Note: Unaweza kutumia recipe yoyote unayopenda wewe. Mimi sisemi kama recipe yangu ni bora kuliko nyengine. Lakini maana ya video hii ni kukuonyesheni kama si lazima ku kanda unga. Hata kama unga wako hauna samli au mafuta, uki acha unga ukae, una lainika kama unavyokua ukiwa umekandwa. Muda wa unga kukaa mpaka ulainike inategemea na kiasi ya maji uliotia ndani ya unga. Asanteni sana
Ahsante Sister kwa upishi murua. Ningependa tu kukwambia pale unapopanua mkate uwe mkubwa panua kabla hujatia samli haitokuwa mess utakuwa mkubwa na mpana unavyotaka kisha paka samli yako na kukunja madonge yako.thnx
Quarantine brought me here. Thanks for this recipe, I followed it and mine came out soft. This has to be the easiest recipe I've stumbled upon on the interwebs. Thanks
Ty so much my dear Swahili spice!! For the awesome lovely leard chapati, recipe n supper results, mostly ur speaking explaining A 2 Z slowly but surely to understanding. Wow from Tanga Tanzania
Ekselenti sasawa. Chapati zako zimenitia njaa, na sauti chako kwa Kiswahili chapendeza. Nimeiwatchi hadí mwisho juu ya lugha. Job nzuri ijapokuwa ningereduce matumishi ya mafuta kidogo chini. Kazí laini kweli... Nasabskraibi❤️
Asante sana, jana nimepika kwajili ya Eid, nime chnaganya unga asubuhi mapema, nime acha masaa. Nilivorudi unga mlaini. Chapati zimetoka first class yani! Jaribu, huto rudi kukanda bure 😄
Santee dada umenipeleka uswahilini xenon mombasa na mwambao wa pwani yote nikweli kabisa leyaze nyingi ndio utamu Wa cheapo .hafadhika ALLAH BE BLESSED
So good to hear 😀 I’ve paused with the video making for a little while as my life is super busy right now, but I hope you’ve subscribe so you don’t miss out on the many ideas and creative/easier ways of cooking that I’d eventually love to share with you. Happy cooking and munching!
My dear ahsante sana kwa mapishi kwakweli siku hizi mpaka napenda kuzipika chapati baada ya kunifunza bila kukanda unga zamani nilikuwa nakanda mpaka basi na chapati bado ngumu daaah siku ya kwanza tu siku ya pili huwezi kuila😊 but now zimekaa siku tano na bado laini nashukuru sana Habbibt Hapo cha kuongezea mie baada ya kuuwacha unga nusu saa nikashakunja madonge yangu kama ulivyoelekeza nikimaliza sichomi muda huo huo yani nawacha tena madonge yangu kwa muda wa nusu saa tena then ndio nachoma M/Mungu akubariq akupe uhai na afya Tele ili uzidi kutupa mbinu nyingine rahisi rahisi kama hivyo
Jamani Zenna nimefurahi saaaaana kusoma comment yako 😄. Yani nimefurahi kwamba nime affect maisha yako kama hivi, in such a positive way. Yani ume acha kazi zako kurudi hapa kunipa asante. Ndio hivyo nilivotaka, nilivo discover hii njia, nikasema ni lazima ni shea na kila mtu. Na wewe pia asante kuniambia ile step nyengine baada yaku kunja. Hiyo yani of course chapati zita zidi kuwa laini. Amina kwa dua zaku na nashkuru sana na asante tena! 🙏🏽😄
@@SwahiliSpicE kiukweli chapati ndio kitafunwa cha kwanza ninachokipenda lakini ndio hivyo zilikuwa zinanishinda kupika ili ziwe nzuri na laini but now Alhamdulillah tangu nisubscribe😚 nikafuata maelekezo ulivyoelezea nikipika so mwaaaa Kila nikizipika chapati kiukweli nakushukuru sana I wish unione vile nafurahi kupika kitu nikipendacho yani najidai mpaka basi😍
Umenichekesa ulivyosema vile unajidai mpaka basi 😂 Nimefurahi sana tena leo. Endelea hivo hivo Zenna. I’m sure chapati zako tamu kama nini 😊 Insha’llah siku moja nitapata kuonja 🙏🏽❤️😄
I love your video and the different techniques you've shown. I look forward to more videos from you. Nina furahia ninapo tazama wana East Africa wakijitokezea kwenye TH-cam,hongera dadangu na Mola akubariki.
