DKT TULIA ACKSON ALIVYOJINADI MBELE YA WABUNGE, AWAOMBA WAMPIGIE KURA, AJIBU MASWALI KITAALAM..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • DKT TULIA ACKSON ALIVYOJINADI MBELE YA WABUNGE, AWAOMBA WAMPIGIE KURA, AJIBU MASWALI KITAALAM..
    Ni mkutano wa sita, kikao cha kwanza, bunge la 12, ambapo wabunge wanapiga kura za kumchagua spika wa bunge, baada ya aliyekuwa spika Job Ndugai kujiuzulu nafasi hiyo
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 122

  • @eliyahango4278
    @eliyahango4278 2 ปีที่แล้ว +7

    Hongera Sana Dr Tulia, hongereni wabunge kwa kumpata speaker mpya

  • @SuperCamle
    @SuperCamle 2 ปีที่แล้ว +5

    Nimefurahia sana kusikiliza maswali na majibu kwa Mh. Dk Tukia Ackson. Hakika u mbobezi. Hongera sana na Mungu akubariki katika majukumu yako mapya kama Speaker wa bubge letu tukufu.

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr.Tulia.mama mzuri.

  • @saulilaizar767
    @saulilaizar767 2 ปีที่แล้ว +10

    Mrisho gambo nimependa swali lako

  • @moshikilimanjaro5660
    @moshikilimanjaro5660 2 ปีที่แล้ว +1

    Great details, and confidence.
    Napenda unavyo pangilia lugha na ujasiri.

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu akuongoze. Uweze kutumikia Watu , nchi, kufikia ndoto za watanzania , Afrika na dunia nzima. HONGERA , HONGERA, HONGERA.

  • @aginessmgaza9899
    @aginessmgaza9899 2 ปีที่แล้ว +6

    Akili nyingi hadi unaboa dah upo vzur dada keep it up

    • @hamispazia9
      @hamispazia9 2 ปีที่แล้ว

      Yaani hadi mwili unasisimka,mama anajiamini sana dah... 🙏🙏🙏

  • @theobartkingamkono5087
    @theobartkingamkono5087 2 ปีที่แล้ว +6

    Safi dada nchi ya asali na maziwa msikilize mkkuu wa nchi maisha yako na familia yako inemeke kama wao

  • @abdilahimriri8984
    @abdilahimriri8984 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mhe mbunge dr Tulia Akson kwa kuchaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama.

  • @josephinajosephu6859
    @josephinajosephu6859 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa kaz uko vzr Sana,ila sasa ucje ukabadilika kama wengine wanavyofanyaga

  • @fumbukashangwe3173
    @fumbukashangwe3173 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mheshimiwa Dk.Tulia Akson

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 2 ปีที่แล้ว +2

    Unaongea vizuli sana mbunge wetu wa mbeya city

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 2 ปีที่แล้ว +10

    Dah haikua na haja ya kukaa kulipana kwenye kikao ambacho kila mmoja anajua matokeo

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 2 ปีที่แล้ว

      Fact

    • @upendomasai331
      @upendomasai331 2 ปีที่แล้ว

      Kabisa nikutumia kodi zetu vibaya yaani hawa nyumbu cjui wana tuchukuliaje

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 2 ปีที่แล้ว

      Watanzania tushafanywa mbuzi, tunabuluzwa tu

  • @davidinano5965
    @davidinano5965 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mheshimiwa mama tulia kwa kujibu maswali vzr

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 ปีที่แล้ว +1

    Mrisho gambo kijana mstaarabu sana.

  • @makusaro2289
    @makusaro2289 2 ปีที่แล้ว +18

    Huna haja ya kuomba ridhaa wakati ulishapitishwa na chama chako na wote watakaopiga kura ni wanachama wa chama chako,hapo hapo ulikuwa naibu spika.Ilikuwa kufuata formalities.

    • @mpokimwakisimba692
      @mpokimwakisimba692 2 ปีที่แล้ว

      Wajinga Sana CCM na lichama lao. Wanapitisha takataka

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 ปีที่แล้ว

      @@mpokimwakisimba692 Hutaamini tulichoamini na wala sisi hatutaamini ulichoamini muhimu tuhishimiane.

    • @mpokimwakisimba692
      @mpokimwakisimba692 2 ปีที่แล้ว

      @@hajihassan5433 haya tupe matokeo nani kashinda ambacho hatujaamini wewe umeamini mkuu???😃😋🤣

  • @sperospera2023
    @sperospera2023 2 ปีที่แล้ว +1

    Ana uwezo WA kusikiliza Maswali na kuyajibu Vizuri sana

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 2 ปีที่แล้ว +8

    Smart woman! You understand your role well well.

