Jinsi Ya Kupika Chapati Laini za Kusukuma Bila Ya Kukanda Unga | Mapishi Rahisi Ya Kiswahili

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 485

  • @SwahiliSpicE
    @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +61

    Note: Unaweza kutumia recipe yoyote unayopenda wewe. Mimi sisemi kama recipe yangu ni bora kuliko nyengine. Lakini maana ya video hii ni kukuonyesheni kama si lazima ku kanda unga. Hata kama unga wako hauna samli au mafuta, uki acha unga ukae, una lainika kama unavyokua ukiwa umekandwa. Muda wa unga kukaa mpaka ulainike inategemea na kiasi ya maji uliotia ndani ya unga. Asanteni sana

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 ปีที่แล้ว +3

      Swahili SpicE Aunty yale maji ya kuchanganyia unga hujatueleza ni ya baridi au vuguvugu ??

    • @maggyirene110
      @maggyirene110 5 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +1

      @Chayo Gasperi ilimradi maji yasiwe ya moto wala baridi sana. Nnahisi maji ya uvuguvugu hayato haribu mapishi

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 ปีที่แล้ว +1

      Swahili SpicE Asante sana bidada , be blessed .

    • @khadijaally4766
      @khadijaally4766 5 ปีที่แล้ว +1

      Maji vuguvugu ama baridi

  • @salhanaljahadhmi4700
    @salhanaljahadhmi4700 4 ปีที่แล้ว +9

    Ahsante Sister kwa upishi murua. Ningependa tu kukwambia pale unapopanua mkate uwe mkubwa panua kabla hujatia samli haitokuwa mess utakuwa mkubwa na mpana unavyotaka kisha paka samli yako na kukunja madonge yako.thnx

  • @saidsaid226
    @saidsaid226 5 ปีที่แล้ว +4

    Nakushukuru sana. Upishi nzuri nitajaribu, ume eleza vizuri sana. Mashaa Allah, allah akuzidishiye afia.

  • @switlolerbashieb9895
    @switlolerbashieb9895 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa mapishi yako matamu ya kuvutia

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 5 ปีที่แล้ว +6

    Mash'Allah!!! Akhasante Kwa kushea nasi

  • @DorothyUrio
    @DorothyUrio ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana,napo kwenye kukunja njia yako poa,ninikuwa nakunjia upande mmoja👌👌👌

  • @ntemisnakitepe8498
    @ntemisnakitepe8498 4 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallah tumejifuunza. Ila samli ndo ishu

  • @nizerenene2793
    @nizerenene2793 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana dada

  • @lidyamasawe2487
    @lidyamasawe2487 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimekupenda bure. Dada hongera sana kwakweli unajua sana

  • @saidkhalfan9865
    @saidkhalfan9865 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni nzuri nimejifunza namna ya kukunja

  • @halimahassan5294
    @halimahassan5294 4 ปีที่แล้ว +3

    Upo vizur mama hongera

  • @mainafaith4087
    @mainafaith4087 4 ปีที่แล้ว +2

    Quarantine brought me here. Thanks for this recipe, I followed it and mine came out soft. This has to be the easiest recipe I've stumbled upon on the interwebs. Thanks

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  4 ปีที่แล้ว +1

      Love that you came back and commented after giving it a go 😀
      Stay safe and best wishes

  • @yasminwaite2460
    @yasminwaite2460 4 ปีที่แล้ว +2

    Ma Sha Allah did you’ve made it so simple and looks delicious

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 5 ปีที่แล้ว +5

    Hi ni mara yangu ya kwanza kuona hii video nita pika chapati kesho Mungu akipenda😘😜💋😍

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Karibu Swahili Spice! 😄

  • @kassimmuhene9699
    @kassimmuhene9699 4 ปีที่แล้ว +3

    Cc tunajifunza mashallah

  • @hermandemello2200
    @hermandemello2200 ปีที่แล้ว +1

    Ty so much my dear Swahili spice!! For the awesome lovely leard chapati, recipe n supper results, mostly ur speaking explaining A 2 Z slowly but surely to understanding. Wow from Tanga Tanzania

  • @safiaararu4390
    @safiaararu4390 4 ปีที่แล้ว +1

    Thanks its yummy 😋 ningependa if you tried whole meal au mixed grain flour na pengine kupunguza mafuta

  • @antosouzan4950
    @antosouzan4950 4 ปีที่แล้ว +1

    Congrat juu ya mapishi ya chapo

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice one kiswahili chako kizuri usijali na chapati zako nzuri sana asante

