Bwana sio mbaya safi sana mjanja fulani hivi:Ila Aisha awe na akili nyingi za kuishi naye huyu. Mchaga tena achunge sana .Nawapenda sana na couple yenu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍🎉😅
Wavlana wa umri mmoja au akikuzidi kdg ni shida wanawake tucjidanganye. Hawa wenzetu hawachoki na hayo mambo. Ukiamua kuingia ingia 2 na ukubali lolote litalotokea!
Hakuna mapenzi apo mwisho wa siku ni kutoana machozi tu.uyu kijana kaja kwa kulelewa anaonekana baadae uyu mama atakuja kulia na kutoa machozi ya damu.
Kaulizwa kingine yeye anajbu kuhusu utoaji cjui huruma yan kuzunguka kwingiii ilimrad tu camera iendelee kummurika nyoko huyo anafurahia tu sembe la kufikiliwa
Babu adeti na msichana hamuwahoji ila mama akideti na kijana gumzo maneno mengi acheni wa mama wafurahishwe kinawaumaaaaa
Mi nlichooona jamaaa n handsome na comedian
Isha mashauzi nakupenda bure unaongea vizuri sana mmependeza sana MUNGU awajalie ktk ndoa yenu.
Nakupenda bure kakangu unajua sana kuongea duh Insha allah mungu awaongoze❤❤❤❤❤
Mwanaume mcharuko sana , isha rudi nyuma ujiulize tena
😂😂
😂
Nyie mmesha jitafuta vijana bado ila washikeni basi vizuri na madhaifu yao myasitiri❤❤❤
Wapo sawa achen I maneno waja kama mapepe ata jua yy jaman
Bwana sio mbaya safi sana mjanja fulani hivi:Ila Aisha awe na akili nyingi za kuishi naye huyu. Mchaga tena achunge sana .Nawapenda sana na couple yenu❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍🎉😅
Wavlana wa umri mmoja au akikuzidi kdg ni shida wanawake tucjidanganye. Hawa wenzetu hawachoki na hayo mambo. Ukiamua kuingia ingia 2 na ukubali lolote litalotokea!
Dah kashemela hakajatulia kana hekaheka🤣🤣🤣
😂
😂😂
😂😂Ila Hunmu ndan Duh😂
Isha mungu akutangulie katika penzi lako
❤😂🎉🎉tanga Moja.hongera mwaimu
Hakuna mapenzi apo mwisho wa siku ni kutoana machozi tu.uyu kijana kaja kwa kulelewa anaonekana baadae uyu mama atakuja kulia na kutoa machozi ya damu.
Halafu kwa kumuangalia huyo kijana sio mdogo ni mkubwa kuliko Aisha tizamen kwa makini mtangundua.❤❤❤
Na ww hahahaha , 😂😂😂
Isha nakupenda sana ila huyo mwanaume ana kiherehere sana halafu anapenda camera😂😂😂
Hata mimi ningekua na kihereere why not kupenda mi namuelewa sana shemegi yetu kwa yule hajapendwa na akajua kua anapendwa ndo hawezi elewa
Kwa asiemjua Isha atasema Ni mtu mzima Hana utuziima
Ni kwel ila hana utoto pia
Kweli 👌
Jamaa hb afu very charming😂😂😂😂
Nice couple 🎉
Kijan anatumia nafasi yake kwa mkini sana shobo nyingi😅
Mungu awabariki mufunge ndoa
Isha mm nakupenda sanaaa
Me naipenda hii couple Mungu awajalie mfunge ndoa
Point umri ni namba tuu kikubwa kupendana na kuheshimiana
🤩😘Jaman Kupendwa Raha🎉❤💞💖💗
Ni kweli Aisha maneno yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kwaza nicheke
Mijimama ya dar inaongoza kudate na vijanaa😂😂😂😂jamaa kachngamka hatari.esha,isha na shilole😂😂😂😂😂mmenishnda tabia
Dada nilimtafta huyu ila nilikosa njia za kumpata mdogo wangu mtunze huyo dada
Na we py ulimtafutaa!
@@MohamedMkota sana
Nakupenda ishaaa❤❤❤❤
Mbona hana shida jamaniii, ni mwanaume poa tu kikubwa wameridhiana wao imatosha
Kama namuona Ben 10 NA tumbo la mama😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama mimba yake je si tumbo la bia😂😂😂
Kwa tumbo tu mashallah
Cjui kuwa na huyu mvulana cjui ni Kiki cjui ni kweli?😂
Afu jmni dada isha sio mkubwa kumuita jimama jamani na yawezekna wakawa sawa au uyo kaka akawamkubwa isha limwili tu but ni mdada badooo
Hajamtaja mwenzie ht kdg
Nimekupenda bure
Maneno haya sasahv kayameza mwenyewe. Eti hata msamaha hataki isha jmn msamehe bc ili mambo yaendelee
Kiben 10 kinaskiliza tu hela ilivyotafutwa kwa tabu 😂
😂😂
😂😂😂😂😂..
Yaan acha tu yetu macho na masikio🤣🤣🤣
uyo ndio Isha utafukuzwa kama kuku jitambue bwege weweee
Aibu vitoto toto tu
Kwanza daa isha ajipange huyu kijana cku akitaka mafao yke hutamueza huyu c mpole km romy😂😂
Hahaha haka kajuaji Rommy mpole
❤
Nc
Yaani kivulana kina mapepe hicho
Saana 😅😅😅
Kinatetea ugali wake😅😅
Kaulizwa kingine yeye anajbu kuhusu utoaji cjui huruma yan kuzunguka kwingiii ilimrad tu camera iendelee kummurika nyoko huyo anafurahia tu sembe la kufikiliwa
😂😂😂😂kk kachangamka hatarii
Jamaa anakojoa pasafi sana
Jamani shemeji. Birthday tena?😂😂😂😂😂
Jamani eti wamegombana kama.diva na mganga wake
Super women
Upumbavuuuu huooo.kwa hio sisi vijana tujifunze nn auu na ss tuwe na majimama
Mujifunze kuzini na mama zenu wadogo😢😢😢
Uchaguzi ni wako
Kwahiyo ramadhani mumefinga mukiwa kwenye dhina
Penzi jipya mmependeza
Isha pambana na mazoezi Ili ulihibiti tumbo Hilo ni kubwa
Teh teh eti Birthday 😅😅😅😅
Kibeteni sura haieleweki😂😂
😂😂😂😂
Shemeji yuko viixuri😂😂😂😂
😂😂😂😂😂sio happy birthday ni anniversary
Nichekekaaa
Halaf kesho mkija kuachana mnatupia vyupi na boxer nje mimi kama mjumbe nasemaje sitaki ritokee hili
Haka kabenten kanapenda kamera acha ,kwani ndotuseme ajui baby yake ana ndevu au ndo kujizimisha sata
😂
😅😅😅😅😅😅
Nimewapenda bure
Hata mnafanana
Kbenten kipo makini 🤣
Uchaw upo
Shemeji kalewa hayupo sawa
Penzi jipyaaaaaaaa
Kaka usimalize maneno kunawengine walisema ivo na mwisho wasiku wameachwa
Yametimia
Mwalim hungera
Dah tabu kweli kweli
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
Hiki kivulana kimefata pesa tyu
Isha hilo tumbo kama msechu
Shemeji punguza kiherehere
Bado kitoto icho
Kumbe kaolew
Mwaka 1 wa restaurant 😂😂, hivi KFC, pizza hart, na wengine mbona sijawah kuona wanafanya sherehe
Hawajaamua,kila mmoja na mipango yake ktk utafutaji