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 ปีที่แล้ว +6

    Hapo ndo wanaume mtazidi kutulia mpaka 2025 ila kwasasa ni zamu ya Nchi kushikiliwa na wanawake 🚶🚶🚶

    • @credo7837
      @credo7837 2 ปีที่แล้ว

      Aaaawapi hamn kitu

    • @waheedahtanzania4912
      @waheedahtanzania4912 2 ปีที่แล้ว

      @@credo7837 😂😂 inabidi ukubali tuu ukweli ndiyo huo tena upo dhaahiri 🇹🇿🚶🚶

    • @credo7837
      @credo7837 2 ปีที่แล้ว

      @@waheedahtanzania4912 😂😂😂🤣

    • @zaitunikipingu3237
      @zaitunikipingu3237 2 ปีที่แล้ว

      Nice voice tulia ur deserve 🙏🙏

  • @anagresimaria9556
    @anagresimaria9556 2 ปีที่แล้ว

    Hongera mama mungu akupe maisha marefu

  • @veronicasamwel1676
    @veronicasamwel1676 2 ปีที่แล้ว +6

    Ila huyo mama kauliza swali zuri sana
    .liangalieni hilo

  • @jescagodwin2732
    @jescagodwin2732 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu huwaweka walio wake.

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mmama weweee, kitu tofauti nilichokipenda kwako ni kwamba, muda wote unatabasamu, hiyo ndiyo pete yako ya dhahabu ya kupita kwenye ufanisi wa kazi zako kwa maana utakuwa umetengeneza utulivu wa akili ktk kuliongoza bunge letu.

  • @ymusic803
    @ymusic803 2 ปีที่แล้ว +2

    Mie Tulia namkubali sanaa yaani zaidi hata usipika anaweza kuongoza

  • @aminakassim409
    @aminakassim409 2 ปีที่แล้ว

    Congrats sana dr Tulia👏👏...Mungu akusimamie😍

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 2 ปีที่แล้ว +3

    Experience is more better than anything in job

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 2 ปีที่แล้ว +1

    Well said
    Tuhoji serikali kwa hekima na unyenyekevu Na tukemee kula kulingana na kamba yako. Tukemee rushwa n k

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 ปีที่แล้ว +1

    Jembe la mbeya🙋

  • @kelvinchuwa2212
    @kelvinchuwa2212 2 ปีที่แล้ว +3

    Sikipendi kinasura mbaya

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว +6

    Kwa katiba ya Tanzania hakuna muhimili unaojitegemea raisi ndo mpango mzima. Ona mwendo hata WA mahakama kila raisi anapobasilishwa na mwendo WA mahakama unabadilika.
    Katiba inampa mamlaka mengi raisi. Katiba ibadilishwe. Period!

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 ปีที่แล้ว

      Urekebishwe au uvunjwe Muungano.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      @@hajihassan5433 katiba ina husu nini na muungano? Kwani mamlaka apiyopewa raisi yana uhusiano gani muungano? Hata muungano ukivunjwa kama raisi atakuwa na mamlaka yote kama ilivyo sasa ni yale Yale! Muungano unakukera nini wewe?

  • @winfordmosha5494
    @winfordmosha5494 2 ปีที่แล้ว +4

    Spika ni tulia tulieni

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g 2 ปีที่แล้ว +3

    NADHANI SASA HIVI TUNASUBIRI KUMPATA WAZIRI MKUU MWANAMKE NA MKUU WA MAJESHI MWANAMKE !!!

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 2 ปีที่แล้ว +2

    Hapo nikuzunguusha mada tuu wakati spika kashajulikana ni TULIA 🚶🚶🚶

  • @filbertmwakalunde2548
    @filbertmwakalunde2548 2 ปีที่แล้ว +1

    Gwajima katulikahana neno ma mtu yyte leo😂😂😂😂😂

  • @robertokasike4824
    @robertokasike4824 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Dr.Tulia kweli umestahili kuwa spika

  • @hagarbills4023
    @hagarbills4023 2 ปีที่แล้ว +3

    she deserves a queen of power

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni kumsumbua tu kwani asipopitishwa atapitishwa nani mwingine? Au ni kufuata mfumo tuu.

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 2 ปีที่แล้ว

    Hongera 🙏🏿

  • @tumainmwakajwanga997
    @tumainmwakajwanga997 2 ปีที่แล้ว +1

    Dada nakwaminia we unaweza

  • @deodatussilungu9084
    @deodatussilungu9084 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu ibaliki Tanzania

  • @mchinjaayubu7559
    @mchinjaayubu7559 2 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂muuliza swali was tatu alikuwa Agnes's na tulia alimuita Kwa sauti ..Aginess😂😂😂

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 ปีที่แล้ว

    Hajagombea nafasi ya Ubunge wa Bunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
    Umeteleza kidogo Mhe. Lukuvi!!

