MCHAWI NDUGU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 443

  • @ezekielmtega8960
    @ezekielmtega8960 ปีที่แล้ว +20

    Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 ปีที่แล้ว +61

    Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 ปีที่แล้ว +41

    Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @Christopher-xj5fz
    @Christopher-xj5fz ปีที่แล้ว +109

    Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏

  • @Tnjosph25PT
    @Tnjosph25PT ปีที่แล้ว +16

    Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 ปีที่แล้ว +2

      Haswaaa 😊

    • @Tnjosph25PT
      @Tnjosph25PT ปีที่แล้ว +1

      @@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 ปีที่แล้ว +2

      @@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 ปีที่แล้ว +8

    Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥

  • @ShabaniKwizera
    @ShabaniKwizera 6 หลายเดือนก่อน +3

    🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 ปีที่แล้ว +11

    Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama

  • @azizahmwimbe8548
    @azizahmwimbe8548 ปีที่แล้ว +42

    😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo

  • @championtop2
    @championtop2 ปีที่แล้ว +33

    On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!

  • @mtakabiruyassin
    @mtakabiruyassin ปีที่แล้ว +14

    Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥

  • @dennismazanda7226
    @dennismazanda7226 ปีที่แล้ว +1

    Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako

  • @swalehthefinest
    @swalehthefinest ปีที่แล้ว +26

    Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi

  • @tariqhassan1385
    @tariqhassan1385 ปีที่แล้ว +28

    Mtoto: Baba naenda wapi
    Mzazi: Nenda kajiuze
    😂😂😂😂😂😂

  • @omaryphua191
    @omaryphua191 ปีที่แล้ว +7

    Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro

  • @ZainaMuhunzi
    @ZainaMuhunzi 2 หลายเดือนก่อน +3

    Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂

  • @mosesmaiga7408
    @mosesmaiga7408 ปีที่แล้ว +19

    Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe

    • @franknangonga9166
      @franknangonga9166 ปีที่แล้ว

      Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi

    • @Tunu-p6i
      @Tunu-p6i 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@franknangonga9166usiogope dear ni funzt t

  • @abrahamsuppy6041
    @abrahamsuppy6041 ปีที่แล้ว +7

    Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉

  • @ignatusmponji3609
    @ignatusmponji3609 ปีที่แล้ว +20

    Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂

  • @jassonkagaruki964
    @jassonkagaruki964 ปีที่แล้ว +10

    Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 ปีที่แล้ว +1

    Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️

  • @salomeblack0
    @salomeblack0 ปีที่แล้ว +83

    Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 ปีที่แล้ว

    Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 ปีที่แล้ว +10

    Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣

  • @Babuumuvea
    @Babuumuvea ปีที่แล้ว +2

    Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly ปีที่แล้ว +5

    😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua

  • @yumbujackson869
    @yumbujackson869 ปีที่แล้ว +1

    Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai

  • @alphamwanamtulekenya5390
    @alphamwanamtulekenya5390 ปีที่แล้ว

    Inamafunzo mno love from KENYA 254

  • @kulwanzobe7657
    @kulwanzobe7657 ปีที่แล้ว +6

    Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 ปีที่แล้ว +14

    You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!

  • @ZainaMuhunzi
    @ZainaMuhunzi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 ปีที่แล้ว +13

    Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 ปีที่แล้ว +5

    Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti

  • @michaelclement8335
    @michaelclement8335 ปีที่แล้ว +3

    😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia

  • @officialmsigwa5069
    @officialmsigwa5069 ปีที่แล้ว +9

    Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 ปีที่แล้ว +13

    Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki

  • @deakins.z7793t
    @deakins.z7793t ปีที่แล้ว +44

    This man is a legendary since 2014

  • @ndutu6564
    @ndutu6564 ปีที่แล้ว

    Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏

  • @agustinemsambila2501
    @agustinemsambila2501 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kazi nzuri

  • @alikaru6916
    @alikaru6916 ปีที่แล้ว +1

    Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂

  • @mcbartonkesh3664
    @mcbartonkesh3664 ปีที่แล้ว +3

    Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka

  • @rich_wasparner9233
    @rich_wasparner9233 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh ปีที่แล้ว +1

    Hii ndo ile professor jay alisema;
    "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
    ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣

  • @richlaterjunior384
    @richlaterjunior384 ปีที่แล้ว

    Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃

  • @iddybakery5209
    @iddybakery5209 ปีที่แล้ว +4

    Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁

  • @samsonilengteng-oc4hp
    @samsonilengteng-oc4hp ปีที่แล้ว +5

    Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 ปีที่แล้ว +2

    jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 ปีที่แล้ว

    Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana

  • @lwamseletiyonas5232
    @lwamseletiyonas5232 ปีที่แล้ว +2

    Eti nina shamba la bangi😂😂😂

  • @mauasuleysh1404
    @mauasuleysh1404 ปีที่แล้ว +5

    A big lesson walah😢 congratulation joti

  • @kararaera8161
    @kararaera8161 ปีที่แล้ว +1

    Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃

  • @erickmagnus4945
    @erickmagnus4945 ปีที่แล้ว

    Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂

  • @winnawiliamwinnawiliam8859
    @winnawiliamwinnawiliam8859 ปีที่แล้ว +1

    ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @AsmaAsma-gd3mv
    @AsmaAsma-gd3mv ปีที่แล้ว

