Alikiba kujieleza huwa hajui , hapo mambo ya mama wa kambo yametokea wapi hapo, baba alikua na wanawake wawili cdhan kama yalikua na nafasi sana kwenye utambulisho hapo
sema kiba unaimb sem mmb mngi upo nyuma kwa kumfikia mondi kinachtakiwa mufany kaz pmj mufik mbal zaid co mbfu mna at io timu yko haijulkn kbsa lkn wasaf nd kila kitu umoja ni nguv eken roho mbya pmbn sapotianeni tu tufik mbali nchi yet muunganish vipaj
Hongera sana kiba...ila wasanii wetu kutoka humu Kenya hujawatambilisha vyema angalau wangeongea hata neno Moja tu😢
Na basi hongera zako ni za nini?kulamba matako tu
Waaaao our Own from Nairobi...
Alikiba kwenye kujieleza hayupo vizuri kabisaa... Ila ndio tushakupendaaa❤❤❤❤❤❤❤
Anaongea kiboss huyo. Haropoki ropoki
Unataka ajieleze adje unataka apige makelele king wangu kaivyo ivyo mfalume wetu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Alikiba kujieleza huwa hajui , hapo mambo ya mama wa kambo yametokea wapi hapo, baba alikua na wanawake wawili cdhan kama yalikua na nafasi sana kwenye utambulisho hapo
Haina shida,
Kumbe uliumia poleeeee😂
Ali kiba anaongea kiboss haongei kihuni
Acha manen
Wakwaza leo naomba like zangu
The humble Bughaaa 😅😅
Nawapenda sàna
Raha sana
Raha wote wananidhamu sana hila wasanii wako
Jiamini kwenye kuongea msanii jiamin
sema kiba unaimb sem mmb mngi upo nyuma kwa kumfikia mondi kinachtakiwa mufany kaz pmj mufik mbal zaid co mbfu mna at io timu yko haijulkn kbsa lkn wasaf nd kila kitu umoja ni nguv eken roho mbya pmbn sapotianeni tu tufik mbali nchi yet muunganish vipaj
We nae yaan tangu lini
Akili kixoda
Mbona wageni wametoka mbali na hawakaribishwi kwenye jukwaa kuu. Huo sio uungwana.
❤❤❤❤NYC
Hupati😊😊
Hapana awe peke yake kuwe na ushindani wa mziki
Abdukiba kanenepa masha'allah 😂
😂😂😂kaka anahela hana njaa
❤❤❤❤
Wagen wanatambulishwa cha ajabu hata hatuwaoni wapga picha wako ovyo san kiwango cha chin mno
Buga😂
Vitu aviko kwenye Mpangilio sahihi
Ungewasaidia kuvipanga basi😂😂😂😂
😂😂😂 umepigaje hapo@@taseleli9181
@@taseleli9181😂😂😂😂
❤❤
Mambo