  • @aminasuleiman8120
    @aminasuleiman8120 2 ปีที่แล้ว +1

    Wababa wanapiga makofi kinyongeee masikini😂😂😂💃💃😳

    • @eliyahango4278
      @eliyahango4278 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, acha hizo wewe

    • @jeniphachabili4517
      @jeniphachabili4517 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @zebedayomyengi2312
      @zebedayomyengi2312 2 ปีที่แล้ว +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @obadiamugishagwe9061
    @obadiamugishagwe9061 2 ปีที่แล้ว

    Mama. Mungu alikuteuwa tangu mwanzo ila basii tyu

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 ปีที่แล้ว

    Ww mama ni mtu mzuri sana kwa wadadamu lkn najua hutaweza kufanya matakwa ya MUNGU KWASABABU SERKALI NI YA KIGOGO WA MUDA ALIYESIKILIZISHWA MAOVU NA SHETANI NA KUONA MUNGU KWAKE NI MDOGO UKISIMAMIA HAKI WATAKUUA

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanaacha kuuliza amejipangaje kuwaondoa wabunge 19 wa ndugai???

  • @evancekessy592
    @evancekessy592 2 ปีที่แล้ว +10

    gwajima ametulia zake hana kelele na mtu

  • @justinmollel9059
    @justinmollel9059 2 ปีที่แล้ว +2

    Maswali mazur sana

  • @msingida33
    @msingida33 2 ปีที่แล้ว

    bunge la sasa siyo muhimili unao jitegemea bali ni muhimili moja na serikali. maana kila kitu serikali ikija nalo ni ndiyo tu hamna tofauti, na sasa hivi sheria mnatunga ambazo haziwajibishi viongozi waharibifu bali zimekuwa za kuwalinda na hilo siyo sawa.

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 ปีที่แล้ว

    Jibu lako la swali la Bunge kuingiliwa umejibu vibaya sana. Umejibu Ukionesha kuwa kuna siri ambayo imejificha kwasababu serikali ni kweli itaingilia muhimili mwingine!!

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 ปีที่แล้ว +4

    CCM NI TANZANIA NA TANZANIA NI CCM

  • @michaelmenja4251
    @michaelmenja4251 2 ปีที่แล้ว +1

    Kama maendeleo ya nchi haiangalii chama Kwanini Rais akitoka chama tawala na waziri mkuu asitoke kwenye chama pinzani Kwanini wingi WA Baraza la mawaziri inatoka kwenye chama kilichinda uchaguzi

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 ปีที่แล้ว

      Katiba haisemi hivyo serikali inaongozwa na chama kinachotawala

    • @bensonfrancis5599
      @bensonfrancis5599 2 ปีที่แล้ว +1

      Ulishawahi ona simba na yanga wakiwa uwanjan wanakaa jukwaa 1???

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 2 ปีที่แล้ว

    Tulia huku mbeya tunasumbuka sana na road ya iwambi kila siku ajali inakua roadbrock alafu hatuoni jitihada zako yaani unakatisha tamaa njoo utatue hili tatizo

  • @raymond5175
    @raymond5175 2 ปีที่แล้ว

    Alichokuuliza Mrisho Gambo umekijibu lakini utekelezaji wake ni sifuri

  • @chidjosh6056
    @chidjosh6056 2 ปีที่แล้ว

    Siasa za kipumbavu, ifike mahali muone aibu,

  • @amanisomi8784
    @amanisomi8784 2 ปีที่แล้ว

    Nimependa her confidence ila asibadike

  • @josephinenestory2382
    @josephinenestory2382 2 ปีที่แล้ว

    Ujuzi unao, sifa unazo na uwezo unao. Apewe tena nani kiti cha Uspika kama siyo wewe Tulia?

  • @imakitori399
    @imakitori399 2 ปีที่แล้ว +1

    Bunge la Chama kimoja upuuzi mtupu

  • @omansinaw7538
    @omansinaw7538 2 ปีที่แล้ว

    Mbona ndugai alipo ikosoa murimutukana sana

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 2 ปีที่แล้ว

    Tulia Safi Sana 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

  • @edwardmark_tz
    @edwardmark_tz 2 ปีที่แล้ว +3

    Maswali na majibu kwa mgombea was prepared scientifically

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 2 ปีที่แล้ว +2

    TULIA NI JEMBE SANA SANA SANAA.

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa majibu yako mh nafikili mliyatengeneza haya maswali.

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 2 ปีที่แล้ว

    Mungu tu ajue jinsi ya kututetea me hata sielewi tunaenda wapi

  • @barakaephraim5481
    @barakaephraim5481 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa kwani daraja hili hili haliwezi kuzuia gari isipite hatari

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimemuona gwajima??