Marshaallah iko sawa,bt wakati wa kucho,wacha chapati iive pande zote mbali,ndio uweke samli itaingia samli kidogo na zitaiva vizuru, hiyo stail ya kukuja iko sawa marshaallah.
Note: Unaweza kutumia recipe yoyote unayopenda wewe. Mimi sisemi kama recipe yangu ni bora kuliko nyengine. Lakini maana ya video hii ni kukuonyesheni kama si lazima ku kanda unga. Hata kama unga wako hauna samli au mafuta, uki acha unga ukae, una lainika kama unavyokua ukiwa umekandwa. Muda wa unga kukaa mpaka ulainike inategemea na kiasi ya maji uliotia ndani ya unga. Asanteni sana
Swahili SpicE Aunty yale maji ya kuchanganyia unga hujatueleza ni ya baridi au vuguvugu ??
Asante sana
@Chayo Gasperi ilimradi maji yasiwe ya moto wala baridi sana. Nnahisi maji ya uvuguvugu hayato haribu mapishi
Swahili SpicE Asante sana bidada , be blessed .
Maji vuguvugu ama baridi
Ahsante Sister kwa upishi murua. Ningependa tu kukwambia pale unapopanua mkate uwe mkubwa panua kabla hujatia samli haitokuwa mess utakuwa mkubwa na mpana unavyotaka kisha paka samli yako na kukunja madonge yako.thnx
Nakushukuru sana. Upishi nzuri nitajaribu, ume eleza vizuri sana. Mashaa Allah, allah akuzidishiye afia.
Asante kwa mapishi yako matamu ya kuvutia
Mash'Allah!!! Akhasante Kwa kushea nasi
Asante mamy ❤️
Hongera sana,napo kwenye kukunja njia yako poa,ninikuwa nakunjia upande mmoja👌👌👌
Maashaallah tumejifuunza. Ila samli ndo ishu
Asante sana dada
Nimekupenda bure. Dada hongera sana kwakweli unajua sana
Ni nzuri nimejifunza namna ya kukunja
Upo vizur mama hongera
Quarantine brought me here. Thanks for this recipe, I followed it and mine came out soft. This has to be the easiest recipe I've stumbled upon on the interwebs. Thanks
Love that you came back and commented after giving it a go 😀
Stay safe and best wishes
Ma Sha Allah did you’ve made it so simple and looks delicious
Hi ni mara yangu ya kwanza kuona hii video nita pika chapati kesho Mungu akipenda😘😜💋😍
Karibu Swahili Spice! 😄
Cc tunajifunza mashallah
Ty so much my dear Swahili spice!! For the awesome lovely leard chapati, recipe n supper results, mostly ur speaking explaining A 2 Z slowly but surely to understanding. Wow from Tanga Tanzania
This made my day! 🤗
Thanks its yummy 😋 ningependa if you tried whole meal au mixed grain flour na pengine kupunguza mafuta
Congrat juu ya mapishi ya chapo
Nice one kiswahili chako kizuri usijali na chapati zako nzuri sana asante
Asante sana, you are so kind. Karibu 😄
Ekselenti sasawa. Chapati zako zimenitia njaa, na sauti chako kwa Kiswahili chapendeza. Nimeiwatchi hadí mwisho juu ya lugha. Job nzuri ijapokuwa ningereduce matumishi ya mafuta kidogo chini. Kazí laini kweli... Nasabskraibi❤️
Asante sana sana! Nimekusikia kuhusu swali ya mafuta. Karibu Swahili Spice 😄
This is a simpler method of making Chapatis..thanks👍
I feel blessed to be able to share it with so many people. Thank you 😄
Mashaallah ❤
Yammy nimependa sana asante kwa kuleza vizuri nitajaribu
Asante sana 😄
Masaah Allahu! wewe mwalimu bora zaidi.
Francis Obiero ni mashaAllah
NI nzuri minina penda chapati sana hongera
Asante sana!
