Nilikuwa na million 5 peke yake na kiwanja mahali pazuli. Nikafanya maamuzi ya kujenga Pole Pole. Rafiki na family wakanichekaaa sana. Baada ya miaka 4 nikamaliza kujenga nyumba yangu nzuli ya kisasa. Sasa ivi kuna watu wanataka kuyinunua million 120 shillings
Wooow!!😭😭😭 Kaka Joel natamani nielezee ninalopitia Sasa ila naona TAYARI nimeshapata Mwanga na nimefanikiwa💯💯💯💯.....hongera sanaaa kuanzia leo na Milele wew n sehemu ya watu Muhimu sanaaa kwangu na Kwa vizazi vijavyo✍️📌🙏 Ukuu wa Mungu ukazidi kutamalaki juu Yako na Uzidi kuwa sehemu ya watu wengiiii🙏🙏🙏🙏✍️
Nakumbuka mwaka 2018 nilipo amua kujiajil kupitia ufugaji watu wengi waliniambia napotea lakin nilifanya maamuzi binafsi lakin saiz wanaona matunda yake. SEE YOU AT THE TOP
asante sana kaka kwamafu ndishomazur. ira kunakitu kimoja mimi nafanyakazi kunanguvu inanisukuma sana kwenda kufanyakazizangu. iraukimwa mbia bosi anasemasubirikindogo
Nanauka ubarikiwe sana jana tu nimefanya maamuzi ya jambo lkn nimekua nikujiuliza km niko sahihi lkn kuna nafc unanambia niko sahihi na ww leo umesema tusiangalie watu wanaoje ama watasemaje ahsante sana
Ni kwelly nilifanya maamuz ya kujitegemea mwenyew watu weng walinipinga huna kaz utaishije mbona mapema sana tafuta hela kwanza yote yalikuwa maneno yao lakin mm sikuwasikiliza nilifanya vile nilivo amua asaivi wananikubari nashukuru kwa hilo jambo muhim sana umenikumbusha nasema ahsante
Pia mimi nilikuwa nataka kuwenda kuishi peke yangu kwanyumba lakini nilikuwa na uoga mingi watu wakiniambia ati kazi iki isha nitafanyaje lakini nika amua nika enda nikapata hata maisha sio ngumu nikaanza kuregret nikisema ninge amua mapema
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes
Naitwa ABDALLAH nipo familia ipo daar nafanya kazi kituo cha mafuta.Nitamani kujiajili ila kazi inamasilai lakini naishi maisha ya upweke na familia yangu iko mbali nifanyeje
Yaani hii mada ni kubwa sana Joel , unaweza kuona ni ndogo unapoisikiliza tu kama wimbo ila kwa anayeielewa ni kubwa sana, mm nimeface kitu hiki maana kuna watu nlihis watanichkia ninapookoka nikawa nasita sita
Yaah, Kuna maamuz ambayo nmewah kufany and nw nataman kuyafanya what can I do ili kuweza kutoyafanya tena nlihic si sahh kwa wakt ule bt nw nayaona n sahihi!!
