naamini siku yaja nami nitahubiri injili ya amani injili ya kweli injili isiyo ya kuchakachuliwa injili isiyo na upendeleo injili ya kweli yenye lengo madhubuti ya watu kufika mbinguni nakupenda Sana Bishop Moses Kulala naamini Tutaja onana mbinguni Kwa Bwana wetu Yesu Kristo Mungu nijaalie niishi maisha matakatifu yenye kukupendeza wewe Ni ihubiri kweli yako Ameen
Sina la kuongeza hapo ila napaswa tu kulekebisha maisha yangu mana nimechomwa sana ndan ya moyo wangu.ee mungu nisaidie kumalza salama kabla aijaja ile mbaya
Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌
Wapendwa tumuombe Mungu atuinulie wahubiri kama hawa, wanaofundisha kweli ya Mungu, wenye kutufundisha kweli kuhusu maisha ya baadaye ( maisha ya milele). Hero wafu wafao katika BWANA
Kamanda aliekuwa na dhamira safi ktk kuipigania injili ya Yesu kristo. BWANA YESU AUKUMBUKE UTUMISHI WAKO NA AKULIPE KWA HAKI, PAMOJA NA MAPUNGUFU YA KIBINADAMU AMBAYO INAWEZAKANA ULIKUA NAYO LAKINI VITA ULIYOPIGANA INAISHI HATA SASA, BWANA YESU AKULIPE TU.
Mwanadamu anaweza kufa lakini neno LA Mungu halifi. Li hai tena ni upanga. Ahsante Yesu kwa kifo chako uliachilia neema ya mamlaka ndani yetu. Heshima na utukukufu zirudi kwako Mungu uliyehai.
injili isiyo kuwa na mawaa yesu tusaidie kukujua zaidi baba yesu aendelee kukupumzisha na kukupa furaha ya milele Asante kwa neno linalo jenga mioyo yetu mpaka sasa
Kama Unaipenda Hii Video Naomba Usiache Kusubcribe sasa hivi Kwenye Hii Channel Kwenye Hiyo Alama Nyekundu Bonyeza Hapo halafu Bonyeza Alama ya Kelele.
MUNGU nisaidie nikutii kama mtumishi huyu niongoze, sala zote nitakazo zileta mbele zako siziwe na kiburi Bali zikawe zakutoka ndani ya kilindi cha moyo wangu AMEN.
+Alice Thoya Thoya kweli kabisa hujakosea mimi kama nimebadilika kutoka katika dhambi ni sababu ya kumfuata prophet Hebron kweny you tube afu natamani nikamuone live.... Mungu azidi kum'bariki na kumvika nguvu mpyia ... amiina!
+Debora Adam 😃😃😃 wote ni wenye nguvu za injili ya kweli wote mimi nawakubali maana wameniokoa kwa kweli na nnatamani siku moja nikatoe ushuhuda kanisani kwa baba Hebron....
Baba yangu wa kiroho. Nilipoona as a teenager (14) years old because of hearing The Word from this great Man of God. He spoke the absolute truth. He didn't compromise the word.
Yves Nzunguri I would like to invite you at Silali Tz there is a branch of Pentecost's shilo and you will enjoy a real &truth gospal word,just consult the site you will hear alot of it.
Kiukweli Mtu wa Mungu waukwel hafi kamwe Dk askofu Kulola yupo hapa na anahubili kwani kupitiya mafunzo yake anaendeleza injili abalikiwe sana milele yote waitwao Watumishi niwengi lakini lakini wanao hubili neno la okovu wacace sana
Ubarikiwe Mtumishi kutuletea Mahubiri ya baba yetu wa Kiroho kwa makanisa ya Tanzania, ombi langu, ni kukuomba jaribu kuweka angalau hotuba iwe ndefu kidogo.Maana sio wote wanao zlikiliza wapo TZ. ili wanunue DVD. Barikiwa sana!
Ama kweli huyu Baba Dr Moses Mahubiri yake yalikuwa hayajachakachulia tofauti sana na akina Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe, Lwakatare, Baba God n.k.ndo muhimu sana kuhubiri injili ya kwaya
Mungu wasaidiye watumishi wako kuhubiri injiri ya kweri kama Baba yetu uyu, wengi wamebakia kuhubri mahubiri ya mafanikio ya pesa tu hakuna mahubiri ya kusababisha watu watubu uovu wao.
