#ZaNdaaani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 235

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x 15 วันที่ผ่านมา +23

    Za ndaaaaani😂😂😂
    Momo bwana, eti Mo Sarah. Momo sema Mo dewj siyo Mo Sarah

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 15 วันที่ผ่านมา +10

    Kama NIKWELI, MOO SHKAMOO KAKA WATAIFA😂😂❤❤❤❤❤😅😊

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 15 วันที่ผ่านมา +6

    Wa mwisho naomba like zangu ila naushauri acheni kupenda wachezaji pendeni timu zenu😂😂😂😂😂❤

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 15 วันที่ผ่านมา +8

    Halafu mnataka kusema tx dullah ndio mwenye comedian talent pekee msiache jina la Momo tafadhali 😂

  • @mcray0609
    @mcray0609 14 วันที่ผ่านมา +2

    Eng. Hersi shikamoo.. Unajua kuyumbusha watu ad momo anadanganya umma

  • @basiaarsh3835
    @basiaarsh3835 15 วันที่ผ่านมา +11

    Huyu jamaa yupo vzuri saaana

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 15 วันที่ผ่านมา +9

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyu kaka hahaha anajua kunivunja mbavu

  • @amosmemba9926
    @amosmemba9926 15 วันที่ผ่านมา +21

    Aziz Ki huyooooo

  • @StephanoFrance
    @StephanoFrance 15 วันที่ผ่านมา +6

    Aaah ila leo mzee wa za ndani umetupa laha sana wa lunyasi

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g 15 วันที่ผ่านมา +6

    Zaa ndani nakutukana kwa furaha kudadadekiii zako

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 15 วันที่ผ่านมา +3

    Momo kwa mikwala cheki alivyomuigiza tajiri alivyoshika sigara 😂😂😂

  • @azizymachadeson3577
    @azizymachadeson3577 14 วันที่ผ่านมา +1

    Azizi Ally labda hhahaaaaaaa Azizi ki Jangwani yupo sana sajilini kina Debora tuleteeni na Mwajuma 😂😂

  • @victorvenance1009
    @victorvenance1009 15 วันที่ผ่านมา +5

    Hakuna timu ya kufanya usajili wa Bilion 3 kwa mwaka mmoja kwenye ligi ya Tanzania.

  • @jamesngindo4583
    @jamesngindo4583 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mnahangaika tu Aziz alishasaini yanga kitambo, sema engineer mjanja ameaachia tu media zihangaike kwa muda huu

  • @evdsam7286
    @evdsam7286 14 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa anatabia za kikekike sana, anavyodanganya mpaka sura inaonesha ukike ndani yake

  • @IdrisuMabuda
    @IdrisuMabuda 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yess

  • @phidolineprivatus9078
    @phidolineprivatus9078 15 วันที่ผ่านมา +3

    We msenge leo umejua kunichekesha😂

  • @user-iv1it9yy3c
    @user-iv1it9yy3c 15 วันที่ผ่านมา +20

    Shajua kama injinia aje simba hata leta mgogoro mkubwa bora auzwe huko kaizer sio makolo nae shuka thamani timu ashirk klabu bingwa

    • @barakayusuph4617
      @barakayusuph4617 15 วันที่ผ่านมา +7

      wew amka aziz ki yuko huru sasa mtamuuzaje chura wew😂😂

    • @chamyluna8030
      @chamyluna8030 15 วันที่ผ่านมา

      Lilisikika pumbavu likiongea 😢😢😢😢

    • @JumaSuleiman-np3eb
      @JumaSuleiman-np3eb 15 วันที่ผ่านมา

      Wivu tu

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 15 วันที่ผ่านมา

      Ujui kuandika nenda shule choko wewe

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 15 วันที่ผ่านมา

      Yanga hana mamlaka ya kumuuza Aziz k.Aziz ki yuko hurt hana mkataba na timu yoyote.