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana, you are so kind. Karibu 😄

  • @shebajuliet2686
    @shebajuliet2686 5 ปีที่แล้ว +1

    Ekselenti sasawa. Chapati zako zimenitia njaa, na sauti chako kwa Kiswahili chapendeza. Nimeiwatchi hadí mwisho juu ya lugha. Job nzuri ijapokuwa ningereduce matumishi ya mafuta kidogo chini. Kazí laini kweli... Nasabskraibi❤️

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana sana! Nimekusikia kuhusu swali ya mafuta. Karibu Swahili Spice 😄

  • @aliciafields-worldtravelle8248
    @aliciafields-worldtravelle8248 5 ปีที่แล้ว +3

    This is a simpler method of making Chapatis..thanks👍

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      I feel blessed to be able to share it with so many people. Thank you 😄

  • @Zowazowa-xu1gk
    @Zowazowa-xu1gk 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah ❤

  • @mumblessed001
    @mumblessed001 5 ปีที่แล้ว +2

    Yammy nimependa sana asante kwa kuleza vizuri nitajaribu

  • @francisobiero3065
    @francisobiero3065 4 ปีที่แล้ว +1

    Masaah Allahu! wewe mwalimu bora zaidi.

    • @saummustaf323
      @saummustaf323 4 ปีที่แล้ว

      Francis Obiero ni mashaAllah

  • @charlesobae7650
    @charlesobae7650 4 ปีที่แล้ว +1

    NI nzuri minina penda chapati sana hongera

  • @alcadomwaselela9622
    @alcadomwaselela9622 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera nimependa pishi hilo saana

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 5 ปีที่แล้ว +2

    Dah hii style nimeipenda maana mim kukanda nashindwa thanks

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana, jana nimepika kwajili ya Eid, nime chnaganya unga asubuhi mapema, nime acha masaa. Nilivorudi unga mlaini. Chapati zimetoka first class yani! Jaribu, huto rudi kukanda bure 😄

  • @imranm7323
    @imranm7323 ปีที่แล้ว +1

    Mashalah nambeda chapati yako muzuri

  • @sophiatv7591
    @sophiatv7591 5 ปีที่แล้ว +4

    Asante napenda chapani laini leo nimejifunza

  • @leahndegwa1827
    @leahndegwa1827 3 ปีที่แล้ว +2

    Nyce one, waaooh

  • @stellamuhonja648
    @stellamuhonja648 5 ปีที่แล้ว +5

    Thanks so much I tried with your style and it worked keep going mwaaaah

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +2

      Thank you so much, it means a lot when viewers like yourself come and comment after actually trying the method. Puts a smile on my face, literally 😀

  • @tajiriskitchenswahiliflavo1723
    @tajiriskitchenswahiliflavo1723 5 ปีที่แล้ว +3

    Masha Allah nimependa

  • @paskalinapetro2663
    @paskalinapetro2663 5 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Dada nimependa mapishi yako

  • @podcastsnaps7915
    @podcastsnaps7915 4 หลายเดือนก่อน +2

    great job

  • @omarjumaan2735
    @omarjumaan2735 4 ปีที่แล้ว +2

    Santee dada umenipeleka uswahilini xenon mombasa na mwambao wa pwani yote nikweli kabisa leyaze nyingi ndio utamu Wa cheapo .hafadhika ALLAH BE BLESSED

  • @shadimonja1458
    @shadimonja1458 5 ปีที่แล้ว +2

    maashaalah.nimependa

  • @josephinekinyaga4941
    @josephinekinyaga4941 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimefunza na nimeelewa vizuri

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante, umenifurahisha sana 😄

  • @merymrema420
    @merymrema420 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mpishi na mafunzo

  • @marionnjamunggeh3194
    @marionnjamunggeh3194 4 ปีที่แล้ว +1

    Quarantine thanks you made me seek this page of how to make chapati. Kesho am buying chapti pan

  • @twalofrank3753
    @twalofrank3753 5 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana nimezipenda na nimependa unavyojishusha kwamba wewe sio expart bado unajinza safi sana

  • @paulineanyango2746
    @paulineanyango2746 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimefurahishwa na upishi wako. Chapati nyororo sana

  • @majoricdudu7488
    @majoricdudu7488 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana kwa ilo nilikua nimetaka kujua jinsi ya kupik capati leo najifunza kbsa thx so much from burundi

  • @estermiseyeki3722
    @estermiseyeki3722 5 ปีที่แล้ว +2

    Very nice I like it

  • @alvinsahenyi467
    @alvinsahenyi467 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa video hii. Nimependezwa nayo sana

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana, na shkuru sana 😄

  • @phydiliahmwagodi2254
    @phydiliahmwagodi2254 5 ปีที่แล้ว +5

    This is good way of preparing chapati I like it..Good job.