Kituh unachokifanya kina mchango mkubwa saana kwenye maisha ya watu na kina thamani kubwa saana zaidi ya unavyofikiri Binafsi nipo katika kipindi hicho , nina plan zangu binafsi amabzo nimeziandaa mwaka mmoja nyuma na nitaanz kuzitekeleza mwisho wa mwaka huu na kwa namna moja au nyingine zinannifanya niwe nje ya mfumo wa kuajiriwa , na kwa bahati mbaya department yetu niliyokua nikifanya kazi kampuni moja binafsi imepunguza wafanyakazi , na mmi ni mmoja wapo Imewaathiri saana wenzangu , ila kwa upande wangu haija ni athiri saana kwakua nilikua tayari nimejiwekea mikakati ya kuanza kufanya kazi zangu binafsi mwisho wa mwaka huu( kanuni za kifedha 50,30 & 20) zimenisaidia. Changamoto Kwenye familia nikijaribu kuwaeleza nni nataka kufanya nje ya mfumo wa kujiajiri asilimia 99 wanaamini napotea , ki ubinadamu Kuna muda unahisi Kama umebaki mwenyewe. Mpaka sasa kuna watu watatu ndio wanao niunga mkono ( rafiki yangu , binamu yangu na wewe Mr Joel kupitia motivation zako tofauti ikiwepo na hii video) Mungu azidi kukupa maarifa coz umekua msaada mkubwa saana , Trust me bro una mchango mkubwa saana kubadili maisha ya watu zaidi ya unavyofikiri. God bless you
Kuna wakati nilikwepa kufanya kazi ya ndugu tena ambae alichangia kiasi cha ada nilipokuwa masomoni kuisomea io professional sio kwasababu sikuhitaji, ila aikuwa sehemu au mkoa ambao nitaweza kujenga network ya kipaji changu (talent) hivyo niliamua kwenda mkoa ambao nitaweza kupata hospital yakufanya kazi ilihali naweza kujenga network yangu ya Sana'a ya hip hop na uandishi wa vitabu nashukuru MUNGU kwambali naona nuru Naombea kufika nitakapo. Hapa utaona mfano wa kitabu changu cha kusikiliza kimeambatana na ngoma ya hip hop ASANTE NANAUKA mwalimu wangu Naombeni atakae vutiwa aguse link hii th-cam.com/video/1ZO5SZJ6cG4/w-d-xo.html
Fanya hii KAZI Kwa kipato, lakini KAZI yako unayotakiwa kuifanya na taranta yako ni Mchungaji yena kanisa ni la wasabato hvyo Anza kufanya utafiti juu yako peke yako kisha KAZI hiyo niliyokuambia utaona majibu
+260770717875 kaka Joel nisaidie mm ni mdhaifu Sana katika mahusiano na napenda niwe na moyo wa ujasiri Nini nifanyej hii Hali inanitesa Sana naitwa issa kigezi naishi zambia
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes
Nilikuwa na million 5 peke yake na kiwanja mahali pazuli.
Nikafanya maamuzi ya kujenga Pole Pole. Rafiki na family wakanichekaaa sana.
Baada ya miaka 4 nikamaliza kujenga nyumba yangu nzuli ya kisasa. Sasa ivi kuna watu wanataka kuyinunua million 120 shillings
Usiuze
Wooow!!😭😭😭 Kaka Joel natamani nielezee ninalopitia Sasa ila naona TAYARI nimeshapata Mwanga na nimefanikiwa💯💯💯💯.....hongera sanaaa kuanzia leo na Milele wew n sehemu ya watu Muhimu sanaaa kwangu na Kwa vizazi vijavyo✍️📌🙏
Ukuu wa Mungu ukazidi kutamalaki juu Yako na Uzidi kuwa sehemu ya watu wengiiii🙏🙏🙏🙏✍️
Mungu akuweke ww baba
Yaani kama nisipoagalia na kumsikiliza Joel kabla ya kazi zangu nakuw sijafanya kitu kabisa
Addicted!
Nakumbuka mwaka 2018 nilipo amua kujiajil kupitia ufugaji watu wengi waliniambia napotea lakin nilifanya maamuzi binafsi lakin saiz wanaona matunda yake.
SEE YOU AT THE TOP
Nimechela kukufahamu Dear ALLAH akulinde Amin
Umenipa bonge la elimu kaka Joel nashukuru sana 🙏
Asante sana kaka umekuwa msaada mkubwa sana kwangu🙏🙏🙏🙏
asante sana kaka kwamafu ndishomazur. ira kunakitu kimoja mimi nafanyakazi kunanguvu inanisukuma sana kwenda kufanyakazizangu. iraukimwa mbia bosi anasemasubirikindogo
Nanauka ubarikiwe sana jana tu nimefanya maamuzi ya jambo lkn nimekua nikujiuliza km niko sahihi lkn kuna nafc unanambia niko sahihi na ww leo umesema tusiangalie watu wanaoje ama watasemaje ahsante sana
Asante Kaka nitaendelea kunifunza zaidi kupitia mafundisho yako🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante sana, kaka Joel
Habar Nina swli he naweza kuuliza
Yes Joel continue to give us mental treatment, I love your motivation speakings
Umesema kweli kabisa
Niliahirisha kupanda parachichi.naamua kupanda mashamba yamepanda bei.
