisia na hekma sana mtoto mungu awape faraja yeye peke yake

  • @devotajoel3730
    @devotajoel3730 หลายเดือนก่อน +2

    Ambaye amkelekwa kijana wangu wakazi

  • @boniphacelusato
    @boniphacelusato หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana familia ya ndugu Kibonde. Yehova Mungu wetu awategemeze na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia.

  • @firdausqutty2067
    @firdausqutty2067 หลายเดือนก่อน +4

    Mdogo angu katimiza mwezi jana tangu alale mavumibini sina nguvu hadi leo miguu inakufa ganzi kila napomkumbuka. Mungu tisaidie...kifo kibaya pale mtu anpokutangulia😢

    • @maria_mutondioriginal5
      @maria_mutondioriginal5 หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana Mungu akutie nguvu 😢

    • @FLORAHANSIBERTY
      @FLORAHANSIBERTY หลายเดือนก่อน +1

      Pole

    • @Sharmy_02
      @Sharmy_02 หลายเดือนก่อน +1

      Pole dear

    • @firdausqutty2067
      @firdausqutty2067 หลายเดือนก่อน

      @@maria_mutondioriginal5 Ahsanten sana.

    • @lainessmwombeki7919
      @lainessmwombeki7919 หลายเดือนก่อน

      Baada ya miaka 24 dada yangu anamfata baba. Siwez elezea navojisikia

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 หลายเดือนก่อน

    Duuu Mzee alikosa CPR as a first aid for heart attack person kwa wakati.
    Poleni mnoo.

  • @gladnesswazir-zz9lk
    @gladnesswazir-zz9lk หลายเดือนก่อน +2

    Poleni sana ndugu zetu 😭🤲🙏

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA หลายเดือนก่อน +6

    Aisee ni hudhuni ila huyo dogo wa kiume is very bright ameongea kiume mno

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 หลายเดือนก่อน

      Uyu ni mjukuu mtt wakibonde mtt yn yupo smat sn uyu dogo ata msiba wababa ake aliongea kismat sn

    • @gracegeorge4848
      @gracegeorge4848 หลายเดือนก่อน

      ​@nishaabdula5015 yupo smart naishnae upanga konyagi kma zoteeeee

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 หลายเดือนก่อน +2

    Rip Kibonde, babake e. Kibonde , rip.😊😊

  • @rosemkeleja7768
    @rosemkeleja7768 หลายเดือนก่อน +2

    Waandishi angalieni maswali ya kuuliza wafiwa

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج หลายเดือนก่อน +2

    Unaroho ngumu😢😢😢dada yaan kama jiran.

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 หลายเดือนก่อน

      Yani anaroho ngumu sio kidogo mkavu sana kama hajafiwa

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Twitike Kibonde

  • @Shekhahamed-v2f
    @Shekhahamed-v2f หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana wafiwa mungu yuponanyee

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z หลายเดือนก่อน

    Kifua kubana dalili sio nzuri,wangemkimbiza hosp,ila kifo hakina taarifa

  • @JujuGurugu04
    @JujuGurugu04 หลายเดือนก่อน +1

    Shame 😢 huyu mtt ananikumbusha marehu kibonde ilesiku amefariki😢😢 kifooo aaaaaaiiiiii

    • @Faraja-k1e
      @Faraja-k1e 23 วันที่ผ่านมา

      Yaan we acha TU kisikie TU kwa jiran

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 หลายเดือนก่อน +2

    Allah amrehemu amjalie gher ktk sqfari yk ila dd upo mkavu km jirani

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 หลายเดือนก่อน +4

    watu wena hela wanakula mkate na blue band, imenishangaza sana by the way RIP

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 หลายเดือนก่อน

      Mkate na blue band vinakushangaza,? Duh Pole sana umaskini mbaya sana

    • @firdausqutty2067
      @firdausqutty2067 หลายเดือนก่อน

      Kwa taarifa yko matajili ndio wanaongoza kula mikate😅

    • @UpendoEliya-i7l
      @UpendoEliya-i7l หลายเดือนก่อน

      Bluband mbona ni hela ndogo tu jmn?? Cha ajabu hpo n nini??