    Bora hiyo naitaka pepo

  • @NotgeraChipeta
    @NotgeraChipeta ปีที่แล้ว

    Iko vizuri meamba

  • @sammushi1512
    @sammushi1512 ปีที่แล้ว

    😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San

  • @Mr_destiny
    @Mr_destiny ปีที่แล้ว

    Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana

  • @VeroMfambo
    @VeroMfambo ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri kaka❤❤❤

  • @kassimmubba2736
    @kassimmubba2736 ปีที่แล้ว

    Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 ปีที่แล้ว +1

    "Ana roho ngumu kama Paka"
    ....sumu ya panya....sumu ya mamba"
    Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 ปีที่แล้ว

    Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅

  • @bboymelvo5494
    @bboymelvo5494 ปีที่แล้ว

    Hii ya babu inafunza sana safii kabisa

  • @numohd
    @numohd ปีที่แล้ว +1

    Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj ปีที่แล้ว

    Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢

  • @PeterUrio-yg3ih
    @PeterUrio-yg3ih ปีที่แล้ว

    Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.

  • @LuckyProsper-sc4si
    @LuckyProsper-sc4si ปีที่แล้ว

    Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅

  • @NeemaMgeja-pr1hr
    @NeemaMgeja-pr1hr ปีที่แล้ว

    Mlewa tumpee mauwa yakee like kwakeee ndo mkongwe wa joti tv

  • @sebandaki8795
    @sebandaki8795 ปีที่แล้ว +1

    Bonge ya content big up jot am so proud of you

  • @Fatma-to6rq
    @Fatma-to6rq 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja

  • @kamanyile
    @kamanyile ปีที่แล้ว +3

    Leo wa kwanza like zangu kama zote

    • @Burner_Acc
      @Burner_Acc ปีที่แล้ว +1

      Unakula likes kenge wewe

  • @abuyassrissacharque-rc2vl
    @abuyassrissacharque-rc2vl ปีที่แล้ว +1

    kweli imenikuta kwenhe familia yangu

  • @rubsonheritier5940
    @rubsonheritier5940 ปีที่แล้ว +2

    😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa

  • @milungaapeshijerome
    @milungaapeshijerome ปีที่แล้ว

    Daaah amakweli mchawi pesa

  • @ibrahimsaid7032
    @ibrahimsaid7032 ปีที่แล้ว

    Nimependa hapo shamba la bange, halafu unawaambia serikali

  • @mokiwasaid-sg9gd
    @mokiwasaid-sg9gd ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti

  • @HunterJr-s7c
    @HunterJr-s7c 8 หลายเดือนก่อน

    daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo4338 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 ปีที่แล้ว

    Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣

  • @FredrickMajami
    @FredrickMajami ปีที่แล้ว

    Nakukubali sana

  • @eventstransportationservic9194
    @eventstransportationservic9194 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana

  • @deodatusmwacha719
    @deodatusmwacha719 ปีที่แล้ว

    Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani

  • @karimmtengai6159
    @karimmtengai6159 ปีที่แล้ว

    Umetisha sana kaka

  • @christonchristian7448
    @christonchristian7448 ปีที่แล้ว

    dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅

  • @2116-n
    @2116-n ปีที่แล้ว

    Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌

  • @elisantekaiza373
    @elisantekaiza373 ปีที่แล้ว

    Hii nzuri hata wakiangalia wataona aibuu

  • @HansCassian
    @HansCassian 2 หลายเดือนก่อน

    Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh

  • @jacksonlikunga5666
    @jacksonlikunga5666 ปีที่แล้ว

    Huyu mndamba wabiro yuko vzr

  • @kelvinetoo
    @kelvinetoo ปีที่แล้ว +1

    Mlewa shenzi sana alijificha

  • @yasiniomary3495
    @yasiniomary3495 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mchawi Ndugu 🤣🤣🤣 jina lamarehem brother Hilo mchawi Ndugu 🤣

  • @winfredykahwili1513
    @winfredykahwili1513 ปีที่แล้ว

    😂😂joti ni kisanga

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv165 10 หลายเดือนก่อน

    Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣

  • @itsdavy_
    @itsdavy_ ปีที่แล้ว

    bingwa mmoja tu tz

  • @bekamansoor5990
    @bekamansoor5990 ปีที่แล้ว

    Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako. Big up guys

  • @ukhutymamuu7470
    @ukhutymamuu7470 ปีที่แล้ว

    Joti falaa sana etii we ndio msikiti😅😂😂😂😂😂😂

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 ปีที่แล้ว +1

    😅😅 chuma inaondoka hiyo

  • @officialmaasai4602
    @officialmaasai4602 ปีที่แล้ว

    Afande kawa chawa

  • @jecoog6086
    @jecoog6086 ปีที่แล้ว

    😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii

  • @asternjulius890
    @asternjulius890 ปีที่แล้ว

    Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo

  • @abdallahmshuza2548
    @abdallahmshuza2548 ปีที่แล้ว +1

    Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!

  • @rashidimrangi1953
    @rashidimrangi1953 ปีที่แล้ว +1

    JoTi akishut kama mzee namkubali sna