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Thank you 😄

    • @rosalindanami4067
      @rosalindanami4067 5 ปีที่แล้ว +1

      Thanks so kind..my first time will try in my kitchen

  • @mohamedjackson3816
    @mohamedjackson3816 4 ปีที่แล้ว +1

    Dada etu chapati zako Safi sana tunaomba mapishi zaidi

  • @naomimbaile4892
    @naomimbaile4892 5 ปีที่แล้ว +2

    Thanks... Very nice

  • @merymunisi2725
    @merymunisi2725 5 ปีที่แล้ว +2

    uko vizuri

  • @abudebinabri5873
    @abudebinabri5873 5 ปีที่แล้ว +1

    Shukran mungu akuhifadhi

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana nimependa mapishi yako

  • @mwantumhemed8625
    @mwantumhemed8625 4 ปีที่แล้ว +1

    daah hongera dada

  • @hajramohamed7579
    @hajramohamed7579 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashalla nzuri Sana

    • @dogomwapea5662
      @dogomwapea5662 5 ปีที่แล้ว +1

      Maashaallah. Nimejifunza

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asanteni sana @Hajra Mohamed na @Dogo mwapea ❤️

  • @sarahmbabazi5975
    @sarahmbabazi5975 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana cct

  • @angresiamgimwa5197
    @angresiamgimwa5197 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongrra pishi la chapati nimelipenda hakika nimejifunza.

  • @rozina2161
    @rozina2161 ปีที่แล้ว +1

    Maji moto au baridi

  • @amonimaimu4994
    @amonimaimu4994 4 ปีที่แล้ว +1

    asante nimejifunza kupika chapati laini

  • @julianamwasha2991
    @julianamwasha2991 ปีที่แล้ว

    Asantee sister ..tunaomba na mapishi ya donuts

  • @carolyneluttah1903
    @carolyneluttah1903 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante. I did this and for the first time I had great chapatis.

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  4 ปีที่แล้ว

      So good to hear 😀
      I’ve paused with the video making for a little while as my life is super busy right now, but I hope you’ve subscribe so you don’t miss out on the many ideas and creative/easier ways of cooking that I’d eventually love to share with you.
      Happy cooking and munching!

  • @zennaabdullatwif7718
    @zennaabdullatwif7718 5 ปีที่แล้ว +3

    My dear ahsante sana kwa mapishi kwakweli siku hizi mpaka napenda kuzipika chapati baada ya kunifunza bila kukanda unga zamani nilikuwa nakanda mpaka basi na chapati bado ngumu daaah siku ya kwanza tu siku ya pili huwezi kuila😊 but now zimekaa siku tano na bado laini nashukuru sana Habbibt
    Hapo cha kuongezea mie baada ya kuuwacha unga nusu saa nikashakunja madonge yangu kama ulivyoelekeza nikimaliza sichomi muda huo huo yani nawacha tena madonge yangu kwa muda wa nusu saa tena then ndio nachoma
    M/Mungu akubariq akupe uhai na afya Tele ili uzidi kutupa mbinu nyingine rahisi rahisi kama hivyo

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +1

      Jamani Zenna nimefurahi saaaaana kusoma comment yako 😄. Yani nimefurahi kwamba nime affect maisha yako kama hivi, in such a positive way. Yani ume acha kazi zako kurudi hapa kunipa asante. Ndio hivyo nilivotaka, nilivo discover hii njia, nikasema ni lazima ni shea na kila mtu.
      Na wewe pia asante kuniambia ile step nyengine baada yaku kunja. Hiyo yani of course chapati zita zidi kuwa laini.
      Amina kwa dua zaku na nashkuru sana na asante tena! 🙏🏽😄

    • @zennaabdullatwif7718
      @zennaabdullatwif7718 5 ปีที่แล้ว +2

      @@SwahiliSpicE kiukweli chapati ndio kitafunwa cha kwanza ninachokipenda lakini ndio hivyo zilikuwa zinanishinda kupika ili ziwe nzuri na laini but now Alhamdulillah tangu nisubscribe😚 nikafuata maelekezo ulivyoelezea nikipika so mwaaaa
      Kila nikizipika chapati kiukweli nakushukuru sana
      I wish unione vile nafurahi kupika kitu nikipendacho yani najidai mpaka basi😍