  • @harounzuberi8179
    @harounzuberi8179 15 วันที่ผ่านมา +2

    Sospiter Bajuna huyo😅😅😅😅

  • @LowasaSanare
    @LowasaSanare 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hahahahaha 😅😅😅😅 we jamaa unajuaa kuigizia umbea akii 😂😂😂 nmecheka

  • @allytv1714
    @allytv1714 15 วันที่ผ่านมา +6

    Huyo ni aziz funguo utoo wanamganda na awana pesa ya wanataka aishi kama family ndo maana mayele alisepa alikataa mfumo wa ww family

    • @reonardchatanda6371
      @reonardchatanda6371 15 วันที่ผ่านมา

      Poleni sana

    • @Munyama675
      @Munyama675 15 วันที่ผ่านมา

      Yaan Aziz aache Yanga aende SIMBA?

    • @allytv1714
      @allytv1714 15 วันที่ผ่านมา

      @@Munyama675 mpira ni biashara kama timu inamwaga pesa zaidi ya yanga anaenda siyo kwao pale mayele alisema yy anaangalia pesa anatafuta pesa kama cristiano Ronaldo

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@reonardchatanda6371POLE MATAKO AU 😂😂😂😂😂😂 UTOPOLO MACHOGO FC WEWE 😂😂😂😂 MACHOGOOOOOOOOO

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@Munyama675UTOPOLO MACHOGO FC NJAA NYIE

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g 15 วันที่ผ่านมา +2

    Umeeeapa kwa Dini nakuamini

  • @josafko2259
    @josafko2259 15 วันที่ผ่านมา +1

    Timu gan ya kutoa 3b hapa bongo😂😂😂

  • @user-sy3mj5gh5g
    @user-sy3mj5gh5g 15 วันที่ผ่านมา +4

    Wewee ucitutie tamaaa

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 15 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana wajina

  • @user-bj8hk9td9f
    @user-bj8hk9td9f 15 วันที่ผ่านมา +1

    Ina maan wasafi muko vizr kwel munauliza ripoti imendikwa na nani timu haikua na kocha

  • @daruweshshifaaonlinetv6958
    @daruweshshifaaonlinetv6958 14 วันที่ผ่านมา +1

    Momo acha uongo unaapia mpka jina la mola wako ufai bara wala pwani

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 15 วันที่ผ่านมา +3

    Dah siamin

  • @allyfatma7359
    @allyfatma7359 15 วันที่ผ่านมา +2

    Leo momo kanichekesha sana

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 15 วันที่ผ่านมา +3

    MNYAMA MKALI

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 15 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂😂😂ameshindwa kumbakisha chama kwa mshahara wa ml 40 utaweza kwa ki kakojoe ukalale nawewe saizi hauna za ndani wala nini

    • @user-mo6be6gz3t
      @user-mo6be6gz3t 15 วันที่ผ่านมา +1

      Million 40 kwa umri ule kaka miaka 33 ni uongo kaka hata ww usingetoa

    • @jamesngindo4583
      @jamesngindo4583 14 วันที่ผ่านมา

      @@user-mo6be6gz3t Chama hajaisha mpira wangembakisha tu kwa mwaka mmoja, sasa tusubiri tumuangalie akiwa yanga tujiridhishe

  • @shaiburajabumrope8113
    @shaiburajabumrope8113 15 วันที่ผ่านมา +3

    Nakukbal sana likado momo

  • @hendrixmarvel7387
    @hendrixmarvel7387 15 วันที่ผ่านมา +15

    Naombeni likes jaman😅

    • @samirshabani-yu4xu
      @samirshabani-yu4xu 15 วันที่ผ่านมา +1

      Omba nduguzako mshamba wewe

    • @saeedmagoda9651
      @saeedmagoda9651 15 วันที่ผ่านมา

      🤣🤣🤣🤣​@@samirshabani-yu4xu

  • @user-ww4so9ks9c
    @user-ww4so9ks9c 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mlikuwa wapi kabla eris hajàsema azizi hajasain we muongo bhana

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 15 วันที่ผ่านมา +1

    Anatumika kukikisha propaganda ya Yanga na Ki sema hii ya tajiri lilivyovuta sigar kuwasha na kuvuta ni kali😂😂😂😂

  • @user-yk9ll1cd9b
    @user-yk9ll1cd9b 15 วันที่ผ่านมา +1

    Momo hivyo viwili unavyonyosha juu unatupa mashaka ya ww kuwa mmasonia

  • @mwitafabian9403
    @mwitafabian9403 12 วันที่ผ่านมา

    Jamaa mpaka kaapa, kweli Dunia ina mambo

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 15 วันที่ผ่านมา +1

    6:21 siku zote mkuki ni mtamu kwa ……. Na kwa ….

