- 13
- 83 263
Tolly Media
เข้าร่วมเมื่อ 15 มี.ค. 2023
Kwa habari za michezo na burdani
🚨Ohoo! AHMEDALLY AWALIPUA WANAOLALAMIKA KUHUSU TUZO ZA MWEZI AUGUST,KISA TIMU KUCHEZA MECHI 1KWA 2.
#arsenalfc #football #liverpool #arsenal #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
มุมมอง: 96
วีดีโอ
🚨LIVE, UONGOZI WA SINGIDA BLACK STARS UKIWEKA WAZI SHIDA YA MWENDA AJIUNGE NA KAMBI PESA ATAPEWA.
มุมมอง 809 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#football #simbavsyanga #footballclub #arsenalfc #yanganasimba #yangavssimba #liverpool
🚨BREAKINGNEWS,Yanga watangaza kocha Mpya kwenye kikosi chao,Edina lema morinho Arejea Yanga princes.
มุมมอง 339 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨BREAKINGNEWS,kocha wa Simba Fadlu Davids na mshambuliaji Jean Ahoua wang'ara Tuzo za Tff,ubora mkub
มุมมอง 8412 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa Hansrafael,Yanga 2-0 Kagera sugar, Tathimini dkk 90,ubora na mapungufu wa Timu zote.
มุมมอง 3819 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa George Ambangile,Kagera 0-2 Yanga,Tathimini dkk 90,ubora wa yanga,walichofanya Kagera.
มุมมอง 6419 ชั่วโมงที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Uchambuzi wa Hansrafael,Simba 4-0 Fountain Gate fc,Amnyooshea mikono Jean Charles ahoa,hii ni Mali.
มุมมอง 822วันที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨BREAKINGNEWS,FIFA YAWATAKA YANGA KULIPA MILLION 217 NDANI YA SIKU 45,KISA AUGUSTINE OKRA,BENCHEM.
มุมมอง 55814 วันที่ผ่านมา
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #soccer #simba #simbasc #yanga #yangaleo
🚨Kocha Wa Vital O,Fc Afunguka Baada ya kupangwa na yanga,Maji tumeyavulia nguo.
มุมมอง 12Kหลายเดือนก่อน
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨LIVE kutoka Misri Ahmedally Afunguka Vingi, Kinachoendelea kambini Simba.
มุมมอง 20Kหลายเดือนก่อน
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨Mapya Yaibuka inshu ya Aziz ki,Zandani kaanza safari kurudi dar es Salaam.
มุมมอง 23Kหลายเดือนก่อน
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨Kiufundi Usajili wa Simba,namna wachezaji watachezeshwa kwenye nafasi zao.
มุมมอง 14Kหลายเดือนก่อน
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
🚨HANSRAFAEL amchambua kiufundi Jian Charles mchezaji Mpya Simba,ni Aziz ki mtupu.
มุมมอง 13K2 หลายเดือนก่อน
#arsenal #arsenalfc #football #liverpool #manchesterunited #simba #simbasc #soccer #yanga #yangaleo
Atawafunga akina nani? Fountain gate ilikuwa na wachezaji wa first 11 watatu tu
Kama umelaaniwa huna dawa nyingine Kila kukicha adhabu haikuondokei
Timu ya kupigwa faini Kila wakati
❤❤❤❤❤❤❤❤
Hatujapata aziz k waketu, huyu ni mchezaji wetu ahuo na atabaki kuwa ahuo msitufananishe fananishe hovyo hovyo
Juzi wameanza kusajili baada ya kupangwa na yanga.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Duwa ndio muimu kala kitu mungu tu ishaallh mungu atatusaidia
Nimemsoma kiundani sana KIBU Nina maoni binafsi hivyo napendekeza Kwa kocha Davids amrudishe KIBU acheze half beki 4 nadhani ana sifa zote za kucheza namba hizo za nyuma. 1. Ana nguvu mwepesi, mbio na urefu wa kuridhisha kupiga vichwa 2. Mpambanaji ana jihad 3. Anafundishika anaweza kuwa sawa hata kumzidi Baka wa yanga. 4. Kwa kuwa Kibu ana tatizo ktk finishing ama kupasia kule mbele, lakini akiwa nyuma no 4 atakuwa swipa hivyo tatizo atakuwa kaliepuka
achana na bacca ww
😂😂😂😂 anaanza kujitetea huyo
Eti anasema wameanguka kwenye yanga🤣😂😂😂😂
Anaongea kinyonge adi uruma
Eti anasema wameanguka kwenye yanga🤣🤣
karibu tanzania
Tuna matumaini nae sanaa huyo kijana utoporo kazi wanayo Tutawapima umri wao wooote
Msiwe watangazaji wahivyo always play for the best nani umwambie unaenda motoni akubali hata mlevi ukimwambia utaenda motoni atakutukana
Ivi mwenda kaachwa au?
