JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 13-10-2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ต.ค. 2022
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Nitangaza Damu ya yesu iniwakilishe katika maisha yangu Damu ya Yesu initetee panapo mashitaka yote yanayo ongea kinyume na maisha yangu katika ulimwengu wa rohoni🙏🙏🙏
Damu yaYesu irudishe uhai kwenye kazi yangu AMEN
Siwezi kumwelezea huyu pastor vile amenivusha na Damu ya Yesu
Barikiwa sana baba kweli unanibariki na mahubiri yako
Mungu akubariki Sana baba masomo yako yanaendelea kunivusha hatua kwa hatua
Nimevuka kiuchumi kwaajili ya mafundisho yako ubarikiwe Sana pastor
Hongera kubwa
Next to testify 🎉
Damu ya Yesu kristo imenifungua kabisa ! Ahsante mtumishi wa Mungu
MUNGU akubariki sana mtumishi mafunzo Yako yananitia moyo sana na kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi kwa NGUVU mpya
Ubarikiwe sana baba unamasomo mazuri yananifanya nipande viwango vingine kiimani
Amen nilikuwa najua kiasi sasahivi najua Kwa kiwango kikubwa Sasa naitumiaga TU Damu ya Yesu Kristo ila Sasa naitumia vizuri zaidi
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Nimejifunza sana siku ya kwanza kusikiliza soma la nguvu ya maombi ya usiku wa manane Hadi leo sijaacha amen sana baba. Najifunza sana inuliwa ktk jina la baba yesu christo
Hakika damu inawakilisha na niliiona kwkweli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Daaah huyu mtumishi ni wa kipekee sana tofauti na wale wa pokea magari wakt hata mia sina, ubarikiwe sana mtumishi Mungu akulinde milele
Maisha yangu kwanzia Leo yamo ndani ya kristo,nakataa roho na madabahu ya uko in the name of Jesus
Huyu baba mchungaji ananibariki sana. Mafundisho yake yanajenga sana, Mwanza wana bahati. Mungu na ambariki sana kwa kutumika.
Mungu Baba nisaidie kuelewaasomonya Mtumishi wako
Nimebarikiwa sana na somo Hili mtumishi Mungu akuinue zaidi nazaidi Amina
Mwanza yupo sehemu gani?
Amen !Mchungaji
Hakika nimekuelewa juu ya Somo lisemalo "JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI"
Ninaomba DAMU ya YESU KRISTO iniondolee magonjwa yangu yote na iniondolee mikosi ,Lana,nguvu za shetani,kafara na sadaka zote za kishetani zilizotolewa juu yangu ziteketee Kwa DAMU YA YESU KRISTO
Ahsante Yesu kwakunipa damu mpya kutoka kwako Yesu
Amen Amen 🙌🏿🙌🏿 barikiwa sana Pastor nmesuumbuka sana na magonjwa kichwa meno maskio na Magoti na nmefundishika jinsi ya kutumia Damu ya YESU Asante Bwana Yesu
Nimechuguru.sana.mungu.akubariki.sana.nimetaka.mungu.anifanye.kama.wewe.ufunuo
Waneno.naekima..salamu.sana.apa.congo.lumbu.mbashi
Amen. Damu ya Yesu initetee wachawi wanaoninyemelea washindwe
Amen Utukufu Kwa YESU KRISTO
Pastor Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa sana,haya mafundisho ndio MAARIFA ambayo tukiwa nayo hatutaangamia.
Amen Amen Mungu akubariki sana mchungaji kwa mafunzo mazuri acha damu ya Yesu ituteeee na kutulinda katika maisha yetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
mungu akubariki baba kwa kuponya mioyo yetu
Paster sina mengi yakusema bt mungu anakutumia kwa viwango vya juu maisha yangu imebadilika kabisa nimekuwa kiumbe kipya
MUNGU akubariki pastor
Amen. Naendelea kubarikiwa sana. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Ooh yes I have an advocate who is Jesus Christ
Damu ya yesu niteteee katika maisha yangu na Familia yangu
Amen pastor huwa nabarikiwa sana wakati unahubiri
21:02
Damu ya Yesu nirudishie biashara yangu
Kweli napenda kukusikiliza mtumishi wa Mungu ,yesu akubariki sana 2:11
Mungu akubariki sana Mtumishi,hakika ninabarikiwa sana na mafundisho yako.
Amen sana Mtumishi wa Mungu, Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia sana nakutakia maisha mema yenye baraka tele daima dumu.
Hakika nina mbariki sana Mungu kwaajili yako Pastor George.Wewe ni mwalimu haswaa.Yaani najifunza mnoo.Sifa na utukufu kwa Mungu juu
Bwana yesu asifiwe mchungaji.mchungaji ninaombi. Naomba kwenye mafundisho yako utoe Flash ili na wasio na simu wapate mafundisho yako mazuri sana yanatubariki sanasana. Tupate na huku mikoani watu wazidi kumjua huyu mungu na kumuishi.UBARIKIWE SANA MCHUNGUJI.UTUNZE NA MUNGU.
waa you are my favorite teacher
Live long pastor
get more revelations
Natangaza damu ya yesu ifute kila kifungo kilio wekwa juu yangu katk Jina la Yesu. Na yoyote anayepitia mafundisho haya damu ya yesu na inene mema kwa kila mmoja
More blessings man of God I have learnt alot since I started listening to this preachings🙏🙏🙏🙏
Amina barikiwa mtumiishi
Asante ulidwe namungu siku żółte za maisha yako
Amen umenitia Nguvu ya kuomba sana ,, MUNGU akubariki ,,wengine tumefungwa na Damu ya uko ,,so nilazima Damu ya YESU iniokie
thank you man of God am blessed with your teachings
He always say, nitakupa andiko...i like this, Amen,
Kwa hakika umefungua maisha yangu 😢😢😢😢😢 nimejua ni nn kizuizi cha mema yangu! Maisha yangu yamefunguka haki damu ya Yesu kristo imefungua njia zangu
Asante Sana pastor umefungua akili yangu
Pastor be bless and more grace , ur teaching has tanch my heart
May God bless you too much for your teachings ❤❤❤❤
We glorify the name of the Lord, There's true gospel preachers.