Hallelujah. Hi ndio injili ya kweli,habari njema kwa wore,waaminio na wasioamini.Kuujenga Ufalme wa Mungu
naamini siku yaja nami nitahubiri injili ya amani injili ya kweli injili isiyo ya kuchakachuliwa injili isiyo na upendeleo injili ya kweli yenye lengo madhubuti ya watu kufika mbinguni nakupenda Sana Bishop Moses Kulala naamini Tutaja onana mbinguni Kwa Bwana wetu Yesu Kristo
Mungu nijaalie niishi maisha matakatifu yenye kukupendeza wewe Ni ihubiri kweli yako
Ameen
BERNARD MSANGA Amen
BERNARD MSANGA jaman wokovu nilazma naftari kabeja
BERNARD MSANGA Natamani kuwa nahuduma kama hii mungu nisaidie
Injili isiyo ghoshiwa
+Naftal Jacob neno Mungu laandikwa kwa Herufi kubwa
Hakika nimekutana na neno la Mungu ,injili ya kweli,Bwana Yesu tusaidie,mtumishi M Kulola alitufundisha sana uwanja wa Unga Limited Arusha
hakika mungu alimtumia kulola kwaviwango vikubwa nikumbuke namm bwana
Jamani jamani nulikuepo umenikumbusha mbali
mungu tusaidie
Loserian Laizer
Sina la kuongeza hapo ila napaswa tu kulekebisha maisha yangu mana nimechomwa sana ndan ya moyo wangu.ee mungu nisaidie kumalza salama kabla aijaja ile mbaya
Mungu akubariki baba yetu mpendwa tunakukumbuka sana hajainuka mtumishi kama wewe tanzania hii Mungu akuripe taji yako huko uliko
Mungu tujalie, tumalize salama dunia isutudanganye, Mungu akubariki baba askofu Dr Moses Kulola
You will remain to be father to many Tanzanians.
kwa kwel kaka makau
Huyu mzee huwa ananibariki sana mpaka naona hahibu tushirikishane neno
Injili ikemeayo uovu.....ooooh I want to praise Jesus! Just him for This man, Halleluya!
nakumbuka mbali ilikuwa 2002 nikiwa form two Dodoma mchungaji alikuwa anahubiri maeneo ya maili mbili amen
Adelina stephano, Haya ndio mahubiri yanayotakiwa kuhubiriwa sio unakuta mchungaji anahubiri mambo ya mwilini tu.
Anae sikiliza maubili haya mwaka huu 2018 gonga like tujuwanee
Michael Evarist mungu mwema sana
@@bigessokamonjo6988 akika nimwema siku zotee
amen
Nimeielewa hiyo
Me nasikiliza leo Mwaka2023 October 14
Yesu Kristo Nna kupenda. kweliiii Yesu nimuweza. alimtumia Askofu kwa viwango vikubwa sana.
Hata kwangu Yesu nitumie upendavyo
daaaah aminaa
Ameen
Nimebarikiwa Mungu atufanyie mwisho mwema atusamehe dhambi zetu Amina
YESU NI BWANA NA MWAOKOZI WA MAISHA YANGU 🙏 2024 NOW BADO MAHURI YA MTUMISHI YAKO MOTO
Sanaaa sanaa haya mahubiri ndo yanatakiwa yahubiriwe sasa 😢lakin sikuzi n kuhubiriwa umerogwa umerogwa, njoo upate muujiza wako, hakuna cha kukataza dhambi wala kuambiwa mwisho wa dunia 😢😢😢😢oh God 🙌
Amen na barikiwaa sana na mafundisho yako baba yetu kulola mungu atuongoze ktk njiaa zetu👏❤❤
Amen.Mungu nisaidie nitembee katika njia ya utakatifu,ili niwe na sifa ya kuiona ile njia kuu aliyoitaja nabii isaya(Isay 35;8)
Umetupa njia baba kazi kwetu kuilinda ... kuitetea na kuishindania imani hadi mwisho..... nakaza mwendo...Mungu nisaidie nifike salama........