    • @afrigrowers
      @afrigrowers หลายเดือนก่อน +1

      ​@@firdausqutty2067na ndo maana wengi wao wana shida za pressure

    • @sgjjkwbueow
      @sgjjkwbueow หลายเดือนก่อน

      Punguza kuunga bandle utakula mkate na comment za watu

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

    Innalillahi waiinailahi rajuun. Kilakifo kinasababu. ,,, mama akiambia sijuihatakua haligani. Allah awape subra familianzima🤲

  • @tilifozakikoti5046
    @tilifozakikoti5046 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wangu 🙆🙆🙆

  • @saummohamedm435
    @saummohamedm435 หลายเดือนก่อน +13

    Ana adisia kwa show off anataja ma house boy nini mwanangu anaendesha gari jmn kabila gani huyu

    • @Mohammed-v3i1u
      @Mohammed-v3i1u หลายเดือนก่อน

      Nikitaka niseme walah mmh atar

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 หลายเดือนก่อน +1

      Hana hata uchungu akajuw labda ipo siku atarud mjinga san

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 หลายเดือนก่อน

      halafu apo apo anasema baba alikuwa anakunywa chai na mkate na blueband kweli kabisa mzee unampa chai na mkate wenye blue band na huku ana presha yaani uuuuw aki inashangaza sana

    • @JoyceSamwel-f2s
      @JoyceSamwel-f2s หลายเดือนก่อน

      Ndizi bukoba na kuku​@@julianapeason6254

    • @Ayuminchasi
      @Ayuminchasi หลายเดือนก่อน

      Ulitaka afanye nn alie kwa sana au hata akilia haina faida hata kidogo wala hawezi kuamka huyo alokufa yake yameisha pia kulia sio faradhi wala suna kikubwa ni alhamdulillah kilichotokea​@@omanoman2044

  • @jackilinejohn
    @jackilinejohn หลายเดือนก่อน

    Poleni sana wafiwa

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 หลายเดือนก่อน

    Innalillah wainnaa lillahi rajiun polen familya 😭😭😭

  • @asiaahmedy8944
    @asiaahmedy8944 หลายเดือนก่อน +3

    Nimejikuta nalia 😭😭kila nikitazama macho y efraimu jr naona kuna namna anapitia wkt mgumu n hn mtu w kusemezana nae naona jinsi anavyojikaza akiw anajibu maswali macho yk yakionyesh machozi sema anajikaz tu nimejikuta naumia sn kwaajil yk natama mungu afanye kitu kwa ajili yk kitakacho mpa furaha n faraj zaid

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 19 วันที่ผ่านมา

      Huyu kijana nilimuona kwenye msiba wa baba yake lkn siwez kusahau ile siku.Nilijuta kwa nini nilienda kwenye ule msiba

    • @asiaahmedy8944
      @asiaahmedy8944 19 วันที่ผ่านมา

      @hyacintagugu7 Kwann ulijut ,nn uliona?

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso หลายเดือนก่อน +2

    Inalilah wa inailah rajuun

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 หลายเดือนก่อน +3

    HILO NDO TATIZO LA HISIPITALI ZETU TANZANIA , WEEKEND HAWAFANYI KAZI ETI . WANAFANYA KAZI KAMA KIWANDA CHA MIKATE.

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 หลายเดือนก่อน +1

      Ajabu sana hili swali. Africa bana?

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa หลายเดือนก่อน +14

    Alivyo changamka kama katiwa ndimu duuh 🤔 kweli msiba wa pesa hauna maumivu

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 หลายเดือนก่อน +2

      umeona eeh masikini wanalia shida sio kuwa wameumia sana,

    • @svt3
      @svt3 หลายเดือนก่อน

      Hata akijivuruga chini mavumbini hata avue nguo akimbie na kulia kilometres 100 mzee haatarudi

    • @zuweinaalhabsya8773
      @zuweinaalhabsya8773 หลายเดือนก่อน

      Yes ni kweli kabisa. Lakini kuwa na uchungu ukiwa na maumivu ya kufiwa huwezi kuongea hivyo ​@@svt3

    • @Mamshika
      @Mamshika หลายเดือนก่อน +2

      Maumivu yako moyoni hata akilia damu mzee hawezi kurudi

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 หลายเดือนก่อน +1

      Yn kiukweli uyu dada mkavu mno

  • @brigethsauzand3926
    @brigethsauzand3926 หลายเดือนก่อน +1

    Dada jamani tafadhali !

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +8

    Mama yangu alikufa mwaka jana 22.12.2023😢

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc หลายเดือนก่อน +1

      Pole sana ndugu yangu mimi pia alifariki mda mrefu 2014

    • @ErnestJosephat
      @ErnestJosephat หลายเดือนก่อน +1

      Pole mama yangu safari ni moja tumuombee

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl หลายเดือนก่อน

      Pole sana Mungu akupe subra

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 หลายเดือนก่อน

      Pole Sana

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr หลายเดือนก่อน

      Poleni sn jmn, mama anauma!

