JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI || PASTOR GEORGE MUKABWA - JRC || 13-10-2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
- Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa
Barikiwa sana baba kweli unanibariki na mahubiri yako
Nitangaza Damu ya yesu iniwakilishe katika maisha yangu Damu ya Yesu initetee panapo mashitaka yote yanayo ongea kinyume na maisha yangu katika ulimwengu wa rohoni🙏🙏🙏
Damu yaYesu irudishe uhai kwenye kazi yangu AMEN
pastor mafundusho yako yamefanya nilipende neno la mungu na Moyo wangu wote mungu azidi kukutia nguvu kwa jina la yesu Kristo 🙏🙏
Mungu akubariki Sana baba masomo yako yanaendelea kunivusha hatua kwa hatua
Ubarikiwe Sana Pastor
Hakika Damu ya YESU inanena mema..🙌🙏
Glory to God 🙌🙌🙌hakika damu ya yesu inanena mema Maishani mwangu...barikiwa pasta🙏
Nimevuka kiuchumi kwaajili ya mafundisho yako ubarikiwe Sana pastor
Hongera kubwa
Next to testify 🎉
Damu ya Yesu nirudishie biashara yangu
Damu ya yesu ikanene mema kwenye maisha yang ikafute kila hatia na uovu wote wa adui
Ooh yes I have an advocate who is Jesus Christ
Hakika damu inawakilisha na niliiona kwkweli🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu baba mchungaji ananibariki sana. Mafundisho yake yanajenga sana, Mwanza wana bahati. Mungu na ambariki sana kwa kutumika.
Mungu Baba nisaidie kuelewaasomonya Mtumishi wako
Nimebarikiwa sana na somo Hili mtumishi Mungu akuinue zaidi nazaidi Amina
Mwanza yupo sehemu gani?
Damu ya yesu niteteee katika maisha yangu na Familia yangu
Ubarikiwe sana baba unamasomo mazuri yananifanya nipande viwango vingine kiimani
Amen !Mchungaji
Hakika nimekuelewa juu ya Somo lisemalo "JINSI YA KUTUMIA DAMU YA YESU KATIKA MAOMBI"
Ninaomba DAMU ya YESU KRISTO iniondolee magonjwa yangu yote na iniondolee mikosi ,Lana,nguvu za shetani,kafara na sadaka zote za kishetani zilizotolewa juu yangu ziteketee Kwa DAMU YA YESU KRISTO
😊
Amen pastor huwa nabarikiwa sana wakati unahubiri
21:02
Amesema kweli Pastor Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Ameeen Hallelujah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Damu ya Yesu iniwakilishe
Bless you man of God!!
Amen nilikuwa najua kiasi sasahivi najua Kwa kiwango kikubwa Sasa naitumiaga TU Damu ya Yesu Kristo ila Sasa naitumia vizuri zaidi
He always say, nitakupa andiko...i like this, Amen,
Asante ulidwe namungu siku żółte za maisha yako
Amen mtumishi najifunza
Kwa hakika umefungua maisha yangu 😢😢😢😢😢 nimejua ni nn kizuizi cha mema yangu! Maisha yangu yamefunguka haki damu ya Yesu kristo imefungua njia zangu
Amen Amen Mungu akubariki sana mchungaji kwa mafunzo mazuri acha damu ya Yesu ituteeee na kutulinda katika maisha yetu 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Munguakubariki sana mtumishi wa mungu nimebarikiwa
Asante Baba umenifukisha nilipo sasa👏👏
Pastor Mungu anakutumia kwa kiwango kikubwa sana,haya mafundisho ndio MAARIFA ambayo tukiwa nayo hatutaangamia.
Amen sana Mtumishi wa Mungu, Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia sana nakutakia maisha mema yenye baraka tele daima dumu.
waa you are my favorite teacher
Live long pastor
get more revelations
Ameni ameni mungu akubariki pastor
Siwezi kumwelezea huyu pastor vile amenivusha na Damu ya Yesu
More blessings man of God I have learnt alot since I started listening to this preachings🙏🙏🙏🙏
mungu akubariki baba kwa kuponya mioyo yetu
Nimechuguru.sana.mungu.akubariki.sana.nimetaka.mungu.anifanye.kama.wewe.ufunuo
Waneno.naekima..salamu.sana.apa.congo.lumbu.mbashi
Amina mtumishi 🙏🙏🙏
Amen Amen 🙌🏿🙌🏿 barikiwa sana Pastor nmesuumbuka sana na magonjwa kichwa meno maskio na Magoti na nmefundishika jinsi ya kutumia Damu ya YESU Asante Bwana Yesu
We glorify the name of the Lord, There's true gospel preachers.
Pastor be bless and more grace , ur teaching has tanch my heart
Amen. Damu ya Yesu initetee wachawi wanaoninyemelea washindwe
Am in Dar, i have never been in your church but am very blessed through your chanel🙏
Mafundisho mazuri mno
Ubarikiwe sana Baba
Amen umenitia Nguvu ya kuomba sana ,, MUNGU akubariki ,,wengine tumefungwa na Damu ya uko ,,so nilazima Damu ya YESU iniokie
Hakika nina mbariki sana Mungu kwaajili yako Pastor George.Wewe ni mwalimu haswaa.Yaani najifunza mnoo.Sifa na utukufu kwa Mungu juu
Bwana yesu asifiwe mchungaji.mchungaji ninaombi. Naomba kwenye mafundisho yako utoe Flash ili na wasio na simu wapate mafundisho yako mazuri sana yanatubariki sanasana. Tupate na huku mikoani watu wazidi kumjua huyu mungu na kumuishi.UBARIKIWE SANA MCHUNGUJI.UTUNZE NA MUNGU.
