🚨 Uchambuzi Crownfm, Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • #arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo

ความคิดเห็น • 25

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 15 วันที่ผ่านมา +3

    TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d 15 วันที่ผ่านมา +2

    Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale

  • @godfreykibaha4441
    @godfreykibaha4441 15 วันที่ผ่านมา

    Deal done, Stephen ni Mwananchi

  • @MusaManyilima
    @MusaManyilima 15 วันที่ผ่านมา

    Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 15 วันที่ผ่านมา

    Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa

  • @Ba63828
    @Ba63828 15 วันที่ผ่านมา

    Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU

  • @AllyAthumani-xy4xf
    @AllyAthumani-xy4xf 15 วันที่ผ่านมา

    katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 15 วันที่ผ่านมา

    Waongo nyinyi

  • @Vedsastomutalemwa1980
    @Vedsastomutalemwa1980 15 วันที่ผ่านมา

    Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f 14 วันที่ผ่านมา

    Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,

  • @fathimadaid3429
    @fathimadaid3429 15 วันที่ผ่านมา

    Mmezidi umbea

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig 15 วันที่ผ่านมา

    Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 15 วันที่ผ่านมา

    Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?

  • @AyatollahMustafa
    @AyatollahMustafa 15 วันที่ผ่านมา

    Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 15 วันที่ผ่านมา

    WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA

  • @user-vy9oq7gq9d
    @user-vy9oq7gq9d 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ZakiaMgabo
    @ZakiaMgabo 15 วันที่ผ่านมา

    Ende tu mpiran n biashara

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 15 วันที่ผ่านมา

    Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA

  • @AliUsi-ms4bm
    @AliUsi-ms4bm 15 วันที่ผ่านมา

    Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 15 วันที่ผ่านมา

    Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v 15 วันที่ผ่านมา

    NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h 15 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni akatsfute maisha

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 15 วันที่ผ่านมา +1

      Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 15 วันที่ผ่านมา +4

    Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 15 วันที่ผ่านมา +1

      Je akisajiliwa Simba utasemaje,