I'm really get blessed in spiritual teaching, more blessings man of God, hallelujah hallelujah hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏
Mtumishi kweli ni mungu anakutumia
Asante sana Mchungaji, kwa kunijulisha na kunifanya nimjue Yesu na thamani ya Damu ya Yesu ilivyo na nguvu ya ukombozi hata kwa maisha yangu ya kila siku.
Barikiwa mtumishi na endelea kumtangaza Kristo na nguvu zake na pia kuibomoa kambi ya adui, Asante sana.
Bless you man of God!!
Munguakubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa
Hakika nabarikiwa sana kwa mafundisho yako mchungaji n Joyce kutoka Kenya
Amen mtumishi najifunza
Amen hii neno niyangu ak😭😭😭 ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana Baba
Amen! Amen! Ameeeeeeeeeen! Asante sana mtumishi wa Mungu nimevuka Kwa damu ya Yesu ya thamani
This teachings have moved me to another level thank you pastor be blessed
Amen 🙏 nashukuru pastor kwa mafundizo, damu ya yesu itirike maishani mwangu
Nabarikiwa sana
Mungu Akubariki pastor George umenifanya namfurahia Yesu .
Asante Bwana Yesu mtakatifu kwa neno lako uendelee kunena NAMI na kuniongoza
Damu ya Yesu iniwakilishe
Mungu akubariki sana Mch.kwa fundisho hili hakika ni Mungu amekutuma kwangu.
Amina mchungaji ubarikiwe kwa SoMo la kutumia damu ya Yesu.
Ubarikiwe ninayo mengi takupataje ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mungu akuongoze na kukubariki, mtumikie thawabu yako utaikuta mbinguni.
Asante mtumishi Nimefanyika huru kwa mafundisho yako.
Barikiwa sana Mtumishi nimepokea kitu kikubwa sana.japo napitia maisha magumu madhabahu za giza zinanitesa sana
Asante sana pastor umeninenea kweli asante Yesu naitisha hii damu itutetee. Amen Amen ❤
Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Sana Kwa somo hili
Am in Dar, i have never been in your church but am very blessed through your chanel🙏
Mafundisho mazuri mno
Ameni pastor mafundisho yako yamenivusha mbali kiimani mungu akubariki mno
Ubarikiwe mwalimu sana neema ya kufundisha uko nayo kweli
Yesu akulinde mtumishi
Bwana Yesu asifiwe mtumishi ninaomba kama naweza kupata vitabu vya masomo uliyofundisha barikiwa
Ninaamuru DAMU YA YESU iniondolee magonjwa yote, na iponye uchumi wangu.
I love the way God is using you to help us and enlighten us about God be blessed pastor always
This man preaches the word of God not his own words. He always read a verse (s). Be blessed man of God,
Mungu akubariki sana mtumshi wangu kwa mafundisho mazuri yaani nilikufa kiroho lakin now nimefunguka.
Asante kwa neno lako la kutumia damu ya Yesu kutuponya.
Nimeteseka sana kwa muda mrefu lkn Leo nimesikiliza neno la kusimamia damu ya Yesu nimefunguliwa,nimepona.
Mungu akubariki pastor,wish to see you. Lkn niko dar
Utukufu kwa Mungu baba
Damu ya Yesu kwa maisha yangu na watoto wangu wote
Nabarikiwa sana na mafundisho haya,uko wapi pastor,mkoa ,wlaya na enjoy,mie niko mza.
Nyinshi watu mumebahatika sana kusikiya hili neno la msalaba na damu ya Yesu Kristo. Hii ina nguvu sana, ni ya kweli kabisa inatoka patakatifu pa patakatifu, absolute truth without any shadow of doubt,
Amen Sana mtumishi kwa mafundisho haya nimebarikiwa Sana ubarikiwe
Barikiwa sana. Ujumbe mzito na umenibariki sana
Amen pastor huwa nabarikiwa sana wakati unahubiri
YESU NAOMBA DAMU YA YAKO INITETEE
Barikiwa Sanaa Mtumishi wa MUNGU! Kila ninapo tazama na kusikiliza mafundisha yako hakika nadhidi kukua kiroho
Am blessed 🙌
Ameen..Nimebarikiwa Sana.Mungu akubariki pastor.
Nabarikiwa sana na mafundisho yako najifunza natatumia Nazidi kuinuliwa
Am really blessed through this word of God may God bless you more man of God ❤❤
Naomba DAMU ya YESU inikonecti na MUNGU
Thank you Hili somo nimelielewa Kwa undani , nitasimama Nayo 🙏Damu Ya Yesu
🎉Ameni
Mungu akubariki sana, Mtumishi wa Mungu. Unafundi vizuri sana
Asante mtumishi wa Mungu ktk hili neno.
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu