bro vidox, kazi nzuri sana...... nashauri kutumia mic mbili, huo mkono, kuuhamisha hamisha.. kuna namna... mic zingekua mbili kwenye interview, ingekua vzr sana..... hii iApply na kwenye interview zingine pia
😂😂😂😂😂mbona viposongo😮😮😮ila jamani. Mara medium imepoa😂😂 Wenye kuhudumia naomba kujua nini huwapelekea uko😮ni uhaba?ni mapenzi?ni kutokujiamini kama unaweza pendwa bila kumtunza mwanaume ama ni nini? Nauliza kwa wema nijifunze kitu hapa,
Tabu umeongea ukweli kabisa,,watu wsnaosema sana bismillah nyingi au ambao wanasali sana huwa wanaroho mbya choyo, na mambo mengi Sana yule dada anaonekana ni mtu asiependa mwingine afanikiwe au hapendi uwe juu yake ,,, na lingine hapendi uwe ba urafiki nae wawez mchukulia bwana maan yeye anakokwenda anaenda na bwana wake so mambo hayo yote yanasababisha asiwe karibu na watu akiamni mwawez mchukulia kiposongo wake so tabu achana nae fanya mambo yako kama ujumbe kashaupata ukiitwa kwenye interview nyingn kataa
Ni kweli mmakonde mwenzangu hii dunia ukiwa mkweli unaonekana muongo ila wamakonde kusamehe ndo kawaida yetu mm pia nimesamehe mbona sasa npo oman natafuta life aman ndo kila kitu pesa inatafutwa nikirudi nitakutafuta my dear kwenye wema na wabaya wapo
Tufanye riham anaroho mbaya ushawhi sikia anasem sehemu Maan tabu ajaza jana wala juzi kumsema Riama lkn Riyam ajawahi kujibu chochote sas ubaya wariym upi km yeye Ni mwema angemfwata yeye wakayaongea kwnn kweny mitandao
Tabu usijipunguze thamani na heshima yako uluoijenga kwa washabiki zako'kwa kumsema vibaya mwenzio, muachie Mungu inatosha sasa, kama kusema tumeshasikia, usipunguze ridhki zako, mbona yeye hakusemi wewe kwa ubaya mitandaoni?
Hongera dada tabu m/mungu akuepushe na kila husda❤
Me sikawaida yangu kuchukua viponsongo tabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watoto wamekulia mboga saba mjuane hapa😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂ila tabu khaa nimechekaaa mweeee
Mtoto wa Kiislam unaacha kutubu umri umeenda bd unazitafuta dhambi umri huo yaani bado unatafuta eneo la ufungue bar Astaghafilullah
Ila nanyie watu washindwe kutafuta hela ndo nyie mnakufa umasikini kila kitu dhambi
@@user-hh7df4mq1j Pombe haramu acha nife masikini lkn siwezi fanya hiyo biashara
@@Official83640 Sawa malaika wa mbinguni
@@Official83640pombe dhambi kuzini aaah😂😂😂
@@Official83640Achana nalo Kafili hilo halijui lisemalo
Nimesikiliza interview zote Tabu na Riyama
Sijui nani muongo kati yao
Mbona uongeaji umebadilika 😹😹😹 uyu kweli tabu badilisha kwanza jina shoga angu uwenda ukawa sawa. Maana naona kama dishi limeyumba😹
Huyu c comedia ndio maan anabadilika badilika 😂😂😂
KUMBE ANAONGEAGA KIPEMBA AFU MMAKONDE😊...BONGO MI SIHAMI....NA AJENGEWE SANAMU LAKE❤
Mndengereko huyo Mtwara wazazi wake wamehamia tu sawa na Muha kuhamia Dar na kuzaliana ndy alivyo Tabu
Sio mmakonde uyu
Sura yake imekaa kitoto toto sana hadi raha❤
Mbona kachakaa
dada hongera sana, 😂😂😂😂
😂PENDA SANA DADA TABU❤❤❤
Taabu umeaza kujiharibu sura me weusi wako nakupenda acha kujibandirisha dear
Mpaka kashaunguwa mashavu
😂😂😂 sasa tabu wewe miaka 50 wewe si mshangazi n bibi 😂😂
Nakupenda dadaangu
Ila tabu minampendaga 😂mzee waviposongo
bro vidox, kazi nzuri sana...... nashauri kutumia mic mbili, huo mkono, kuuhamisha hamisha.. kuna namna... mic zingekua mbili kwenye interview, ingekua vzr sana..... hii iApply na kwenye interview zingine pia
Yes....
🤝
Kabisa
😂😂😂😂😂mbona viposongo😮😮😮ila jamani.
Mara medium imepoa😂😂
Wenye kuhudumia naomba kujua nini huwapelekea uko😮ni uhaba?ni mapenzi?ni kutokujiamini kama unaweza pendwa bila kumtunza mwanaume ama ni nini?
Nauliza kwa wema nijifunze kitu hapa,
Ila Rihama itakuwa ana shida waru wengi wamemuunga mkono Tabu!!!
Tabu umeongea ukweli kabisa,,watu wsnaosema sana bismillah nyingi au ambao wanasali sana huwa wanaroho mbya choyo, na mambo mengi Sana yule dada anaonekana ni mtu asiependa mwingine afanikiwe au hapendi uwe juu yake ,,, na lingine hapendi uwe ba urafiki nae wawez mchukulia bwana maan yeye anakokwenda anaenda na bwana wake so mambo hayo yote yanasababisha asiwe karibu na watu akiamni mwawez mchukulia kiposongo wake so tabu achana nae fanya mambo yako kama ujumbe kashaupata ukiitwa kwenye interview nyingn kataa
Hahaha eti kumchapa kizungu 😅😅😅😅
Siyo ulisi mndengereko mwenzangu jaje? Ni (Urithi)
Tabu upo vizuri,mfano wa kuigwa
Kutoka vibenteni Hadi viposongo😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Tabu acha pombe sauti inakuwa mbaya
😂😂😂
😂😂😂sinywaagi lkn sauti yangu ipo ivyo ivyo inakwaruza
Naona li li zimetaradadi😂😂😂😂 yaani ni mwenndo wa li li liiii
Duu mtihani anajisifiakabisa anafanya biashalaya baa naanatakakufunguaingine Baa dr. Mtihani
Tunduru ni Ruvuma sio Mtwara😅
Kumbe ni mweusi 😂😂😂😂😂
Kuongea sana2 ila kuoga, aaahh!!😂
Kumbe aogi duuuh,kwahiyo mchafu kuoga aaaaah
Riyama usmjibu huyu. Please
Wewe ni mjanja na watu wamtwara unawajua vizuri ungemfanyia madharau ungelogwa hata hio Dar hawangekujua
Hongera Sana tafuta pesa
Kumbe huyu ana roho mbaya sikutegemea kumsema mwenziwe vibaya kwenye interview. Yeye alipoongea hakukutaja jina. Wamakondo bwana roho zao ....
Kwaiy kosa la mmoj unatukan kabila za wat vip ww ukitukaniw utapend me sio mmakonde ila aipendez kosa la mmoj uweke kabila zim
@@user-df6ui9ro8s sorry for that
Walio sikia yule Demu tujuane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwel kabisa tabu anaga kawiada ya kuongea ongea ukiona mtu wa namna iyo ad leo anaongea bas ameamua
Ni kweli mmakonde mwenzangu hii dunia ukiwa mkweli unaonekana muongo ila wamakonde kusamehe ndo kawaida yetu mm pia nimesamehe mbona sasa npo oman natafuta life aman ndo kila kitu pesa inatafutwa nikirudi nitakutafuta my dear kwenye wema na wabaya wapo
Kapinda nne nayeye 😅😅
Mamaa kundambanda❤❤❤❤
Viposongo kumbe vijana wadogo
Mkubwa fulan nimepoq😅😅😅😅
Kumbe wamakonde bc ni tabia zao cz ata hermonize alimuachia kajala na akampa range 1 & 2.😂.
Utu bora kuliko vitu kwetu
Tabu sio mmakonde nimndengereko
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Yuko very high 😂
😂😂 au amekunywa ?
Tabu unachosema upon sahihi hakuna mtu anapenda mafanikio
Uko live sana nakubal
Tabu unamatatizo unataka umaarufu kupitia mwenzio,sasa wewe ndo waonekana taahira,mwenzio katulia,toka riyama amepata kazi crown umemuandama sana! Mpumzishe basi mwenzio please
Sema Tabu hanaga habari na mtu kama Riyama alianza yanini amkalie kimya sio kwer kila mtu aishi maisha yake Riyama aache choyo.
Ukweli tabu ni mzuri rihama waja roho chafu
Tufanye riham anaroho mbaya ushawhi sikia anasem sehemu Maan tabu ajaza jana wala juzi kumsema Riama lkn Riyam ajawahi kujibu chochote sas ubaya wariym upi km yeye Ni mwema angemfwata yeye wakayaongea kwnn kweny mitandao
Hapo ndio mjifunze Mwanamke akiwa na pesa…….mhhhhhh
Ila wakusini mmmmmh
Huyu apelekwe hospital
Naona hivyo anazo dalili, hospital inamuhusu huyu😂😂😂
Huyu hana nidhamu sijawahi muelewa ansongea ongea tu domo la ugwaku
Viposongo oyeeee😅😅
Huyu alikuwa amelewa au?
Vido unapasuka chalii angu! Nakupenda sana ila punguza mwili kdg😊
Tabu umekaa mdogo leo mbona
❤❤❤❤
Basi muache kama anaroho mbaya ya nini kumzungumzia kila siku
😂😂 ila bongo
AlexGitaa😂😂😂😂
Hiyo ni kikiiii ya pikipikiiiiii
Tatu unatabu
Kikiiiiiiiiii hiyoooooo
Kumbe mtt wa kishua see tabu
Kikiiii hiyooo
Sio mkande huyu mndengeleko sema baba yake amenda mtwara kikazi
Au upo bwiii
Acha nicheke et kawaida yangu kuwa na viposongo😂
😂😂
Vipisongo 😂😂😂
Vido piga tizi..kakitambi kamekubali😜😜
Mbona leo unazungumza kimjini mjini tabu😅😅😅
amekua mau zinde
Yasn reoooo reboot sio.leoo😅😅😅
Aongea kama Mose iyobo jamani tabu inakuwa tabu kweli 😂😂
Sauti imekuparama Kwa mipombe
Amuachie nyumba ?
Ya uwongo mtupu
Mmmh
Kwanini umuache jmn mnnn
Miaka 50 ushike mimba😂 hiyo hua nibaht ty mayai yamenyauka😅😅
Vido fanya mazoez upunguze mwili
😂😂😂😂
Muongo huyo
Uwiiiii😂😂😂
Anatafuta kikiiii ya pikipikiiii
comment yako tu ni ya peke yako wivu umekujaa
Rangi ya inst na huku tofauti
Cm hizo mtazame na Dida😂😂😂
@@Official83640😅
Ila weee vido mpaka utaje nachingwea umesikia kijijini?uwewahi kufika?acha hizo pls nachi sio kijijini 😅😅
Vido kanona shavu 😊
Tabu usijipunguze thamani na heshima yako uluoijenga kwa washabiki zako'kwa kumsema vibaya mwenzio, muachie Mungu inatosha sasa, kama kusema tumeshasikia, usipunguze ridhki zako, mbona yeye hakusemi wewe kwa ubaya mitandaoni?
Mhhhhh
😂😂😂
Viposongo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tabu wewe Malaya tu ucimtafute rihama bure wewe ni Malaya unauzuri gani mweu wewe
Umalaya wake nini? 😮
Riyama ni dada mstaarabu na ustaarabu ni adabu na kunyamaza ni fimbo ya wajinga
🤣🤣🤣🤣🤣
Anatafuta kikii
Tafuta na wew!
@@rikekikonyo2265 nautafuta mkundu wako niufire
Nakupenda shogaangu ❤❤❤
50 tabu hujafika yani wewe 40 ndo unakaribia.
Tabu alisemaga amizaliwa 82
😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