KIBOKO YA SEMINARI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 624

  • @michaelmafuru5842
    @michaelmafuru5842 2 ปีที่แล้ว +211

    Aliyeona style aliyoingia nayo joti na masela wake wakati wanaingia kula bonyeza like kama umeikubali hiyo style 😀

  • @damarisonsabwa1293
    @damarisonsabwa1293 2 ปีที่แล้ว +18

    Always good work 🔥♥️

  • @papasiful
    @papasiful 2 ปีที่แล้ว +4

    I like your comedy joti am your number one fun # from Kenya

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 2 ปีที่แล้ว +85

    Nampenda sana uyu bibi kabuya anajua kuigiza sana 😂😂😂😂 alivyo wachamba ao wakaka

    • @michaelkinyaha4299
      @michaelkinyaha4299 2 ปีที่แล้ว +1

      Kuwachamba ndo kujua kuigiza

    • @nigamo9645
      @nigamo9645 2 ปีที่แล้ว +3

      Hata jua kali yupo vizuri hatar

    • @linahsemindu4261
      @linahsemindu4261 2 ปีที่แล้ว +3

      Bibi yupo kwenye muv y jua Kali hatar wamekutana n mwehu mwenzie yule Bibi 😆😆

    • @hamismahmood
      @hamismahmood 2 ปีที่แล้ว

      bi kabuya au bi kauye my dear

    • @uvuvweweonyetenyevwe1348
      @uvuvweweonyetenyevwe1348 2 ปีที่แล้ว +3

      Huyo ukitaka kumfaid akutune na kurya boy

  • @saidimussa8128
    @saidimussa8128 2 ปีที่แล้ว +14

    Ila kiukweli
    Huyu mama naye amecheza vzr mno !!
    🌹🌹🌹

  • @abdulshakurothman5719
    @abdulshakurothman5719 2 ปีที่แล้ว +4

    Yote kwa yote, wazee kwenye tasnia ya filam wanajua sana kuigiza tofaut sana vijana tulionao sasa hiv. Huyu bibi bn namkubali sana big up

  • @Mtituboy
    @Mtituboy 2 ปีที่แล้ว +14

    Huyo mama ni the best comedian ,,,joti don't loose that talent

    • @pmall8867
      @pmall8867 2 ปีที่แล้ว

      Hawa Wana Banda Hawa...Atakuw Ashib Kaka Ako😂😂😂

  • @izo07nyoni40
    @izo07nyoni40 2 ปีที่แล้ว +4

    Maza uKo vizuri kelele apnguze

  • @wardamarungu2478
    @wardamarungu2478 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyo mskhaji nimempendaaa buree msela wa nishai

  • @aggreymwaseba25
    @aggreymwaseba25 2 ปีที่แล้ว +3

    Much from uganda by wizzo

  • @rehemasimba5731
    @rehemasimba5731 2 ปีที่แล้ว +4

    Safii Sanaa jot hii imepitaa yotee imenifurahiishaa sanaa mwanzo mwishoo

  • @mbembefilms5379
    @mbembefilms5379 2 ปีที่แล้ว +3

    NAKUKARIBISHA KUFUATILIA TAMTHILIA (SERIES) MPYA KABISA IKIWA IMEJAA VISA NA MIKASA YA KUSISIMUA
    NAAMINI UTAJIFUNZA MENGI NA KUBURUDIKA PIA
    *DOSARI SERIES Episode 01*
    th-cam.com/video/WPRyZXYJPy8/w-d-xo.html

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 ปีที่แล้ว +17

    Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 2 ปีที่แล้ว +13

    Hhh kaongea mchina!!
    Love from Burundi 🇧🇮!! You make my day guys!!!

    • @findinglela
      @findinglela 2 ปีที่แล้ว

      Am curious. How much is internet bundle service in Burundi?

  • @finah791
    @finah791 2 ปีที่แล้ว +32

    Huyu mmama anaweza...kwenye juakali pia yupo😍😅

    • @noadiayae1035
      @noadiayae1035 2 ปีที่แล้ว

      Kumbe

    • @annamahenge5162
      @annamahenge5162 2 ปีที่แล้ว

      Siku ya kwanza nilicheka sana walivochambana na mama semeni😂😂

    • @merrysimon9587
      @merrysimon9587 2 ปีที่แล้ว

      Mama iddiiiii

  • @Seifbrown
    @Seifbrown 2 ปีที่แล้ว +2

    ❤❤❤best of the best ❤joti no stress 😅

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 ปีที่แล้ว +20

    Mama Iddi wa jua Kali! 😂😂😂 Mama anajua Sana huyu

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 ปีที่แล้ว +18

    Nimecheka kifala sana asubui hii😄😄😄😄😄😄make my day good 😃😃😃.

