#mahubiri

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 พ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 113

  • @christinamafuru4784

    Mungu akubariki nilipoteza tumaini lakini kupitia mahibiri hayo Mungu amenipa tumaini jipya l

  • @Joy-mm1ut

    Amina mungu azidi kukutumia nimekwesha kufungulia na magonjwa yamepona yesu atukuzwe

  • @eliyakatembo416

    Amen..nimebarikiwa sana ..pr. Bwana akubariki

  • @lucykihara4638
    @lucykihara4638 วันที่ผ่านมา

    Shalom nimebarikiwa sana kwa maombi haya.najua kuna mabadiliko kwa familia yetu.amina

  • @reginaburetta2304

    Namwombea rafiki yangu Mungu akampatie mbaraka wa watoto

  • @bahatiobambo

    Nimesikiliza somo hili baada ya mwezi sasa toka somo limetolewa lakini kwa Imani MUNGU Ametenda.....nmefunguliwa Ahsante MUNGU.

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx วันที่ผ่านมา

    🤲🙏,Naamini kupitia mahubiri haya wanangu watakombolewa ...

  • @masterking534

    Kweli Mungu ni mwema nime barikwa sana kwenye iki kipindi

  • @makabwakabichi2321
    @makabwakabichi2321 วันที่ผ่านมา

    Amina nazidi kubarkiwa na kufunguliwa na nafeel aman rohoni mwangu🙏🙏

  • @ElibarickAllex

    libarikiwe jina la yesu, nimependa mafundisho haya

  • @zenasmjema4050

    Kwa Mungu Kila jambo linawezekana naomba maombi ya kuombea familia yangu naomba nipate amani ya moyo na niwe mtu wa kusamehe.kuwaombea wazazi wangu na mkwe wangu wapate kumjua Mungu na kumtumainia.maombi ya biashara yangu ipate wateja zaidi .

  • @anastaziatemba5490
    @anastaziatemba5490 14 วันที่ผ่านมา

    Nimebarikwa sana nimeipona ugonwà wa mwili nanilishakata tamaa mana sikuwa naweza kuomba tena.natamani nipate Musa wakuongea nawe kama utapata kibali kwa mungu

  • @AndrewChirisant

    ombi langu naomba mungu amupe mwanangu mudogo afia njema

  • @Joycependopendo-dv2tb

    Mungu akubariki pastor Kwa somo hili hakika mungu akuzidishiee hekima Na kibali kikumbwa

  • @MichaelDisanto-zq6fk

    Nimepona kwa jina la Yesu Amen

  • @raelmsafiri

    Ombea mdogo wangu anugua kisukari na ana kidonda kikubwa sana

  • @johnchacha4888

    Ahsante Yesu kwa uponyaji

  • @dafrosasunguya7833

    Namuombea mwanangu Arnold,Mungu jifunue Arnold akapokee Ajira ya kudumu kutoka kwako Bwana Yesu Kristo

  • @kadzocharosilver411
    @kadzocharosilver411 14 วันที่ผ่านมา

    Mungu niombeje kiusahihi

  • @elishafelesiano

    Pastor hakika Mungu amekuleta Kwa wakati wake nabarikiwa sana kwa neno lako uchumi wangu umefunguliwa shauku yangu ni kujitegemea kiuçhumi yaani kujajili nikitengenezewa njama kazini lakini kupitia neno hili unalofundisha nimekula nikiliamini nakwambia pastor aliyetaka kunifukuza kazi yeye ndiye amepewa barua ya onyo ya kufukuzwa kazi namshkuru sana Mungu