Ali wewe ndie kipenzi cha watu kwasababu unajiamini huna mabodigadi vishindo tena hapana uko mwenyewe yaani inapendeza sana big up king wanaoumia waache waendelee tu watazoea na hii redio daah mbona watumwa aisee
Nandy na Ally kiba ndiyo waimbaji wazuri sana Tanzania hata mavazi yao yanaridhisha, lakini siyo kama zuchu anavyovaa na dai angekuja kifua wazi na macheni yake hapo.
Unamtaja zuchu TU! Na . Huyo nandi piya yuko uchi . Tena nyimbo zake zote ana vaa uchi na ana cheza UCHAFU !. Hebu zipitie Muna muona zuchu TU ! .USHINDWE ! NA ULEGE ! .HA$IDI KIUMBE!
Yaani dah hongera Sanaa 💕 kaka angu na dada angu kiujweli nyinyi ni WA kipekee Sana katika huu mziki 💕💕Allah azidi kuwaonesha njia sahihi na akuwepushieni n husda 🤲🤲🤲
Kama umeuona ufalme wa kuimba live hebu tujuane Kwa like .from kenya
ALi kiba na nandi .kwa wimbo huu nawa pongeza💯👍👋👋👋❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪
Yani ukibarikwa na Mungu unakuwa tu simple so natural hakuna matashtiti kila kitu kinaenda very smooth..
Jamana Nandi mzuri mrembo mashaAllah. Pongezi sana toka swiss 🇨🇭🇨🇭🇨🇭❤️
Congratulations king kiba ...team kiba for life ...from kenya
Unajua kiba njoooo uinuwe vipaji Burundi est africa umenikosha moyo broooo kila atua dua zet2 zipo pamoja na wewe Ameen
Nakubali alikiba hapendi kujiona star namkubali sana mimi tayar ni mtangazi wa Crown FM na crownTv
King 👑 kibaa Allah akupe wepesi ktk kazi zako
Ali wewe ndie kipenzi cha watu kwasababu unajiamini huna mabodigadi vishindo tena hapana uko mwenyewe yaani inapendeza sana big up king wanaoumia waache waendelee tu watazoea na hii redio daah mbona watumwa aisee
The king of bongo fleva with the African princess more love❤❤❤❤❤❤
Alikiba akirekodi na akiimba live sauti zote sawa + Nandy❤❤❤
Nandy pumzi live huwa taabu kdg
AliK for real❤❤❤
Ye baba king salut ❤❤❤❤from congo drc🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
King 👑 anavaa kiheshima sanaa
King of music
Ahhhhha nyie nandi anajua mpaka anajua tena❤
King niatari kwa huimbaji Nani kama yeye mflm wa musc nice my brother Alk👑👑👑
Hiii chemistry ya kiba na nandyy nimeipenda
You are the King 👑, the King 👑 and the King Kiba
King kiba unajuwaga kunikosha jamani ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
King kibaa kwenye Live ninomaa sanaaaa
Alikiba never growing old 😊,,,sweet 20s
King And Queen 👑 Sina lakusema zaidi wametisha Wana weza hakuna wakushindana Nao Kwa Hapa Tz.
The king and the queen doing there thing 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Talk about live performers in Tz, and these are top tier live performers
King 🤴 👑 🎉
Sauti ya Nandi ni nzuri hata live 🎉🎉yaniiii
Safiiii kabisa hakuna matusi kabisaaaa
Nandy na Ally kiba ndiyo waimbaji wazuri sana Tanzania hata mavazi yao yanaridhisha, lakini siyo kama zuchu anavyovaa na dai angekuja kifua wazi na macheni yake hapo.
😅😅😅Alf kwel umeongea point
Kwahiyo hzo za nanny ndo nzuri yani walimwengu bhana
Unamtaja zuchu TU! Na . Huyo nandi piya yuko uchi . Tena nyimbo zake zote ana vaa uchi na ana cheza UCHAFU !. Hebu zipitie Muna muona zuchu TU ! .USHINDWE ! NA ULEGE ! .HA$IDI KIUMBE!