nema juu ya neema
Utukufu kwa BWANA, MUNGU AKUBARIKI mtumishi
Tunakukumbuka babu yetu kwa kazi nzito ulioifanya
Asante kwa mafundisho mazuri . Mungu akutiye nguvu Baba muchungaji.
sifa na utukufu kwa Mwenyezi Mungu kwa maisha ya mzee huyu , Amen.
mungu. akulinde
huko mbinguni akuvishe. taji. milele
Amen
Utukufu kwa Bwana kwa kujitoa kumtumikianMungu aliye hai kwa ajilinya watanzania
Injili hii ya ya matendo na siku za mwisho wa dunia iendelee kwa watumishi waliompokea zamu kutoka kwa huyu mzee.
Mungu akutunze.
Nakutizama TH-cam babu yangu 2019
TUPATE WAPI WACHUNGAJI SERIOS HIVII... lakini bwana yesu atatenda tenaa
mbona yupo japhet!!! kwani humjui mtoto wake wa kiroho prophet hebron??
huyu wa arusha! bado sana na kulola hawapend manabii na mitume alikua anawapinga sana angalia hata katunzi na daniel kulola vile wako
Mungu akusaidie atuinulie watumishi wasio jikweza Kama huyu mtumishi wake alivyo kuwa
Japhet Kyando 'Karne hii hakuna mchungaji kama huyu ndugu'Na kama wapo bac me siwajui
Aliye wa Mungu humsikiliza Mungu.. Nimebarikiwa na neno hili na hakuna atakaye inuka mwenyewe injili serious kama BMK
Mtumishi wa Mungu aliye hai hata Sasa ni hai..
tutabaki kusikiza maubiri yako nabarikiwa nikiwa Nairobi Kenya.I receive blessings in Jesus name. God is mighty.
Alikua nabii wa ukweli huyu....can't stop watching his teachings
Neno la Bwana laishi Milele..... asante baba kutuonyesha njia.....
Wow, was so amazing gospel 🔥
Nakumiss sana baba.watumishi mliomheshimisha Mungu dunia nzima inamheshim Mungu
Mungu nisaidie kuacha dhambi na kuishi maisha matakatifu mapenzi yako yatimie maishani mwangu Ee mungu nirehemu
Amen baba Mungu akup maisha ya furaha uko mbinguni
Asante baba kwa mahubiri yako ya kweli na kumutukuzaa mwanao wa kiroho mtume na nabii Hebron ambayee yupo ss ,Arusha-mushono.
ameee kwa mafudisho mazuri asate kwa naibii Hebron akiwa arusha
nakumbuka sengerema kwa wawa migombani by yohana samwel kisusi
eagt musipo musipo mfuata na kumuenzi huyu mzee mtapata taabu sana
Wapendwa tumuombe Mungu atuinulie wahubiri kama hawa, wanaofundisha kweli ya Mungu, wenye kutufundisha kweli kuhusu maisha ya baadaye ( maisha ya milele). Hero wafu wafao katika BWANA
Kamanda aliekuwa na dhamira safi ktk kuipigania injili ya Yesu kristo. BWANA YESU AUKUMBUKE UTUMISHI WAKO NA AKULIPE KWA HAKI, PAMOJA NA MAPUNGUFU YA KIBINADAMU AMBAYO INAWEZAKANA ULIKUA NAYO LAKINI VITA ULIYOPIGANA INAISHI HATA SASA, BWANA YESU AKULIPE TU.
I really likes Dr. & Bishop Moses Kulola's Priches
hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu 25/01/2019
Mwanadamu anaweza kufa lakini neno LA Mungu halifi. Li hai tena ni upanga. Ahsante Yesu kwa kifo chako uliachilia neema ya mamlaka ndani yetu. Heshima na utukukufu zirudi kwako Mungu uliyehai.
Jamani mungu akulaze mahali sahii akika ulikuwa real real pastor
Nashukuru Kwa mafundisho yenye nguvu Za Mungu wa Kweli Amen! RPC
Ubalikiwe mtumish wa Mungu, hakika unafungua miyoyo yetu balikiwe sana
injili isiyo kuwa na mawaa yesu tusaidie kukujua zaidi baba yesu aendelee kukupumzisha na kukupa furaha ya milele Asante kwa neno linalo jenga mioyo yetu mpaka sasa
Kama Unaipenda Hii Video Naomba Usiache Kusubcribe sasa hivi Kwenye Hii Channel Kwenye Hiyo Alama Nyekundu Bonyeza Hapo halafu Bonyeza Alama ya Kelele.