Ahsante sana kaka mungu akubaliki sana
Asante sana kwa somo nzuri sana
Mwalimu wangu asante mwanafunzi wako kutoka Burundi 🇧🇮 nimekuelewa
Ahsantee kwa kunikumbusha
Shukran sn
Shukran kwa ujumbe mzur sana Mungu akubariki.....
Nakupenda saaaaaana
Ni kwelly nilifanya maamuz ya kujitegemea mwenyew watu weng walinipinga huna kaz utaishije mbona mapema sana tafuta hela kwanza yote yalikuwa maneno yao lakin mm sikuwasikiliza nilifanya vile nilivo amua asaivi wananikubari nashukuru kwa hilo jambo muhim sana umenikumbusha nasema ahsante
Asante brother unanitoa sehemu kwenda sehemu fulani
Kiufupi nakuelewa sana
Kamanda wa busara. Am proud kuwa your follower. Mola na akuzidishie kudura kutuchachawiza. Ustadh kutoka undugu Republic ya KE
Pia mimi nilikuwa nataka kuwenda kuishi peke yangu kwanyumba lakini nilikuwa na uoga mingi watu wakiniambia ati kazi iki isha nitafanyaje lakini nika amua nika enda nikapata hata maisha sio ngumu nikaanza kuregret nikisema ninge amua mapema
@benardpaul1271....ninapitia wakati kama huu uliopitia😭😱😱..... comment Yako inanipa Moyo sanaaaa.... Mwenyezi Mungu anivushe kwenye hili🙏🙏🙏📌✍️
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes
your the best in did
Fantastic flawless video, it's perfect ten.
Tnx broo mung akuweke daima
Asante ndugu,naunganisha somo lako la aina za ujasiri
Ahsante sana brother joeli kwa ushauri wako na mafunso pia mungu Akubariki sana 🤞
Shukran sana
Balikiwa sana
My monday food for thoughts. Thank u Joel , u are our star 🙏
Naitwa ABDALLAH nipo familia ipo daar nafanya kazi kituo cha mafuta.Nitamani kujiajili ila kazi inamasilai lakini naishi maisha ya upweke na familia yangu iko mbali nifanyeje
🎉🎉🎉 impressive
God bless you my professor
Kweli... Bro Asante
Adi leo nafikiriaa yaan hawa ambao wana dislike video za sir Joel sijui wanamaanisha nini au awaelewi😥😥
See you at the top
Hii mada siku nyingi nilikuwa naisubiri km umenijuiliya flan hv ndugu.....god bless u ....Endelea kutuelimisha 👏
Asante sana joel
I always enjoy watching this channel
thank brother nimekuelewa
Good presentation
Nashukuru kaka, huu ndiyo Mda mwafaka kwangu kubadiri mtazamo wangu
Joel Thank you brother. Umenifumbua macho na maneno yako naanza kuyafanyia kazi. Siku zote nimekua muoga kufanya maamuzi na ndio sas inanutesa
Point taken.
Kweli kaka
Touched me
Thanks brother! ama kwahakika unatoa watu kwenye mashimo mungu akulinde!
Kaka mungu akubaliki Sana kwa hili soma umenifanya kua mtu mpya kabisa kwenye maisha yangu
Kweli kaka binafsi nimekulewa.ubarikiwe sana
Great
unazungumza vitu vikubwa sana bro. umeniinspire kwa vitu vingi unavyo zungumza vimenibadilisha sanaa
🙏
Thanks
Nimekusoma
Yaani hii mada ni kubwa sana Joel , unaweza kuona ni ndogo unapoisikiliza tu kama wimbo ila kwa anayeielewa ni kubwa sana, mm nimeface kitu hiki maana kuna watu nlihis watanichkia ninapookoka nikawa nasita sita
Nikikuangalia J siku naianza vizur endelea hvyohvyo bro
Yaah, Kuna maamuz ambayo nmewah kufany and nw nataman kuyafanya what can I do ili kuweza kutoyafanya tena nlihic si sahh kwa wakt ule bt nw nayaona n sahihi!!
Nnikupilikana kaka
,✨✨✨✨💪
Your motivation remind me to be stables in my life and to know my position 👌
Habari kaka....unaweza kujua km hayo ndo maamuz sahihi kufanya?