Tunataka Simba ya kazi tusitake kujua habari za Timu nyingine mwaka huu tufanye kweli
Viongozi wetu wa Simba tunashukuru kwa usajili wa kimkakati tusisahau Dua kwa wachezaji wetu maana macho ya USDA ni mengi
Niny uto hamjitambui niny umewezaje mpaka Simba washindwa huyo AZZ ki atakuja ,,,,,,,
Kwani huyo azz ni mungu aende tu kwao au kwetu
Kwa taarifa yako mwanamichezo, Eng.Hersi anampadisha chart ila Anasaini yanga na MO hamhitaji Azizi Ki kwa dau lolote
Ende tu mpiran n biashara
katika watangazaji wakweli nyinyi mmenyooka
Kwahyo mtu akipongeza ujio wa mchezaji ndo inamaanisha atabaki hata mayele alikua kipenzi cha yanga aliishi kama mfalme ila nini kilitokea kueni na kumbukumbu acheni kuchambua kwa ubunifu wenu
Mmezidi umbea
Wachambuzi acheni uongo. ...km hamna taarifa sahihi kaeni kimyaaa
Belozdad alitoa ofa tangia mwezi wa 6 wala sio Jana.
Nyinyi mnaweka akili ya mafanikio tu, hamuangalii Kuna na bahati mbaya ya kufeli, Kuna kuumia na mengineyo, ? Uchambuzi gn huo unaoangalia mafanikio tuu?
Deal done, Stephen ni Mwananchi
WAAMDISHI ISHINI KWA" FACT" MSIISHI KWA" SPECULATION" WENYE "D2 TUTAWADHARAU SANA
TIMU ZA AFRICA HAZINA UWEZO WA KUMSAJIRI AZIZI KI ISIPOKUWA YANGA
NYIE WACHAMBUZI ni UJINGA WENU WA KUFIKIRI
Waongo nyinyi
Acheni uongo hiyo offer fake nilioona mshahara siyo dola laki 4 hiyo ni pesa ya kusani tu mshahara ni dola 20, 000 mnatangaza vitu hata uongo wenyewe unakua na uongo ndani yake sijui mmesoma wapi uandishi KI KSAINI ZAMANI MPAKA LEO KI ANA SIKU 16 MTU YUKO FREE AJENT ANAKOSAJE TIMU MAFISI WANGEKUA WASHAMPITIA
Umepatia mchambuzi: UPENDO FURAHA MUHIMU
Aziz ki ameshaondoka kweda wapi? zaidi ya kwenda Yanga?
Acheni akatsfute maisha
Ndo yupo njiani kuelekea Egypt kujiunga na akina deborah
Makolon hawana ubavu wa kimsajili hiyu dogo....wanatafuta mlango wa kutokea ilii wapte viewers
Je akisajiliwa Simba utasemaje,
Yani kiukweli wana simba wenzangu tujiandae maana naona kama tabu iko palepale
😂😂😂😂😂😂😂😂
Wwe ni mchambuz mandaz k azzi amesha ondoka
Tupe madini