  • @sillaasiemapesa5306
    @sillaasiemapesa5306 2 ปีที่แล้ว +8

    Nawakubali joti TV mia Kwa mia

  • @eshahassan7682
    @eshahassan7682 2 ปีที่แล้ว +4

    Bi mkubwa anaweza masha Allah

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 2 ปีที่แล้ว +57

    Nishai utabadilisha wafanya kaz wote dunia nzima ila kamwe haitakuja kutokea Team Kipande,sopa,mlewa,kisnai,mama dame,Bleina,mjomba

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 2 ปีที่แล้ว

    Very Nice Mr Joti

  • @joshuantagala2872
    @joshuantagala2872 2 ปีที่แล้ว +8

    HUYU MAZA ANAKELELE SANA ANAZINGUA ANAONDOA UHALISIA KUNA VITU ANAFANYA HAVINA UHALISIA

    • @hamisimalaika9234
      @hamisimalaika9234 2 ปีที่แล้ว

      kwel ase

    • @magrethmbuma3045
      @magrethmbuma3045 2 ปีที่แล้ว

      Yes ni kweelii aache kupiga makelele yaanii anatumia nguvu nyingi duuuuh

  • @salumuhafidhimtabe
    @salumuhafidhimtabe 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaka mrudishe Sopa 🙌🙌🙌🙌

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 ปีที่แล้ว +31

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu mama ana moto hatari..

  • @ramadhanimadeni363
    @ramadhanimadeni363 2 ปีที่แล้ว +2

    noma sana mkali wetu seminali siopoa

  • @sarahmosessanga3195
    @sarahmosessanga3195 2 ปีที่แล้ว +13

    Nishai nomaa unawapenda mabest zako 😂🤣

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 2 ปีที่แล้ว +2

    Nishai unajua maana ya friendship 👌👌

  • @dr.mgungo1429
    @dr.mgungo1429 2 ปีที่แล้ว +1

    Sema huyu hawa wamama balaa wanajua kucheza scene zao 🔥🔥🔥

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 ปีที่แล้ว +10

    Sawa kweli Mimi ni mchungaji lkn pia mwenyewe pia ni mhuni kweli kweli 😄😄🙌🙌

  • @ruttaking6906
    @ruttaking6906 2 ปีที่แล้ว +2

    Saruti kwa mama 💯

  • @lydiacharles5966
    @lydiacharles5966 2 ปีที่แล้ว +19

    Huyu mama Yuko vizuri bhana yanakula kam majibwa😂😂😂😂🤣🤣🤣

  • @evancetilya167
    @evancetilya167 2 ปีที่แล้ว

    The best ever comedian

  • @razackhamis4375
    @razackhamis4375 2 ปีที่แล้ว

    Aaaahh kumeniner😃

  • @danilokamnya5433
    @danilokamnya5433 2 ปีที่แล้ว

    Dah nmecheka san

  • @davidtimotheo7988
    @davidtimotheo7988 2 ปีที่แล้ว

    Eh mama ni noma kweli hii ni kiboko ya seminali

  • @salimumwanyenza9010
    @salimumwanyenza9010 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani huyu mama anajua sana kuigiza.

  • @hermescash9463
    @hermescash9463 2 ปีที่แล้ว +10

    "Umeenda kumuita Nishai au Manishai" 😂😂😂 huyu mama Kibokoooo

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32 2 ปีที่แล้ว

    Hiii kali sana 😂😂😂😂

  • @k.o.n.g8925
    @k.o.n.g8925 2 ปีที่แล้ว +6

    Gym body is always looked down upon when you don't have money 🤦‍♂️.. Waswahili

  • @samwelshilungu4370
    @samwelshilungu4370 2 ปีที่แล้ว +31

    Huyu mama nimempendea kwenye jua Kali, amekuwa kiboko ya mama semeni.