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 2 ปีที่แล้ว

      Ngwajima hana inshu, kakosa hata unaibu waziri, ni aibu tupu

  • @PAZI_TV
    @PAZI_TV 2 ปีที่แล้ว

    hapo mumewe anajiproud anaona kweli kapata mke

  • @msingida33
    @msingida33 2 ปีที่แล้ว

    tunaomba ili bunge liwe na hoja nzuri za serikali ni vyema mawaziri usiwepo ktk kamati za bunge.

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 2 ปีที่แล้ว

    Gambo kauliza Swali zuri sn mpaka dk hii bunge nimeegemea upande wa serikali

  • @fatmaali2050
    @fatmaali2050 2 ปีที่แล้ว

    Nisikilizeni mm watanzania wenzangu wanyonge hawa na wale pmj na familia zao hamna kitu hapo

  • @ashurahaji9115
    @ashurahaji9115 2 ปีที่แล้ว

    Sauti yake mzuri

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 2 ปีที่แล้ว

    Hongera mama tulia

  • @benardwankoka3447
    @benardwankoka3447 2 ปีที่แล้ว

    Aida wetu jamn

  • @janepaul6877
    @janepaul6877 2 ปีที่แล้ว

    Tatizo hatosheki ndiyo maana mnasalitiana

  • @msingida33
    @msingida33 2 ปีที่แล้ว

    mnajitetea tu lakini tunaona wazi jinsi serikali imeimeza bunge wananchi siyo wajinga. na kupeleka fedha tu himaanishi serikali inafanya vizuri. shida ipo ktk viongozi wamekuwa viongozi wa kutoa amri na siyo kuangali amri hizo zitakuwa zinaathiri wananchi kwa kiwango gani.

  • @tumainiezekia5873
    @tumainiezekia5873 2 ปีที่แล้ว

    Gwgima sem neno bab

  • @gwakisakasunga2651
    @gwakisakasunga2651 2 ปีที่แล้ว +1

    🤝🤝🤝👏👏👏👏👏

  • @fredkenyanya1575
    @fredkenyanya1575 2 ปีที่แล้ว

    So Tanzania wameamua kuongozwa na akina mama tu. Rais na speaker ndio waendeshaji wa nchi. Ajabu

    • @chidjosh6056
      @chidjosh6056 2 ปีที่แล้ว

      Na mkuu wa majeshi, anakuja mwanamke mda simrefu

  • @sultansallah4509
    @sultansallah4509 2 ปีที่แล้ว

    Kwa mbaaali utabir wa suleiman bungala bwege unatmia,

    • @aminachaulaya278
      @aminachaulaya278 2 ปีที่แล้ว

      Hebu tukumbushe bwege alisemaje ila nilikuwa namkubali

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 2 ปีที่แล้ว +1

    A walk over

    • @samwelemuniezi7524
      @samwelemuniezi7524 2 ปีที่แล้ว +1

      Nampenda bule huyu spika mtalajiwa ana Ujasili na uweelewa mungu Amsimamie apite

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 2 ปีที่แล้ว

      @@samwelemuniezi7524 Amin

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 2 ปีที่แล้ว +1

      Total walk over!!😅

  • @papafikiri
    @papafikiri 2 ปีที่แล้ว +4

    Anafaa hata kwa Urais huyu

  • @kahwarwosile7831
    @kahwarwosile7831 2 ปีที่แล้ว +1

    Tulia ni kama walewale kama ndugai hamuna kitu chochote kwanza umegombea usipika kwa kuvunja katiba moja kwa moja haufai kabisa

  • @nasorokasim3059
    @nasorokasim3059 2 ปีที่แล้ว

    N. Y eg

  • @fatmaali2050
    @fatmaali2050 2 ปีที่แล้ว +1

    Jitekenyeni na mujichekeshe wenyewe

  • @staralive9260
    @staralive9260 2 ปีที่แล้ว

    Huyo Gambo mpumbavu ameinuka kujisemesha ili kuonekana lakini ni mnafiki sana na mpenda vyeo.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 2 ปีที่แล้ว

    .

  • @alifakimati9614
    @alifakimati9614 2 ปีที่แล้ว +1

    Hilo sio bunge tukufu ,lakini kitu kitukufu munakifahamu nyie au munajisemea tu semeni bunge tu musiseme tukufu mumeingia humo bila ya tohara.

    • @chiefchacha2992
      @chiefchacha2992 2 ปีที่แล้ว

      Samahani mkuu,
      Kwani nini maana ya neno "TUKUFU"..?

  • @athumanhassani9794
    @athumanhassani9794 2 ปีที่แล้ว

    Kati yatu nisio waelewa Tanzania nihuyu na samia pamoja na ccm

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 2 ปีที่แล้ว

    Nilichopenda ni gwajima kukaa na gambo bas