Nyie mnaowaponda ni wapumbavu'tatizo wabongo akili zao ni negative'siku wakifika hatua ya kina masanja na joti ndo mtaelewa:usitake MTU afanikiwe kwa style yako:kila MTU atatoka kwa njia yake
Kwanza najiuliza kwanini urusha isijitegemee mwenyewe wawe naraisi wao maana wako tofauti sana kwakila kitu kuanzia mavazi kiswahili chao vyakula vyoo mpaka meno yao tofauti nawa Tanzania wengine hahahaha bigap kwao
KACHERO SIMBA nyie ndio wajinga mnaotaka kuleta mpasuko wa hii nchi wajitenge kwa kipi hasa kwa hizo bange wanazovuta au kwaiyo unataka kuniambia arusha nzima vaa yao ni hyo basi na watu watanga waende mombasa kwasababu ya kuongea kwao
Sio kweli kabisa,sidhani kama sehemu machalii wana ajira kama chuga na moshi usiwaone hivo ukahisi ni kazi hawana hiyo ni lifestyle ya machalii kama wote.tuna milima huku so tuna wagumu tuna hifadhi huku so tuna matent crue nakadhalika hii ni chugamaica lifestyles
Kama umekuja hapa kuangalia vitu vya kawaida umepotea njia. Elimu ya darasani haitumiki huku, so angalia sana usiandike comment halafu ukaonekana umepungukiwa akili na hujui kusoma alama za nyakati. Hapa ni mwendo wa ku-like. Desturenga 💪
MNAOTUKANA MNAKOSEA, WOTE TUKIWA SERIOUS NANI WATATUBURUDISHA KWA KUTUTOA STRESS
duuuh cha arusha ni no 1_dunia nzima
Baada ya miaka 10 Arusha Watakuwa Wameanzisha Lugha Yao Ya Ziad kwenye Kiswahil
itaitwa chuga language
Kwakwel
Kumi mbali mwakakani tu apo
Mbona tayari
Nyie ndo mnaofanya serikali ikataze bangi. Pumbafu sana.
Mmetisha
kuna vitu vingi sana vizuri vya kupewa airplay,nashangaa sana milard ayo tv unatuonyesha upuuzi ambao hauna mantiki yeyote..
RC Arusha ana kazi kubwa...aongezewe mshahara tu😂
Teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe
Yan huwa wananichekeshaga San hawa jaman kwer bangi sio chakura
Kwer nimeamini cha arusha sio chai 😂😂😂!!!!
Haaahaaa haaahaaa pg cha nyoroo
yani acha tu ni taabu
Yusuf Katakiu 😂😂😂😂😂🔥
@@maryseriah157 hi
@@emmanuelpaul24 kwaiyo ujaelewa kabisa
sasa kizazi cha tatu cha hawa wavuta bangi kwa baadae kitakuaje ?
sema meena anawapatia sana ....
Bangi ya alusha Kali sana
acha like yako twende sawa chuga dance
Ding la ding,hawa jamaa nawakubali sana,yaan wana Kiswahil fulan kzur kusikiliza
Nyie mnaowaponda ni wapumbavu'tatizo wabongo akili zao ni negative'siku wakifika hatua ya kina masanja na joti ndo mtaelewa:usitake MTU afanikiwe kwa style yako:kila MTU atatoka kwa njia yake
Bangi si mchicha kweli
Kuna lugha ya ziada inakuja kutoka Arusha saluti sana Arusha
Arusha nmekubal n nchi nyingne
Yn wa wa arusha so wa nchi ii kbs tz atuna machiz km ii bangi izoooo
yan chugga mhhh noma sana
Nikiwa marekani hapa nawa zoom wanangu nikifika Tz nitawatafuta tuje tuboreshe zaidi
Daaa ngoma Lina Busta likipaki Linabonyea
nmecheka mpaka nikalia
Makorongohc Chemba hahahahaha
ningekua na uwezo ngetawanya watu wa arusha songea, lindi ntwara na zanzibar afu arusha napeleka wamakonde😂
Hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha hahahahhahaha ndan ntiti nje ntiti au sio
Du Kwel Arusha nomaa hawajamaa Da kha
Lazima hii bangi ya hawa jamaa ndio original
Mungu usaidie kizazi chetu
Bangi tuu
I think this is too much.. Rchuga people we're crazy but this craziest is going overbroad akiii
Chugamaica nyumban.... Wamikoan karibuni..'
