@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Hii ndo ile professor jay alisema; "Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge] ~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
"Ana roho ngumu kama Paka" ....sumu ya panya....sumu ya mamba" Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Kama umeona mgongwa anavomuoneshea doct dole gumba nipeni like zangu japo leo tu
Mchawi ni Ndugu yako imethibitishwa na Jot Leo 😂😂😂😂
Nipeni likes zangu first fun wa jotti Toka CONGO mashariki🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Haya mambo yapo kweny familia nyingi sana ,kama unaamin gonga like hapa👏
❤❤
Kweli kabisa mchawi ndugu nimekuelewa zaidi katika ujumbe huu kupitia igizo hili 👏
Haswaaa 😊
@@baimarrajahbuayan6237 ndo maana tunakumbushwa tafuta ila usisahau kuishi,ujipende ule vizuri ulale pazuri nk maana binadam tunabadilika mda na wakati wowote
@@Tnjosph25PT haswaa nimekubal. Udugu
Twende mbele turudi nyuma jot Ni comedian namba one anajua Sana 💥💥💥
🇧🇮💯nakupa Maua yako Joti wewe ni number one kwa comedy,tunakufatilia tukiwa Burundi💯🇧🇮
Joty Kama joty once again big up Sana 💪 woof kwishaaaaaàaaa mchawi ndugu I miguu ya nan kenge ama
😂😂
😂😂😂 dunia ya sasa imani imekwisha yaani hata kufa bado watu washaanza kugombeya mali kweli mchawi ndugu. Hongera sana joti mambo haya yapo
On behalf of of family, friends, ancestors I approve this video!
Joti wataiga wote lkn kwako wanagonga mwamba🔥🔥🔥
Haya mambo yapo sana tu hongera Kwa ujumbe mzuri Joti na team yako
Napenda hii character ya Babu ije mara nyingi
Mtoto: Baba naenda wapi
Mzazi: Nenda kajiuze
😂😂😂😂😂😂
Hii imeenda..Dah
Eti huyu cyo kenge the best comedian in East Africa love u bro
Vijicho vya mgonjwa mara paah marehemu kafufuka 😂😂😂😂😂
Kuna watu wanaona kama vichekesho lakini hayo mambo yanatia hasira mda mwingine unawaza bora usiowe
Mimi mpaka sasa nipo single naona tabu Mambo ndio kama hivi
@@franknangonga9166usiogope dear ni funzt t
Tufike millioni. Shabiki mkuu kutoka kenya🎉🎉🎉
Wale tupo kitandani kabla ya kwenda job tume muangalia babu tuendelee kujuana 😂😂
Congratulations Joti King 👑 comedian in Tanzania....huna baya kaka Umepoaaaa🇹🇿🤣🤣🤣🤣
Kweli nimeamini mchawi ndugu duuh joti noma sana respect kwa ubunifu🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Km unaamini joti ni chuma kwa Tz like hapa
Nimependa idia Yao,,joti hajawahi kubuni kitu kama icho,,,safi sana joti ,,hongera
Leo nimewahi eti kimenuka 😂😂😂wapenda mali za watu ndugu wabayaa🤣🤣🤣🤣
Nakukubali joti mapini yko sio yakitoto
😂😂😂😂😂😂siku zote mchawi hatoki mbali😂😂😂😂😂😂😂😂hukujua
Ahaa umetishaa 🎅 Sanaa Nishai
Inamafunzo mno love from KENYA 254
Mchawi siku zote huwa hatoki mbali ,kazi nzuri Sana joti
You never disappoint Mr Joti!!ove from Burundi!!
Chuma kinaondoka tayariiii😂😂😂😂
Hakika kweli mchawi NDUGU😢😂DAH
Good My Favourite Comedian Big Up Mr Joti
😅😅😅😅bora rafiki mmoja kuliko ndugu mia
Hata kuua mtu watu siku hizi wanasema Mkubwa Dunia hii tutafika tumechoka😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Msanii wa kwanza Tanzania kuwa na upendo mwingi wa mashabiki
This man is a legendary since 2014
Be for 2014
@@TungoZaMswahiliJk exactly 💯
Kwel kabisa muchwawi ni dam yko.. From 🙏🙏🙏
Kazi nzuri
Joti anajua sana ....Mpaka anakera....wazee wakyuba wanaelewa...😂😂😂
Wakati nipo Moshi kwenye gereji moja kuna gari moja ilikuja kumwaga oil na ndan ya gari kulikua kuna mzee anaumwa sana na alikua anaulizwa hati za majumba aliyonayo ziko api,niliumia sana😢,napia alikua amalazimishwa asain baazi ya nyaraka
Hongera Sana ubunifu wa Hali ya juu
Hii ndo ile professor jay alisema;
"Nashangaa wengi wenu mnafrahi kuniona hivi- Na eti kila mmoja anajiuliza mbna Sifi..." #[Msinitenge]
~Prof.jay 🙌🏾🤣🤣🤣
Daanh sema huyo sheikh miyeyusho kapanda kofia saba kichwani😃😃
Jot jot umenisababisha nimecheka hadi kamasi limenitoka mbele ya dem wang😁
😅😅😅😅
Babu joti umetisha sana 👏👏👏👏👏
jotiii 😂😂😂😂 umeupiga mwingi mpaka umemwagika ,, let us enjoy .