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m 15 วันที่ผ่านมา +1

    Wapike keki wao si wanapika keki!!!

  • @sundaymsomi6284
    @sundaymsomi6284 15 วันที่ผ่านมา +1

    Hapa hakuna taarifa ya ukweli kuweni watulivu

  • @user-lj7pu9js1d
    @user-lj7pu9js1d 15 วันที่ผ่านมา +1

    Sikujuaga kama unaongeaga uongo leo ndio nimeamini wewe sio mkweli

  • @GETRUDEGODWIN
    @GETRUDEGODWIN 15 วันที่ผ่านมา +1

    Chama uyo jamani sio azizi k

  • @killerwizzyofficial2157
    @killerwizzyofficial2157 15 วันที่ผ่านมา

    Daaaaahh brother 😂😂😂😂😂

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 15 วันที่ผ่านมา +2

    Daaaah aziz ki tumemkosa

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 15 วันที่ผ่านมา

      Kuwa na amani

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂dah tajiri katisha…momo hadi umesimuliwa tajir kavuta ciger😂😂

  • @georgesheto4542
    @georgesheto4542 15 วันที่ผ่านมา +41

    Azizi k to simba like za kutosha apa

    • @Veni584
      @Veni584 15 วันที่ผ่านมา +4

      Akacheze shirikisho

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@Veni584mjomba watu wanaangalia pesa hilo shirikisho halimpunguzii wala halimungezei kitu

    • @bone102
      @bone102 15 วันที่ผ่านมา

      ​​@@Veni584kama Ahly timu ya 1 Africa ilicheza shirikisho mwaka 2014 kuna kitu gan cha ajabu zaid Simba ambaye ni ya 5 Africa kucheza shirikisho wachezaji wanaangalia timu gani ina muendelezo na sio timu ndo inajifunza kwenye club bingwa mara ya 2 na hamna uhakika mtaingia group stage

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 15 วันที่ผ่านมา

      JE YA KWELI HAYO ?

    • @alfonceanton2273
      @alfonceanton2273 15 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@Veni584Kwani wakati anakuja nyuma mwiko mlikuwa mnashiriki mashindano gani?

  • @georgekyando885
    @georgekyando885 15 วันที่ผ่านมา +2

    Siku zote mkuki ni mtamu kwa ………… na kwa ni……..

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 15 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu kama msenge kwenye media analeta story za kama amekula mirungi au mlevi .hawa ndio waharibifu wa kazi za watu .yani kafanya hapa kwa media kama mgahawa wa kahawa ndio maana kaachwa na mke wake sababu ni muongo

    • @luqmanomary3558
      @luqmanomary3558 15 วันที่ผ่านมา

      Usitutus wala kirungi au pombe chagua starehe yako na wew😂😂😂😂😂

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 15 วันที่ผ่านมา

      Mwanzo mlifurahi mwisho wa stori mkanuna mtasubiri sana kudadeki😂😂

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 15 วันที่ผ่านมา

      Jamaa muongo maendeleo ya ki afya ya akili mwanzo ni mtu awe haongei uongo bongo linakua safi .alafu ukizingatia yuko kwenye media kaa sio mlevi ni nani huyo chizi basi au ndio media ya mdogo wake anakaa akidanganya watu .huo wakati wa kutunga naongezi sisi yanga tumeshawacha muda mwingi ata maongezi ya kurogana kitambo tumesahau kuyatamka sisi wana yanga sababu .uchawi wa mpira ni zoezi na pesa management nzuri yenye uwelidi na kuwatizama wachezaji kwa furaha .nyie simba omba omba wa babujiiiii muhindi anawahujumu simba wote wanafiki sasahv yenyewe inashangilia usajili.kweli wachezaji wao ukiwatizama sio uhakika upo .nimependa napenda mpizani awe na timu pia lakini kimaendeleo simba ni ndondo club huo ndio ukweli