Dah kwel bangi sio mbog jmn yan r.chuga wanazd kubokoka
Mi ndo engineer complete from no where🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
😂😂😂 gonga like kama umeskia,,,,,ongea na injiniA
fala san
Hichi kitu kitakuwa cha ngaramtoni kule forest
Kama umeikubali miwani ya driver gonga like tusepee... Imeishaaaa
Maujinga tu yamejaa japo
hawa ni wakulima wa bangi
Jane Sway 😁😂😀😀😀😀 kweli wendawazimu wako wengi
Kama umesikia neno "desturenga" gonga like
Ndinga hii baraaaah!!!Nakubar chugaaaaaaaah👊👊💪💪
"Et iyo ni renzi yakupimia masnich"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Orkokola maganja kali ndio iyo
wanaviswahili vya kihun ata wa dsm wanasubiri...washapinda!
salut kwa chuga
Kama umesika neno desturenga. Gonga like hapa twende sawa
Ni noma xana chuga ni shida.
Millard ...wapi unakwama ? Unategemea dunia inajifunza nn kutoka Tz? acha kurusha vitu visivyo na maana
Hii imezidi sasa, media mnawatia ujinga pia hawa machalii
Enyewe Olmochuga ni taabu
Acha izo babulay
@@hawasamu2813
Ni kweli kabisa,mi nawakubali sana hawa majamaa wana kitu unique, Wanafanya vitu vya kiduwanzi
🤣🤣😂 kwamba inaendeshwa na mtu mmoko, wanatafuta matilio ya ndege ya chini engenear yupo
A.town ni shida
Kalii
Alafu wako serious jmn hawacheki🤣🤣🤣🤣🤣
Tundu risu
Kwanza najiuliza kwanini urusha isijitegemee mwenyewe wawe naraisi wao maana wako tofauti sana kwakila kitu kuanzia mavazi kiswahili chao vyakula vyoo mpaka meno yao tofauti nawa Tanzania wengine hahahaha bigap kwao
KACHERO SIMBA nyie ndio wajinga mnaotaka kuleta mpasuko wa hii nchi wajitenge kwa kipi hasa kwa hizo bange wanazovuta au kwaiyo unataka kuniambia arusha nzima vaa yao ni hyo basi na watu watanga waende mombasa kwasababu ya kuongea kwao
Arusha ni yechu hatunaga ubishoo
Hahhahahahahhahah aya bhnaaa tutakaaa kamatii kujadili hiloo
Hahah hata meno
Nikweli hahahaaaaa tunapambana ya hela yoteeee
Chaa arusha nomaaa
Bang mbaya sanaaaa
Hawa awanunuwi bangi ila wanailima weyewe 😔😔
Watu wa arusha wanazidisha usela mpaka wanakuwa machizi sa ndo nini
Bangi siyo rafiki kwa maendeleo ya vijana wetu
duuu hizi ngoma pasua kichwaaa...
bangi hain adabu
Bangi sio nzury
umeona ee
Arusha ni kama tunapatwa na aibu kubwa sana kwa ujana huu. Mungu tusaidie.
Daaaah...kweli bhangi haina urafiki na akili ya binadamu..!!!
Kama umesikia neno dingi la dingi la kuwadekea hao mambanga tanning'o Ar chuga,basi like za kutosha kwangu
Hawa wa2 wa Arusha wakapimwe akilll
Kama umesikia hiyo ndinga inavuka mpaka border gonga like
Ally!!!