Hongera nimependa pishi hilo saana
Dah hii style nimeipenda maana mim kukanda nashindwa thanks
Asante sana, jana nimepika kwajili ya Eid, nime chnaganya unga asubuhi mapema, nime acha masaa. Nilivorudi unga mlaini. Chapati zimetoka first class yani! Jaribu, huto rudi kukanda bure 😄
Mashalah nambeda chapati yako muzuri
Asante sana
Asante napenda chapani laini leo nimejifunza
Nyce one, waaooh
Thanks so much I tried with your style and it worked keep going mwaaaah
Thank you so much, it means a lot when viewers like yourself come and comment after actually trying the method. Puts a smile on my face, literally 😀
Masha Allah nimependa
Asante 😄
Hongera Dada nimependa mapishi yako
great job
Santee dada umenipeleka uswahilini xenon mombasa na mwambao wa pwani yote nikweli kabisa leyaze nyingi ndio utamu Wa cheapo .hafadhika ALLAH BE BLESSED
maashaalah.nimependa
Asante sana 😄
Asante nimefunza na nimeelewa vizuri
Asante, umenifurahisha sana 😄
Asante kwa mpishi na mafunzo
Quarantine thanks you made me seek this page of how to make chapati. Kesho am buying chapti pan
Asante sana nimezipenda na nimependa unavyojishusha kwamba wewe sio expart bado unajinza safi sana
Asante sana 👌🏽😀
Upo vizuri chapati zinapendeza sana hongera nimi pia nitajitahdi napenda sana mapishi
Nimefurahishwa na upishi wako. Chapati nyororo sana
Asante sana kwa ilo nilikua nimetaka kujua jinsi ya kupik capati leo najifunza kbsa thx so much from burundi
Nashkuru sana ❤️
mnzuri sana napenda chpt
Very nice I like it
Asante kwa video hii. Nimependezwa nayo sana
Asante sana, na shkuru sana 😄
This is good way of preparing chapati I like it..Good job.
Thank you 😄
Thanks so kind..my first time will try in my kitchen
Dada etu chapati zako Safi sana tunaomba mapishi zaidi
Thanks... Very nice
Thank you 😄
uko vizuri
Shukran mungu akuhifadhi
Asante sana nimependa mapishi yako
Asante sana 😄
daah hongera dada
Mashalla nzuri Sana
Maashaallah. Nimejifunza
Asanteni sana @Hajra Mohamed na @Dogo mwapea ❤️
Asante sana cct
Hongrra pishi la chapati nimelipenda hakika nimejifunza.
Ongea kwa kupika vizuli nimejifunza
Maji moto au baridi
Maji ya baridi yana faa
asante nimejifunza kupika chapati laini
Asantee sister ..tunaomba na mapishi ya donuts
Asante. I did this and for the first time I had great chapatis.
So good to hear 😀
I’ve paused with the video making for a little while as my life is super busy right now, but I hope you’ve subscribe so you don’t miss out on the many ideas and creative/easier ways of cooking that I’d eventually love to share with you.
Happy cooking and munching!
My dear ahsante sana kwa mapishi kwakweli siku hizi mpaka napenda kuzipika chapati baada ya kunifunza bila kukanda unga zamani nilikuwa nakanda mpaka basi na chapati bado ngumu daaah siku ya kwanza tu siku ya pili huwezi kuila😊 but now zimekaa siku tano na bado laini nashukuru sana Habbibt
Hapo cha kuongezea mie baada ya kuuwacha unga nusu saa nikashakunja madonge yangu kama ulivyoelekeza nikimaliza sichomi muda huo huo yani nawacha tena madonge yangu kwa muda wa nusu saa tena then ndio nachoma
M/Mungu akubariq akupe uhai na afya Tele ili uzidi kutupa mbinu nyingine rahisi rahisi kama hivyo
Jamani Zenna nimefurahi saaaaana kusoma comment yako 😄. Yani nimefurahi kwamba nime affect maisha yako kama hivi, in such a positive way. Yani ume acha kazi zako kurudi hapa kunipa asante. Ndio hivyo nilivotaka, nilivo discover hii njia, nikasema ni lazima ni shea na kila mtu.
Na wewe pia asante kuniambia ile step nyengine baada yaku kunja. Hiyo yani of course chapati zita zidi kuwa laini.
Amina kwa dua zaku na nashkuru sana na asante tena! 🙏🏽😄
@@SwahiliSpicE kiukweli chapati ndio kitafunwa cha kwanza ninachokipenda lakini ndio hivyo zilikuwa zinanishinda kupika ili ziwe nzuri na laini but now Alhamdulillah tangu nisubscribe😚 nikafuata maelekezo ulivyoelezea nikipika so mwaaaa
Kila nikizipika chapati kiukweli nakushukuru sana
I wish unione vile nafurahi kupika kitu nikipendacho yani najidai mpaka basi😍
Umenichekesa ulivyosema vile unajidai mpaka basi 😂
Nimefurahi sana tena leo. Endelea hivo hivo Zenna. I’m sure chapati zako tamu kama nini 😊 Insha’llah siku moja nitapata kuonja 🙏🏽❤️😄
@@SwahiliSpicE in shaa Allah Allah atukutanishe salama utaonja then utakula kabisa
Asante dada yangu maji uliyekadia niyabaridi
Thanks for sharing
Asante kwa mafunzo yako mazur
Ahsante kwa mafunzo dada
Wonderful Chapatis
thank you
Ahsante sn my dear nimeongeza maujuzi
Shukran 😄
I like your cooking
napend kujifynz
Thanks so much!
unazingatia usafi Jikoni Bigger up mwanadada...