  • @AminaMajaliwa-y2w
    @AminaMajaliwa-y2w หลายเดือนก่อน

    Daah mtoto wa kibonde ardhi inakula watu jamani

  • @KulwaJames-lz2de
    @KulwaJames-lz2de หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wakiume, ana akili kubwa saaana.

  • @Shaniatwain06
    @Shaniatwain06 หลายเดือนก่อน +3

    Innallahi 😢😢

    • @SHEIKHMWAIPOPOTV
      @SHEIKHMWAIPOPOTV หลายเดือนก่อน +1

      Huyo mama anaonekana hana huzuni kabisa hamjui mungu kabisa

    • @FloraNgoma
      @FloraNgoma หลายเดือนก่อน

      Hana huzuni kwa sababu ana TUMAINI kwa MUNGU YEHOVA kwamba Baba yake atafufuliwa​@@SHEIKHMWAIPOPOTV

    • @MiriamKhalid-z6o
      @MiriamKhalid-z6o หลายเดือนก่อน

      ​@@SHEIKHMWAIPOPOTVkivipi?

    • @svt3
      @svt3 หลายเดือนก่อน

      ​@@SHEIKHMWAIPOPOTV yaani wewe unafikiria kuto chozi ndio kulia? Unajuwa kama hakuna anaye lia sanaa kama wanafiki? Unafahamu kama hata walie wajilaze udongoni baba haata rudi tena

  • @shakilaAqram
    @shakilaAqram หลายเดือนก่อน +1

    Hv kwann Tanzania hawafanyi kazi wikendi nakumbuka hata yule marco alifika hospital wakamwambia mpaka jumatatu kaka wawatu 😢

    • @AminaAbduli-j5z
      @AminaAbduli-j5z หลายเดือนก่อน

      Mie nilimpeleka mwanangu zahanati jumamos nikaambiwa hawatoi huduma mpaka jumatatu

  • @JulianaMwamwela
    @JulianaMwamwela หลายเดือนก่อน

    Ongeza Vzr km hujafiwa

  • @EdithaEditha-z3s
    @EdithaEditha-z3s หลายเดือนก่อน

    Poleni sana wasifa mwenyezi mungu awatie nuvu

    • @nasrachaya
      @nasrachaya หลายเดือนก่อน +1

      Wasifa tn

  • @FestoMunishi
    @FestoMunishi หลายเดือนก่อน

    Ilitakiwa mzeee azikiwe karb n motto wake kibonde

  • @AizaKalinga
    @AizaKalinga หลายเดือนก่อน +1

    Polen jaman

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 หลายเดือนก่อน

    Jamani Kwa hiyo atazikwa bila mkewe kujua...poleni mno mno mno

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 หลายเดือนก่อน

      Ss ni mgonjwa unaweza mpa taalifa na yy mkasababisha mshtuko mkampoteza

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 หลายเดือนก่อน +1

    POLENI SANAA. MUNGU AMWEKE PEMA.😊

  • @mwajumaanthony5470
    @mwajumaanthony5470 หลายเดือนก่อน

    Sasa mke wake ata muagaje? Ila poleni sana kwa msiba

  • @ConstanciaShangali
    @ConstanciaShangali หลายเดือนก่อน

    Hindu mandal panafungwaga?!😮… but poleni na msiba

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢😢😢

  • @ChristinaNicodemus
    @ChristinaNicodemus หลายเดือนก่อน

    Polen sana familia

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 หลายเดือนก่อน

    House boy ni kingereza hana kosa

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 หลายเดือนก่อน

      Hata angeongea kiswahili bado ni mbaya, angeweza kusema kijana wangu

    • @LeeLian95
      @LeeLian95 หลายเดือนก่อน

      Kwahyo kiswahili angesema mfanyakaz wangu wa kiume, pia unaona ni sawa??

  • @asiaahmedy8944
    @asiaahmedy8944 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aw ape nguvu wafiw wote hasahasa watoto wa eframu mungu awape faraja na nguvu pia n mungu awe nao ,sema ukimtazama dada hy sara utaona jambo ukiona mtu anatumia neno umoja n c wingi bac mtu hy n mbinafsi n ukiona mtu anataja nyadhifa z mtu sehemu ambayo haitajik kusemwa bac jua mtu hy n mbinafsi mfano hakukuw n aja y kumtaja mwanae mara zote n c watoto w wengine hakukuw n haja y kusema cheo cha mfanyakaz wk kwasababu hakukuw n hj mungu atupe ndugu sahihi wenye upendo w dhati

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 หลายเดือนก่อน

    Kifo bn yn anaondoka mxima anabakj mgonjwa

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 หลายเดือนก่อน

    RIP

  • @AizaKalinga
    @AizaKalinga หลายเดือนก่อน +1

    Vijijini huwez kuuliza mfiwa maswali kama hayo maiki inakugomea kuongea

    • @josephjohn2114
      @josephjohn2114 หลายเดือนก่อน

      Bora huyu ndo anajua kuhoji anaongea taratibu kwa ufasaha kwa wafiwa. sio wengine anahoji utadhan anatangaza.