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +1

      Umenichekesa ulivyosema vile unajidai mpaka basi 😂
      Nimefurahi sana tena leo. Endelea hivo hivo Zenna. I’m sure chapati zako tamu kama nini 😊 Insha’llah siku moja nitapata kuonja 🙏🏽❤️😄

    • @zennaabdullatwif7718
      @zennaabdullatwif7718 5 ปีที่แล้ว +2

      @@SwahiliSpicE in shaa Allah Allah atukutanishe salama utaonja then utakula kabisa

  • @malususiri4889
    @malususiri4889 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante dada yangu maji uliyekadia niyabaridi

  • @harrietsolomon6163
    @harrietsolomon6163 4 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for sharing

  • @uaeuae765
    @uaeuae765 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante kwa mafunzo yako mazur

  • @adolphinechikwanine2958
    @adolphinechikwanine2958 4 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante kwa mafunzo dada

  • @alphoncembayachi5399
    @alphoncembayachi5399 5 ปีที่แล้ว +1

    Wonderful Chapatis

  • @phineruge3480
    @phineruge3480 5 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sn my dear nimeongeza maujuzi

  • @moraaarasa230
    @moraaarasa230 5 ปีที่แล้ว +2

    I like your cooking

  • @faustinechegeni1454
    @faustinechegeni1454 5 ปีที่แล้ว +1

    unazingatia usafi Jikoni Bigger up mwanadada...

  • @johnkiboy7085
    @johnkiboy7085 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @asianjipwili7047
    @asianjipwili7047 4 ปีที่แล้ว +1

    Very clean

  • @milele7703
    @milele7703 5 ปีที่แล้ว +1

    I love your video and the different techniques you've shown. I look forward to more videos from you. Nina furahia ninapo tazama wana East Africa wakijitokezea kwenye TH-cam,hongera dadangu na Mola akubariki.

  • @doopaq804
    @doopaq804 5 ปีที่แล้ว +1

    Nafurahi sana dada nimeendezwa sana na nitajaribu

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana, nimefurahi kusikia hivo 😄

  • @rosemaryassenga3594
    @rosemaryassenga3594 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana. somo zuri na rahisi kwa kuangalia. Samli nyingi sana hasa kwa wenye miili mikubwa

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +1

      Asante sana 😄 Nime elewa unacho sema kuhusa samli

  • @belindasteve4749
    @belindasteve4749 5 ปีที่แล้ว +3

    Nimependa mapishi yako dada...Hongera sana.
    Ila kuna kitu sijaelewa,mafuta ya samli ndo mafta gani??msaada tafadhali

    • @samirabryson4057
      @samirabryson4057 5 ปีที่แล้ว +2

      Belinda Steve mafuta ya ng’ombe

    • @belindasteve4749
      @belindasteve4749 5 ปีที่แล้ว +1

      @@samirabryson4057 ahsante jamn...uuwiii nlikuwa cjui☺☺☺

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante Belinda Steve 😄 mafuta yanaitwa ghee kwa kihindi. Wahindi wanakua wana tumia sana katika mapishi yao

    • @gastordominic410
      @gastordominic410 4 ปีที่แล้ว

      Ni mafuta yanayotakana na maziwa..kama ukiona mtu anandaa maziwa kuwa mtindi juu yake hukaa samli.....sasa kitaam huitwa ghee.....

  • @judithmremi97
    @judithmremi97 5 ปีที่แล้ว +3

    nimepanda sana lov

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 5 ปีที่แล้ว +6

    Mashaa Allah 👌😋

  • @nanajamal8866
    @nanajamal8866 ปีที่แล้ว +1

    Thank you ❤

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  ปีที่แล้ว +1

      Thanks you! Appreciate your support ❤️

  • @charlottesindayigaya2030
    @charlottesindayigaya2030 4 ปีที่แล้ว +1

    Nitajaribu kupika chapati. Nimeona hii video

  • @hawawaziri5151
    @hawawaziri5151 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza

  • @sifaeldawson2920
    @sifaeldawson2920 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimelipenda Sana naenda pika leo

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Uta enjoy basi kupika na kula 😄

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 4 ปีที่แล้ว +1

    Yammi yammi. Hhm...masha allah

  • @FatmaMohamed-zk6ml
    @FatmaMohamed-zk6ml 4 ปีที่แล้ว +1

    Marshaallah iko sawa,bt wakati wa kucho,wacha chapati iive pande zote mbali,ndio uweke samli itaingia samli kidogo na zitaiva vizuru, hiyo stail ya kukuja iko sawa marshaallah.