Kwa hlo vaz la nandy kweli acha utani
Alikiba Ndio Simba haswa and Nandi she’s totally beautiful 🤩
Beautiful creatures ❤❤❤
Wow 👌 wamependeza jamani ata ni raha🎉🎉❤❤❤
Mmeelewq nandi anavoimba amina amina amina 😅😅😅😅
Huyu dada namkubal sana nandi hongeren our neibour Tz.... UG
Kiba yupo kawaida Sana anavyoonekana Hana mambo ya kistaa kivile mungu azd muweka
Huyu kweli King si kwa sauti hiyo maa shaa Allah
My lovely singles in one vocal ❤❤❤
Hapo ndiyo neme mukubali sana mfalme king kiba ❤❤❤
❤❤❤rohoo zangu mm nawapendaa sanaaaa
Wameimba vizur nawapa pongexi San san❤❤
Nyie Ali ni fundi jamn ❤❤❤
Classic performance
One king
And his
Princess ❤❤❤❤
Kiba my favourite ❤
Yaani dah hongera Sanaa 💕 kaka angu na dada angu kiujweli nyinyi ni WA kipekee Sana katika huu mziki 💕💕Allah azidi kuwaonesha njia sahihi na akuwepushieni n husda 🤲🤲🤲
Simply! Tanzania iko blessed na vipaji, tupende vitu vizuri haya makundi yanatunyima vitu vitamu!!! nitapenda music na si kundi sasa!!!
Haswaaaa
Hii bomba ❤❤❤ king kiba na madam Nandy
King himself👑
Live ni Tamuuuuu aisee nzuriiiiiiii jmn❤
Congratulations King Kiba.
Collabo of the year
Ali umependeza mashallah 🎉
Nampenda Ally buree big much love brother
❤❤❤❤❤Kingkiba congratulation
Ali is the best kwa kweli
Kuna majaji wa nquo 😂😂😂 msanii avae je❤❤❤
Mr vocal and princess ❤❤❤❤❤❤❤
Tunawapenda san. Mzidi kuwa hivyohivy jmn❤❤❤❤
Mpo sawa.vijana ❤
King the only one.❤❤❤
King umependeza sana❤
Nawapenda sana❤❤❤❤
King of Queen
King ni mmoja East Africa 🙏🏾
The true king💥💥
Saut nzuri hazijapita studio
Hii bondi ya nandy na jina tuiache tu❤
Kufanya kazi na mke wa mtu ni kazi kuna muda wanatamani kujiachia ila wakikumbuka kua ni mke wa mtu wanatulia
Wanajua sana👍👍👍👍👍
Umetishaaaa 🙏🙏
Akika unaimba live na ndomaana uliitwa King kiba❤❤ 8:47
Mwanaume kavaa vizuri tu naanaimba vizuri wanawake sisi jamani duuuh
Nguo rangi nzuri lakini haikupendeza kwa ile miguu. Bora ingukuwa hata refu.
Nimependa Saana ❤❤❤❤❤
👑 kiba❤❤
More than king tojouuuuur
Nimeipenda Sana,
King kiba noma san🎉
Nandy mzuri jaman tena msafi saan sio kam Zuu, bado ananuka kwapa😂
The king kibaaa🎉
King kiba, Mnyama... Safi SANA wambie Kweli HUJAHAMA KWA MAJUNGU yaan Kipenda ROHO. Be blessed King Kiba.
Ufalme upoo mwingi kuimbaa king unajua huna mambo mengi I love you so much
Namkubali king 🤴 kiba❤❤❤
Kiba ss yaan ndo umekuwa addicted na mzee kikwete kweli kweli 😂😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤napongeza sana
THE BEST ART 2022
SASAHIVI TUNAIFANYA KAMA MNAVYOTAKA,,,LKN MUIMBE KIDOGO😊
Term kiba 🎉🎉🎉🎉 love frm kenya
Iyo nyimb kali sana😅😅
Muonekano wa mwanaume king kiba hapa me ndo unaniflasha sana
King nakukubali kwa sbb moja tu hujichafui mwiliwako namaanisha huchor tatuu hicho tu
Wala hafugi manywele, hatoboi pua
Yan uyu king dah Mungu ameweka pepo yake kwake aseeee he deserve it❤❤❤keep it bro😎
Nawapenda sana nyie watu dahhhh ❤❤❤❤❤❤
Jaman king anajua kuvaa ❤❤❤ angekuwa zombi mond apo cpat picha ingekuwa vituko
Eti zombi
Hiyo nguo ya Nandi mmmh😅😅
Nandi wasanii wa kike watangoja sana hawawezi mfikia hata chembe sauti kwanza mmesikia
Sureeeeeee hakuna Kama yeye
Umeona mwamba
Mwamba unajua 🔥🔥🔥
Nakubali
Mfarume 🎉na marikia🎉
🎉🎉🎉so good
Mugu awabariki sana❤❤❤❤ wakubar ote
Nawapenda ote jamani
Bilinas nipo nae hapa yupo makini😂😂
Congratulations 🇧🇭