Cool vraiment
Mtumishi kweli ni mungu anakutumia
Asante pastor kwa mafundisho yako mazuri.
Asante sana Mchungaji, kwa kunijulisha na kunifanya nimjue Yesu na thamani ya Damu ya Yesu ilivyo na nguvu ya ukombozi hata kwa maisha yangu ya kila siku.
Barikiwa mtumishi na endelea kumtangaza Kristo na nguvu zake na pia kuibomoa kambi ya adui, Asante sana.
Amina Mungu akubariki
Amen. Naendelea kubarikiwa sana. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
Pst barikiwa sana
Mungu akuongoze na kukubariki, mtumikie thawabu yako utaikuta mbinguni.
thank you man of God am blessed with your teachings
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Nimejifunza sana siku ya kwanza kusikiliza soma la nguvu ya maombi ya usiku wa manane Hadi leo sijaacha amen sana baba. Najifunza sana inuliwa ktk jina la baba yesu christo
Natangaza damu ya yesu ifute kila kifungo kilio wekwa juu yangu katk Jina la Yesu. Na yoyote anayepitia mafundisho haya damu ya yesu na inene mema kwa kila mmoja
Ahsante Yesu kwakunipa damu mpya kutoka kwako Yesu
MUNGU akubariki sana mtumishi mafunzo Yako yananitia moyo sana na kunipa nguvu ya kusonga mbele zaidi kwa NGUVU mpya
❤❤❤❤❤❤❤❤Oooooh My Goodness True
Mungu akubariki sana Mtumishi,hakika ninabarikiwa sana na mafundisho yako.
May God bless you too much for your teachings ❤❤❤❤
Bwana Yesu asifiwe mtumishi ninaomba kama naweza kupata vitabu vya masomo uliyofundisha barikiwa
Mtumishi wa Mungu Ubarikiwe Sana Kwa somo hili
This man preaches the word of God not his own words. He always read a verse (s). Be blessed man of God,
Daaah huyu mtumishi ni wa kipekee sana tofauti na wale wa pokea magari wakt hata mia sina, ubarikiwe sana mtumishi Mungu akulinde milele
Asante Bwana Yesu mtakatifu kwa neno lako uendelee kunena NAMI na kuniongoza
Yesu akulinde mtumishi
I love the way God is using you to help us and enlighten us about God be blessed pastor always
Damu ya Yesu kwa maisha yangu na watoto wangu wote
Mungu akubariki sana mtumshi wangu kwa mafundisho mazuri yaani nilikufa kiroho lakin now nimefunguka.
Hakika nabarikiwa sana kwa mafundisho yako mchungaji n Joyce kutoka Kenya
Ubarikiwe ninayo mengi takupataje ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Amen! Amen! Ameeeeeeeeeen! Asante sana mtumishi wa Mungu nimevuka Kwa damu ya Yesu ya thamani
Barikiwa sana Mtumishi nimepokea kitu kikubwa sana.japo napitia maisha magumu madhabahu za giza zinanitesa sana
Mungu akufungue na ndivyo vifungo vya wengi vinavyosababisha neno la Mungu lisipenye ndani kupokea iponyaji
Amen 🙏 nashukuru pastor kwa mafundizo, damu ya yesu itirike maishani mwangu
Amina mchungaji ubarikiwe kwa SoMo la kutumia damu ya Yesu.
Mungu akubariki sana Mch.kwa fundisho hili hakika ni Mungu amekutuma kwangu.
Am really blessed through this word of God may God bless you more man of God ❤❤
Paster sina mengi yakusema bt mungu anakutumia kwa viwango vya juu maisha yangu imebadilika kabisa nimekuwa kiumbe kipya
Amina barikiwa mtumiishi
Asante sana pastor umeninenea kweli asante Yesu naitisha hii damu itutetee. Amen Amen ❤
Amen hii neno niyangu ak😭😭😭 ubarikiwe sana
Nimebarikiwa sana mtumishi
MUNGU akubariki pastor
Barikiwa sana. Ujumbe mzito na umenibariki sana
Asante kwa neno lako la kutumia damu ya Yesu kutuponya.
This teachings have moved me to another level thank you pastor be blessed
Ubarikiwe mwalimu sana neema ya kufundisha uko nayo kweli
Ameni pastor mafundisho yako yamenivusha mbali kiimani mungu akubariki mno
Kweli napenda kukusikiliza mtumishi wa Mungu ,yesu akubariki sana 2:11
Asante mtumishi Nimefanyika huru kwa mafundisho yako.
Amina pastor
🤝🧎
Ninaamuru DAMU YA YESU iniondolee magonjwa yote, na iponye uchumi wangu.
Asante sana mtumishi wa mungu
Mungu asikupungukie🙏
Ninàvuka kwa jina la Yssu asante kwa mafundisho
Nyinshi watu mumebahatika sana kusikiya hili neno la msalaba na damu ya Yesu Kristo. Hii ina nguvu sana, ni ya kweli kabisa inatoka patakatifu pa patakatifu, absolute truth without any shadow of doubt,
Mungu akubariki mutumishi
Nabarikiwa sana na mafundisho haya,uko wapi pastor,mkoa ,wlaya na enjoy,mie niko mza.
Nabarikiwa sana na mafundisho yako najifunza natatumia Nazidi kuinuliwa