  • @dork8749
    @dork8749 หลายเดือนก่อน

    Kuna maswali mengine jamani. Experience ya kufiwa na wazazi????

  • @claratemba44
    @claratemba44 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana❤

  • @claratemba44
    @claratemba44 หลายเดือนก่อน

    Kijana Unikate Tamara kipindi kigumu hupita weka maombi pele❤

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 หลายเดือนก่อน +2

    Dada,house boy ni ndugu yako,usimnyanyapae kwa kumwita house boy,sema kijana wangu wa nyumbani.

    • @kabulamalima5179
      @kabulamalima5179 หลายเดือนก่อน

      Kwani si ndo kazi yake maana yake kaka wa nyumbani kwani house boy ni tusi?? Inategemea wewe unavyochukulia

  • @AverinaShirati
    @AverinaShirati หลายเดือนก่อน +1

    Mtu mzima mnampa mkate mkavu inamadhara kwenye moyo

    • @stellamokiwa2025
      @stellamokiwa2025 หลายเดือนก่อน

      Hapo Sasa na Tena alitaka kumpa na blue band! Mkate una sukari jaman

    • @gowekogoweko5803
      @gowekogoweko5803 หลายเดือนก่อน

      NA KWELI KUMPA MGONJWA WA MOYO MKATE NA BLUE BAND NI SHIDA. RIP KIBONDE 😢😢😢😢😢😢😢

  • @mariammwanzalila9010
    @mariammwanzalila9010 หลายเดือนก่อน +5

    Dada anajikaza hatari

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 หลายเดือนก่อน

    Et alikuw anaswali online kunaswala ya online kweli waktisto mnasara kubwa san dunian had akhera anavyo hadithia utafikir ni baba wajiran yake kumbe ni bab mza,i w huyu kiboko lbda wameshukur hata alivo kufa w

    • @TatuMkeso
      @TatuMkeso หลายเดือนก่อน +1

      Usimalize maneno kipenz

    • @snico2275
      @snico2275 หลายเดือนก่อน

      Akilia marehemu atarudi?

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa หลายเดือนก่อน

      @@omanoman2044 make apo kwanza nicheke 😀 japo msiba ila duuh

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 หลายเดือนก่อน +6

    Uyu sara mbona hana hata huzun

    • @snico2275
      @snico2275 หลายเดือนก่อน

      Yeye ndo mkubwa akikaa ana huzunika nani atasimamia majukumu yake? Kingine akikaa kulia huyo baba atarudi?

    • @halimaally7700
      @halimaally7700 หลายเดือนก่อน +1

      Katika watu wanaokuwa na maumivu makali ni kama huyu bora anaelia

    • @shamilashabani4288
      @shamilashabani4288 หลายเดือนก่อน +1

      tunatofautiana,mwezi wa 11 baba yangu aliuwawa na wasiojulikana napata taarifa nikastuka nikaliaaaa,ila tulipoenda msibani nikaona hata sielewi sikuwa nalia,weeee nilivyorudi nyumbani nalia kila siku mpaka mama ananikaripia badala ya kumuombea unalia lia namwambia mimi baba hajafa siamini mimi yaan maumivu makali watu wakitawanyika acha tu

  • @shakilaAqram
    @shakilaAqram หลายเดือนก่อน +1

    Kuna shida familia ya kibonde ombeni sana

    • @NemaAli-zh6hr
      @NemaAli-zh6hr หลายเดือนก่อน

      Jmn wew watu wasife!

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 หลายเดือนก่อน

      Mjinga nini wewe kwani ukoo wenu hamjawahi kufiwa?

  • @JoyceSamwel-f2s
    @JoyceSamwel-f2s หลายเดือนก่อน +1

    House boy wangu ana drive duuuuh huyu dada cjui ni muhaya

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 หลายเดือนก่อน

    Kibonde alikuwa anaishi na baba lakini baba alikuwa anaishi chini kubonde alikuwa anaishi juu ili tujue wana ghorofa ukaongea kwa mapozi mpaka unakera

  • @doreenmaya-cf5ex
    @doreenmaya-cf5ex หลายเดือนก่อน

    We mwandishi nawe😊

  • @desineytv8406
    @desineytv8406 หลายเดือนก่อน

    Mdada anaelezea msiba wa babake kama sherehe mmisifa ya ajab