  • @glorious1991
    @glorious1991 5 ปีที่แล้ว +3

    Great video! I am still learning Kiswahili and your video is a great way to learn how to cook and pick up new words!

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +1

      Excellent! I didn’t know my videos could be useful in that way 😀 Thank you so much for your kind words ❤️

    • @gharibumohamed2760
      @gharibumohamed2760 5 ปีที่แล้ว +1

      @@SwahiliSpicE mimi nimependa na pia nitajaribu kupika nikipatia tu vizuri nitakujulisha ,ila kwa kweli hongera maana nimejifunza kitu .

  • @mogymfuko3698
    @mogymfuko3698 4 ปีที่แล้ว +2

    Maashaallah
    Hodari wa mapishi mtoto,uko nchi gani? Waitwa nani?

  • @zipporahgichuhi2428
    @zipporahgichuhi2428 4 ปีที่แล้ว +1

    Very good

  • @sitnafaraj2813
    @sitnafaraj2813 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kwa mafunzo yako ya chapati, watu wengi bado hawaja jua jinsi ya kupika chapati. its very simple

  • @matengemercy8545
    @matengemercy8545 5 ปีที่แล้ว +3

    amazing one. thank you

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 5 ปีที่แล้ว +10

    Samli ya kukunjia nyingi sana!!!

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว +6

      Ndo mi navopenda. Unaweza kuendelea unavopika wewe, lakini maana yake hii video ni kuonyesha jnsi yakupika chapati bila ya ku kanda unga.

    • @maidahamisi3148
      @maidahamisi3148 5 ปีที่แล้ว

      Halafu zile zetu za kawaida ni nzur zaid

  • @zulekhasaidmohamed4043
    @zulekhasaidmohamed4043 4 ปีที่แล้ว +1

    Chapatizako nilainikweli lakini zinamathara unatumiya samli nyigi samli nimbaya kwenye mwili nenda tanga akufundiche kupika chapati

  • @yusrahb4461
    @yusrahb4461 5 ปีที่แล้ว +3

    MashaAllah nimeipenda mapishi yako..very simple kwanza ya vitumbua

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante hun 😄

    • @sophiam6017
      @sophiam6017 5 ปีที่แล้ว +1

      Nimependa mapishi yako ya chapati njia nyepesi sana

    • @sophiam6017
      @sophiam6017 5 ปีที่แล้ว +1

      Nimependa mapishi yako ya chapati njia nyepesi sana

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana @Sophia M

    • @allycake5912
      @allycake5912 5 ปีที่แล้ว +1

      Zinaonekana ni tamu sana

  • @charleswasikol295
    @charleswasikol295 4 ปีที่แล้ว +1

    Sisi tulizoea kutafuna mihogo mibichi na viazi vibichi Leo nitakula Chapati laini ubarikiwe sana dada

  • @abdallahmohamed5991
    @abdallahmohamed5991 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @hawamalebo2160
    @hawamalebo2160 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah Dada nimependa Leo na mm napika leo

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Asante sana 😄
      Unanitamanisha, sijui na mimi nipike leo 😋

    • @alannahshariif9175
      @alannahshariif9175 4 ปีที่แล้ว

      Hawa Malebo mmm

  • @deborameshack4274
    @deborameshack4274 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante dada

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      debora meshack Asante sana

  • @sharifahayatta3584
    @sharifahayatta3584 5 ปีที่แล้ว +1

    nzuri

  • @fridakaari6178
    @fridakaari6178 4 ปีที่แล้ว +1

    wow v nice 💕💕

  • @aishaali9883
    @aishaali9883 5 ปีที่แล้ว +2

    Nice😊

  • @kingwakenya
    @kingwakenya 4 ปีที่แล้ว +1

    Ningependa kuona uso wako

  • @hopeylinus7723
    @hopeylinus7723 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafunzo🙏🏼

  • @kennedyodongo7995
    @kennedyodongo7995 5 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa video. I do like Swahili chapati and pilau coast people know how to cook. I’will share your video with my family.

    • @SwahiliSpicE
      @SwahiliSpicE  5 ปีที่แล้ว

      Thank you for your lovely comments and for sharing if you’ve already done so 😄

    • @angelalaizer3895
      @angelalaizer3895 5 ปีที่แล้ว

      Okay mradi kama anamcare i mean kumpay attention akiwa nae

  • @nafisatwahir
    @nafisatwahir 5 ปีที่แล้ว +3

    nimependa ulivo same unajifundisha keep it up dearling 😘