    • @faustadonasian2777
      @faustadonasian2777 2 ปีที่แล้ว

      Sana yaani

    • @hosianakibona659
      @hosianakibona659 2 ปีที่แล้ว +1

      @@faustadonasian2777 huyu mama ndo komesha kabisa kwa Ashura Nongwa

    • @adetaurus
      @adetaurus 2 ปีที่แล้ว +3

      Ah weee hamuwezi, Mama Semeni balaa, hatumii nguvu nyingi maneno yanaporomoka tu

    • @ahazylutha7881
      @ahazylutha7881 2 ปีที่แล้ว

      Ni wamoto sanaaa

    • @chrissjoel7752
      @chrissjoel7752 2 ปีที่แล้ว

      Mama semeni ni mashine 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @maxwellkongoman781
    @maxwellkongoman781 2 ปีที่แล้ว +43

    Nishai never disappoint 😂😂😂😂

  • @benhanclove5997
    @benhanclove5997 2 ปีที่แล้ว +13

    Hadi nishaii amempa salute 🫡 sana 😂😂

  • @thesoundtvonline
    @thesoundtvonline 2 ปีที่แล้ว +10

    Et manishai😂😂😂oll in oll mpo vizuri ,Ila tunamtaka na kurya Boy

  • @ernestfred6813
    @ernestfred6813 2 ปีที่แล้ว +11

    😊😂😂😂WA KWANZAAA

  • @faustineedward2425
    @faustineedward2425 2 ปีที่แล้ว

    Joti uko juu nakpenda San vituko vyak

  • @WiselightOfficial
    @WiselightOfficial 2 ปีที่แล้ว +1

    Hauniangushi nimecheka kwa kwel ubarikiwe na Mungu uishi tu

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 ปีที่แล้ว +1

    ih shawai tokea kwa jamaaa yngu mpka tamaa ya kula kani shinda walah

  • @georgerogath374
    @georgerogath374 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Joti 😁

  • @faridaharuna2621
    @faridaharuna2621 2 ปีที่แล้ว +3

    Yaan Nishai,acha tu!!!

  • @godwinlaizer1714
    @godwinlaizer1714 2 ปีที่แล้ว

    Boss sopa hataree

  • @LeonardMwakapusya
    @LeonardMwakapusya 2 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mama anajua sana kuigiza😂🤣

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว +1

      Ajui kitu

    • @dannylinguist15
      @dannylinguist15 2 ปีที่แล้ว

      @@kwisa4899 WIVU

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 ปีที่แล้ว

      @@dannylinguist15 mimi kwa kipimo changu Huyu mama hajui kuigiza hata kama anajua ni kiwango cha kawaida sana hawezi fanana na Mama semeni wala yule Mama anayecheza na joti .

  • @wendeisaack6385
    @wendeisaack6385 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana yesu asifiwe....milele Amina😅😂😂ila joti🙌😂

    • @wakembetajaphary6006
      @wakembetajaphary6006 2 ปีที่แล้ว

      Nmecheka sana at milele amina😀😀🤣🤣🤣🤣

  • @eliariro5514
    @eliariro5514 2 ปีที่แล้ว +2

    Hatakuja kutokea joti kama huyu.
    Aisee nakubali.

  • @youngdady6149
    @youngdady6149 2 ปีที่แล้ว +20

    jaman hii stayle ya joti anavyoingia ndani na masela wke kula mpunga kwa kweli 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmeshindwa kuvumilia

  • @eliassteven5575
    @eliassteven5575 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 2 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nishaii noma sana 😂😂😂

  • @emmanuelchilimo
    @emmanuelchilimo 2 ปีที่แล้ว +2

    Mama amesimama poa sana na amependeza kuwa mama yako ktk scenes daah maneno mengi

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 ปีที่แล้ว +19

    Huyu Mimi nampenda Mimi. Ananifurahisha Kwa kweli 😂😂😂

    • @KileleMartin
      @KileleMartin 2 ปีที่แล้ว

      Utacheka vibayath-cam.com/video/2XKsuurDfEk/w-d-xo.html

  • @mwombekikatabalo9046
    @mwombekikatabalo9046 2 ปีที่แล้ว +3

    Mwamba anafanana na Gwaji Boy

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna character ninayoikubali ya joti Kama hii character ya Nishai! Ni noma sana

  • @assab3167
    @assab3167 2 ปีที่แล้ว

    Bibi noma

  • @evaristkomba3340
    @evaristkomba3340 2 ปีที่แล้ว +1

    huyu mama anajua sana kuigiza sana yani

  • @furahabanekwa7013
    @furahabanekwa7013 2 ปีที่แล้ว +6

    Best comedy ever ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @sheilaamanzi3001
    @sheilaamanzi3001 2 ปีที่แล้ว +3