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy 15 วันที่ผ่านมา +1

    Msenge akikutana na shoga bora nani jamani hapo ndio radio hao wachambuzi mmoja msenge na mwingine ni shoga

    • @rogersdavis3058
      @rogersdavis3058 14 วันที่ผ่านมา

      Tatizo la ushabiki wa kipuuzi unatukana kisa nini

  • @chidoxtv.7394
    @chidoxtv.7394 14 วันที่ผ่านมา

    Chidox company limited karibuni

  • @jumanneshego3308
    @jumanneshego3308 14 วันที่ผ่านมา

    sasaivi momo umekuwa muongo sikuwamini tena mpaka unaapa Kwa mungu

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 15 วันที่ผ่านมา +1

    Yani kweli kuna mashabiki wanae mshabikia huyu .mimi ndio mara yangu ya kwanza kumsikiza nasitatokea tena kusikiza uongo kama huu kama anaongea na watoto wadogo

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 15 วันที่ผ่านมา

      😂ni kweli sio uongo sema kwakuwa wee unaonekana jeuri kataa hivyo hivyo!na sio moo aliye fanya hivyo kuna jamaa anaitwa saraha lafiki yake mwana FA

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 15 วันที่ผ่านมา

      @@IbniAbbas-yz3kt mimi ni yanga damu damu na mpira naujua ni biashara Aziz akienda bado nina furaha kuwa timu yangu Young African iko na muongozo wa kisasa na tunavuna mipesa na itatufanya tuzidi kuwa strong.nyie Simba sasa Mo muhindi kawaida yake pre -season mwenye timu yake anasafiri na jitimu lake anafanya market ata pesa anayowapa nyie omba omba baada ya preseason marketing aliyofanya yeye kwa biashara yake na kutumia nembo ya Simba ni yake anakua amerudisha trillion cz Mo ni bilionia .marketing yake ni ndefu sijui umenifahamu .anawahujumu hawajengei ata Simba complex nyumba za wachezaji yani muna jina kubwa tu lakini hamuna kitu munamuomba muhindi yani munatawaliwa .nyerere alishatugomboa amkeni

  • @MalakEnock
    @MalakEnock 15 วันที่ผ่านมา

    Mnazinguwaa huuu mwezii sasa sisikii redio yenu morogoro raha kama hii naipatia wap acheni usengee

  • @NNONGWA
    @NNONGWA 15 วันที่ผ่านมา

    Kuanzia leo sintakusikilizaaa tenaaa ,Mzushiiiiii mkubwaaaaaaaaa

  • @chidyothman5285
    @chidyothman5285 14 วันที่ผ่านมา

    Kula chuma ikoooo yule avc Town

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians 15 วันที่ผ่านมา +1

    From #EconomicallyGrowthMusicians 😂😂😂😂😂

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 14 วันที่ผ่านมา

    RICARDO MOMO🐸🐸🐸 watazimia😅😅😅#SIMBA nguvu moja

  • @richymello14
    @richymello14 15 วันที่ผ่านมา +1

    Fiston Kalala Mayele 🛫

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 15 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe kashaanguka wino 😂😂😂😂 mimi msenge sana

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 15 วันที่ผ่านมา +1

    Momo jau sana daah🤣🤣

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 15 วันที่ผ่านมา

    MO KWA AZIZI KI DUUUH AISEEE HATARI SN NDUGU YANGU

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 15 วันที่ผ่านมา +1

    Huyo ni Jonas mkude

  • @fabiandanford3572
    @fabiandanford3572 15 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂wakati leo wadanganye ao makolo wenzio

  • @maliadii4829
    @maliadii4829 15 วันที่ผ่านมา +1

    Msijixime data alisema hataondoka kwa ajili ya pesa mpaka atakapomalizana na boss wake anaemheshimu sana waambie wakalilie chooni