MSILU TV MUNGU Wangu nabalikiwa n neono lako Amina
Huyu alikuwa NABII wa kweli hawa wengine wanaigiza huyu ni mfano wa kuigwa ndugu zangu
kwa kweli nibajifunza mengi hakika huyu alikuwa mtumishi wa Mungu
Ameen Ameen
MUNGU nisaidie nikutii kama mtumishi huyu niongoze, sala zote nitakazo zileta mbele zako siziwe na kiburi Bali zikawe zakutoka ndani ya kilindi cha moyo wangu AMEN.
I love Jesus, rest in peace Dr kulola!
sifa kwa mungu
❤❤❤❤
Amen.Nakupenda sana.pumzika kwa amani mbinguni.taji yako iko
Watu wamechukulia mazoea dhambi, na neno la Mungu kulipuuza Yesu nisaidiwe kuepuka dhambi.
Asante Yesu kW mtumishi wako haleluyaaaa
tupate wapi tena mtu kama huyu ambaye Mungu anakaa ndani yake
Mungu anafanya kazi kila siku
mbegu uliyoipanda yazidi kumea, askofu aliyemjua Mungu ipasavyo, Tz tunajivunia
What a beautiful inspiring this man of God is awesome
Bwana Yesu kristo apewe sifa
safi baba sio kama vijana wako akina jilala shinyanga kazi kutamani wanawake tu si kweli oberd jilala
Yupo sehem gan uyo
Nilikupenda sana baba nilibahatika sana kuhudhuria mikutano uliyohubiri, real love you my dad r.i.p
Tumupate wapi uyu??❤❤❤❤❤❤🎉🎉
Anasema aendaye kwa Kristo awe na sura ya Kristo.Je una sura ya Kristo ndani?Amen!!!
Natamani niweshujaa kama mtumishiwa mungu moses kilola ee mungu nisaidi nifike mbinguni. kama alivyofika babu yangu kulola.
Halleluya! Jaman nampenda sana huyu Baba, yaan kweli Mungu alikuwa anamtumia wala hapana mfano wake katika wakati huu! I need more naombeni kuzipata!
mpira inglandi
Amen kama baba yetu Hebron
hebroni hamfikii huyu baba wee hata kidgo angekuepe hadi saiv duu
+Alice Thoya Thoya kweli kabisa hujakosea mimi kama nimebadilika kutoka katika dhambi ni sababu ya kumfuata prophet Hebron kweny you tube afu natamani nikamuone live.... Mungu azidi kum'bariki na kumvika nguvu mpyia ... amiina!
+Debora Adam 😃😃😃 wote ni wenye nguvu za injili ya kweli wote mimi nawakubali maana wameniokoa kwa kweli na nnatamani siku moja nikatoe ushuhuda kanisani kwa baba Hebron....
Neema ya bwana yesu iende pamoja nasi aturehemu cc wakosaji
Baba yangu wa kiroho. Nilipoona as a teenager (14) years old because of hearing The Word from this great Man of God. He spoke the absolute truth. He didn't compromise the word.
Hii injili watumishi wengi leo hii wanaikwepa.dah yani Mungu uturehemu.
ASANTE SANA
MUNGU TUHURUMIE
SIYE SISI WATOTO WAKO
TUSAMEHE SANA E MUNGU ....
AMEN
God I'm thirsty for this grace,grace for Holiness.
Da aiseeee mungu tusaidie tu
sisi kwetu ni ku chukuru mungu kwa mtumishi wake Dr Moses Kolola ambayo alikuwa shuka wa injli kwa karne hiyi rest in peace
Utukufu
ameen
Baba wambinguni nisayidiye niweze kuubili kama uwu mzee wetu amen
Yves Nzunguri I would like to invite you at Silali Tz there is a branch of Pentecost's shilo and you will enjoy a real &truth gospal word,just consult the site you will hear alot of it.