    Uyu bibi🔥🔥🔥😂

  • @yohanasimba581
    @yohanasimba581 2 ปีที่แล้ว +4

    Bibi wa moto kweli kweli

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 2 ปีที่แล้ว

    Nakukubali😁😁😁😁

  • @davidodehero8760
    @davidodehero8760 2 ปีที่แล้ว +1

    Naona mwanangu umekua Kama msukule..... Umeita shinai, au manishai

  • @kimrudiger4454
    @kimrudiger4454 2 ปีที่แล้ว +5

    Huyu mama yupo vizuri😂😂😂

  • @juma6253
    @juma6253 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu bi kauye noma

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 ปีที่แล้ว +1

    Naisha anatisha saana 😀😀🙌🇶🇦🇹🇿

  • @shifaazawadi4438
    @shifaazawadi4438 2 ปีที่แล้ว +5

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu bibi kiboko kuigiza 😂😂😂 Mishai umepelekea chakula miumbwa koko yako 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 2 ปีที่แล้ว +1

    Joti nakupedra bure from 254

  • @allanykanyota
    @allanykanyota 2 ปีที่แล้ว

    Nishai 🙌🙌

  • @MOPEBLETv657
    @MOPEBLETv657 2 ปีที่แล้ว +1

    Angekua mamangu uyu mm nahama kaya

  • @electricity6855
    @electricity6855 2 ปีที่แล้ว

    Salaa salute

  • @uzianicholaus3197
    @uzianicholaus3197 2 ปีที่แล้ว +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 2 ปีที่แล้ว

    Ngoja kwanzaa Umekuja mwenye dini hapa saiv

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 2 ปีที่แล้ว

    Tz washatoa Majuto wa kike,au sio!

  • @youngyayoo2805
    @youngyayoo2805 7 หลายเดือนก่อน

    Maza anakelele sana anaharibu sasa

  • @salumuseif3324
    @salumuseif3324 2 ปีที่แล้ว

    Uyu bibi anajuwa sanaaa

  • @roseallen7198
    @roseallen7198 2 ปีที่แล้ว

    Haaaaya joti hujafumbahata machooo

  • @boscojmseso7072
    @boscojmseso7072 2 ปีที่แล้ว

    Nishai umemutoa wap huyo mama aisee anajuwa Sana namukubal sana

  • @hassanperagmail.comhassan
    @hassanperagmail.comhassan 2 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @sillaasiemapesa5306
    @sillaasiemapesa5306 2 ปีที่แล้ว +2

    Imeweza

  • @harunathomas516
    @harunathomas516 2 ปีที่แล้ว

    Aaaaaah mhh eeeeh @joti comedy @ ila mlewa hapa umekuwa mpole sana hati huluma 😂😂 big up mabrother 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nathanaelemmanuel4863
    @nathanaelemmanuel4863 2 ปีที่แล้ว

    Safiiiii

  • @saidyahya6392
    @saidyahya6392 2 ปีที่แล้ว

    uyu mama namuelewa vibaya mnoooo

  • @elizabethmayani8095
    @elizabethmayani8095 2 ปีที่แล้ว

    Hahahahahah...eti hawa wana bandaaaa😂😂😂😂

  • @godfreyathumani9912
    @godfreyathumani9912 2 ปีที่แล้ว

    Mama namkubali sana... Mzee wa *paka wa buruu mbwa wewe PISI KALI WEWE* na mda huo anaambiwa mtoto wa kiume

  • @davidliyumba9940
    @davidliyumba9940 2 ปีที่แล้ว

    Nimechekaa uyu mamaa hatr😂😁

  • @nemeskessy2786
    @nemeskessy2786 2 ปีที่แล้ว +8

    8:54 Hiko sio kichina kweli 😂😂😂😂

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 2 ปีที่แล้ว

    Tulio wamis mwamba na Kanyinyi gonga like

  • @thanksryo637
    @thanksryo637 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyo mama nimependa vile ana charuka na maneno

  • @bintikashelo675
    @bintikashelo675 2 ปีที่แล้ว

    Bibi kauye eti Amen tumebaki wenyewe Sasa tule

  • @hommiemakini8635
    @hommiemakini8635 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani jamani😂

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukikosa Bando siku Moja 🇹🇿 Unakosa Vingi sana

  • @enemtatuka5863
    @enemtatuka5863 2 ปีที่แล้ว

    Kazi kubeba nondo nom

  • @lopomarima8359
    @lopomarima8359 2 ปีที่แล้ว +3

    Am first like it

  • @wardamohammed2802
    @wardamohammed2802 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyu mama ananifurahisha sana...Ahahaaaaa