Babu ukoo mzima na mashemeji wanakuchukia babu utakuwa mkorofi sana
Eti nina shamba la bangi😂😂😂
A big lesson walah😢 congratulation joti
Joti ishi milele 🇷🇼😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃jamani munisaidie kucheka😃😃😃😃
Sema joti falaa sanaa kwahyo mwanetu ukakata roho chap tu😂
ety wanaume si wanajiuza nenda kajiuze🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
Bora hiyo naitaka pepo
Iko vizuri meamba
😂😂😂atakama n pesa sio kama ivyo dah binadam wa mungu saiv wabaya San
Hahhahahahhahaha hhaahhahahaa hahahahahahahahha hii nchi ngumu sana,,,mafundisho mazuri sana
Kazi nzuri kaka❤❤❤
Mnamkosea sana mkishindanisha na Kicheche wa Makalio Joti ni level nyingine na Anayofundisha Jamiiiiii.
"Ana roho ngumu kama Paka"
....sumu ya panya....sumu ya mamba"
Ukiwa na mali Siku zote walee watoto wako katika misingi Mizuri Sana Ili waweze Kunitunza na kuwatunza wao.......
Jot akili nyingi ndo tatizo😅😂😅😂😅
Hii ya babu inafunza sana safii kabisa
Nani kweli mchawi ndugu joti asema jamaa waona mali ni kama makalio kila mmoja anayo😂😂😂😂😂😂
Eti iziraeli kafika😅😅😅...eti roho inatoka.kweli mchawi ndugu😢
Ww ndiyo comedian wakwel Tz...brother.
Serikali serikaliiii 😂😂😂😂 my ribs😅😅
Mlewa tumpee mauwa yakee like kwakeee ndo mkongwe wa joti tv
Bonge ya content big up jot am so proud of you
😂😂😂😂😂joti eti kafa na yuwapiga jicho moja moja
Leo wa kwanza like zangu kama zote
Unakula likes kenge wewe
kweli imenikuta kwenhe familia yangu
😂😂 shamba la bangi kkkkkkkkkk i send my love from Kinshasa
😂😂
Daaah amakweli mchawi pesa
Nimependa hapo shamba la bange, halafu unawaambia serikali
😂😂😂😂 hapa uliposema wee sii ndio msikiti
daaah namuona shemeji yangu wa ushuzi wa ngedere
🤣🤣🤣🤣 ndugu kama hao bora ubadilishane na mbizi
Eti nenda kajiuze si wanaume hivi sasa wanajiuza.............🤣🤣🤣😂🤣
Nakukubali sana
Hahahahhaa piga rungu piga rungu hahaha...Joti hatari sana
Yaani asitokee hata mmoja wa kumpenda baba ake haiwezekani
Umetisha sana kaka
dr angekua kanyinyi angeua😅😅😅😅😅
Serikaliii eeee, sitaki kuwaona hawa😂😂🙌
Hii nzuri hata wakiangalia wataona aibuu
Wamevaa na nguo za msibani kabisa duuh
Huyu mndamba wabiro yuko vzr
Mlewa shenzi sana alijificha
Kweli mchawi Ndugu 🤣🤣🤣 jina lamarehem brother Hilo mchawi Ndugu 🤣
😂😂joti ni kisanga
Yani hata wanaongalia mgonjwa tayari washavaa nguo nyeusi za mazishi .....ubunifu mkubwa sana 🤣🤣
bingwa mmoja tu tz
Ama kweli kikulacho ki nguoni mwako. Big up guys
Joti falaa sana etii we ndio msikiti😅😂😂😂😂😂😂
😅😅 chuma inaondoka hiyo
Afande kawa chawa
😂xhamba la bange mulla unaitania serikalii
Hahaha joti mpuuzi et hey hey hey ndo anakata moto hivoo
Joti Joti Joti...nakuita mara tatu!
JoTi akishut kama mzee namkubali sna