Kiukweli Mtu wa Mungu waukwel hafi kamwe Dk askofu Kulola yupo hapa na anahubili kwani kupitiya mafunzo yake anaendeleza injili abalikiwe sana milele yote waitwao Watumishi niwengi lakini lakini wanao hubili neno la okovu wacace sana
Haleluya Haleluya Haleluya
Mtumishi wa mungu tuta kuona mbinguni
Umefanya yote kwa wakati wako
Injiri ya sasa si kama ya uyu mtumish! Naona kama imejikip ktk michango sana!
Huyu mzee MUNGU alimtumia kwa viwango vikubwa sana, Ee YESU nisaidie na mimi BABA
Amena ubarikiwe najina la yesu kristu liimi diwe
ashukuriwe Mungu kwaaji ya mtumishi wake
Emmy Kyando Amen Amen
Ubarikiwe Mtumishi kutuletea Mahubiri ya baba yetu wa Kiroho kwa makanisa ya Tanzania, ombi langu, ni kukuomba jaribu kuweka angalau hotuba iwe ndefu kidogo.Maana sio wote wanao zlikiliza wapo TZ. ili wanunue DVD. Barikiwa sana!
2083539888 i!993d387c066f02c6
I have
Amen
Amina mtumishi
ulituhubiri babu mungu atusaidie kushinda
Najua upo kwa baba Mzee wangu.tutakukumbuka daima
Bwana Yesu aSifiwe
Mungu atusaidie vijana tuenende katika unyoodu na kifkia viwango vya imani katika kumtegemea mungu
Hallelujah to the lamb of God!!
Pumzika kwa amani moses
wapi
Dibam tz hallelujah
Amen!!Huwezi kwenda Mbinguni kwa kusaliwa kwenye kaburi.
Pumzika kwa amani Baba, bado nakutazama 2021
Eeeh YESU KRISTO nitie nguvu nimalize mwendo salama....
mahubiri ya mchungaji moses kulola yana bariki sana u barikiwe
Hakika mtumishi huyu alitumiwa na Mungu
Amen amen mille na milele tutashangilia
Fredian Niyo
Mungu huwaita Watu kwa Nyakati
Mungu umejawa rehema na neema
Ama kweli huyu Baba Dr Moses Mahubiri yake yalikuwa hayajachakachulia tofauti sana na akina Gwajima, Mzee wa upako, Kakobe, Lwakatare, Baba God n.k.ndo muhimu sana kuhubiri injili ya kwaya
Amina rip askofu
Tunakukumbuka baba yetu tumeimiss injilì ya namba hii.
Hawa ndoo walikuwa wachungaji wa kweli
Ameeeni baba niriwai Kuona dodoma
Nakukumbuka sana baba yanguu
roho ya baba kulola ipate kibali Machoni pa Mungu Baba
Huyu yuko mbinguni
Mungu ampumzishe kwa amani mzee wetu moses kulola
Amen
yooooooooo,tutakukumbuka askofu wetuuu klora
Baba hakika twakumiss sana...hazna ya injili yako inatuokoa sana
mungu anasababu ya kutumia watunishi hawa, inatupasa kuwatii na kuwapa heshima zao. mwisho inatupasa kutubu
Baba yangu wa kiroho Daima nakukumbuka
Mungu wasaidiye watumishi wako kuhubiri injiri ya kweri kama Baba yetu uyu, wengi wamebakia kuhubri mahubiri ya mafanikio ya pesa tu hakuna mahubiri ya kusababisha watu watubu uovu wao.
Jamani kweli ukiskiliza mahubiri haya ndipo napoamini aliye was Mungu anajulikana kwa matendo tu
Nitakukuta Mbinguni siku moja mtumishi wa Mungu aliye hai na haikika ntakushika mkono
Amen Naamin sekunde dakika saa tarehe siku wiki mwezi mwaka nitahubiri injiri Tanzania na nje ya nchi hata ulaya nitahubiri kwa uweza wa Mungu
Andrea Mchele mbona unatamani ulaya sio mbinguni
Naomba mwenye kufahamu Kati ya Moses kulola na Moses Magembe Ni ndugu?
Mungu akulase pema peponi