    • @user-xm5xg1tt6d
      @user-xm5xg1tt6d 15 วันที่ผ่านมา

      Mbona povu

    • @brownmoses9543
      @brownmoses9543 15 วันที่ผ่านมา

      Heshima haipo palipo na pes😅

    • @bone102
      @bone102 15 วันที่ผ่านมา

      Kwan Mayele alisemaje na tangazo la jezi mpya alivaa kaka wachezaji wanaangalia wap watapata pesa mzee

    • @bone102
      @bone102 15 วันที่ผ่านมา

      Kwan Mayele ilikuwaje na hadi jezi mpya za msimi alivaa na mkasema Mayele haondoki😂

  • @RESPECTFOOTBALL2024
    @RESPECTFOOTBALL2024 15 วันที่ผ่านมา +3

    HACHOMOI HUYO

  • @stevenemwakasimba-pt8er
    @stevenemwakasimba-pt8er 15 วันที่ผ่านมา

    Huo usijari wa kagoma wala msihangaike sio Aziz k😂😂😂😂

  • @answarihamza6814
    @answarihamza6814 15 วันที่ผ่านมา

    Za ndani zako hazijawahi kuwa za kweli shibe ndo inakufanya uongee utumbo

    • @johnmwasilu7087
      @johnmwasilu7087 15 วันที่ผ่านมา

      Huyu jamaa ni mwongomwongo sana

  • @user-ye3rb9jd6z
    @user-ye3rb9jd6z 14 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂 Momo we muongo akavuta sigara

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 15 วันที่ผ่านมา

    Inatumika siku hizi... injinia kashafanya yake kwako!

  • @user-ce1ps5hy4f
    @user-ce1ps5hy4f 15 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu ndo alitwambia fei karudi yanga kapewa mshahara wa m 12 baada ya siku fei huyo azam hili waga niliongo 😂

    • @LucasMagukuru-hc9kr
      @LucasMagukuru-hc9kr 15 วันที่ผ่านมา

      Huyo anatoa tetesi, ww znaweza kuw kwel au sio kweli, ndo mana kaxem za ndan inasemekana

    • @BADAWY575
      @BADAWY575 15 วันที่ผ่านมา

      @@user-ce1ps5hy4f muongo sana nashangaa lenyewe linapayukwa na kigugumizi chake waka cha uongo kwanza hana sifa za kuwa mtangazaji sababu anakigugumizi kisha anabadilishwa maneno anayosema .ebwanae hapa naona kama mwenyewe napoteza mmda .jamaa zombi hajui anachosema hajui alipo hajui kama anapeleka ripoti kwa umma yani chizi tu zombi

    • @nicholousmtemi3902
      @nicholousmtemi3902 15 วันที่ผ่านมา

      @@LucasMagukuru-hc9kr ulikua hufatilii basi Huyu ndo alianza wa kwanza kabsa kusema fei anaondoka yanga

  • @user-xf3lv5xp1i
    @user-xf3lv5xp1i 15 วันที่ผ่านมา +2

    Aziz K huyo

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 15 วันที่ผ่านมา

    Mnapaish JMN

  • @geraldchawala9506
    @geraldchawala9506 14 วันที่ผ่านมา

    aka kajamaa kaongo sana.😂😅😂😂😅

  • @SobiTz
    @SobiTz 15 วันที่ผ่านมา +4

    2:22 Hakuna ki2 kama icho et dollar laki 5,hv unajua ni shingap iyo,alaf kwa mkataba wa mwaka mmoja,Makolo tokeni Usingizini 😂😂😂 Billion na ushehe uko kwa mkataba wa mwaka mmoja 🤣

    • @athumanimtajih
      @athumanimtajih 15 วันที่ผ่านมา +1

      Pesa kama huna ni wewe,Acha umaskin jeur

    • @allytv1714
      @allytv1714 15 วันที่ผ่านมา +1

      Kwako ni nyingi ila Kuna watu ela ya chaii ela ndogo sana kwao ww mtu anamiliki kampuni kubwaa unajua mtaji wake

    • @SobiTz
      @SobiTz 15 วันที่ผ่านมา +1

      @@athumanimtajih Kwamb ww unazo 😏

    • @FrankChalula-hz6dn
      @FrankChalula-hz6dn 15 วันที่ผ่านมา

      Sisi maskini tukiskia one billion tunapata mchecheto wakati kwa wengine ni kama million Moja ambayo Leo wewe hata kiwanja haitoshi DSM

