Jambo muchungaji kumbe mwaka huu ume ahirisha Ku ende inje ya inchi tulikuwa nakusubiri kwa hamu Congo tuna barikiwa sana na mahubiri Mungu azidi kukuzidishia hekima na maarifa
Ameeeen nimebarikiwa na mahubiri haya Mungu akubariki sana mtumishi🙏🙏🙏 tangu Mungu alipo nikutanisha na channel hii nikakufahamu nimejifunza mambo mengi sana pia imani yangu inazidi kuongezeka Mungu akubariki sana na azidi kukutunza Ameeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
BWANA YESU ASIFIWE, KWANI TUKO PAMOJA, NDUGU WENU MKENYA BALI NIKO INJE YA NCHI NAOMBA NUMBER INAYOYUMIA M-PESA, HATANAMIE MKONOWUNGU UFIKE KWA AJILI YA KUTUNZA WAGENI WETU 🙏🙏
Ni Hyline kutoka Kenya mungu amenitoa Kwa stress kupitia mtumishi barikiwa Sana na familia yako David.
Jambo muchungaji kumbe mwaka huu ume ahirisha Ku ende inje ya inchi tulikuwa nakusubiri kwa hamu Congo tuna barikiwa sana na mahubiri Mungu azidi kukuzidishia hekima na maarifa
Amen, Asante Sana nabarikiwa na Mahubiri TV❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Napenda mafundisho yako mtumishi nabarikiwa nikiwa 🇰🇪
Pastor Mmbaga lini unakuja Bukoba? Mungu akubaliki kwa mahubiri Yako mazuri tangu nimeanza kukusikiliza nimebarikiwa sana
Mtumishi wa Mungu uhishi milele kwamaana nimebarikiwa n'a ninaamini kabisa Yesu amanitosha katika haliya kuzarauliwa kwakikakitu👏👏👏👏👏🙏🙏🙏
Kwakila kitu
Amen. Mungu akuongese nguvu
Naiweivyo, Mungu wetu atukuzwe milele Mchungaji ni kweli uchoyo austahili kwa wana wa Mungu.
Asante Yesu tenda yaliyoyako kwetu kwautukufu wako amen
Nimebarikiwa na mahubiri mchungaji, Mungu akupe zaidi maarifa haya ili yatufae
Ameen
Amen... Amen🙏🏼🙏🏼. Asante sana Mchungaji kwa mahubiri haya, nimesha barikiwa kiroho pia kimwili. Mungu akubariki sana.
Ameeeen nimebarikiwa na mahubiri haya Mungu akubariki sana mtumishi🙏🙏🙏 tangu Mungu alipo nikutanisha na channel hii nikakufahamu nimejifunza mambo mengi sana pia imani yangu inazidi kuongezeka Mungu akubariki sana na azidi kukutunza Ameeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nipee imani,,,,,,bwana nipeee uvumilifu
Nakuombea Mungu aendelee kukutumia Pastor Mmbaga . Balikiwa sana na familia yako.
Amen
Amen Amen mjungaji mafuzo yako yanabadirisha maisha yetu growly to JESUS
Ubariikiwe sana mtumishi
Ubarikiwe mtumishi hii ni kweli kabisa
Ameen mungu akutie nguvu pastor.... Umenijenga kiroho zaidi
Bwana YESU asifiwe mtumishi wa Mungu, naitwa Aziza Shaban nilikuwa naomba nami nishiriki baraka hizo, Kwa chochote nitakachokipata, nipo nje ya nchi.
Mungu akubariki
Namba naipataje?
Barikiwa.sana.pastor
Karibu tunduma tunakusubiri Kwa hamu
Mungu atukuzwe kwa mambo makuu
Que Dieu te bénisse mon pasteur préfère nous t'aimons beaucoup
amen
Mungu akubariki Sana Mchungaji, Somo la Leo limeniongezea Imani. Ninazidi kumjifunza Mungu Mkuu wa Mbinguni.
MUNGU AKUTUNZE NA FAMILIA YAKO
Nataman na mm kuchangia katika huo mkutano Pastor.
Mungu apewe sifa mikutano hiyo ya nchili.
Ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana pr David nasonga mbele kwa imani.
MUNG akulinde siku zote asantee kwa kuwa MUNG anakutumia vema
Amen
Amina mungu akubariki PR
Mchungaji naomba maombi Yako Nina mama mkwe wangu anamatatizo ya mapepo miaka ishirini Sasa msaada WA maombi
Mungu amguse awe huru
Such a blessing
Shukurani Mingu nimebarikiwa sana
Amina kubwa pasta
Nabarikiwa
Amen🙏
Amina🙏💯🤝
Naomba namba ya sadaka mutumishi
Amen bwana
BWANA YESU ASIFIWE, KWANI TUKO PAMOJA, NDUGU WENU MKENYA BALI NIKO INJE YA NCHI NAOMBA NUMBER INAYOYUMIA M-PESA, HATANAMIE MKONOWUNGU UFIKE KWA AJILI YA KUTUNZA WAGENI WETU 🙏🙏
Is the yr supposed to be 2023 or 2024??
Waebrania 13,1
Tarehe hapo juu imekosewa twendeni tuwaambie watu juu ya Kristo maana anakuja soon haua mambo si ya kawaida
Naomba kushiriki baraka hiyo naomba msaada wa no ya kutuma
Muchungaji niombeye kwamana nimesumbuka naimaniyangu inadidimiya
Mungu akutendeee
Mchungaji hakika wewe umeinuliwa ili utuokoe wengine
paster tunataka kuchangia kwa simu tulio mbali tupe utaratibu
pastor can I get your number plz..,kuna vitu zinansmbua wallah
Amen