Kipotosh na Eliud tyr wameshapair sasa xnyng nikiwaona mkiwa pa1 jmb huwa linanoga sn hkn hata haja ya muziki yani hata DJ hkn haja ya kumkodi mnapunguza garama kwa kwl kwa wny shuguli yao🤣😂🤣😂😂na hata hamtumii nguvu safi kabisa👏👏👏👏👏👏👏
Ahsanten kwa show, ila nina swali langu kuhusu Chanel ya E Tv mbona picha yake aipo na ubora kama chenel zingine, yaan picha inaonekana ya mawingu mawingu picha sio ang'avu.
@@salomewandya7257ndo namshangaa kuna watu ni wajinga yani bundle lako unaangalia mpka mwisho bado unatumia bundle lako kucoment hujacheka 😂😂 si upumbavu aseh
All the way from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Eliud you're the best
Najua wachekeshaji wengine ni muda wakujifunza kwa eliud matumizi ya lugha yenye ninzamu ndio kinacho mpa nafasi sehemu nyingi
Upo sahihi
Upo sahihi kabsa na wokovu nao unamsaidia analinda heshima yake
ninzamu au nidham swahili ambasador
@@williamsamson2988 wewe umeelewaje?
Upo sahii sana
Eliud very respectfully guy
Love ❤❤🎉🎉to kipotoshi and eliud😂😅
Kipotosh na Eliud tyr wameshapair sasa xnyng nikiwaona mkiwa pa1 jmb huwa linanoga sn hkn hata haja ya muziki yani hata DJ hkn haja ya kumkodi mnapunguza garama kwa kwl kwa wny shuguli yao🤣😂🤣😂😂na hata hamtumii nguvu safi kabisa👏👏👏👏👏👏👏
Eliudi fans ❤ here
Me platform kanifanya niangalie hii video♥️
Wanaotoa lifti msisimame mnatuchanganya😅😅
Nimemuona platform
COMEDY SAF SANA......SMOOTHLY NA HAWATUMII NGUVU
Hivi Eliud ulifikiri utamkuta Juma lokole wapi kama si kwa wenzie wanawake
Yani nimecheka kwenye kingereza jamn😂😂
Vivaa
Mmetishaaa saaaana 🤣😂😁🤣
Vizuri bien 🇨🇩🇨🇩
Nmemuangalia platform tu mm
Eliud ❤❤
❤❤❤❤ Efm🇹🇿
Mbona Chuchu hans yupo karibu na masha love?
kingereza si lugha ya taifa letu na kulingana na mfumo wa nchi yetu ni muhimu kujua lkn pia sio muhimu kwetu kikubwa chapa kaz
Hao kiingereza chaoo wanachekesha tuu watu wafurahi,tuu ndioo maana wanaongea hivyo
Nikweli kwamba niku kaza but
Eliyudi 😂😂
😂😂😂😂 nomaaa sn
Desert ni jangwa kwa matamshi hayo 😂😂
I hope your enjoy duuh eriud jaman
Ahsanten kwa show, ila nina swali langu kuhusu Chanel ya E Tv mbona picha yake aipo na ubora kama chenel zingine, yaan picha inaonekana ya mawingu mawingu picha sio ang'avu.
Ndugu kamala zao haziko poa
Nakubaliiiii
Eliud uko vizuri sana lakini jitahidi kwenye matamshi zingatia herufi, Anaitwa RAIS sio LAIS
Ndio uchekeshaji huo anatumia rafudhi ya kutoka Mbeya kama alama yake
@@joshuamuro9494 lafudhi haimfanyi mtu ashindwe kuzungumza kwa kuzingatia herufi
@@kingswebe3251 watukutoka Mara huwa wanazingatia kati ys R na L!?
Hiyo hainq tatizo watz tunapenda sana kutafuta makosa madogo
Kwenye uchekeshaji ndio unampa kujulikana
Exactly English 😂😂😂😂 kenyan🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂 nyie watu
Hiki kiingereza wakenya wasikisikie.😂😂😂😂
Yes kenyan🎉🎉🎉🎉
GREENCITY ON FLICK
Pesa yako inaweza lete kitu chochote karbu yako😂😂😂😂
Sisi maemic wadogo
Eliudiii
MC mzuli kabisa Eliud
😅😅😅😅😅😅😅
...dogo mukubhoomba kanunu,MUSAJIGHWEEGHE.!
haha
😂😂😂
Pesa yako inaweza lete kitu chochote karbu yako😂😂😂😂
😂😂😂
N mimi 2 nmeona hwajachekesha ila nmeona n ujinga 2 n ulumbukeni luv frm kenya
Kwani lazima ucoment?kama ni ujinga umeusikiliza wa nn?
@@salomewandya7257ndo namshangaa kuna watu ni wajinga yani bundle lako unaangalia mpka mwisho bado unatumia bundle lako kucoment hujacheka 😂😂 si upumbavu aseh
@@salomewandya7257 hapo Sasa
Wakenya mutuache
Wivu unakusumbua wewe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