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l 15 วันที่ผ่านมา

      We huna ndomn unaon nyingi

  • @LovelyForestHills-eh4zs
    @LovelyForestHills-eh4zs 15 วันที่ผ่านมา

    Jaman mnajua anaezungumziwa kiiiiiiiiiiii az

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂Hivi huyu anapataga wapi habar

  • @nasrakambimton9522
    @nasrakambimton9522 14 วันที่ผ่านมา

    Sas jaman wenzen wanaongerea mpira ww unaweka matus

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 15 วันที่ผ่านมา +2

    Amchukue lakini mfumo ndo shida kolo. Muulize Mayele mfumo umemkataa asingizia majini.

    • @JumaSaidi-xq7ui
      @JumaSaidi-xq7ui 15 วันที่ผ่านมา

      Mfumo wakufnya nn

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu 15 วันที่ผ่านมา

      Mfumo wa kukutombaaa au

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 15 วันที่ผ่านมา

      ​@@SurprisedFullMoon-gg9vu😂😂😂umelijibu vzur hilo punga

    • @SurprisedFullMoon-gg9vu
      @SurprisedFullMoon-gg9vu 15 วันที่ผ่านมา

      @@personpeter2221 haya ma utokwinyoo masengee kwel

    • @HappyKitindi
      @HappyKitindi 15 วันที่ผ่านมา

      Mayele umemkataa mfumo wakt anaongoza kwa magoli ligi ya Misri na ana assist 5 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂be

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 15 วันที่ผ่านมา

    We muongo Sana Aya mbona atumuoni kwenye timu ya Simba

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 15 วันที่ผ่านมา

    Nimecheka sana😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu momo eti wakola waitu mmmh Acha tuone.

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona mafumbo mengi

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 15 วันที่ผ่านมา

    Umenichekesha sana

  • @kahamashinyanga
    @kahamashinyanga 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu jamaa ni mchambuzi au nani ata simwelewi anaongea km yuko genge la wahuni

  • @MagahGeoffrey-md5wb
    @MagahGeoffrey-md5wb 15 วันที่ผ่านมา

    Huyo Ni guede Joseph

  • @mamrashdon3632
    @mamrashdon3632 15 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Nmechekeaaaa

  • @Adrext
    @Adrext 14 วันที่ผ่านมา

    😂😂momo bhana

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t 15 วันที่ผ่านมา +1

    Uyu nimuongo

  • @hassanchikwaya4170
    @hassanchikwaya4170 15 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂 ila momo

  • @festofeisag392
    @festofeisag392 14 วันที่ผ่านมา

    Azizi ki😢😢😢😢😢😢

  • @mcray0609
    @mcray0609 14 วันที่ผ่านมา

    Unajua comedy bro

  • @johnsonwilliam6092
    @johnsonwilliam6092 15 วันที่ผ่านมา +1

    Momo ni mbwa 😂😂😂😂

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d 15 วันที่ผ่านมา +1

    Mo wakomeshe hao wasenge mamae

    • @EliaMkumbo-wn7bm
      @EliaMkumbo-wn7bm 15 วันที่ผ่านมา

      Ma Debora mbona matusi ya nn mama tuliza Nyoro hiyo

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 15 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu naye sometimes kama anakula ngada vile

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 15 วันที่ผ่านมา

    Punguzeni huo muzic tafadhali.

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 15 วันที่ผ่านมา

    Jamaa ongo hili😅😅😅

  • @jameszephania3143
    @jameszephania3143 15 วันที่ผ่านมา

    feisal

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi 15 วันที่ผ่านมา

    😅😅😅😅😂😂😂. Wakola waitu.

  • @beatricesaitoti6125
    @beatricesaitoti6125 14 วันที่ผ่านมา

    bado muna ndoto ya azizi kuja thimba aaaah wapi aje kucheza ndondo nyie kuweza mfyuuuuuui

  • @SadiFesi
    @SadiFesi 13 วันที่ผ่านมา

    Endeleaga kudanganya watu