Asante sana 😄
Asante
Very clean
I love your video and the different techniques you've shown. I look forward to more videos from you. Nina furahia ninapo tazama wana East Africa wakijitokezea kwenye TH-cam,hongera dadangu na Mola akubariki.
Nafurahi sana dada nimeendezwa sana na nitajaribu
Asante sana, nimefurahi kusikia hivo 😄
Asante sana. somo zuri na rahisi kwa kuangalia. Samli nyingi sana hasa kwa wenye miili mikubwa
Asante sana 😄 Nime elewa unacho sema kuhusa samli
Nimependa mapishi yako dada...Hongera sana.
Ila kuna kitu sijaelewa,mafuta ya samli ndo mafta gani??msaada tafadhali
Belinda Steve mafuta ya ng’ombe
@@samirabryson4057 ahsante jamn...uuwiii nlikuwa cjui☺☺☺
Asante Belinda Steve 😄 mafuta yanaitwa ghee kwa kihindi. Wahindi wanakua wana tumia sana katika mapishi yao
Ni mafuta yanayotakana na maziwa..kama ukiona mtu anandaa maziwa kuwa mtindi juu yake hukaa samli.....sasa kitaam huitwa ghee.....
nimepanda sana lov
Asante sana 😄
Mashaa Allah 👌😋
Asante 😄
Thank you ❤
Thanks you! Appreciate your support ❤️
Nitajaribu kupika chapati. Nimeona hii video
Nimejifunza
Asante Hawa 😄
Nimelipenda Sana naenda pika leo
Uta enjoy basi kupika na kula 😄
Yammi yammi. Hhm...masha allah
Marshaallah iko sawa,bt wakati wa kucho,wacha chapati iive pande zote mbali,ndio uweke samli itaingia samli kidogo na zitaiva vizuru, hiyo stail ya kukuja iko sawa marshaallah.
Great video! I am still learning Kiswahili and your video is a great way to learn how to cook and pick up new words!
Excellent! I didn’t know my videos could be useful in that way 😀 Thank you so much for your kind words ❤️
@@SwahiliSpicE mimi nimependa na pia nitajaribu kupika nikipatia tu vizuri nitakujulisha ,ila kwa kweli hongera maana nimejifunza kitu .
Maashaallah
Hodari wa mapishi mtoto,uko nchi gani? Waitwa nani?
Very good
Asante sana kwa mafunzo yako ya chapati, watu wengi bado hawaja jua jinsi ya kupika chapati. its very simple
Shukran sana 😄
amazing one. thank you
Samli ya kukunjia nyingi sana!!!
Ndo mi navopenda. Unaweza kuendelea unavopika wewe, lakini maana yake hii video ni kuonyesha jnsi yakupika chapati bila ya ku kanda unga.
Halafu zile zetu za kawaida ni nzur zaid
Chapatizako nilainikweli lakini zinamathara unatumiya samli nyigi samli nimbaya kwenye mwili nenda tanga akufundiche kupika chapati
MashaAllah nimeipenda mapishi yako..very simple kwanza ya vitumbua
Asante hun 😄
Nimependa mapishi yako ya chapati njia nyepesi sana
Nimependa mapishi yako ya chapati njia nyepesi sana
Asante sana @Sophia M
Zinaonekana ni tamu sana
Sisi tulizoea kutafuna mihogo mibichi na viazi vibichi Leo nitakula Chapati laini ubarikiwe sana dada
Mashallah
Thank you!
Mashaallah Dada nimependa Leo na mm napika leo
Asante sana 😄
Unanitamanisha, sijui na mimi nipike leo 😋
Hawa Malebo mmm
Asante dada
debora meshack Asante sana
nzuri
Asante 😄
wow v nice 💕💕
Nice😊
Very nice
Ningependa kuona uso wako
Asante kwa mafunzo🙏🏼
Asante kwa video. I do like Swahili chapati and pilau coast people know how to cook. I’will share your video with my family.
Thank you for your lovely comments and for sharing if you’ve already done so 😄
Okay mradi kama anamcare i mean kumpay attention akiwa nae
nimependa ulivo same unajifundisha keep it up dearling 😘
😊