Mawalimu Mawalimu
Hii kitu inanikuta mm daah
Mm nlifanya maamuz namba 2 na nlitengwa na wengi ila baadae wakasema npo sahihi.
Maamuzi nliyofanya yananigharimu Leo ikiwa nlichgua kitu kisichokuwa passion yangu, I need to know how can I be helped?
Niliamua kufungua duka la nafaka baadae nikaacha
Nimejifunza vitu vingi kupitia ww
Mr no ako naomb
nikweli umesema yapo
Kituh unachokifanya kina mchango mkubwa saana kwenye maisha ya watu na kina thamani kubwa saana zaidi ya unavyofikiri
Binafsi nipo katika kipindi hicho , nina plan zangu binafsi amabzo nimeziandaa mwaka mmoja nyuma na nitaanz kuzitekeleza mwisho wa mwaka huu na kwa namna moja au nyingine zinannifanya niwe nje ya mfumo wa kuajiriwa , na kwa bahati mbaya department yetu niliyokua nikifanya kazi kampuni moja binafsi imepunguza wafanyakazi , na mmi ni mmoja wapo
Imewaathiri saana wenzangu , ila kwa upande wangu haija ni athiri saana kwakua nilikua tayari nimejiwekea mikakati ya kuanza kufanya kazi zangu binafsi mwisho wa mwaka huu( kanuni za kifedha 50,30 & 20) zimenisaidia.
Changamoto
Kwenye familia nikijaribu kuwaeleza nni nataka kufanya nje ya mfumo wa kujiajiri asilimia 99 wanaamini napotea , ki ubinadamu Kuna muda unahisi Kama umebaki mwenyewe.
Mpaka sasa kuna watu watatu ndio wanao niunga mkono ( rafiki yangu , binamu yangu na wewe Mr Joel kupitia motivation zako tofauti ikiwepo na hii video)
Mungu azidi kukupa maarifa coz umekua msaada mkubwa saana , Trust me bro una mchango mkubwa saana kubadili maisha ya watu zaidi ya unavyofikiri. God bless you
Upo sahihi maamuzi ya MTU yapo mikononi mwa MTU mwenyewe na nguvu ya maamuzi daima utoa matokeo+ tupo pa1 bro.
Daah hii hali ipo kwangu nashukr snaa kaka kuanzia sasa nitaffanya maamuzi sahihi kwangu
Nikwel umesema
Kuna wakati nilikwepa kufanya kazi ya ndugu tena ambae alichangia kiasi cha ada nilipokuwa masomoni kuisomea io professional sio kwasababu sikuhitaji, ila aikuwa sehemu au mkoa ambao nitaweza kujenga network ya kipaji changu (talent) hivyo niliamua kwenda mkoa ambao nitaweza kupata hospital yakufanya kazi ilihali naweza kujenga network yangu ya Sana'a ya hip hop na uandishi wa vitabu nashukuru MUNGU kwambali naona nuru Naombea kufika nitakapo. Hapa utaona mfano wa kitabu changu cha kusikiliza kimeambatana na ngoma ya hip hop ASANTE NANAUKA mwalimu wangu Naombeni atakae vutiwa aguse link hii
th-cam.com/video/1ZO5SZJ6cG4/w-d-xo.html
Fanya hii KAZI Kwa kipato, lakini KAZI yako unayotakiwa kuifanya na taranta yako ni Mchungaji yena kanisa ni la wasabato hvyo Anza kufanya utafiti juu yako peke yako kisha KAZI hiyo niliyokuambia utaona majibu
+260770717875 kaka Joel nisaidie mm ni mdhaifu Sana katika mahusiano na napenda niwe na moyo wa ujasiri Nini nifanyej hii Hali inanitesa Sana naitwa issa kigezi naishi zambia
Sduh
0719928858 naomba kuugwa tena kwenye group la joel nauka ilinga plz nimemiss CHAMPION
Ddg
Asante sana, kaka Joel
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes
Kaka kweli umenigusa wakati nafanya maamuzi binafsi marafiki zangu waliniona nitafeli but until now nipo na furaha,naishi ktk ndoto zangu ingawa bado sijafanikiwa ila naamini oneday yes