Wonderful
kweli inawalipa mnavuta bangi kwa masrahi ona sasa imewatuma kutengeneza gari lenu wenyewe ongezeni juhudi ipo siku itawatuma kutengeza ndege
Hawa ndo wanafany ganj ikatazwe daaah
Hivi Arusha vijana wote ndo wapo kama hawa?
Kwa nini tusiwatenge hawa wawe na nchi yao maana wana akili za peke yao tofauti na mikoa mingine yote.
Enock Madati wew sas unatak tutengwe ili iweje
Ukitaka kututengaa we tutenge tu dingiii maan xikumanyi kac babalabab
@@allymohamedi991 aisee mnatakiwa muwe na nchi yenu muiite Chugaland😅
Wanajua sana sema bongo ha2sapotian unafik mwing
Hii gar au ndege
Uyo anaeuliza mtangazaji anae wahoji,, mfukuzeni tu kazi mana anahoji ka katoka kulala,,,, kaboa ile mbaya
Kuwahoji wavuta bangi haihitaji nguvu sana. So yupo sawa
Hizo kofia wanatoaga wap
Visherii vinaharibu machaliii aisee
Mnatisha bbk oooooiiiii nikwere kweche
Hahahaha daah,,kweli Arusha ina utofauti
Arusha oyyyy....imeisha iyo
Hatari sana
This is how "CHA ARUSHA" works
Kuna bangi nabangili hii ya Arusha msiwape vichwa vichaa tupu hao
Mtangazaji yuko vizuri lakini amepoa saana kuendesha interview na watu wa namna hii...jamaa amepoa sana anahoji kama vile yuko msibani.
Arusha msipeleke bhag jamani
Bangi ya Chuga ni 💥💥💥💥
Mnaturushia vitu vya kijinga ww mtangazaji waelimisheni hao ndgu zenu hiyo sio poa mnachangia kuharibu hicho kizazi hivi ww mtangazaji kwann hujafikiria
Hili ni tatizo la kukosa ajira😂
Mubofu thegreat nikweri hawana hajira
Sio kweli kabisa,sidhani kama sehemu machalii wana ajira kama chuga na moshi usiwaone hivo ukahisi ni kazi hawana hiyo ni lifestyle ya machalii kama wote.tuna milima huku so tuna wagumu tuna hifadhi huku so tuna matent crue nakadhalika hii ni chugamaica lifestyles
😀😀😀😀😀😀😀
Ushuzi
Usela mavi
Kizazi kisichobuni mambo yenye tija kama vijana.
Waandishi wa habari bhn.. Kwhiyo hamkuona habari za kutuletea mbaka mnatuletea izo bange mnatumalizia mb zetu
ujue Akili za Media. ni zakijinga
Bangi + Mirungi + K-VANT! Ikipoozewa na NDIZI ZA KUROSTI na KITIMWENGA!
Hawa wandishi wa habari wengine kweli wanazingua realy anaulizia gari kuna gari hapo
Akili nyeeeeee kabisaaa
Hivi hizo ni bange au?
😎😎bangi ya chugaa mbaya woii
Wavuta bangi hao
Kijiti cha Olmotonyi kinafanya kazi kinyama
Kama umekuja hapa kuangalia vitu vya kawaida umepotea njia. Elimu ya darasani haitumiki huku, so angalia sana usiandike comment halafu ukaonekana umepungukiwa akili na hujui kusoma alama za nyakati. Hapa ni mwendo wa ku-like. Desturenga 💪
Nimecheka mpanka nimejamba
Vijana wa Arusha wanafurahisha sana wako happy kwa vitu vya ajabuajabu vinavyowatoa stress za maisha.
Dah it’s so painfull aisee
Nawakubali wanangu Chuga moja
Hiyo ndyo comedy ya chuga chugani hana kuderefea
Kweli ya chuga haimuachi mtu salama
Bangi bangi bangi
sanawari moko👑